Salama Na SUGU Ep 50 | UJIO WA UMRI PART 2

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
    Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪CZcams Link bit.ly/CZcamsS...
    Turudi nyuma mwaka 1999 wakati nilipomaliza kidato cha nne kwahiyo nilikua sina mitkasi mingi zaidi ya kumkimbia Mama inapofika mchana ili niende kucheza zangu basketball pale Msasani kiwanja cha Pazi. Nlikua natokea zangu Mbagala Charambe nachukua zangu basi mappa Mbagala Rangi tatu then muunganisho unaendelea mpaka nafika zangu mazoezini, nilifanya urafiki na makonda na madereva weeengi kiasi kwamba nilikua ‘staff’ kwenye daladala nyingi, na huwezi kuamini nyingi pia nilikua nikiingia basi radio nlikua namiliki MIMI. Station gani tunaskiliza au tape gani tunaweka ili safari inoge na muziki. Nakumbuka jinsi ambavyo Sugu alikua anaikosha, anakosha nafsi yangu na ya abiria wote ambao walikua wanasafiri nasi basi moja. Chini ya miaka 18 ilikua inaongea na mimi haswam inanifanya nisitake kuwa yule binti ambale Sugu alikua namuongelea ASILAN! Mikononi mwa Polisi… Album kali kama Nje ya Bongo, Millenium, Muziki na Maisha zilifuata na wakati hizi nyengine zinatoka nami tayari nilishaacha kumtia wasiwasi Mama yangu wa kurudi nyumbani usiku na kuwa DJ wa muda ndani ya Daladala za Mbagala Posta au Mbagala Kariakoo na kuweza kupata kazi yangu ya kwanza pale Times FM kabla sijajiunga na EA Radio na TV.
    Mapenzi yangu kwa Sugu na muziki wake yako wazi na naamini na yeye anajua maana huwa namuambia kila tunapokutana, pia napenda kuwa around na yeye maana confidence yake ni kitu cha kujifunza. Haogopi, anajiamini na uthubutu wake katika mambo yake mengi ni jambo ambalo wengi wetu tunajifunza sana kutoka kwake. Kuanzia jinsi alivyokua anajibeba, mapinduzi ya uandishi na muziki ambayo amefanya na anaendelea kufanya mpaka leo hii ni kitu ambacho kama utakua unamfuatilia kwa karibu basi utakua huna la kufanya zaidi ya kupenda jinsi anavyofanya mambo yake.
    Siku zote nimekua nikitaka saaana kufanya nae interview lakini kama tujuavyo, Mungu ndo mpangaji wa yote na round hii ilikua ndo wakati muafaka. Nilimcheki naye akakiambia kwamba Mimi ni mtu pekee ambaye angependa aongee naye so mengine yakawa historia tu.
    Brother alikuja Dar es Salaam malum kabisa kwaajili ya kuongea na sisi na kwa hilo tunamshkuru sana. Mambo ya kisiasa yalikua sio focus yetu hata kidogo na badala yake tulitaka kumfahamu yeye zaidi na pengine mmoja anaweza kujifunza kwa kufuatilia tu nyenendo zake kwenye mitandao.
    Kaka alishawahi kwenda jela, amempoteza Mama yake kipenzi pia muda si mrefu baada ya yeye kutoka. Sisi tuliongea naye kuhusu mapenzi yake na Mama yake kipenzi Desderia ambaye hata jina la hoteli yake ameipa jina la Mama yake. Nilitaka kujua ukaribu wao huo ulitokana na nini, jinsi ambavyo Mama alimpa support kipindi hicho ambacho muziki ulikua unaonekana kama uhuni tu. Maoni yake kwenye masuala mbali mbali na kuhusu urafiki na mafanikio. Pia nilitaka kujua historia yake ya muziki na njia alizowahi kupita. Mambo mengine ni kuhusu suala la yeye kuwa Baba na mapenzi kwa ujumla.
    Yangu matumaini una enjoy maongezi haya na Kaka mkubwa na pia confidence yake kwenye masala mbalimbali itakufanya pia ujibebe kuelekea mbele!
    Tafadhali enjoy.
    Love,
    Salama
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

Komentáře • 220

  • @lowkeybongo
    @lowkeybongo Před 3 lety +19

    “Baba alipofariki ilibidi niache shule ili kumtunza mama na kuhakikisha wadogo zng wanasoma” Sugu kwenye wimbo wa HAYAKUWA MAPENZI

  • @joshuanzunda5410
    @joshuanzunda5410 Před 3 lety +9

    Nawaza sana nna miaka 24 saiz lakini namiliki GPA tu. Lakin kuna ma genius waliishia form4 nawamefanya mambo makubwa kwa taifa. #respect kwa sugu #respect kwa salama

    • @albertlokoya7937
      @albertlokoya7937 Před 3 lety +2

      The time is not right, Always usikate tamaa. Believe in your self you will make it in life.

    • @gwanman1858
      @gwanman1858 Před 3 lety

      Shule sio kila kitu, fanya vitu unavopenda mwana kila kitu kitakaa kwenye mstari,

  • @franciswawino4051
    @franciswawino4051 Před 3 lety +7

    Hii interview nime-enjoy Sana....Unaelimika lakini at the same time unacheka...big up Sana kwa Sugu...THE LEGEND

  • @prudencemushi6948
    @prudencemushi6948 Před 3 lety +30

    Nimekuwa mlinzi BP nikaacha uza madawa nisiende gerezani ingawa sasa hivi nafanya kitu legit na nimeenda gerezani Godamit

  • @geofreyhezron39
    @geofreyhezron39 Před 3 lety +20

    Katika watu magenius kwenye Nchi hii huyu jamaa Ni hatari sanaaaa

  • @salummhina4857
    @salummhina4857 Před 3 lety +12

    Duuu Sugu pole sana.Nakunukuu.nimejitahidi sana kutokufanya mambo yasiyo halali ili nisiende jela na bado nimefanya mambo halali na bado nimefungwa.Halafu kicheko hahahahaaaaa!
    Nimependa sana hiyo

    • @nurukagina334
      @nurukagina334 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

    • @prudencemushi6948
      @prudencemushi6948 Před 3 lety +1

      Imenichomaaaa sana hiiii

  • @innocentmushi3036
    @innocentmushi3036 Před 3 lety +6

    Duh!! Hii interview ime nifurahisha na kunisikitisha sana kwa wakati mmoja. Btw one day yes CCM itaondoka na udhalimu wake woote.

  • @esterdanford5563
    @esterdanford5563 Před 3 lety +1

    Hakuna kama mama, wabarikiwe wamama wote kwa maombi yako,hakika yamekua baraka kwetu.Hata kama sie watoto hatuwaombei kama wao

  • @catherinelema6324
    @catherinelema6324 Před 3 lety +6

    Anyone who does everything from his heart is a hero, a creative generation with so much potential from interviews of this kind, Much appreciation to you Salama and thank you Sugu for life education. True education and civilization come from street life.

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 Před 3 lety +3

    Mr. humble again humble papa sasha

  • @dicksonsumbo6007
    @dicksonsumbo6007 Před 3 lety +18

    Kiukweli tumepetezewa watu muhimu sana bungeni sababu ya ubabe wa kipuuzi kabisa.

    • @nurukagina334
      @nurukagina334 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

    • @oscarmills0819
      @oscarmills0819 Před 3 lety

      walimuibia kura na ubabe ulikua mwingi na askari

    • @fulgence34
      @fulgence34 Před 3 lety

      Mungu yupo ila ni matter of time

  • @kennedymwagambo7197
    @kennedymwagambo7197 Před 3 lety +6

    This guy is an icon, he should be writing songs to current artists !

  • @carlosmzena548
    @carlosmzena548 Před 3 lety +5

    After JK interview Hii 💥
    Salama you the best my sister

  • @kelvinmaagi2120
    @kelvinmaagi2120 Před 3 lety +18

    Bonge la interview. 🔥🔥 next time aje professor jay.

  • @nurukhalifa9413
    @nurukhalifa9413 Před 3 lety +4

    Nyie watangazaji chipukizi😀 salama ana maswali kwenye karatasi sio kwenye tablet mana inawezazima charge alaf akaanza kutoa maswali kichwan anayo kwenye karatasi na mali bila daftar huisha bila habari jifunzeni kuandika maswali sio mnauliza maswali kimihemuko yan unatoka home umepanga umuulize sugu swali hili ukimuona na miwan yake unasahau unamuuliza jingine kabisa jifunzeni kuandika. Lil ommy wakat yupo timez alikua anaandika interview zake zilikua zimetulia sikuiz tushampoteza tumebak na zamarad na salama basiiiii wote wanasoma maswali sio kujitia uchiz uchiz linalokuja ndo linatoka

  • @ramadhaniabdi9530
    @ramadhaniabdi9530 Před 3 lety +19

    Nimeangalia Sehemu Zote Kwanza Mpka Pili Hii Ni Interview Nzr Sana Na Yenye Mafunzo Kama Kpnd Chenyewe Kilivo Respect Sugu✌

  • @panjumitindo1135
    @panjumitindo1135 Před 3 lety +4

    Interview Hii Ni Elimu Tosha Never Give Up Mapambano Mpaka Dakika 90 Ikipidi Mpaka Extra Time Iliali Maisha Yawe Poa Never Lose Hope

  • @joejosca7594
    @joejosca7594 Před 3 lety +2

    Safi sana da salama na mweshimiwa wetu wa kudumu J Sugu, Mungu awabariki sana

  • @elishaadolph6768
    @elishaadolph6768 Před 3 lety +10

    Hela sio kila kitu ingawa ni muhimu sana...
    ~sugu 2020

  • @Agnes-qq4np
    @Agnes-qq4np Před 3 lety +5

    Salama nakupenda sana kutoka Burundi✌kipindi cako hakinipitagi naokotaga mawili matatu yakujifunza ubarikiwe kipenzi👍💃

    • @fulgence34
      @fulgence34 Před 3 lety

      hiv burundi mnaongea Kiswahili au wewe ni mbongo

  • @mackjr5291
    @mackjr5291 Před 3 lety +3

    Dada mkuu naomba utuletee Adili chapakazi tafadhari sana nakuomba

  • @gavanashy3197
    @gavanashy3197 Před 3 lety +2

    Nakukubali sana kamanda Mr.2 (sUGU)

  • @farijimwangosi8202
    @farijimwangosi8202 Před 3 lety +1

    Mungu azidi kukupa AFYA imara kaka JONGWE(SUGU),Ni imani yangu kuwa wee bado ni "JIWE lile walilolikataa wahashi lakini ndio likaja kuwa JIWE kuu la MSINGI"

  • @catalanink174
    @catalanink174 Před 3 lety +6

    Moja ya interview bora kabisa toka hiki kipindi kimeanza, asante Sugu, nimejifunza mengi kupitia hii interview, Mungu akubariki

    • @nurukagina334
      @nurukagina334 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @wallesgeorge9854
    @wallesgeorge9854 Před 3 lety +4

    salute you my role model

  • @teddyklex6618
    @teddyklex6618 Před 3 lety +3

    This is superb🗣️💪💪💪Keep good job alive Sugu; You're the best man

  • @fulgence34
    @fulgence34 Před 3 lety +1

    Sugu Mungu akubariki na kukutunza pamoja na familia yako mpk kizazi chako cha 4

  • @eliudeliakayela9598
    @eliudeliakayela9598 Před 3 lety +7

    Salute bro miaka buku from
    Mbalizi

    • @nurukagina334
      @nurukagina334 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @jubilatemanase9050
    @jubilatemanase9050 Před 3 lety +4

    Sugu nakuelewa Sana👏

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 Před 3 lety +10

    No retreat,No surrender""among the best interview in 2021""suguuuuuu

  • @kitovasaidi6753
    @kitovasaidi6753 Před 3 lety +1

    Du inafikirisha sana,Hongera sana bro.Salma hongera sana kwa kipindi kizuri.

  • @juliusjustice9170
    @juliusjustice9170 Před 3 lety

    Like serious hii ni miongoni mwa interview bora zaidi mwiongoni mwa interview nilizobahatika kuzitama jah bless you people 🔥🔥🔥

  • @victoreleonardmdee9158
    @victoreleonardmdee9158 Před 3 lety +4

    Daaaah Madini kama yote

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 Před 3 lety +1

    Bonge la interview na master of bongo fleva. Majina ya Joseph ukiyatazama kwa jicho la ndani zaidi utaona Hua yanavitu very special. Most of them are hard workers. Nimejifunza mengi ila pendekezo langu umlete pr J

  • @danielmwanga5231
    @danielmwanga5231 Před 3 lety +2

    Sugu nampata Sana brother yko vzr

  • @apolnarymelkiory9534
    @apolnarymelkiory9534 Před 3 lety +2

    Nakubali

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 Před 3 lety +3

    That's is it brother....
    Pave the way!

  • @semdoweallyamiri6758
    @semdoweallyamiri6758 Před 3 lety +1

    Salute 💪

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 Před 3 lety +3

    Sugu km Sugu big up❤❤❤

  • @rabielulomi8607
    @rabielulomi8607 Před 3 lety +1

    Sugu uko vizuri sana.

  • @alex2ngaraza
    @alex2ngaraza Před 3 lety +2

    The guy looks like
    Bobby Brown

  • @hamisisalum2218
    @hamisisalum2218 Před 3 lety +9

    Katika interview nilizoangalia this one was incredibly interesting I loved it the most, those are gud but this was so sweet
    Nafurahia kazi yako mungu akuweke uzidi kutuletea vizuri zaidi

    • @nurukagina334
      @nurukagina334 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

    • @fadhilikasegese9379
      @fadhilikasegese9379 Před 3 lety

      Kabisa Mr Mono, jamaa mwamba sana huyu

  • @JastoLeleJnr
    @JastoLeleJnr Před 3 lety +4

    successful with that gangsta like lifestyle gademit...so inspiring!🔥🔥

    • @nurukagina334
      @nurukagina334 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @omaryntagala3740
    @omaryntagala3740 Před 3 lety +1

    Nakuelewa sana sugu

  • @ramlajuma1598
    @ramlajuma1598 Před 3 lety +9

    Akili kubwa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca Před 3 lety +2

    NASKIA RAP TU, MR SUGUUU 🙌🙌

  • @admaumsengi4230
    @admaumsengi4230 Před 3 lety

    Pamoja kamanda sugu

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 Před 3 lety +3

    Rudi kwenye game Mr Sugu

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety +1

    Salama congratulations for your job👍salute

  • @travellahmsafirihiphop5325

    Dah wanambeya mmeporwa mbunge dah

  • @SIMULIZIZONE
    @SIMULIZIZONE Před 3 lety +1

    Hii kubwa kuliko

  • @joelinko6632
    @joelinko6632 Před 3 lety

    Dah maneno yako zaidi ya madini

  • @isayaashangai1081
    @isayaashangai1081 Před 3 lety +2

    dah nimedaka hiyo unafanya vitu halali bado unaenda jela 😃😂😄

  • @huseinlymo2520
    @huseinlymo2520 Před 3 lety +1

    Kubwa sana hii😁

  • @davidheche839
    @davidheche839 Před 3 lety +1

    Sugu Asante sana.... madini tupu

    • @nurukagina334
      @nurukagina334 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @defxtro
    @defxtro Před 3 lety +3

    Respect to #Jongwe the OG

  • @zaburiminyali1627
    @zaburiminyali1627 Před 3 lety +1

    Salama nakubali sana the way your hamble, this show always make youngs as i do to realize that every husling has its beggin ...no matter how many challenges we pass through we expect the best ahead ..by role models

    • @zaburiminyali1627
      @zaburiminyali1627 Před 3 lety

      Wakati mwingne unaweza kuepuka kutenda maovu usiishie gerezani ila mwisho wasiku ukawekwa gerezani kwa kinyume na haki

    • @aronemmanuel6049
      @aronemmanuel6049 Před 3 lety +1

      Show mzur

  • @mosessimkoko9364
    @mosessimkoko9364 Před 3 lety +1

    Nouma sana bonge la interview

  • @kastorymalila1109
    @kastorymalila1109 Před 3 lety

    Father of hip hop

  • @amosgerald7763
    @amosgerald7763 Před 3 lety

    Hongera kamanda Sugu

  • @deomlope1648
    @deomlope1648 Před 3 lety +2

    baba alivuta kamba😄😄😄😄😄😄

  • @kukujuma1743
    @kukujuma1743 Před 3 lety +1

    Nimependa sana brother nimemuelewa, sister Salama iko poa sanasana kabisa

    • @nurukagina334
      @nurukagina334 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @johnmgohele2606
    @johnmgohele2606 Před 3 lety

    Safi salama

  • @ronniebertin3563
    @ronniebertin3563 Před rokem

    Salama unaongea na gangsta rap

  • @rafiki-wa-kweli2553
    @rafiki-wa-kweli2553 Před 3 lety

    Respect brother. Got you..

  • @josephatmadama9433
    @josephatmadama9433 Před 3 lety

    Ukiwa na Black label mezani unajibu asante

  • @pabloescober6709
    @pabloescober6709 Před 3 lety +1

    👑

  • @methodjm
    @methodjm Před 3 lety +2

    I always appreciate u broo

    • @nurukagina334
      @nurukagina334 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @gloxmax8388
    @gloxmax8388 Před 3 lety

    Naumia saana kuwakosa awa katika mchango wamawazo yakuongoza nchi naumia saana hawa watu muhimu saana japo kuwa kila mmoja anaumuhimu wake ila hawa watu nimuhimu katika nchi

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Před 3 lety +2

    🙌

  • @radhidimasambiro4620
    @radhidimasambiro4620 Před 3 lety +1

    Sauti ya simbaaa respect

  • @oscarchia4596
    @oscarchia4596 Před 3 lety

    Madini mengi sana🤟

  • @deogratiusclemencesimpito6052

    Sugu.

  • @MrSABYY
    @MrSABYY Před 3 lety

    Je umeagiza GARI 🚘🚗nje ya nchi na unahitaji huduma ya clearance ya gari lako( Clearing & Forwarding ) kwa uharaka na BEI NAFUU ila unawaza Clearing Agent ⚓️🚢gani atalitimiza Hilo? Basi ondoa shaka na karibu nikuhudumie. Tazama baadhi ya bei zangu za kutoa magari bandarini 🚢Dar Es Salaam (Local) aina ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. Kama aina ya gari uliyoagiza haipo kwenye orodha usisite kuniuliza📞Pia wateja wa mizigo ya AIRPORT 🛫/ CONTAINER & MAGARI🚗 yanayokwenda nje ya nchi ( TRANST ) mnakaribishwa.....
    ------------------
    Kwa wateja waishio Dar Es Salaam utafikishiwa gari lako mpaka ulipo BURE na kwa wateja wa mkoani utalipia gharama ya Dereva kutokana na umbali uliopo kutokea Dar Es Salaam kama ukihitaji kusafirishiwa,
    Asante
    1: IST old - 850,000/=
    2: HARRIER New-1,000,000/=
    3: HARRIER Old-950,000/=
    4: RAV 4 - 950,000/=
    5: RAUM - 850,000/=
    6: SPACIO - 850,000/=
    7: PASSO - 800,000/=
    8: VITZ - 800,000/=
    9: PREMIO - 850,000/=
    10: ALTEZA - 850,000/=
    11: SUBARU - 850,000/=
    12: CARINA - 850,000/=
    ----------------------------------------
    Gharama hizi zinahusisha malipo ya
    1: Port Charges
    2: Shipping Line
    3: Walfage
    4: Agent Fee
    5: Plate no
    ----------------------------------------
    ☎️DM/Piga/Text 0653953900 / 0742996876
    ☎️Whatsapp +255 653953900
    📧 Email: charlessabikazi@gmail.com
    Instagram@mr_sabyy
    🏢Company: Mofaz movers
    📍Location: PSSSF Tower, Samora Avenue
    Dar es salaam, Tanzania
    *NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE
    *NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏
    *NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA 🇨🇳 NI BURE🙏

  • @kudrachristopher5622
    @kudrachristopher5622 Před 3 lety

    Mbunge wa mbeya mjini 😘

  • @imanimangwala4563
    @imanimangwala4563 Před 3 lety

    Ni bora pia

  • @fredrickstephano304
    @fredrickstephano304 Před 3 lety

    Real life

  • @luganonipokee7932
    @luganonipokee7932 Před 3 lety +6

    conscious jongwe

    • @nurukagina334
      @nurukagina334 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @esiliarthurmwaisango9146

    I like this...

  • @msaflijemus3318
    @msaflijemus3318 Před 3 lety

    Ukosawa sugu

  • @boscomfundo7953
    @boscomfundo7953 Před 3 lety +1

    Kaka Mkubwa, Big up sana Mkuu

    • @nurukagina334
      @nurukagina334 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @christophercolombe8857
    @christophercolombe8857 Před 3 lety +3

    Nice

  • @daudimatelot9339
    @daudimatelot9339 Před 3 lety +1

    Najifunza mengi kupitia hii interview

    • @nurukagina334
      @nurukagina334 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto3514 Před 3 lety +1

    Jongweeeee

  • @a.856
    @a.856 Před 3 lety +1

    👍

  • @leahmcharo7306
    @leahmcharo7306 Před 3 lety +1

    Next time tunamwomba Mbowe

  • @georgenkanawa7156
    @georgenkanawa7156 Před 2 lety

    #TAITA#SUGU

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 Před 3 lety +1

    Kwa heshima ya Kipindi cha LEO SIJASKIP TANGAZO HATA MOJA KIPINDI KIZUR MTU MAKINI MWENYE INSPIRATION

  • @oscarmills0819
    @oscarmills0819 Před 3 lety

    sugu alitoboa tena 2020 walituibia kura

  • @salehemakunja1445
    @salehemakunja1445 Před 3 lety

    Akili nyingi sanaaa kaka

  • @nurukhalifa9413
    @nurukhalifa9413 Před 3 lety +1

    Wazaz anzeni kufundisha watoto plan b shule sio maisha wafanye nin yan jitu lina masters hata kopo lachoon halina yan anangoja kiinua mgongo miaka 60

    • @nurukagina334
      @nurukagina334 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

    • @nurukagina334
      @nurukagina334 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @jumarichard9588
    @jumarichard9588 Před 3 lety

    Tuletee Pro Jay

  • @gilbertmkaro8004
    @gilbertmkaro8004 Před 3 lety

    Nime Enjoy knyama

  • @anastaziamduda1803
    @anastaziamduda1803 Před 3 lety +1

    daaah mungu akupe maisha malefu suguuu

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 Před 3 lety +3

    Tuletee MASOUD KIPANYA

  • @dennismwai8922
    @dennismwai8922 Před 3 lety +1

    Nazani hii ndio show kari zaidi tukiacha na ile ya mhe JK

  • @masterdaveprojections
    @masterdaveprojections Před 3 lety +2

    Bonge la show, respect to you bro #Sugu

    • @nurukagina334
      @nurukagina334 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @sesyurio7609
    @sesyurio7609 Před 3 lety +3

    Hatuon part one kulikon

    • @rulamwanamvua9669
      @rulamwanamvua9669 Před 3 lety

      Enjoy this one, Salama has a smile Matata

    • @hanifaally4694
      @hanifaally4694 Před 3 lety

      Ipo sana angalia vzr kwenye ukurasa wao au ukiwa watizama hii tu ya kwanza lazma utaiyona

  • @ebbyramadhani
    @ebbyramadhani Před 3 lety

    Mr 2PROUD

  • @malickabbas8271
    @malickabbas8271 Před 3 lety

    Respect

    • @nurukagina334
      @nurukagina334 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html