MANENO MAZITO NA MAONYO KWA KANISA, TOKA KWA ASKOFU MKUU WA KWANZA WA KANISA LA TAG

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 10. 2024
  • Maneno mazito na maonyo kwa Kanisa la TAG toka kwa Askofu Emmanuel Lazaro

Komentáře • 60

  • @bethuelkonyuniofficial7930

    Ukristo wenu uwe katika nguvu za Mungu Na sio katika theolojia,, amen baba askofu Lazaro.

  • @mnanze
    @mnanze Před 2 lety +3

    Mungu awabariki sana NYTV,mnasaidia sana kizazi chetu cha sasa,kuwajua Mababa wa Imani TZ,na kujifunza kwao
    Ahh huu ndiyo uzee wa IMANI bado ana atamani tujae nguvu za Mungu na Moto wa Bwana.💥💥💥💥💥💥

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Před 2 lety +2

    Woow nilikums Askofu wangu Imanuel Lazaro..nilifurahi Sanaa kukuona ile mwez wa 11 ulpokuja church maana ilkua kitambo Sana sikukuona... barikiwa Sana bishop Lazaroo..bdo YESU yu pamoja nawe Bishop Lazaroo.tunakupendaa na Revival tumekums Sana mahubir yako..GOD bless you Bishop Lazaro.

  • @musajonas9397
    @musajonas9397 Před 2 lety +1

    my God bless you Bishop Emanuel lazaro nimejifunza mengi kutoka kwa MUNGU kupitia wewe nakumbuka mikutano mungu aliyekutumia na WEWE ni mtumishi ambaye ni mfano wa kuiga ktk kiroho na kiuduma barikiwa Sana Sana Sanaaaaaaaa

  • @richardkaula6847
    @richardkaula6847 Před 2 lety +2

    Amen Baba yetu wa Imani .mwili umechoka lkn moyo umejaa madini adimu Sana, interview imejaa uwepo wa kutosha.Barikiwa Sana Baba tunakupenda.

  • @nokianokia993
    @nokianokia993 Před 2 lety +2

    Ameeen, Mungu atukuzwe kwaajili ya baba yetu aliejaa maneno ya hekma na busara 🙏🙏🙏🙏

  • @janen.mwangi5572
    @janen.mwangi5572 Před 2 lety

    Praise God all the way from Kenya. Dad i just feel the power of God is guiding all u say n i pray he continues to protect you amen

  • @janepaul6877
    @janepaul6877 Před 2 lety +1

    Amina baba yetu tunakupenda na tunamwamini Yesu uliyenaye Mungu azidi kukutunza na kukuimarisha katika imani baba hadi utakaponyakuliwa kwenda mbinguni

  • @peterbayo4677
    @peterbayo4677 Před 2 lety +2

    Nakumbuka nilikuchukua kwenye pikipiki yangu hadi Kanisani ulipokuja Mbulu ulipokuwa unahubiri ujumbe maalum kwa Watz kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Vyama vingi 1995. Hukujivuna! Kabla ya hapo nilifurahia huduma yako tangu 1990 hadi 1993 nikiwa mwanafunzo wa Chuo,Moshi. Na baadaye 2002-2003. Huduma yako ya kichungaji ni ya kipekee sana!!!
    Mungu akubariki na kukutunza milele!!!

  • @habibkuya3327
    @habibkuya3327 Před 2 lety +2

    Maneno ya hekima Sana kutoka kwa mtangulizi wetu! May God bless you our dear Godly General!

  • @lilianwilfred3271
    @lilianwilfred3271 Před 2 lety +4

    Asante Yesu baba yetu anaendelea vizuri

  • @edithamosha4109
    @edithamosha4109 Před 2 lety +3

    We love you Dady may the Lord be with you forever

  • @freddymihayo2192
    @freddymihayo2192 Před 4 měsíci

    Amen UKRISTO NI nguvu za Mungu. Matendo 1:8

  • @elisantennko8222
    @elisantennko8222 Před 2 lety +1

    Amen Mzee wetu nakumbuka tuliongea kidogo 1987 semina ya Aril Edvedsen AICC,nikiwa Ushers.Baraka Sana hii documentary .NY TV hongera kazi njema.

  • @emanuelmwanandenje2144

    Mungu azidi kukutunza kwa kazi yake uliyo ifanya pia akupe afya nzuri na miaka mingi

  • @sofrinasway1808
    @sofrinasway1808 Před 2 lety +1

    Barikiwa sana baba,mungu akutie nguvu hakika umeifanya kazi ya mungu🥰🙏

  • @lolll5998
    @lolll5998 Před 2 lety +1

    Mungu akupe moyo mkuu Baba nakupenda Sana

  • @wilsonmichael1156
    @wilsonmichael1156 Před 2 lety +1

    Amen. Nguvu za Mungu

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas2090 Před rokem

    Mungu akubariki Sana babu yetu

  • @derickerastus7662
    @derickerastus7662 Před 2 lety

    Amen baba yetu asante kwa ujumbe wa muhimu sana huu kwetu

  • @joycemshana4028
    @joycemshana4028 Před rokem

    Nimefurahi sana kumuona..maana nimekuwa na maswali mengi...mbona amemtumikia Mungu na anapitia magumu...ila...naamini Mungu ana kila kusudi jema kwa haya...na kweli Mungu amemjalia afya..pamoja na kuugua...bado Mungu amemtunza..hata sasa!! JINA LA BWANA LIBARIKIWE!!

  • @stephanoedward5763
    @stephanoedward5763 Před 2 lety +1

    Mungu ampe kumaliza vizuri Baba yetu.

  • @emmanuelmeishaa1189
    @emmanuelmeishaa1189 Před 2 lety +1

    Mungu azidi kukuonekania. Umalize mwendo salama. Na ufike Mbinguni

  • @ErickEliabu
    @ErickEliabu Před 6 měsíci

    Mungo azid kumtunza asikofu wetu kwakaz ya mungu12:03 mungu amlinde nakumtunza wotetuseme amen

  • @EstermsuyaMsuya
    @EstermsuyaMsuya Před 5 měsíci

    Mungu akutunze baba wa imani

  • @ReginaMollel-z8q
    @ReginaMollel-z8q Před rokem

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu akutunze Babu yetu

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 Před 2 lety +1

    Kweli kabisa,tumtake Bwana na Nguvu zake,Ameni

  • @christinamlwilo9835
    @christinamlwilo9835 Před 2 lety

    Mungu akutie nguvu baba yetu wa imani

  • @anithafrank5533
    @anithafrank5533 Před 2 lety

    Ubarikiwe baba wa kiroho wa t a g

  • @ErickEliabu
    @ErickEliabu Před 6 měsíci

    Mungu nimwema

  • @Rmollelmichael
    @Rmollelmichael Před 2 lety

    Mungu akutunze na kukubariki Babu wetu

  • @samuelmtasha9272
    @samuelmtasha9272 Před 2 lety +1

    Wow! Glory to God!!!

  • @sakandalinus3125
    @sakandalinus3125 Před 2 lety +2

    Hata sasa wewe Yesu ni Ebenezer.
    Hapa askofu wetu baba yetu alipofikia ni nguvu zako Yesu.
    TUMTAKE MUNGU NA NGUVU ZAKE HAKKA.

  • @janepaul6877
    @janepaul6877 Před 2 lety

    Nimebarikiwa sana kusikia sauti yako baba

  • @danielnassoro1123
    @danielnassoro1123 Před 2 lety

    Mungu amfunike Kwa neema yake Mzee wetu

  • @mch.JaphetSebastian
    @mch.JaphetSebastian Před rokem

    Kazi yoko itakumbukwa sana

  • @EstermsuyaMsuya
    @EstermsuyaMsuya Před 5 měsíci

    Hakuna ukristo kama hakuna nguvu za Mungu

  • @YusuphMwashambwa
    @YusuphMwashambwa Před měsícem

    Ahimidiwe Bwana aliepamoja na baba yetu

  • @johnsebastian5686
    @johnsebastian5686 Před 2 lety

    Amina baba

  • @elizabethlazaro6639
    @elizabethlazaro6639 Před 2 lety +2

    Kweli tunahitaji nguvu za Mungu si kitu kingine. Hakuna ukristo pasipo nguvu za Mungu!

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya Před 2 lety

    Mzee wetu ♥️♥️♥️

  • @SayaryMbangile-m8v
    @SayaryMbangile-m8v Před 6 dny

    Hiyo nimeikubali inajenga

  • @benjaminmwaipungu279
    @benjaminmwaipungu279 Před rokem

    Askofu wa kwanza alikuwepo huyu ni wa pili. Tunampenda sana ila tusipotoshe historia , kama tulivyopotosha tuliposema TAG imetimiza miaka 75 miaka nane iliyopita, wakati ukweli ni kwamba TAG ilianza rasmi mwaka 1952, na itatimiza miaka 75 ifikapo 2025.

  • @japhetthabit9428
    @japhetthabit9428 Před 2 lety

    Mi nafikiri angeenda mtumishi wa Mungu kufanya nae mazungumzo ndo ungekuwa vizuri zaidi ili kumshauri aendelee kuishi maisha ya utakaso, huku akiomba Mungu amkumbushe makosa ambayo alifanya ambayo hakutubu ili atubu kwasababu kuna wakati mwingine unaweza kujiona uko sawa kumbe kuna kosa ulifanya bila kujua n'a Mungu anakusubiria utubu
    Ezekieli 33:15-16 hii ezekieli ukisoma katika bible ya kingereza imeeleza vizuri new international version.
    Waebrania 12:14

    • @munuoisaack418
      @munuoisaack418 Před 2 lety

      Umejuaje kwamba hajatubu au ulitaka aje akatubu kwako? Mambo mengine

    • @joshuaswai8203
      @joshuaswai8203 Před 2 lety

      Amekosea wapi na lini hivyo unamhukumu wewe ni nani br

    • @japhetthabit9428
      @japhetthabit9428 Před 2 lety

      @@joshuaswai8203 wasiwasi ni akili" kuhukumu ni nini? Usikurupuke tuu, huo ni ushauri wangu Kwa mzee wetu

    • @princepaschal9963
      @princepaschal9963 Před rokem

      @@japhetthabit9428 kwani wewe unamshauri kama nani? Kazi aliyofanya mpaka leo umemlinda wewe? Umekuwa unamshauri wewe? Kwani Mungu aliye muhita alikuweka kuwa mshauri wake? Au ujasoma kisa cha musa, aruni, na niliamu?

  • @jasirimjasirimedia7940

    Yesu aendelee kumtunza baba yetu

  • @babumrisha
    @babumrisha Před 2 lety

    Ni seme ukweli tangu nilipoanza kuabudu Kilimanjaro Revival Temple 2000 wakati huyu mtu alipokua bado na nguvu alinijenga sana kiroho, na kila ijumaa na jumapili akisimama nilikua sikosi kitu na maisha yanabadilika kabisa. Nakiri kwamba hatumjui huyu mtu vile tulivyopaswa kumjua.

  • @sophiajonas3459
    @sophiajonas3459 Před 2 lety

    Mungu akubadiki sana babu yetuuuuu

  • @tabiarajabu6855
    @tabiarajabu6855 Před rokem

    Ila hizo nywele zako apn haina utukufu wa Krixto

  • @MjungumabebaNyamuko
    @MjungumabebaNyamuko Před rokem

    Lakini mwandishi ujamwuliza juu ya aliyekuwa makamu wake Dr Moses kulola kutoelewana kwake mpaka kupelekea matatizo ktk imani

  • @winniewairimu3822
    @winniewairimu3822 Před 2 lety +1

    Kumbe ni wewe uliyemtesa Moses kulola naomba ukaekae duniani kwanza, maana ulimtendea vibaya sana mtumishi wa MUNGU,eti waangalie mwenendo, mbona wewe hukuangalia mwenendo na ukampa mwenzio ukilema mpaka kufa, alikufa akiwa na chuma kwenye mwili wake, weweeee

    • @simioneliufoo4517
      @simioneliufoo4517 Před rokem

      Ndugu yangu, muogope sana Mungu. Unaweza kujitwalia laana ikatafuna maisha yako na kizazi chako.

  • @bethuelkonyuniofficial7930

    Muasisi Wa imani