Grew up listening to this song in our home because mum loved it so much.. it gives me teary eyes. God bless you abundantly ❤️. 09/04/2023 someone to like my comment so I can come back to this beautiful song.. 🥹
Leo nimeamka asubuhi nimejikuta nauimba tu huu wimbo japo sikumbuki ni wa nani maana enzi hizo nilikuwa nausikilizaga tu kwenye redio za mbao jumapili ❤ Asante Mungu nimeupata na nilisach tu "hakuna kweli hakuna"
it's MAY 2024, I still listen to this song, remember back to 2003 niliimba hiyo part ya ALIZALIWA KWA TABU 🤣🤣 my father slap me and ask me who told you ALIZALIWA coz we used to know watoto wanaletwa na ndege/helicopter 🤣🤣
The Holy Spiritual was in control of the making of this song …ever since I was in primary school up to now married with 2 blessed children 🥰…only Jesus Christ was,is and forever more…Bado cjapata a song to compare with this🏅🏆🥇
Kweli hakuna, na wala hatawai kuwepo kama huyu Yesu. Na Jina lake likapewe sifa na utukufu...May God bless you people.. Can't get enough of your songs.
Napendaga Sana hizi nyimbo za wakristo,Tena nyingine zinanitoaga machozi kwa hisia ingawa mm Ni mwislamu Ila nashindwa kuelewa pale wanapomwita Yesu Mungu,daah
Growing up to this was the best thing ever. Thanks to my beautiful sister Gertrude who used to bring me some video tapes of these songs together with Rose Muhando from her trips to Tanzania 🇹🇿
Yesu ni mfalme wa wafalme. Yesu ni Mungu. Yesu ni uzima wa milele. Jmn tumtafute kwa bidii sana huyu Yesu jmn hadi machozi sasa yanitoka. Anasema yeye anitafutaye hatakwenda gizani kwamwe bali atakuwa na nuru ya uzima. Heb soma vizuri Yohana8:12. Bwana Yesu nakupenda, niokoe na dhambi za ulimwengu huu, ili niwe na nuru ya uzima wa milele. Amen.
Huu wimbo mimi mpaka leo naukubali. Ninashauri waurudie upya kwenye upande wa uvaaji yaani sale na kucheza wacheze upya kisasa zaidi ila wimbo usirudiwe chochote ubaki hivyo hivyo. Dada anaimba balaa sauti kama ya kimobitel aliyeimba wimbo wa mgumba part 2 enzi za mchinga sound. Wapiga vyombo nao dah!mbarikiwe sana watumishi.
wakiurudia utakuwa mbaya.Hivi hivi ndio mzuri.Mungu aliachilia utukufu wake kwa namna hii,wakijiongeza kivingne hizo n akili zao na unaweza usiwe mzuri tena
The anointing in this song from my days when I lived in Tanzania pale Tangi Mbovu in 2006 is still fresh. Where is this singer and her team? I now run a ministry in Nairobi City Centre, Kenya called Christ Intervention Ministries
This songs has blessed me a lot na nasema tena hakuna mwanaume kama Yesu , essence of worship cover brought me here and the song filled me with holy spirit
2024 still listening, inanikumbusha back on those days nikiwa young 2008, like kama bado unaiskiliza
Mimi niliucheza sana miaka hiyo kila harusi mnaucheza😂😂
unapokua ndani ya Mungu wakati wako ukipita ni kifo wanaomuabudu Mungu haw
apitwi na wakati
Ghafla mejikuta kutafuta huu wimbo! Niligombana na wapangaji kisa sauti
Mi adi sasa bado naisikiliza
@@kibasamohamedi8029😅 kipindi ya zile Kanda kubwa VHS. Mimi nilikuwa nausikia Toka nafkiri 2004
Essence of Worship cover brought me here.Kweli hakuna mwanaume kama Yesu
me too
And me
Me too
Same here
❤Same here
Grew up listening to this song in our home because mum loved it so much.. it gives me teary eyes. God bless you abundantly ❤️. 09/04/2023 someone to like my comment so I can come back to this beautiful song.. 🥹
wonderful story 👌
LOVE you so much Forever. No what!!💋👏👏👏👍💖💖💖
❤❤❤❤ with you
Wimbo unanikosha sana roho yangu kama nawew unaangalia mwaka 2020 gonga like tujuane
Saf
I never get tired of listen your songs you are so blessed and even just the beautiful blessed voices mmmmm
2024
Wimbo mtam sana kama unasikiliza 2024 gonga like hapa❤
There shall be none like Him. I am here in 2023
I am here in April 2024. It's still my favourite. ❤
2024 still powerful❤🔥
Hii nyimbo ukiisikiliza utadhani imetoka Jana, Dah mungu in mwema sana
Hakika
Kweli kabisa
2024 ukisikia nyimbo za injili ndo hizi Sasa 🙏
Leo nimeamka asubuhi nimejikuta nauimba tu huu wimbo japo sikumbuki ni wa nani maana enzi hizo nilikuwa nausikilizaga tu kwenye redio za mbao jumapili ❤
Asante Mungu nimeupata na nilisach tu "hakuna kweli hakuna"
Kuna nyimbo hazijawahi kuchuja jamani dah...God bless u abundantly 🙏🙏
it's MAY 2024, I still listen to this song, remember back to 2003 niliimba hiyo part ya ALIZALIWA KWA TABU 🤣🤣 my father slap me and ask me who told you ALIZALIWA coz we used to know watoto wanaletwa na ndege/helicopter 🤣🤣
Nakumbuka kipindi mdgo izi nyimbo zilikuwa zinapigwa sana kwetu msimu wa christmas 🥰
Yaan kama kwetu wakati nakua kila siku lazima wimbo huu upigwe enzi hizo zinatumika redio za kanda
2023 still powerful.....ila wapiga vyombo Hawa sijui walienda wap aiseee. Mungu awabariki
nyimbo nzuri Sana kwakweli kijitonyama yà kipindi icho ilikua atar Sana
walitisha sana
The Holy Spiritual was in control of the making of this song …ever since I was in primary school up to now married with 2 blessed children 🥰…only Jesus Christ was,is and forever more…Bado cjapata a song to compare with this🏅🏆🥇
This song never gets old.
The arrangement is on point.
The vocals aaah on point, everything is on point.
God bless you Kijito.
kumbuka hii
"alizaliwa kwa tabu yeye,kwa sababu walitaka kumuangamiza, hawakujua kua yeye ni MUNGU walidhani ni mtu wa kawaida"
dah! jamani kuna mda unasikiliza nyimbo mpaka unalia uwiiiì sina lakusema asanteni wanakijitonyama mbarikiwe👏💝💗💖💞
Jennifer Mwakibete daaaah we acha tyuu zamani kuliwa kuna nyimbo na hizi nyimbo ukisikiliza unaweza sema unamdhurumu Mungu
@@loitolaisser3040 duh hata mimi roho imeniuma Ni kama walimtukuza Mungu vizuri sana ila thamani yao haionekani
Hao jamaa wanapiga gitaa mbaka gita zenyewe zinashangaa! Mungu awabariki sana. 2020 bado nabarikiwa na hii nyimbo. Mungu awape maitaji ya mioyo yenu
Gitaa zilipigwa hadi nmependa 🙌🙌
Amen
Haha
2023❤
Hatari ogopa
Hadi leo bado inanibariki sana may 2024 -haiwez kuchuja hii nyimbo milele
humu duniani nimepita sijaona Mwanaume kama Yesu hakika MUNGU Baba ahimidiwe milele wimbo unaujumbe mzuri mno,💯
Kijitonyama uinjilisti🙌🙌
2024 and we are still blessed with this song ❤
Leave a like if essence of worship brought you here with the cover so that I can always come back and be blessed.
02.06.2024❤❤❤
Huu mwimbo unanibariki 2024
Kweli hakuna, na wala hatawai kuwepo kama huyu Yesu. Na Jina lake likapewe sifa na utukufu...May God bless you people.. Can't get enough of your songs.
Mungu akutunze, ili uwe mfano wa sifa kwa Mungu👏
Q
T
Kitambo sana, huwa sichoki kuiskiliza hii nyimbo mungu awabariki watumishi wa mungu🙏
2020 gonga apa nani mwngne..
Hakuna kapisa mbarikiwe mungu azidi kuwainua.
Master J aliutendea haki sana huu Wimbo! Big up sana kwake, kwa wapiga vyombo na kwa waimbaji wote wa Wimbo huu!!
Hakika
Sanaaa
Abarikiwee
This song jamn🙌🙌🙌hii nyimbo huwa inanibariki jamn ni nzuriii🔥🔥🔥🙌🙌🙌❤️❤️🙏🙏🙏
Bwana Yesu awabariki sana, wimbo mtamu sana.
Courtesy of essence of worship cover,,,big up kijitonyama,,,tuning from kenya
Napendaga Sana hizi nyimbo za wakristo,Tena nyingine zinanitoaga machozi kwa hisia ingawa mm Ni mwislamu Ila nashindwa kuelewa pale wanapomwita Yesu Mungu,daah
Nyimbo nzuri sana hiz hadi raha🙌🏿
AMINA AHSANTE BWANA YESU 🙏🙏🙏🙏
kweli hakuna mwanaume kama Yesu i love this song since i was young
Growing up to this was the best thing ever. Thanks to my beautiful sister Gertrude who used to bring me some video tapes of these songs together with Rose Muhando from her trips to Tanzania 🇹🇿
Essence of Worship has made me search for this song. God bless you Kijitonyama Choir.
Yesu ni mfalme wa wafalme. Yesu ni Mungu. Yesu ni uzima wa milele. Jmn tumtafute kwa bidii sana huyu Yesu jmn hadi machozi sasa yanitoka. Anasema yeye anitafutaye hatakwenda gizani kwamwe bali atakuwa na nuru ya uzima. Heb soma vizuri Yohana8:12. Bwana Yesu nakupenda, niokoe na dhambi za ulimwengu huu, ili niwe na nuru ya uzima wa milele. Amen.
Hakika huu Wimbo nmekua nayo nafikir nitakufa nao piaaaaa ..... Walikua smart sanaaaaa
Hata Mimi kaka
Hakuna Kama Yesu ataujisifu vp yy ndie mshind wetu#gonga like weeeee 2020 upendo tu
ninapata faraja sana ninapokuwa nasikiliza wimbo huu amina
Tujuane tunaosikiliza wimbo huu mwishoni mwa 2022
Barikiwa sana🙏🙏🙏
Who's still watching this song in 2018 through 2020 never expired I am here first God bless you group I am still blessing by this beautiful song
still my favorite song off all time
I still
This gospel music is so Blessing ,,there is no way I can't watch it
if God with us who can against us I loveJesus me🤣
Ale Mkandi be blessing with me together
Hawakujua kama Yesu ni Mungu walidhan ni mtu wa kawaida
I love this verse
Barikiwa
25/08/2022 still listen to this wonderful and powerful song🙏🙏
Nipo home nabarikiwa sana na hii nyimbo2023
Jesus is alive for sure
♥️
Nikweli hakuna Mwanaume kama Bwana Yesu kristo mbarikiwe Wana wa Mungu
Yan ni Hakuna kabisaa milele. Imeishaa iyoo
Huu wimbo mimi mpaka leo naukubali. Ninashauri waurudie upya kwenye upande wa uvaaji yaani sale na kucheza wacheze upya kisasa zaidi ila wimbo usirudiwe chochote ubaki hivyo hivyo. Dada anaimba balaa sauti kama ya kimobitel aliyeimba wimbo wa mgumba part 2 enzi za mchinga sound. Wapiga vyombo nao dah!mbarikiwe sana watumishi.
Jamani wewe Tedy waziri yupi mtoto wa Daniela Gama.???
wakiurudia utakuwa mbaya.Hivi hivi ndio mzuri.Mungu aliachilia utukufu wake kwa namna hii,wakijiongeza kivingne hizo n akili zao na unaweza usiwe mzuri tena
Hayo mavazi ya kiroho kabisa ila ya wanaume ndo ya kiroho zaidi
Original ni original tu... Ukirudiw utapoteza uhalisia wa mwanzo
❤Thank you these are the golden songs congregation sings and see ourselves lifted to heaven ❤
Jamani Tanzania tumebarikiwa sanaa tuache dhambi kukataa ndoa za jinsia moja tufanye kazi ya Mungu
Kweli kabisa dada yangu.
Thanks to essence of worship...am here😇
The anointing in this song from my days when I lived in Tanzania pale Tangi Mbovu in 2006 is still fresh. Where is this singer and her team? I now run a ministry in Nairobi City Centre, Kenya called Christ Intervention Ministries
Huu wimbo unanikumbusha ubarikio wangu 2005 Moshi tuliicheza sanaa ..daah unànibarikiri sanaa ....!
Amen
Essence of worship
Wamefanya nije hukuu
Kweli yaan hakuna na hatakuja kutokea mwingine Kama yesu
It is gitar for me wow.....2022 who else is also listening to this masterpiece
I am here 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Dah,vinanda vilikuwa vinawatii watumishi, what a smooth melody❤
hakuna mwanaume kama yesu
Mwalimu wa walimu,ushukuriwe Mungu
Yesu ni mwanaume jaman
Acheni tu
Wimbo mziri sana .kweli hakuna aliye kama yesu
This songs has blessed me a lot na nasema tena hakuna mwanaume kama Yesu , essence of worship cover brought me here and the song filled me with holy spirit
2023 bado nabarikiwa Na Huu wimbo ❤❤❤❤
Hakuna aliye mwanaume Kama Yesu kweli Hakuna,, Amen
Hii wimbo mnanikumbusha Aunty Tusajo alivyo funga ndoa mkanda wake wa Arusi ulikuwa unaimba wimbo huu naye alikuwa analia ukiimbwa Mbarikiwe sana
Nami nakumbuka Harusi ya mdogo wangu Elibariki na Pendo
mbarikiw n mung awape nguv zaid nawapenda pendo hap kutok Kenya ruthalani makup
Wapo vizuri
hakuna kabisa
Bwana Yesu Kristo hakuna aliye kama wewe pokea sifa utukufu na shetani hakika umenitendea makuu. Mungu Baba asante kunipa Yesu Kristo.
Dah merudi 2024/ may/17! Saa 11 asubuh mejikuta nakumbuka zamani
Kila nikisikiliza huu wimbo lazima nilie😭😭😭😭
Jamani mimi kwa hapa bado sijaupata uliovunja hii rekodi,Mungu azidi kuwabariki watumishi wa uinjilsti maana tunamuona Mungu kupitia uinjilisti wenu.
essence of worship covering this song is something else,,glory to God jameni
Mkesha wa kuingia mwaka mpya wa 2023 nausikiliza
ubarikiwe Dada Oliver
Mimi nausikiliza hapa muda huu
Hakikaa hakunaa Kama YESU mbarikiwe sanaaaa
Barikiwa sanaaa
🙏🏼🙏🏼🙏🏼2009 mikalanga sc
2022 still watching
Hakuna aliye mwanaume kama Yesu
2023 bdo mzgo wa 🔥
CZcams wako juu wametusaidia kutunza mambo meng sana
mbarikiwe sana kwa huduma nzuri,huu wimbo sijui ni mwaka gani lakini kipindi nakua nausikia hadi sasa
Wimbo huu unanibariki sana
Hallelujah powerful and more grace
Akuna tena akuna.Tumsifu kwa vinibu
one of the best songs, the solo team did justice to this beatiful song.
2024 Stiil hav POWER you guys are AMAIZING
2023 ( August). 🎉 anyone?
Enzi hizo mlikuwa wengi saaa hivi wanaesabika..
you will never find many Guitar 🎸 specialist like these guys.. asanteeee
Nzurii sana hii nyimbo na inanikumbushaa mbali sana
Kijitonyama Uinjilisti Choir . Bwana Yesu asifiwe
Kwakweli wimbo huu unanibariki mpaka machozi yaani,dah
kwa kweli sijaona mwanaume Kama Yesu
Nyimbo nzuri sana mbarikiwe muendelee kumtukuza bwana
Kwenye maharusi
Jina la Yesu lipewe sifs. Kwani yeye pekeyake snayeweza kuponya maisha ya binadsmu
Through essence of worship am here..