Salama Na SUGU Ep 50 | UJIO WA UMRI PART 2
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
CZcams Link bit.ly/CZcamsS...
Turudi nyuma mwaka 1999 wakati nilipomaliza kidato cha nne kwahiyo nilikua sina mitkasi mingi zaidi ya kumkimbia Mama inapofika mchana ili niende kucheza zangu basketball pale Msasani kiwanja cha Pazi. Nlikua natokea zangu Mbagala Charambe nachukua zangu basi mappa Mbagala Rangi tatu then muunganisho unaendelea mpaka nafika zangu mazoezini, nilifanya urafiki na makonda na madereva weeengi kiasi kwamba nilikua ‘staff’ kwenye daladala nyingi, na huwezi kuamini nyingi pia nilikua nikiingia basi radio nlikua namiliki MIMI. Station gani tunaskiliza au tape gani tunaweka ili safari inoge na muziki. Nakumbuka jinsi ambavyo Sugu alikua anaikosha, anakosha nafsi yangu na ya abiria wote ambao walikua wanasafiri nasi basi moja. Chini ya miaka 18 ilikua inaongea na mimi haswam inanifanya nisitake kuwa yule binti ambale Sugu alikua namuongelea ASILAN! Mikononi mwa Polisi… Album kali kama Nje ya Bongo, Millenium, Muziki na Maisha zilifuata na wakati hizi nyengine zinatoka nami tayari nilishaacha kumtia wasiwasi Mama yangu wa kurudi nyumbani usiku na kuwa DJ wa muda ndani ya Daladala za Mbagala Posta au Mbagala Kariakoo na kuweza kupata kazi yangu ya kwanza pale Times FM kabla sijajiunga na EA Radio na TV.
Mapenzi yangu kwa Sugu na muziki wake yako wazi na naamini na yeye anajua maana huwa namuambia kila tunapokutana, pia napenda kuwa around na yeye maana confidence yake ni kitu cha kujifunza. Haogopi, anajiamini na uthubutu wake katika mambo yake mengi ni jambo ambalo wengi wetu tunajifunza sana kutoka kwake. Kuanzia jinsi alivyokua anajibeba, mapinduzi ya uandishi na muziki ambayo amefanya na anaendelea kufanya mpaka leo hii ni kitu ambacho kama utakua unamfuatilia kwa karibu basi utakua huna la kufanya zaidi ya kupenda jinsi anavyofanya mambo yake.
Siku zote nimekua nikitaka saaana kufanya nae interview lakini kama tujuavyo, Mungu ndo mpangaji wa yote na round hii ilikua ndo wakati muafaka. Nilimcheki naye akakiambia kwamba Mimi ni mtu pekee ambaye angependa aongee naye so mengine yakawa historia tu.
Brother alikuja Dar es Salaam malum kabisa kwaajili ya kuongea na sisi na kwa hilo tunamshkuru sana. Mambo ya kisiasa yalikua sio focus yetu hata kidogo na badala yake tulitaka kumfahamu yeye zaidi na pengine mmoja anaweza kujifunza kwa kufuatilia tu nyenendo zake kwenye mitandao.
Kaka alishawahi kwenda jela, amempoteza Mama yake kipenzi pia muda si mrefu baada ya yeye kutoka. Sisi tuliongea naye kuhusu mapenzi yake na Mama yake kipenzi Desderia ambaye hata jina la hoteli yake ameipa jina la Mama yake. Nilitaka kujua ukaribu wao huo ulitokana na nini, jinsi ambavyo Mama alimpa support kipindi hicho ambacho muziki ulikua unaonekana kama uhuni tu. Maoni yake kwenye masuala mbali mbali na kuhusu urafiki na mafanikio. Pia nilitaka kujua historia yake ya muziki na njia alizowahi kupita. Mambo mengine ni kuhusu suala la yeye kuwa Baba na mapenzi kwa ujumla.
Yangu matumaini una enjoy maongezi haya na Kaka mkubwa na pia confidence yake kwenye masala mbalimbali itakufanya pia ujibebe kuelekea mbele!
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
“Baba alipofariki ilibidi niache shule ili kumtunza mama na kuhakikisha wadogo zng wanasoma” Sugu kwenye wimbo wa HAYAKUWA MAPENZI
Bonge ya track ile
Nawaza sana nna miaka 24 saiz lakini namiliki GPA tu. Lakin kuna ma genius waliishia form4 nawamefanya mambo makubwa kwa taifa. #respect kwa sugu #respect kwa salama
The time is not right, Always usikate tamaa. Believe in your self you will make it in life.
Shule sio kila kitu, fanya vitu unavopenda mwana kila kitu kitakaa kwenye mstari,
Hii interview nime-enjoy Sana....Unaelimika lakini at the same time unacheka...big up Sana kwa Sugu...THE LEGEND
Nimekuwa mlinzi BP nikaacha uza madawa nisiende gerezani ingawa sasa hivi nafanya kitu legit na nimeenda gerezani Godamit
Mucheki jiva ana ngoma kali
Katika watu magenius kwenye Nchi hii huyu jamaa Ni hatari sanaaaa
Duuu Sugu pole sana.Nakunukuu.nimejitahidi sana kutokufanya mambo yasiyo halali ili nisiende jela na bado nimefanya mambo halali na bado nimefungwa.Halafu kicheko hahahahaaaaa!
Nimependa sana hiyo
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Imenichomaaaa sana hiiii
Duh!! Hii interview ime nifurahisha na kunisikitisha sana kwa wakati mmoja. Btw one day yes CCM itaondoka na udhalimu wake woote.
Hakuna kama mama, wabarikiwe wamama wote kwa maombi yako,hakika yamekua baraka kwetu.Hata kama sie watoto hatuwaombei kama wao
Anyone who does everything from his heart is a hero, a creative generation with so much potential from interviews of this kind, Much appreciation to you Salama and thank you Sugu for life education. True education and civilization come from street life.
Nakubakaka
Mr. humble again humble papa sasha
Kiukweli tumepetezewa watu muhimu sana bungeni sababu ya ubabe wa kipuuzi kabisa.
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
walimuibia kura na ubabe ulikua mwingi na askari
Mungu yupo ila ni matter of time
This guy is an icon, he should be writing songs to current artists !
After JK interview Hii 💥
Salama you the best my sister
Bonge la interview. 🔥🔥 next time aje professor jay.
Nyie watangazaji chipukizi😀 salama ana maswali kwenye karatasi sio kwenye tablet mana inawezazima charge alaf akaanza kutoa maswali kichwan anayo kwenye karatasi na mali bila daftar huisha bila habari jifunzeni kuandika maswali sio mnauliza maswali kimihemuko yan unatoka home umepanga umuulize sugu swali hili ukimuona na miwan yake unasahau unamuuliza jingine kabisa jifunzeni kuandika. Lil ommy wakat yupo timez alikua anaandika interview zake zilikua zimetulia sikuiz tushampoteza tumebak na zamarad na salama basiiiii wote wanasoma maswali sio kujitia uchiz uchiz linalokuja ndo linatoka
Nimeangalia Sehemu Zote Kwanza Mpka Pili Hii Ni Interview Nzr Sana Na Yenye Mafunzo Kama Kpnd Chenyewe Kilivo Respect Sugu✌
Mwl ni mwl tu
I
Interview Hii Ni Elimu Tosha Never Give Up Mapambano Mpaka Dakika 90 Ikipidi Mpaka Extra Time Iliali Maisha Yawe Poa Never Lose Hope
Safi sana da salama na mweshimiwa wetu wa kudumu J Sugu, Mungu awabariki sana
Hela sio kila kitu ingawa ni muhimu sana...
~sugu 2020
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
100% true
Salama nakupenda sana kutoka Burundi✌kipindi cako hakinipitagi naokotaga mawili matatu yakujifunza ubarikiwe kipenzi👍💃
hiv burundi mnaongea Kiswahili au wewe ni mbongo
Dada mkuu naomba utuletee Adili chapakazi tafadhari sana nakuomba
Nakukubali sana kamanda Mr.2 (sUGU)
Mungu azidi kukupa AFYA imara kaka JONGWE(SUGU),Ni imani yangu kuwa wee bado ni "JIWE lile walilolikataa wahashi lakini ndio likaja kuwa JIWE kuu la MSINGI"
Moja ya interview bora kabisa toka hiki kipindi kimeanza, asante Sugu, nimejifunza mengi kupitia hii interview, Mungu akubariki
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
salute you my role model
This is superb🗣️💪💪💪Keep good job alive Sugu; You're the best man
Sugu Mungu akubariki na kukutunza pamoja na familia yako mpk kizazi chako cha 4
Salute bro miaka buku from
Mbalizi
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Sugu nakuelewa Sana👏
No retreat,No surrender""among the best interview in 2021""suguuuuuu
No retreat ✅
@@mackjr5291 bravooo
@@mackjr5291 typing error with our phones
Du inafikirisha sana,Hongera sana bro.Salma hongera sana kwa kipindi kizuri.
Like serious hii ni miongoni mwa interview bora zaidi mwiongoni mwa interview nilizobahatika kuzitama jah bless you people 🔥🔥🔥
Daaaah Madini kama yote
Bonge la interview na master of bongo fleva. Majina ya Joseph ukiyatazama kwa jicho la ndani zaidi utaona Hua yanavitu very special. Most of them are hard workers. Nimejifunza mengi ila pendekezo langu umlete pr J
Sugu nampata Sana brother yko vzr
Nakubali
That's is it brother....
Pave the way!
Salute 💪
Sugu km Sugu big up❤❤❤
Sugu uko vizuri sana.
The guy looks like
Bobby Brown
Katika interview nilizoangalia this one was incredibly interesting I loved it the most, those are gud but this was so sweet
Nafurahia kazi yako mungu akuweke uzidi kutuletea vizuri zaidi
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Kabisa Mr Mono, jamaa mwamba sana huyu
successful with that gangsta like lifestyle gademit...so inspiring!🔥🔥
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Nakuelewa sana sugu
Akili kubwa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️
Akili 💯 asili💯
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Dada ramla
@@nammanjeanafi9002 dada yako Kwa nani 🤔🤔
Hahahha,
NASKIA RAP TU, MR SUGUUU 🙌🙌
Pamoja kamanda sugu
Rudi kwenye game Mr Sugu
Salama congratulations for your job👍salute
Dah wanambeya mmeporwa mbunge dah
Hii kubwa kuliko
Dah maneno yako zaidi ya madini
dah nimedaka hiyo unafanya vitu halali bado unaenda jela 😃😂😄
Kubwa sana hii😁
Sugu Asante sana.... madini tupu
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Respect to #Jongwe the OG
Salama nakubali sana the way your hamble, this show always make youngs as i do to realize that every husling has its beggin ...no matter how many challenges we pass through we expect the best ahead ..by role models
Wakati mwingne unaweza kuepuka kutenda maovu usiishie gerezani ila mwisho wasiku ukawekwa gerezani kwa kinyume na haki
Show mzur
Nouma sana bonge la interview
Father of hip hop
Hongera kamanda Sugu
baba alivuta kamba😄😄😄😄😄😄
Nimependa sana brother nimemuelewa, sister Salama iko poa sanasana kabisa
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Safi salama
Salama unaongea na gangsta rap
Respect brother. Got you..
Ukiwa na Black label mezani unajibu asante
👑
I always appreciate u broo
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Naumia saana kuwakosa awa katika mchango wamawazo yakuongoza nchi naumia saana hawa watu muhimu saana japo kuwa kila mmoja anaumuhimu wake ila hawa watu nimuhimu katika nchi
🙌
Sauti ya simbaaa respect
Madini mengi sana🤟
Sugu.
Je umeagiza GARI 🚘🚗nje ya nchi na unahitaji huduma ya clearance ya gari lako( Clearing & Forwarding ) kwa uharaka na BEI NAFUU ila unawaza Clearing Agent ⚓️🚢gani atalitimiza Hilo? Basi ondoa shaka na karibu nikuhudumie. Tazama baadhi ya bei zangu za kutoa magari bandarini 🚢Dar Es Salaam (Local) aina ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. Kama aina ya gari uliyoagiza haipo kwenye orodha usisite kuniuliza📞Pia wateja wa mizigo ya AIRPORT 🛫/ CONTAINER & MAGARI🚗 yanayokwenda nje ya nchi ( TRANST ) mnakaribishwa.....
------------------
Kwa wateja waishio Dar Es Salaam utafikishiwa gari lako mpaka ulipo BURE na kwa wateja wa mkoani utalipia gharama ya Dereva kutokana na umbali uliopo kutokea Dar Es Salaam kama ukihitaji kusafirishiwa,
Asante
1: IST old - 850,000/=
2: HARRIER New-1,000,000/=
3: HARRIER Old-950,000/=
4: RAV 4 - 950,000/=
5: RAUM - 850,000/=
6: SPACIO - 850,000/=
7: PASSO - 800,000/=
8: VITZ - 800,000/=
9: PREMIO - 850,000/=
10: ALTEZA - 850,000/=
11: SUBARU - 850,000/=
12: CARINA - 850,000/=
----------------------------------------
Gharama hizi zinahusisha malipo ya
1: Port Charges
2: Shipping Line
3: Walfage
4: Agent Fee
5: Plate no
----------------------------------------
☎️DM/Piga/Text 0653953900 / 0742996876
☎️Whatsapp +255 653953900
📧 Email: charlessabikazi@gmail.com
Instagram@mr_sabyy
🏢Company: Mofaz movers
📍Location: PSSSF Tower, Samora Avenue
Dar es salaam, Tanzania
*NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE
*NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏
*NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA 🇨🇳 NI BURE🙏
Mbunge wa mbeya mjini 😘
Ni bora pia
Real life
conscious jongwe
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
I like this...
Ukosawa sugu
Kaka Mkubwa, Big up sana Mkuu
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Nice
Najifunza mengi kupitia hii interview
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Jongweeeee
👍
Next time tunamwomba Mbowe
#TAITA#SUGU
Kwa heshima ya Kipindi cha LEO SIJASKIP TANGAZO HATA MOJA KIPINDI KIZUR MTU MAKINI MWENYE INSPIRATION
sugu alitoboa tena 2020 walituibia kura
Akili nyingi sanaaa kaka
Nakupenda sana sana sugu
Wazaz anzeni kufundisha watoto plan b shule sio maisha wafanye nin yan jitu lina masters hata kopo lachoon halina yan anangoja kiinua mgongo miaka 60
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Tuletee Pro Jay
Nime Enjoy knyama
daaah mungu akupe maisha malefu suguuu
marefu sio malefu
Tuletee MASOUD KIPANYA
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Haswaaa
Naunga mkono hoja
Nazani hii ndio show kari zaidi tukiacha na ile ya mhe JK
Yah nzur sana hata ya idris ilikua nzur
Bonge la show, respect to you bro #Sugu
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Hatuon part one kulikon
Enjoy this one, Salama has a smile Matata
Ipo sana angalia vzr kwenye ukurasa wao au ukiwa watizama hii tu ya kwanza lazma utaiyona
Mr 2PROUD
Respect
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html