KIZIMKAZI YAWAKUTANISHA ALLY KAMWE NA AHMED ALLY/WATUPIANA VIJEMBE KWENYE BOTI/ZANZIBAR TUNAKUJA
Vložit
- čas přidán 9. 09. 2024
- Leo Tarehe 22 Agosti Mpenja Tv imeanza safari kuelekea Kisiwani Zanzibar kwaajili ya Tukio la ufunguzi wa Tamasha la Kizimkazi linalofanyika kuanzia Tarehe 25
Kwenye Safari hii imewakutanisha Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc pamoja na Yanga Sc Ahmed Ally pamoja na Ally Kamwe