Kifo hakichagui sasa ulitakaje ??? Mtoa hukumu ni Mungu so mange asijikute yey mwmba na pia ss tu mavumbi na mavumbini tutarudi so hakuna jipya kifo sio mwanzo wa kutafuta kiki, kikubwa maombi na dua zetu tuu no body will be forever and ever in this world
Amen Amen. Mungu atusaidie . dunia aipo kama unavyo iona . Mungu awasaidie familia . pole taifa , pole familia. ( familia Maombi silaa yenu na Mungu atawapa ukweli) Amen.
Mange mange siku ukifa lazima watakusukumia jiti la mkundu maana umekuwa muongo yani unaushetwani wa hali ya juuu yani nimuongo wa dunia kiboko yako dudubaya
Tanzania ni kumoto pale MTU maarufu anapoaga lazima kuwe na siri nzito lazima isemeke kitu mbaya ama kahistoria mbaya wote wafungwe milele jack na kidume chake wafungwe milele
mange acha hizo dada ww kila msichana akiwa katika maisha mazuri upend hapa unataka kutuaminisha kuwa jaq kamuua mengi kwa kip ili aris kampuni punguza kiki dada fanya yako na waache na watu na maisha yao ww kila habari unayo kila unayeona amekuzid lazima uanzishe bifu naye ya kwako mbona uyaweki hazarani aniingii akilini hili unalosema .
Nyie wapumbavu acha kuchafua watu. Hamna akili, msimchafue mtoto wa watu. Pole sana Jacky Mungu akutangulie Hamna anayemwamini ngedele Kimambi. Pumbavu zake
Kwann huy mangi asiwe muandish maan anauzoefu mzur huy dad n tuzo atapata kila siku😂😂 mtu akifa zake zimefika,. Hakun mkon wala mguu wa jack uloshiriki
acheni uongooo sio vizuri kwakweli mtu kafa mnaongeaa ujinga we kimambi ulitamani uolewe ww mjinga ww yanakuhusu nn mambo yawatu mtu kafiliwa na mumewe baba watoto wake unatunga story hata mtu hajazikwa nimeamini ww unalaanaa
Jaman mbona mnazusha mambo??? Kwan kufa ajabu??? Kila mtu atakufa then tujiulize mengi ana miaka mingapi tangu aje duniani??? Kuumwa ni sababu ya kifo...!!!! Acha zenu izo
Yan watanzania bana iv mnavyosikia hizi habari mnaziaminije ety mtu amuue mumew kisa 50% za mali kwan kabla ya mumewake kufa hizo mal si zilikuwa n kama zake 2 jack angetaka nn kwa meng akose jaman... alaf mange namsikilizaga kwa v2 ving vya kisiasa c upuuzi huu alioupost kwa kumchafua dada wa wa2
We nawe' kwni ye MUNGU? Kila kitu kina nwisho wake' Mwisho wa Mzee MENGI UMEFIKA' Kwani MUNGU AKISEMA NDIO ATAUFANYAJE UTAKUFA TU' Hvyo midomo midomo tuache' mkewe wa kwanza anekufa je Jack ndie kamuuwa? tuache MUNGU Amefanya kazi yake nyie maumbwa' tumekalia yawatu tu yetu matakonii; mnaboa etiiiii!!!
M/Mungu ndiye aliyepanga mpa dakika ya kuupisha ulimwengu huu tuishio na mtu akiongea kitu sioni kama kuna ulazima wa kumtolea maneno makali .....zaidi tu tuombeane reema kwa M/Mungu.
Nae basi ni mpuuzi grade one maana ile cku MTU ataamua kumueka ndani hakuna atakaejitokeza kati ya hao wanaompa siri sasa ye mwenyewe hajiulizi akishapost insta ndio hufaidika na nn coz cjaona hata cku moja MTU akifanya chochote maana mange amesema
Sidhani Kama Jack anaweza kuua sbb tu awe na mtu mwngne,Kama ni pesa amevuna ya kutosha tu hilo lipo wazi,tunaomba watuthibitishie walioshuhudia msitufuruge fichwa fyetu bana hatutaki upimbi,Kama kaua sheria ziko wazi acheni kudunda dunda kiboya na mamvi kimambi yenu msitupigie ramli chonganishi.
Sasa hii habari uliitowa wapi na huyo alie kutumia ama alie kueleza ni mnafiki kama ni ya ukweli mbona hawakuielezea wao wanakutumia wewe uieleze kwani wewe ndio wakili wa serekali, kimambi chunga mdomo wako ingawa waona ni sifa ama niuhodari kesho unadhima mbele ya mungu, jaribu kuelimisha ili watu wafaidike but usiwe msabasi kuingilia kila litokealo
Niliona kitu apa kwa mtoto ndogo yule kukubali kuolewa na mzee kama yule but mi sijui zaidi ila M,Mungu ndo anojua nia ya huyo mwanamke kuolewa na mzee mengi
Mange ndo nani mtangazaji kua makin unapotoa habari kamahiz Mzee wetu alichukua Toto Dogo nihaki yake kufa kwamwanaadam nineema kubwa zamungu,mungu ilaze roho yamzee wetu mahali pema ameen
Jamani mambo tusiyojua tusishadadie huwezi jua hiyo familia walikuwa na uhasama au laa! Tusihukumu anaejua ni mungu pekee .Mtu anaweza akaongea chochote ili kukuchafua
Jamani nyie ndugu wa merehemu acheni hila tushawazoea x kwa jack tu hata uku mtaani kwetu wapo ndugu wamarehemu wandugu wakisikia tu ndugu yao kafariki mikia inawatoka ila x wote niwale maskini kajamba nanini ivi skendo tusizione miaka yote hiyo yandoa yao Leo ndo mtu kafa waanze ropoka jamani acheni uswahili.... Alafu kifo akichagu tajiri wala maskini kumbukeni ilo
Mhhh kweli kifo siomchezo ila kama kweli huyo jaki hafayi najiuliza kibabu kizee kipendwa na mwarimbichi sio bure kunajambo mtoto mzuri kama jaki akupende bure Mambo ya mkwanjaa hayo
Mm nauliza tu jaman nauli ya kwenda Dubai na kurudi ni bei gani,sababu hapa zinajengwa hoja za kuwa hawakuenda na wafanyakazi humohumo mnasema Mengi hakuwa na pesa,sasa wangeendaje na wafanyakazi wakati pesa hakuna,sijui lakin,hapa kuna ugomvi wa mda mrefu tena binafsi ndani yafamilia ya mengi utagundua tu pale familia ilipoingia kimya kimya Dubai,na haya ya huyu Husein familia haikusema kabla,na hapa inatengenezwa kinga zuifu kwaajili ya dhuruma ya urithi,
@@@mathiasmgoano9192 ...Pesa shetani baba wacha uone rangi halisi za watu sasa vita n pale kwa kuwa Jacky anadai 50% ya urathi wa mzee.... Mm naona World War III apo I say coz hadi ndugu wataka wawe katika mgao ata pengine mbeleni walikua hawazungumziani 😂😂😂
Hivi ww dada unahof ht ya Mungu!!!! Heb kumbuka ht kifo cha babaako upge got umuombee kwa kile kitendo babaako nayy alichofanyiwaga heb kumbuka uwe na hof ht robo!! Looo aisee unaboa sana !! Kwann asimuandkie wakt yy nimkewe achen hizo jmn Jak anampenda sana Mengi
ili kuondoa mashaka ya kifo chake Jacqueline awekwe chini ya ulinzi achunguzwe mawasiliano yake, Maelezo ya Mange kuhusu Jacqueline kuhusishwa na kifo cha Mengi si ya kupuuzwa.
Hakuna mapezi hapa alipenda pesa akijua ata kufa haraka arithi mungu akazidi mpa mika mingi akaona ana chelewa aka m maliza yeye uyu mzee aliyataka ataboa vipi sichana saizi ya mtoto wake awache mke na wanae kisha mtoto mbichi haya yamemkuta alicho taka
Waseng nini kuanzia ww kimambi na kuma wengne sasa asife yy nani yaan kafa mtume mohammad kiongz wa umma na kipenzi cha mwenyez mungu itakuwa yy and yy nan
Kwani mnadhani mange anakichaa ivi...lazima kue na mwana familia ndo kamwambia uyo mange..kajuaje walienda dubai kimya kimya na kajuaje kwatakikana pesa...siyo bure...kunakitu kinaendelea kwa iyo familia
@@chainbre275 wee ndo hujui...uliza uambiwe..juu watu hupeane pesa kwa ajili ya umbeya..saa uyo kapewa pesa na mwana familia ya uyo mengi ili mange asema...naye kasema kama alivyo ambiwa
Kiukweri tuwe na ustaarabu kwenye vifo vya watu..... RIP mzee mengi I'll umeacha mengi Kama jina lako haswa kwa huyu dada mchaafu asie yajua ya kwake Kiukweri mzeee mengi tyri alikua na umri mkubwa sana mm siamin katika Hilo embu muacheni apumzike asee
Ndo mana nawaita waandsh uchwara hamna kaz mnaoyafanya mnasubiri umbea wa kutoka kwa mpumbavu mmoja asiye na maana fanyen ya kwenu we ulshawaza ukifa utaandkwaje,,,kutwa kumnanga mtu asyekula hata pilipili yenu
Ni dhbi kubwa sana kumtuhumu mtu kwa ishu Yeye mahusiano ya kimungu. Ivi ni kweli kwamba mange ndiye rada ya Tanzania? Coz matukio mengi huwa wa kwanza kuripoti. Mtazamo wangu ni kwamba anamuonea wovu mjane wa Mzee Mengi, hivyo anataka kumchonganisha na Familia
Kwani hawa wakubwa hawawezi kufa mpaka wauwawe wao ni nani mbele ya amri ya mungu.tumechoka ujinga wenu
boss umetisha
Wameona jack kala urithi wa mzee wanampa zengwe, Mungu kamhitaji yawalimwengu ni mengi
ninani aliyewahi kufa bila sababu? Yeye ninani asionje mauti ,wasiomwamini Mungu ndo wanaoweweseka watazusha vijisababu vingi. Kifo ni kifo
Hakuna anayeishi milele, KILA NAFSI ITAONJA MAUTI.R.I.P Mengi
Kifo hakichagui sasa ulitakaje ??? Mtoa hukumu ni Mungu so mange asijikute yey mwmba na pia ss tu mavumbi na mavumbini tutarudi so hakuna jipya kifo sio mwanzo wa kutafuta kiki, kikubwa maombi na dua zetu tuu no body will be forever and ever in this world
Ee mwenyezi Mungu msaidie Jacky aweze kumzika mumewe kwa amani. Amina
Mungu ndiye ajuae kila MTU atasema alichokisikia mwisho atende dhambi
Amen Amen. Mungu atusaidie . dunia aipo kama unavyo iona . Mungu awasaidie familia . pole taifa , pole familia. ( familia Maombi silaa yenu na Mungu atawapa ukweli) Amen.
Mange mange siku ukifa lazima watakusukumia jiti la mkundu maana umekuwa muongo yani unaushetwani wa hali ya juuu yani nimuongo wa dunia kiboko yako dudubaya
Tunaomba utupe ukweli wewe unayeyajua
Wewe ni mwanafamilia wa mengi unajua kifo chake basi tuambie alianza lini kuumwa na tatizo gani alikuwa nalo
Ndg zangu muachieni mungu haya yeye ndo anajua
Tanzania ni kumoto pale MTU maarufu anapoaga lazima kuwe na siri nzito lazima isemeke kitu mbaya ama kahistoria mbaya wote wafungwe milele jack na kidume chake wafungwe milele
mange acha hizo dada ww kila msichana akiwa katika maisha mazuri upend hapa unataka kutuaminisha kuwa jaq kamuua mengi kwa kip ili aris kampuni punguza kiki dada fanya yako na waache na watu na maisha yao ww kila habari unayo kila unayeona amekuzid lazima uanzishe bifu naye ya kwako mbona uyaweki hazarani aniingii akilini hili unalosema .
Jamani kifo hakiepukiki hata uwe nani sisi ni mavumbi na mavumbini tutarejea apumzike kwa amani
wa-Tanzania wa wapi wanamuamini Kimambi, becareful young man kueneza uzushi.
Kwan uyo kimambi ni Biblia ana qur-an kwamba anachosema kila kitu ni cha ukweli???
Nyie wapumbavu acha kuchafua watu. Hamna akili, msimchafue mtoto wa watu. Pole sana Jacky Mungu akutangulie
Hamna anayemwamini ngedele Kimambi. Pumbavu zake
Yaaaan ubinadamu kazi sana
Kwann huy mangi asiwe muandish maan anauzoefu mzur huy dad n tuzo atapata kila siku😂😂 mtu akifa zake zimefika,. Hakun mkon wala mguu wa jack uloshiriki
Lazima Mtu kutoka kwenye familiar ametoa hii Habari kwa Mange. Jamani so sad.
Mungu alisema mliumbwa kwa udongo mtarudi mavumbini
resty Mlale s
Vibinti bidogo ni shida, hawa warembo msione wanavyopendeza shetani yupo mgongoni waogopeni kama ukoma.
FACT ndio maana hakuna msanii anaoa bongo
Mm naamini hilo
usiachie trending namba 1 me teamkiba😂😂😂😂
acheni uongooo sio vizuri kwakweli mtu kafa mnaongeaa ujinga we kimambi ulitamani uolewe ww mjinga ww yanakuhusu nn mambo yawatu mtu kafiliwa na mumewe baba watoto wake unatunga story hata mtu hajazikwa nimeamini ww unalaanaa
Jaman mbona mnazusha mambo??? Kwan kufa ajabu??? Kila mtu atakufa then tujiulize mengi ana miaka mingapi tangu aje duniani??? Kuumwa ni sababu ya kifo...!!!! Acha zenu izo
Nashangaa.. wabongo tumezidi kkkaaaahhh
Ila saa ingine mtu wacha yakukuye mana hy dada na hy mzee mmhhh.. angekuwa hana kitu hy babu sijui km angekubaliwa..
Tatizo aliemthamini ndokaondoka pole Jack mungu akupe nguvu kwakipind hiki kigumu binaam bwana tukumbuke sote niwaja wamwenyezi mungu nakwake marejeo
Ila uyu Dada ndo mjue hakili yake uwa sio sawa
Inauma sanaaaa
r.i.p mengi
Yan watanzania bana iv mnavyosikia hizi habari mnaziaminije ety mtu amuue mumew kisa 50% za mali kwan kabla ya mumewake kufa hizo mal si zilikuwa n kama zake 2 jack angetaka nn kwa meng akose jaman... alaf mange namsikilizaga kwa v2 ving vya kisiasa c upuuzi huu alioupost kwa kumchafua dada wa wa2
Jacky achunguzwe vizuri nipo na wasiwasi nae kwa kifo cha moja wa mtu wangu mr mengi
We nawe' kwni ye MUNGU? Kila kitu kina nwisho wake' Mwisho wa Mzee MENGI UMEFIKA' Kwani MUNGU AKISEMA NDIO ATAUFANYAJE UTAKUFA TU' Hvyo midomo midomo tuache' mkewe wa kwanza anekufa je Jack ndie kamuuwa? tuache MUNGU Amefanya kazi yake nyie maumbwa' tumekalia yawatu tu yetu matakonii; mnaboa etiiiii!!!
Mna uhakika jaman? Muogopeni Mungu mwacheni Jackie amlilie mumewe.
Mimi ni msoma comment tu .
ya ukweli unenwa wkt muhusika yu hai,sasa awezi kujitetea yote baadaye ni uwongo kwa kiasu kikubwa
du mungu amlaze maala pema peponi hamiii
Mengi yataongelewa lakini mwisho wa yote Bw akipanga amepanga ...sababu hazikosekani
R.I.P Mzee wetu
Wewe ndio umesema kweli kwani siku ikifika imefika kwani nikazi ya mungu
Mange msenge ww kifo hakina manen siku yake inefika tuu ww vp
Ww mwenyeww huna atamvuto msenge ww
Tusiwd na inani za kipumbavu musinlaumu iyo kazi ya mungu tuu
M/Mungu ndiye aliyepanga mpa dakika ya kuupisha ulimwengu huu tuishio na mtu akiongea kitu sioni kama kuna ulazima wa kumtolea maneno makali .....zaidi tu tuombeane reema kwa M/Mungu.
Huyu Mange sio wa kumbeza anapewa na watu wandani hizo siri na analipwa kuachia Instagram.... Ninyi hamjiulizi yeye hakuwapo kajuaje?
Nae basi ni mpuuzi grade one maana ile cku MTU ataamua kumueka ndani hakuna atakaejitokeza kati ya hao wanaompa siri sasa ye mwenyewe hajiulizi akishapost insta ndio hufaidika na nn coz cjaona hata cku moja MTU akifanya chochote maana mange amesema
@@wacmber2131 kama hujui wanazitia page za kibiashara ndio kama hivyo umbea analiowa
Jamani kufa kupo tuh Achani lolongo mim
Sidhani Kama Jack anaweza kuua sbb tu awe na mtu mwngne,Kama ni pesa amevuna ya kutosha tu hilo lipo wazi,tunaomba watuthibitishie walioshuhudia msitufuruge fichwa fyetu bana hatutaki upimbi,Kama kaua sheria ziko wazi acheni kudunda dunda kiboya na mamvi kimambi yenu msitupigie ramli chonganishi.
Nje hayo yaliyo mpata Mengi kama ni ukweli yanatokea usiku na mchana.
Duuuh huyu Mange ni nani?
Mbona amedeep sana kwenye hivi vitu vinavyotuumiza kichwa.?
Mange siungejitaidi uwe mwandishi Wa hadisi maana uko vizuri kwenye utunzi Wa hadisi
Do vibinti ni hatari sana
Jaman huyo mange me simpendi yeye alikuwepo au msba Sababu upo kwa wenzake subir yamkute na yy msengenyaji kweli yy
Sasa hii habari uliitowa wapi na huyo alie kutumia ama alie kueleza ni mnafiki kama ni ya ukweli mbona hawakuielezea wao wanakutumia wewe uieleze kwani wewe ndio wakili wa serekali, kimambi chunga mdomo wako ingawa waona ni sifa ama niuhodari kesho unadhima mbele ya mungu, jaribu kuelimisha ili watu wafaidike but usiwe msabasi kuingilia kila litokealo
Yatakushinda we kimavi
Innallilah wainna ilaih rajiun
Hivi jiulize sku ukifa yakawa yanaongelewa maonyoro yan ww haki sjui nikufanyeje
Angekuwa tz uyu kila mtu angekata finyango yake
Asante Sana
Sasa wewe mtu aliekufa anajua nn
Huyo mangekimambi na mibarua yake hana kaz ya kufanya ? Kaz yake kuafatilia maisha ya watu ovyoooo
Aliyefariki.mengi.au.mke.wake.mbona.hamueleweki
Mange kimamb kawa kama dudu baya
Mm cjui kitu
Niliona kitu apa kwa mtoto ndogo yule kukubali kuolewa na mzee kama yule but mi sijui zaidi ila M,Mungu ndo anojua nia ya huyo mwanamke kuolewa na mzee mengi
Muongee mropokeee mpwayukeee mwisho wasiku jack ndie mke wa marehemu halaliii nawewe muuwe huyo mbwa wako upate mali
Unacheza na familia zengine wewe...anaweza tolewa bila kitu uyo...wasema nini wewe...mwanzo wakijua ukweli wee uyo niakae mbali sana
Sio kwa wachaga wewe! Kwa mchaga hutoki na kitu wakikuta figisu figisu
@@ilovejesus9303 sana wachaga machezo
Asnte Sana manaake doh
We Maria..
Mmmmmmmhhhhh inasikitisha sana,,,,
Mange ndo nani mtangazaji kua makin unapotoa habari kamahiz Mzee wetu alichukua Toto Dogo nihaki yake kufa kwamwanaadam nineema kubwa zamungu,mungu ilaze roho yamzee wetu mahali pema ameen
HUYO NDIE MANGE. KIMAMBI TZ ANAYE TOWA HABARI 😅😅😅😅❤❤💪
Muongo huyo
@@zahaljamal4520 ety muongo..udhani wana familia hawajui eee...kwa tarifa yako kati ya wana familia ndo kamwambia mange izo issue zote...
Jamani mambo tusiyojua tusishadadie huwezi jua hiyo familia walikuwa na uhasama au laa! Tusihukumu anaejua ni mungu pekee .Mtu anaweza akaongea chochote ili kukuchafua
@@jescatebuye2287 tusubiri yajayo
Hata km atachukua Mali haitadumu itaisha soon
Huo n ukweli kabasa na hayo ndo mazala ya kuoa watoto wadogo
Wewe Kaka unajielewa sana
Wazee wenye pesa wacheni tamaa ya kuowa wasichana wadogo ingali amna nguvu ya kuwafikisha kinenani mtauliwa mapema kwa tamaa zao za doh
Waeza simama mbele ya mahakama kutoa ushahidi ama yako ni ya humu CZcams
Mange anaongea fact hata mkibisha
Wambie wajue...ety watoto wanataka kuenda dubai ..ivi wanakujua uko..ama alikua anayake
Maggie ni mbeya wa Taifa, hata maiti haijafika Tanzania
Aiseeeeee
dah hiyo kazi kweli ,,,,,pesa bwana😂😂😂
Mmmhhh kwa hiyo angeishi duniani mpaka linin???😁😁😁😁😁
Halima Mzanda ndo apooo
Uchunguzu ufanyike
mange jaman ni shida
sad asee r.i.p
R.I.P Big Boss
Just rumours
Rip dr Mengi.
Kazi kweli kweli
Jamani nahitaji support yenu, naomba msubscribe channel yangu.
Thanks for your support.
Jamani nyie ndugu wa merehemu acheni hila tushawazoea x kwa jack tu hata uku mtaani kwetu wapo ndugu wamarehemu wandugu wakisikia tu ndugu yao kafariki mikia inawatoka ila x wote niwale maskini kajamba nanini ivi skendo tusizione miaka yote hiyo yandoa yao Leo ndo mtu kafa waanze ropoka jamani acheni uswahili.... Alafu kifo akichagu tajiri wala maskini kumbukeni ilo
Mhhh kweli kifo siomchezo ila kama kweli huyo jaki hafayi najiuliza kibabu kizee kipendwa na mwarimbichi sio bure kunajambo mtoto mzuri kama jaki akupende bure Mambo ya mkwanjaa hayo
Na upendo wa kuonesha mbele za watu sio wa kweli Kuna kitu mmoja anaficha ili msiwe na Shaka nae
Acheni hizo angeolewa na mdogo kumliko mngemuita kiben 10 kwani wangapi wamejazana kwenye mitandao
Rip mengi
ifike mahala tuamini kifo kama ndg walijua familia inashida walimwachaje na mke kwenda tubai?Zaburi90.1miaka Yetu ni 70 Tuamini pia mpango wa Mungu
If they really did that... They will Never know Wat peace is... Rip mzae
Jacky soma hzi comments alafu uje inbox tule hii mihela ya mzee +254 ndo iskue ukweli utoke na hyo jamaa Wamesema 😹😹😹😹
Mm nauliza tu jaman nauli ya kwenda Dubai na kurudi ni bei gani,sababu hapa zinajengwa hoja za kuwa hawakuenda na wafanyakazi humohumo mnasema Mengi hakuwa na pesa,sasa wangeendaje na wafanyakazi wakati pesa hakuna,sijui lakin,hapa kuna ugomvi wa mda mrefu tena binafsi ndani yafamilia ya mengi utagundua tu pale familia ilipoingia kimya kimya Dubai,na haya ya huyu Husein familia haikusema kabla,na hapa inatengenezwa kinga zuifu kwaajili ya dhuruma ya urithi,
@@@mathiasmgoano9192 ...Pesa shetani baba wacha uone rangi halisi za watu sasa vita n pale kwa kuwa Jacky anadai 50% ya urathi wa mzee.... Mm naona World War III apo I say coz hadi ndugu wataka wawe katika mgao ata pengine mbeleni walikua hawazungumziani 😂😂😂
@@bigpoverty499 haha
Hivi ww dada unahof ht ya Mungu!!!! Heb kumbuka ht kifo cha babaako upge got umuombee kwa kile kitendo babaako nayy alichofanyiwaga heb kumbuka uwe na hof ht robo!! Looo aisee unaboa sana !! Kwann asimuandkie wakt yy nimkewe achen hizo jmn Jak anampenda sana Mengi
Hyu dada shetan
Pumbavu zake huyu Maggie iko siku yatamkutahulu, kazidi kamtukana Zari now Marehemu hata Tanzania haijafika ni mbeya w kimataifa,
Mbona mnasema kaka yake akifunga kesi alidai Mangi anaumwa alafu mnasema mkewe ana mkono kwenye kifo cha MENGI. Tuelewe nini
ili kuondoa mashaka ya kifo chake Jacqueline awekwe chini ya ulinzi achunguzwe mawasiliano yake, Maelezo ya Mange kuhusu Jacqueline kuhusishwa na kifo cha Mengi si ya kupuuzwa.
tusubil ukweli utapatikana,lkn hivi kweli huyu Dada alimpenda huyu mzee kwa dhati au alipenda pesa?
Hakuna mapezi hapa alipenda pesa akijua ata kufa haraka arithi mungu akazidi mpa mika mingi akaona ana chelewa aka m maliza yeye uyu mzee aliyataka ataboa vipi sichana saizi ya mtoto wake awache mke na wanae kisha mtoto mbichi haya yamemkuta alicho taka
Waseng nini kuanzia ww kimambi na kuma wengne sasa asife yy nani yaan kafa mtume mohammad kiongz wa umma na kipenzi cha mwenyez mungu itakuwa yy and yy nan
Mange lazma Kuna kitu, tusimdharau!!
Kwani mnadhani mange anakichaa ivi...lazima kue na mwana familia ndo kamwambia uyo mange..kajuaje walienda dubai kimya kimya na kajuaje kwatakikana pesa...siyo bure...kunakitu kinaendelea kwa iyo familia
Umeona eeh!!
Umeona eh!
@@fetymwamba8685 eee nimeona dear..mwenye wanasema mange hajielewi hao ndo hawajielewi..juu mange yee husema chenye huambiwa
Mange yy hutoa hungo kwaajili yakupata ubeya
@@chainbre275 wee ndo hujui...uliza uambiwe..juu watu hupeane pesa kwa ajili ya umbeya..saa uyo kapewa pesa na mwana familia ya uyo mengi ili mange asema...naye kasema kama alivyo ambiwa
Kiukweri tuwe na ustaarabu kwenye vifo vya watu..... RIP mzee mengi I'll umeacha mengi Kama jina lako haswa kwa huyu dada mchaafu asie yajua ya kwake
Kiukweri mzeee mengi tyri alikua na umri mkubwa sana mm siamin katika Hilo embu muacheni apumzike asee
ulijuaje???..........🤔🤔🤔🤔
kama kweli atajuta cku ikifika
Mmmh mage unayaweza kufatilia mambo ya watu sijuw na ww siku ukifa itakuaje
Huyu yake yanamshinda kazi kuyasema ya wenzake
Ndo mana nawaita waandsh uchwara hamna kaz mnaoyafanya mnasubiri umbea wa kutoka kwa mpumbavu mmoja asiye na maana fanyen ya kwenu we ulshawaza ukifa utaandkwaje,,,kutwa kumnanga mtu asyekula hata pilipili yenu
Ina lazima gani kuchanganya kiswahili ns kiingreza?
Mshenzi kabisa bint mdongo kuplewa nababake unaona Ss alicho Fanya huyu Malay wa kibongo
huyo Hussein anamke na watoto atamuoaje jack acha mpuuzi, na dini je
Huyo mwislam anaoa hata 4
kweli ndoa nying skuiz ni uwanja wa muvi,tunamuhtaj mungu zaid ya PESA, r.i.p malipo hapahapa ukimwaga mboga wenzio wanamwaga ugali
Kimambi mtandao utakushinda unapo elekea
Apo nikweli
Jasho la mtu haliliki..Awe ameenda na uhaki,ila kukiwa na mkono wa mtu..mtajibiwa tuu...tuyapatieni Muda. .watajileta yenyewe..Rip
Kila nafs itaonja umauti
FAMILY YA MENGI KWA NINI MSICHUKUE ATUA KALI JUU YA HUYO JAK?MUUWAJI SANA HUYO DADA AMETUULIA BABA YETU MENGI.
Wafanye posmotam ifanyike
Gereson Ochieng kweli
Ni dhbi kubwa sana kumtuhumu mtu kwa ishu Yeye mahusiano ya kimungu. Ivi ni kweli kwamba mange ndiye rada ya Tanzania? Coz matukio mengi huwa wa kwanza kuripoti. Mtazamo wangu ni kwamba anamuonea wovu mjane wa Mzee Mengi, hivyo anataka kumchonganisha na Familia
😀😀😀 humjui Mange, tafuta profile yake. Huwa hakurupuki
Mmh waachie wenyewe wachunguze.
Msenge tu uyo mange kila maisha ya mtu anajua kwani yeye google au?
??????? Like
Najiuliza anajiamini nini huyu Dada mange kutowa taarifa kma hizi
Jua kuna mwana familia kampa tarifa asema..na pengine katumiwa za kusemea..(i mean money)
Kukaa nje kunakupa ujasiri wa kuishi na kujiamini mwaya. Nyumbani bado sana. Nje unaongea lolote usivunje tu sheria
@@ilovejesus9303 subiri yajao dear
Kama ni kwel na ww mwanamke ulaniwe
Unajua haya yangesemwa kabla