@@FridayMwassa we ungekuwa si mtu wa shetani humu kwenye mitandao ya mashetani unatafuta Nini? Kwa busara zako basi mweke shetani wako basi ili Simba ishinde. Wewe mwenyewe mdau wa shetani. Mnajifanya kumjua Yesu kuliko Yesu mwenyewe . Waache wenye kutambua kumshukuru Mungu wafanye kwa umuhimu wake na wewe unaye ona huu ni ushetani kafie mbele huko. Hovyooo.
Huyo ni shoga simba hatun mashoga huyo ndo anawajaza upepo mashabiki wa simba hyu sik nikikutanaye nitamywa supu anakera ye km anaon simba haimfai aache
Acha usenge wew acha,shobo kabisa alafu uacha kabisa kuvaa na jenzi ya simba kwan kwenye league unacheza pekeako ili ukae unachukua ubingwa auna lolote kwanza utakuwa unatumika kuichafua timu yetu jenzi ya simba chobo na uchawa kwa yanga kama waitaka furaa kweli tupishe unakera bwana kha!
Unaweza kutuambia usenge wake muwe na kauli Nzur kwenye mita ndao huyu jamaa mkweli viongozi wa simba wahache janjajanja kama mtuu wa football utaelewa Nn huyu anaongea
Acha ujinga huyu anaongea ukweli,anajipendekeza Nini...MCHOME GOOD BOY ONGEA ...... NDOMANA YA NCHI KUWA NA VYOMBO VYA USALAMA..... ONGEA TUNAKULINDA....WAJEDA
Poleni wanasimba
Bingwa mara 30 asante Yesu
Amina
Amina
Amen
Acheni ujinga kumuingiza Yesu kwenye mamipira ya kishetani.
@@FridayMwassa we ungekuwa si mtu wa shetani humu kwenye mitandao ya mashetani unatafuta Nini? Kwa busara zako basi mweke shetani wako basi ili Simba ishinde. Wewe mwenyewe mdau wa shetani. Mnajifanya kumjua Yesu kuliko Yesu mwenyewe . Waache wenye kutambua kumshukuru Mungu wafanye kwa umuhimu wake na wewe unaye ona huu ni ushetani kafie mbele huko. Hovyooo.
Asante. Sana. Said. Mchome. Wewe. Kweli. Unapenda. Kabumbu. Nimekuona. Manungu. Complex. Mwanangu. Kweli. Unapenda. Mpira mchome. Hoyee
Fanya uchaguzi uamiy yanga bsi💚💛
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yanga bingwa adi 230😂😂😂😂
Yanga Bingwaa
Huyu jamaa anaongea kweli kama simba atabaki na kocha mgunda yanga ataendelea kuchukua ubingwa hats msimu ujao
imeisha iyooo😂😂😂😂
YANGAA BINGWAAAA💛💚💛💚
Mchome juz mmemfunga Azam mkasema mgunda kocha nzur na msimu ujao abaki
SIMBA SIMBA SIMBA SIMBA SIMBA SIMBA SIMBA SIMBA LABDA MUIBE KOMBE....
Wanacho kile kikombe chakahawa kinawatosha mwaka huu😂.
Watu wamebeba makombe mawili nyiy moja utopolo hamna akil misimu ijayo lazm kombe liwe ya kweli eti muibe hiyo dharau itwaponza
Halafu kafei tootoo, karnataka hersi aondoke ndipo arudi, hii jamani si ni usomi wa kiwango cha kuzimu,,,
Kweli kuzmu....mpuuzzzz..yuleeee
Sasa yanga inamafanikio gn yanga ni ya kawaida mno zaid bahasha simba wameyumba tu hyo kombe ilikuwa yakwao
Yanga bingwaaaaaaaaaaa 💚💚💚💛💛💛
Kolozidad bana mtatusubiria kidogo wakati huu labda kombe mliibe
Nyiy msinge bebw hyo kombe siyo lakwenu tukifuata sheria mpira Leo mgekuw nafsi ta5 hyo kombe la kwenu nila uwizi
Daima mbele yanga bingwa 💛💛💛💚💚💚
Pongezi yanga
Makolo wamezoea kudanganywa na Ahmed Ally..VAR wanamchukia sababu ya ukweli wake..
😂😂😂mchome usilie we si ulishachukua ngao jamni😂😂😂😂😂😂
VAR...MCHOME YOUR REALLY BRO'......🙏🙏🙏
Kila mtanzania ana uhuru wa kuchagua
Yanga,noma
Kibu,kweli,anakuja,yanga
Mchome bhana,eti kocha wa hamasa😂😂😂😂😂
Uyu mpumbav ni yanga mwenzao.anajifanya simba kumbe utoporo.acha kuvaa jezi ya simba ww mnafiki .
Wewe ni kumana tunakutafuta mtaani sngd usije
Hapo,kwerj
Mbona mkude yuko Yanga, punguza maneno,,mchome, mkude,au,cio
😂😂😂kuna jamaa hana meno ya mbele
Kweli wewe. Sisi tuko nyuma kweli .Usajili wetu wa simba ni mbovu sana.
Kaka mchome ilimfike inchi ya ahadi mgunda matola.kama unavyosema makocha wa hamasa mkileta kocha hao waondoke leteni na benchi jipya
Kweli uyu shabik hanasema ukweli 😅😅😅
Allaah Akbar
Manara aliwambia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimekuona uwanjani nikafurahi sn. Wewe Ni jembe na mpenda michezo. Big up
Uko.vzl.kaka
Kijana huyu anabahat kazaliwa bongo nchi zingine ungepigwa risas
Kwanza ni fara ana hakili ukihisha kubali kuishabikia tim nilazima ukubali nyakati zote itakazopitia iyo tim yako anaonnge utumbo tu
Umesema haya ushasomeka but mwakani utafute pakwenda .simba imechukua mara nne na hilo kwa simba siogeni mbona unatuaribia mood
Mwenye miwan mapengo😂😂
Acha umbea bnaaa
We mwangalie mchome tu best😂😂😂
Hata ww ukitak kujipendekz kalb tu kujipendekz Kwan kuhama awaham na mabegi ww karb tu Kwa wanajangwan
Mchome anahoja asikilizwe asibezwe
Huyu hajipendekezi Ila nimsema kweli furaha nyumbani hakuna inabidi afuate kwa majirani
Huyu mkundu jezi ya timu yake utopolo havai ila kichapo kinamuhusu atakuja kujichanganya tu
WATOTO WA MUDI WANAGOMBEA NAFASI YENYE MAJINA YA KIKE YAANI PILI NA TATU 😅😅😅😅😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
Na utopolo majin mojah majin kike yote majini fc vyura mashoga rais wenu
Ww, mjinga, hamiayanga
Shabiki gani wa simba anafurahia yanga kuchukuwa ubingwa
Huyo ni shoga simba hatun mashoga huyo ndo anawajaza upepo mashabiki wa simba hyu sik nikikutanaye nitamywa supu anakera ye km anaon simba haimfai aache
Kakamiwe uko
Acha usenge wew acha,shobo kabisa alafu uacha kabisa kuvaa na jenzi ya simba kwan kwenye league unacheza pekeako ili ukae unachukua ubingwa auna lolote kwanza utakuwa unatumika kuichafua timu yetu jenzi ya simba chobo na uchawa kwa yanga kama waitaka furaa kweli tupishe unakera bwana kha!
Ni jezi sio jenzi dr
Mchome 😂
Kichwa maji wewe
Huyu kaka nimsenge tu
Ushawahibkumpa ukamjua hivo
Unaweza kutuambia usenge wake muwe na kauli Nzur kwenye mita ndao huyu jamaa mkweli viongozi wa simba wahache janjajanja kama mtuu wa football utaelewa Nn huyu anaongea
@@twahaanyoni9120 kilicho mtuma aiseme vibaya Simba yetu nini kama sio tamaa Tu😏
Ww nyoko mpuizi acha kujipendekeza
Nyiko mwenyewe...kolo wabovu.. bisha kwa hoja,kichwa kopo ww
Unajitambua
Acha ujinga huyu anaongea ukweli,anajipendekeza Nini...MCHOME GOOD BOY ONGEA ...... NDOMANA YA NCHI KUWA NA VYOMBO VYA USALAMA..... ONGEA TUNAKULINDA....WAJEDA
Acha makasiriko nyoko mwenyewe
Watani ndio shida yenu hiyo hamtaki kuambiwa ukweli ,mtu akiongea ukweli mnamtusi na kumtolea maneno yasiyokuwa na maana.