MANGE KIMAMBI ATOA SIRI YA KUUWAWA KWA DKT.MENGI,ATAJA MAJINA YA WAHUSIKA

Sdílet
Vložit

Komentáře • 286

  • @khuzeimaabdul4275
    @khuzeimaabdul4275 Před 5 lety +50

    Kwani hawa wakubwa hawawezi kufa mpaka wauwawe wao ni nani mbele ya amri ya mungu.tumechoka ujinga wenu

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před 5 lety +10

    Wameona jack kala urithi wa mzee wanampa zengwe, Mungu kamhitaji yawalimwengu ni mengi

  • @reubenbusanji2904
    @reubenbusanji2904 Před 5 lety +14

    ninani aliyewahi kufa bila sababu? Yeye ninani asionje mauti ,wasiomwamini Mungu ndo wanaoweweseka watazusha vijisababu vingi. Kifo ni kifo

  • @mercymoshi3666
    @mercymoshi3666 Před 5 lety +5

    Hakuna anayeishi milele, KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.R.I.P Mengi

  • @makiadiongala5345
    @makiadiongala5345 Před 5 lety +9

    Kifo hakichagui sasa ulitakaje ??? Mtoa hukumu ni Mungu so mange asijikute yey mwmba na pia ss tu mavumbi na mavumbini tutarudi so hakuna jipya kifo sio mwanzo wa kutafuta kiki, kikubwa maombi na dua zetu tuu no body will be forever and ever in this world

  • @beatricemapembe8941
    @beatricemapembe8941 Před 5 lety +9

    Ee mwenyezi Mungu msaidie Jacky aweze kumzika mumewe kwa amani. Amina

  • @elyzermkenda7431
    @elyzermkenda7431 Před 5 lety +3

    Mungu ndiye ajuae kila MTU atasema alichokisikia mwisho atende dhambi

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 Před 5 lety

    Amen Amen. Mungu atusaidie . dunia aipo kama unavyo iona . Mungu awasaidie familia . pole taifa , pole familia. ( familia Maombi silaa yenu na Mungu atawapa ukweli) Amen.

  • @poschasbae9511
    @poschasbae9511 Před 5 lety +9

    Mange mange siku ukifa lazima watakusukumia jiti la mkundu maana umekuwa muongo yani unaushetwani wa hali ya juuu yani nimuongo wa dunia kiboko yako dudubaya

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Před 5 lety

      Tunaomba utupe ukweli wewe unayeyajua

    • @gastonmaheng8256
      @gastonmaheng8256 Před 5 lety

      Wewe ni mwanafamilia wa mengi unajua kifo chake basi tuambie alianza lini kuumwa na tatizo gani alikuwa nalo

  • @saidseleman6004
    @saidseleman6004 Před 5 lety +7

    Ndg zangu muachieni mungu haya yeye ndo anajua

  • @mosesmalalu9376
    @mosesmalalu9376 Před 5 lety +4

    Tanzania ni kumoto pale MTU maarufu anapoaga lazima kuwe na siri nzito lazima isemeke kitu mbaya ama kahistoria mbaya wote wafungwe milele jack na kidume chake wafungwe milele

  • @salmamasuod1472
    @salmamasuod1472 Před 5 lety +1

    mange acha hizo dada ww kila msichana akiwa katika maisha mazuri upend hapa unataka kutuaminisha kuwa jaq kamuua mengi kwa kip ili aris kampuni punguza kiki dada fanya yako na waache na watu na maisha yao ww kila habari unayo kila unayeona amekuzid lazima uanzishe bifu naye ya kwako mbona uyaweki hazarani aniingii akilini hili unalosema .

  • @zenamshana6852
    @zenamshana6852 Před 5 lety +4

    Jamani kifo hakiepukiki hata uwe nani sisi ni mavumbi na mavumbini tutarejea apumzike kwa amani

  • @kiatu
    @kiatu Před 5 lety +10

    wa-Tanzania wa wapi wanamuamini Kimambi, becareful young man kueneza uzushi.

    • @hbabywaukwee3024
      @hbabywaukwee3024 Před 5 lety

      Kwan uyo kimambi ni Biblia ana qur-an kwamba anachosema kila kitu ni cha ukweli???

  • @flaviousbenedict6489
    @flaviousbenedict6489 Před 5 lety +1

    Nyie wapumbavu acha kuchafua watu. Hamna akili, msimchafue mtoto wa watu. Pole sana Jacky Mungu akutangulie
    Hamna anayemwamini ngedele Kimambi. Pumbavu zake

  • @zubeydaseif1714
    @zubeydaseif1714 Před 5 lety +12

    Kwann huy mangi asiwe muandish maan anauzoefu mzur huy dad n tuzo atapata kila siku😂😂 mtu akifa zake zimefika,. Hakun mkon wala mguu wa jack uloshiriki

  • @restymlale6003
    @restymlale6003 Před 5 lety +8

    Lazima Mtu kutoka kwenye familiar ametoa hii Habari kwa Mange. Jamani so sad.

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 Před 5 lety +22

    Vibinti bidogo ni shida, hawa warembo msione wanavyopendeza shetani yupo mgongoni waogopeni kama ukoma.

  • @deogratiusmdemu8845
    @deogratiusmdemu8845 Před 5 lety +1

    usiachie trending namba 1 me teamkiba😂😂😂😂

  • @abuyabally5086
    @abuyabally5086 Před 5 lety +3

    acheni uongooo sio vizuri kwakweli mtu kafa mnaongeaa ujinga we kimambi ulitamani uolewe ww mjinga ww yanakuhusu nn mambo yawatu mtu kafiliwa na mumewe baba watoto wake unatunga story hata mtu hajazikwa nimeamini ww unalaanaa

  • @hbabywaukwee3024
    @hbabywaukwee3024 Před 5 lety +5

    Jaman mbona mnazusha mambo??? Kwan kufa ajabu??? Kila mtu atakufa then tujiulize mengi ana miaka mingapi tangu aje duniani??? Kuumwa ni sababu ya kifo...!!!! Acha zenu izo

    • @ibrahimyussufmia4692
      @ibrahimyussufmia4692 Před 5 lety

      Nashangaa.. wabongo tumezidi kkkaaaahhh

    • @ibrahimyussufmia4692
      @ibrahimyussufmia4692 Před 5 lety

      Ila saa ingine mtu wacha yakukuye mana hy dada na hy mzee mmhhh.. angekuwa hana kitu hy babu sijui km angekubaliwa..

  • @ashuraamani2671
    @ashuraamani2671 Před 5 lety +4

    Tatizo aliemthamini ndokaondoka pole Jack mungu akupe nguvu kwakipind hiki kigumu binaam bwana tukumbuke sote niwaja wamwenyezi mungu nakwake marejeo

  • @judaspantaleo9779
    @judaspantaleo9779 Před 5 lety +4

    Ila uyu Dada ndo mjue hakili yake uwa sio sawa

  • @tifasalum1825
    @tifasalum1825 Před 5 lety +2

    Inauma sanaaaa

  • @christinajonas374
    @christinajonas374 Před 5 lety +3

    r.i.p mengi

  • @alphoncetemba6220
    @alphoncetemba6220 Před 5 lety +1

    Yan watanzania bana iv mnavyosikia hizi habari mnaziaminije ety mtu amuue mumew kisa 50% za mali kwan kabla ya mumewake kufa hizo mal si zilikuwa n kama zake 2 jack angetaka nn kwa meng akose jaman... alaf mange namsikilizaga kwa v2 ving vya kisiasa c upuuzi huu alioupost kwa kumchafua dada wa wa2

  • @phybiojaxphybiojax9896
    @phybiojaxphybiojax9896 Před 5 lety +1

    Jacky achunguzwe vizuri nipo na wasiwasi nae kwa kifo cha moja wa mtu wangu mr mengi

    • @mariahjpmlangwa322
      @mariahjpmlangwa322 Před 5 lety

      We nawe' kwni ye MUNGU? Kila kitu kina nwisho wake' Mwisho wa Mzee MENGI UMEFIKA' Kwani MUNGU AKISEMA NDIO ATAUFANYAJE UTAKUFA TU' Hvyo midomo midomo tuache' mkewe wa kwanza anekufa je Jack ndie kamuuwa? tuache MUNGU Amefanya kazi yake nyie maumbwa' tumekalia yawatu tu yetu matakonii; mnaboa etiiiii!!!

  • @elicegelard5026
    @elicegelard5026 Před 5 lety +1

    Mna uhakika jaman? Muogopeni Mungu mwacheni Jackie amlilie mumewe.

  • @veronicamsimu5380
    @veronicamsimu5380 Před 5 lety +2

    Mimi ni msoma comment tu .

  • @plastidiacasmiry2234
    @plastidiacasmiry2234 Před 5 lety +2

    ya ukweli unenwa wkt muhusika yu hai,sasa awezi kujitetea yote baadaye ni uwongo kwa kiasu kikubwa

  • @lotijronlinetv2177
    @lotijronlinetv2177 Před 5 lety +2

    du mungu amlaze maala pema peponi hamiii

  • @frankmnale1900
    @frankmnale1900 Před 5 lety +19

    Mengi yataongelewa lakini mwisho wa yote Bw akipanga amepanga ...sababu hazikosekani
    R.I.P Mzee wetu

    • @khneesajumaa2052
      @khneesajumaa2052 Před 5 lety +1

      Wewe ndio umesema kweli kwani siku ikifika imefika kwani nikazi ya mungu

    • @nadirmtalam7449
      @nadirmtalam7449 Před 5 lety

      Mange msenge ww kifo hakina manen siku yake inefika tuu ww vp

    • @nadirmtalam7449
      @nadirmtalam7449 Před 5 lety

      Ww mwenyeww huna atamvuto msenge ww

    • @nadirmtalam7449
      @nadirmtalam7449 Před 5 lety

      Tusiwd na inani za kipumbavu musinlaumu iyo kazi ya mungu tuu

    • @frankmnale1900
      @frankmnale1900 Před 5 lety

      M/Mungu ndiye aliyepanga mpa dakika ya kuupisha ulimwengu huu tuishio na mtu akiongea kitu sioni kama kuna ulazima wa kumtolea maneno makali .....zaidi tu tuombeane reema kwa M/Mungu.

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Před 5 lety +5

    Huyu Mange sio wa kumbeza anapewa na watu wandani hizo siri na analipwa kuachia Instagram.... Ninyi hamjiulizi yeye hakuwapo kajuaje?

    • @wacmber2131
      @wacmber2131 Před 5 lety

      Nae basi ni mpuuzi grade one maana ile cku MTU ataamua kumueka ndani hakuna atakaejitokeza kati ya hao wanaompa siri sasa ye mwenyewe hajiulizi akishapost insta ndio hufaidika na nn coz cjaona hata cku moja MTU akifanya chochote maana mange amesema

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 Před 5 lety

      @@wacmber2131 kama hujui wanazitia page za kibiashara ndio kama hivyo umbea analiowa

  • @munguaibarikitanzanianawat9254

    Jamani kufa kupo tuh Achani lolongo mim

  • @mommary2424
    @mommary2424 Před 5 lety +2

    Sidhani Kama Jack anaweza kuua sbb tu awe na mtu mwngne,Kama ni pesa amevuna ya kutosha tu hilo lipo wazi,tunaomba watuthibitishie walioshuhudia msitufuruge fichwa fyetu bana hatutaki upimbi,Kama kaua sheria ziko wazi acheni kudunda dunda kiboya na mamvi kimambi yenu msitupigie ramli chonganishi.

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Před 5 lety

      Nje hayo yaliyo mpata Mengi kama ni ukweli yanatokea usiku na mchana.

  • @allyswalehe9557
    @allyswalehe9557 Před 5 lety +2

    Duuuh huyu Mange ni nani?
    Mbona amedeep sana kwenye hivi vitu vinavyotuumiza kichwa.?

  • @mihayoitabagumba9452
    @mihayoitabagumba9452 Před 5 lety +2

    Mange siungejitaidi uwe mwandishi Wa hadisi maana uko vizuri kwenye utunzi Wa hadisi

  • @paulinethomas7054
    @paulinethomas7054 Před 5 lety +4

    Jaman huyo mange me simpendi yeye alikuwepo au msba Sababu upo kwa wenzake subir yamkute na yy msengenyaji kweli yy

  • @rashidmwinyi271
    @rashidmwinyi271 Před 5 lety +1

    Sasa hii habari uliitowa wapi na huyo alie kutumia ama alie kueleza ni mnafiki kama ni ya ukweli mbona hawakuielezea wao wanakutumia wewe uieleze kwani wewe ndio wakili wa serekali, kimambi chunga mdomo wako ingawa waona ni sifa ama niuhodari kesho unadhima mbele ya mungu, jaribu kuelimisha ili watu wafaidike but usiwe msabasi kuingilia kila litokealo

  • @lailmeeea4908
    @lailmeeea4908 Před 5 lety +3

    Yatakushinda we kimavi

  • @busygoogle159
    @busygoogle159 Před 5 lety +2

    Innallilah wainna ilaih rajiun

  • @vivimndeme384
    @vivimndeme384 Před 5 lety +12

    Hivi jiulize sku ukifa yakawa yanaongelewa maonyoro yan ww haki sjui nikufanyeje

  • @elibarikwinie2214
    @elibarikwinie2214 Před 5 lety +6

    Huyo mangekimambi na mibarua yake hana kaz ya kufanya ? Kaz yake kuafatilia maisha ya watu ovyoooo

  • @danielimsokwa4838
    @danielimsokwa4838 Před 5 lety +2

    Aliyefariki.mengi.au.mke.wake.mbona.hamueleweki

  • @jizomontana1899
    @jizomontana1899 Před 5 lety +2

    Mange kimamb kawa kama dudu baya

  • @abasanjayusufu7266
    @abasanjayusufu7266 Před 5 lety +2

    Mm cjui kitu

  • @thabitmohamed8744
    @thabitmohamed8744 Před 5 lety +1

    Niliona kitu apa kwa mtoto ndogo yule kukubali kuolewa na mzee kama yule but mi sijui zaidi ila M,Mungu ndo anojua nia ya huyo mwanamke kuolewa na mzee mengi

  • @mariacassian2738
    @mariacassian2738 Před 5 lety +19

    Muongee mropokeee mpwayukeee mwisho wasiku jack ndie mke wa marehemu halaliii nawewe muuwe huyo mbwa wako upate mali

    • @lizynyeze7521
      @lizynyeze7521 Před 5 lety +2

      Unacheza na familia zengine wewe...anaweza tolewa bila kitu uyo...wasema nini wewe...mwanzo wakijua ukweli wee uyo niakae mbali sana

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Před 5 lety +3

      Sio kwa wachaga wewe! Kwa mchaga hutoki na kitu wakikuta figisu figisu

    • @user-us9gl8jg4l
      @user-us9gl8jg4l Před 5 lety +1

      @@ilovejesus9303 sana wachaga machezo

    • @racheldauson9471
      @racheldauson9471 Před 5 lety

      Asnte Sana manaake doh

    • @MultiKelvin1994
      @MultiKelvin1994 Před 5 lety

      We Maria..

  • @merryminja384
    @merryminja384 Před 5 lety +1

    Mmmmmmmhhhhh inasikitisha sana,,,,

  • @khatwabyshabani5592
    @khatwabyshabani5592 Před 5 lety +3

    Mange ndo nani mtangazaji kua makin unapotoa habari kamahiz Mzee wetu alichukua Toto Dogo nihaki yake kufa kwamwanaadam nineema kubwa zamungu,mungu ilaze roho yamzee wetu mahali pema ameen

  • @marijanimohamed7619
    @marijanimohamed7619 Před 5 lety +16

    HUYO NDIE MANGE. KIMAMBI TZ ANAYE TOWA HABARI 😅😅😅😅❤❤💪

    • @zahaljamal4520
      @zahaljamal4520 Před 5 lety +1

      Muongo huyo

    • @lizynyeze7521
      @lizynyeze7521 Před 5 lety

      @@zahaljamal4520 ety muongo..udhani wana familia hawajui eee...kwa tarifa yako kati ya wana familia ndo kamwambia mange izo issue zote...

    • @jescatebuye2287
      @jescatebuye2287 Před 5 lety

      Jamani mambo tusiyojua tusishadadie huwezi jua hiyo familia walikuwa na uhasama au laa! Tusihukumu anaejua ni mungu pekee .Mtu anaweza akaongea chochote ili kukuchafua

    • @lizynyeze7521
      @lizynyeze7521 Před 5 lety

      @@jescatebuye2287 tusubiri yajayo

  • @chiomanonso274
    @chiomanonso274 Před 5 lety +2

    Hata km atachukua Mali haitadumu itaisha soon

  • @edwingwesso129
    @edwingwesso129 Před 5 lety +18

    Huo n ukweli kabasa na hayo ndo mazala ya kuoa watoto wadogo

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 Před 5 lety +1

      Wewe Kaka unajielewa sana

    • @estherngolo310
      @estherngolo310 Před 5 lety

      Wazee wenye pesa wacheni tamaa ya kuowa wasichana wadogo ingali amna nguvu ya kuwafikisha kinenani mtauliwa mapema kwa tamaa zao za doh

    • @wacmber2131
      @wacmber2131 Před 5 lety

      Waeza simama mbele ya mahakama kutoa ushahidi ama yako ni ya humu CZcams

  • @jmtz6044
    @jmtz6044 Před 5 lety +10

    Mange anaongea fact hata mkibisha

    • @lizynyeze7521
      @lizynyeze7521 Před 5 lety +1

      Wambie wajue...ety watoto wanataka kuenda dubai ..ivi wanakujua uko..ama alikua anayake

  • @halima23862
    @halima23862 Před 5 lety +2

    Maggie ni mbeya wa Taifa, hata maiti haijafika Tanzania

  • @tifasalum1825
    @tifasalum1825 Před 5 lety +2

    Aiseeeeee

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926

    dah hiyo kazi kweli ,,,,,pesa bwana😂😂😂

  • @halimamzanda2399
    @halimamzanda2399 Před 5 lety +9

    Mmmhhh kwa hiyo angeishi duniani mpaka linin???😁😁😁😁😁

  • @lusajolwesya5480
    @lusajolwesya5480 Před 5 lety +2

    Uchunguzu ufanyike

  • @agnessmilanzi7001
    @agnessmilanzi7001 Před 5 lety +3

    mange jaman ni shida

  • @occolbrand2576
    @occolbrand2576 Před 5 lety +1

    sad asee r.i.p

  • @zackofficial9840
    @zackofficial9840 Před 5 lety +1

    R.I.P Big Boss

  • @janenduta6409
    @janenduta6409 Před 5 lety +1

    Just rumours

  • @omarimosongo1907
    @omarimosongo1907 Před 5 lety

    Rip dr Mengi.

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu6798 Před 5 lety +1

    Kazi kweli kweli

  • @SmartBrainTv2020
    @SmartBrainTv2020 Před 5 lety

    Jamani nahitaji support yenu, naomba msubscribe channel yangu.
    Thanks for your support.

  • @janethedward7967
    @janethedward7967 Před 5 lety +1

    Jamani nyie ndugu wa merehemu acheni hila tushawazoea x kwa jack tu hata uku mtaani kwetu wapo ndugu wamarehemu wandugu wakisikia tu ndugu yao kafariki mikia inawatoka ila x wote niwale maskini kajamba nanini ivi skendo tusizione miaka yote hiyo yandoa yao Leo ndo mtu kafa waanze ropoka jamani acheni uswahili.... Alafu kifo akichagu tajiri wala maskini kumbukeni ilo

  • @BROKE-e9g
    @BROKE-e9g Před 5 lety +13

    Mhhh kweli kifo siomchezo ila kama kweli huyo jaki hafayi najiuliza kibabu kizee kipendwa na mwarimbichi sio bure kunajambo mtoto mzuri kama jaki akupende bure Mambo ya mkwanjaa hayo

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 Před 5 lety +1

      Na upendo wa kuonesha mbele za watu sio wa kweli Kuna kitu mmoja anaficha ili msiwe na Shaka nae

    • @wacmber2131
      @wacmber2131 Před 5 lety

      Acheni hizo angeolewa na mdogo kumliko mngemuita kiben 10 kwani wangapi wamejazana kwenye mitandao

    • @eliamasanja3848
      @eliamasanja3848 Před 5 lety

      Rip mengi

  • @dottomabogatage7003
    @dottomabogatage7003 Před 5 lety

    ifike mahala tuamini kifo kama ndg walijua familia inashida walimwachaje na mke kwenda tubai?Zaburi90.1miaka Yetu ni 70 Tuamini pia mpango wa Mungu

  • @chebettamasha4904
    @chebettamasha4904 Před 5 lety

    If they really did that... They will Never know Wat peace is... Rip mzae

  • @bigpoverty499
    @bigpoverty499 Před 5 lety +7

    Jacky soma hzi comments alafu uje inbox tule hii mihela ya mzee +254 ndo iskue ukweli utoke na hyo jamaa Wamesema 😹😹😹😹

    • @mathiasmgoano9192
      @mathiasmgoano9192 Před 5 lety +1

      Mm nauliza tu jaman nauli ya kwenda Dubai na kurudi ni bei gani,sababu hapa zinajengwa hoja za kuwa hawakuenda na wafanyakazi humohumo mnasema Mengi hakuwa na pesa,sasa wangeendaje na wafanyakazi wakati pesa hakuna,sijui lakin,hapa kuna ugomvi wa mda mrefu tena binafsi ndani yafamilia ya mengi utagundua tu pale familia ilipoingia kimya kimya Dubai,na haya ya huyu Husein familia haikusema kabla,na hapa inatengenezwa kinga zuifu kwaajili ya dhuruma ya urithi,

    • @bigpoverty499
      @bigpoverty499 Před 5 lety +1

      @@@mathiasmgoano9192 ...Pesa shetani baba wacha uone rangi halisi za watu sasa vita n pale kwa kuwa Jacky anadai 50% ya urathi wa mzee.... Mm naona World War III apo I say coz hadi ndugu wataka wawe katika mgao ata pengine mbeleni walikua hawazungumziani 😂😂😂

    • @mathiasmgoano9192
      @mathiasmgoano9192 Před 5 lety +1

      @@bigpoverty499 haha

  • @vivimndeme384
    @vivimndeme384 Před 5 lety +6

    Hivi ww dada unahof ht ya Mungu!!!! Heb kumbuka ht kifo cha babaako upge got umuombee kwa kile kitendo babaako nayy alichofanyiwaga heb kumbuka uwe na hof ht robo!! Looo aisee unaboa sana !! Kwann asimuandkie wakt yy nimkewe achen hizo jmn Jak anampenda sana Mengi

    • @suleimanmbogo3985
      @suleimanmbogo3985 Před 5 lety

      Hyu dada shetan

    • @halima23862
      @halima23862 Před 5 lety

      Pumbavu zake huyu Maggie iko siku yatamkutahulu, kazidi kamtukana Zari now Marehemu hata Tanzania haijafika ni mbeya w kimataifa,

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Před 5 lety +5

    Mbona mnasema kaka yake akifunga kesi alidai Mangi anaumwa alafu mnasema mkewe ana mkono kwenye kifo cha MENGI. Tuelewe nini

  • @ezekielshija9251
    @ezekielshija9251 Před 5 lety +3

    ili kuondoa mashaka ya kifo chake Jacqueline awekwe chini ya ulinzi achunguzwe mawasiliano yake, Maelezo ya Mange kuhusu Jacqueline kuhusishwa na kifo cha Mengi si ya kupuuzwa.

  • @ernestchilongan6778
    @ernestchilongan6778 Před 5 lety +2

    tusubil ukweli utapatikana,lkn hivi kweli huyu Dada alimpenda huyu mzee kwa dhati au alipenda pesa?

    • @magynzioka1122
      @magynzioka1122 Před 5 lety

      Hakuna mapezi hapa alipenda pesa akijua ata kufa haraka arithi mungu akazidi mpa mika mingi akaona ana chelewa aka m maliza yeye uyu mzee aliyataka ataboa vipi sichana saizi ya mtoto wake awache mke na wanae kisha mtoto mbichi haya yamemkuta alicho taka

  • @sharifuahmed9360
    @sharifuahmed9360 Před 5 lety +1

    Waseng nini kuanzia ww kimambi na kuma wengne sasa asife yy nani yaan kafa mtume mohammad kiongz wa umma na kipenzi cha mwenyez mungu itakuwa yy and yy nan

  • @shehandito6690
    @shehandito6690 Před 5 lety +1

    Mange lazma Kuna kitu, tusimdharau!!

  • @lizynyeze7521
    @lizynyeze7521 Před 5 lety +26

    Kwani mnadhani mange anakichaa ivi...lazima kue na mwana familia ndo kamwambia uyo mange..kajuaje walienda dubai kimya kimya na kajuaje kwatakikana pesa...siyo bure...kunakitu kinaendelea kwa iyo familia

    • @fetymwamba8685
      @fetymwamba8685 Před 5 lety +1

      Umeona eeh!!

    • @fetymwamba8685
      @fetymwamba8685 Před 5 lety +1

      Umeona eh!

    • @lizynyeze7521
      @lizynyeze7521 Před 5 lety

      @@fetymwamba8685 eee nimeona dear..mwenye wanasema mange hajielewi hao ndo hawajielewi..juu mange yee husema chenye huambiwa

    • @chainbre275
      @chainbre275 Před 5 lety

      Mange yy hutoa hungo kwaajili yakupata ubeya

    • @lizynyeze7521
      @lizynyeze7521 Před 5 lety

      @@chainbre275 wee ndo hujui...uliza uambiwe..juu watu hupeane pesa kwa ajili ya umbeya..saa uyo kapewa pesa na mwana familia ya uyo mengi ili mange asema...naye kasema kama alivyo ambiwa

  • @barakathomasgabriel5708

    Kiukweri tuwe na ustaarabu kwenye vifo vya watu..... RIP mzee mengi I'll umeacha mengi Kama jina lako haswa kwa huyu dada mchaafu asie yajua ya kwake
    Kiukweri mzeee mengi tyri alikua na umri mkubwa sana mm siamin katika Hilo embu muacheni apumzike asee

  • @ggmmedia1757
    @ggmmedia1757 Před 5 lety +1

    ulijuaje???..........🤔🤔🤔🤔

  • @adamtimotheo3157
    @adamtimotheo3157 Před 5 lety +1

    kama kweli atajuta cku ikifika

  • @emmyabdil1049
    @emmyabdil1049 Před 5 lety +2

    Mmmh mage unayaweza kufatilia mambo ya watu sijuw na ww siku ukifa itakuaje

  • @angeljoseph922
    @angeljoseph922 Před 5 lety

    Ndo mana nawaita waandsh uchwara hamna kaz mnaoyafanya mnasubiri umbea wa kutoka kwa mpumbavu mmoja asiye na maana fanyen ya kwenu we ulshawaza ukifa utaandkwaje,,,kutwa kumnanga mtu asyekula hata pilipili yenu

  • @mohamedbadbess6230
    @mohamedbadbess6230 Před 5 lety +1

    Ina lazima gani kuchanganya kiswahili ns kiingreza?

  • @kashwlugona3997
    @kashwlugona3997 Před 5 lety +1

    Mshenzi kabisa bint mdongo kuplewa nababake unaona Ss alicho Fanya huyu Malay wa kibongo

  • @nuruhussein7819
    @nuruhussein7819 Před 5 lety +1

    huyo Hussein anamke na watoto atamuoaje jack acha mpuuzi, na dini je

  • @braghtonbrayan6446
    @braghtonbrayan6446 Před 5 lety

    kweli ndoa nying skuiz ni uwanja wa muvi,tunamuhtaj mungu zaid ya PESA, r.i.p malipo hapahapa ukimwaga mboga wenzio wanamwaga ugali

  • @amosmtema2027
    @amosmtema2027 Před 5 lety +1

    Kimambi mtandao utakushinda unapo elekea

  • @idayagangs124
    @idayagangs124 Před 5 lety +2

    Apo nikweli

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo6105 Před 5 lety

    Jasho la mtu haliliki..Awe ameenda na uhaki,ila kukiwa na mkono wa mtu..mtajibiwa tuu...tuyapatieni Muda. .watajileta yenyewe..Rip

  • @nurufeysal41
    @nurufeysal41 Před 5 lety +1

    Kila nafs itaonja umauti

  • @tereseamasawe8111
    @tereseamasawe8111 Před 5 lety

    FAMILY YA MENGI KWA NINI MSICHUKUE ATUA KALI JUU YA HUYO JAK?MUUWAJI SANA HUYO DADA AMETUULIA BABA YETU MENGI.

  • @geresonochieng7098
    @geresonochieng7098 Před 5 lety +3

    Wafanye posmotam ifanyike

  • @homesteadfoundation_nsengony

    Ni dhbi kubwa sana kumtuhumu mtu kwa ishu Yeye mahusiano ya kimungu. Ivi ni kweli kwamba mange ndiye rada ya Tanzania? Coz matukio mengi huwa wa kwanza kuripoti. Mtazamo wangu ni kwamba anamuonea wovu mjane wa Mzee Mengi, hivyo anataka kumchonganisha na Familia

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Před 5 lety

      😀😀😀 humjui Mange, tafuta profile yake. Huwa hakurupuki

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 Před 5 lety +1

    Mmh waachie wenyewe wachunguze.

  • @godwillkilangi9299
    @godwillkilangi9299 Před 5 lety

    Msenge tu uyo mange kila maisha ya mtu anajua kwani yeye google au?

  • @wilsonkimaro6375
    @wilsonkimaro6375 Před 5 lety +3

    ??????? Like

  • @thamiyuucute7098
    @thamiyuucute7098 Před 5 lety +2

    Najiuliza anajiamini nini huyu Dada mange kutowa taarifa kma hizi

    • @lizynyeze7521
      @lizynyeze7521 Před 5 lety +2

      Jua kuna mwana familia kampa tarifa asema..na pengine katumiwa za kusemea..(i mean money)

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Před 5 lety

      Kukaa nje kunakupa ujasiri wa kuishi na kujiamini mwaya. Nyumbani bado sana. Nje unaongea lolote usivunje tu sheria

    • @lizynyeze7521
      @lizynyeze7521 Před 5 lety

      @@ilovejesus9303 subiri yajao dear

  • @edwingwesso129
    @edwingwesso129 Před 5 lety +2

    Kama ni kwel na ww mwanamke ulaniwe

  • @mathiasmgoano9192
    @mathiasmgoano9192 Před 5 lety +2

    Unajua haya yangesemwa kabla