BREAKING NEWS, TAARIFA CHANZO CHA SHEIKH NYUNDO KUFARIKI HIKI HAPA...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    #Habari #KtvTzOnline
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 625 323 932
    Ktv Tz Online Journalists
    cc: Sadia Rashid
    cc: Juma Maulid
    cc: Masoud Maganga
    cc: Sauti Byego
    cc: Tunu Salum
    cc: Maryam Busara
    Camera Department"
    Dadi Ali
    Mwarabu Mmadi
    Nassor Shaibu
    Abdallah Dula
    Editors:
    Juma Maulid
    Video Zingine:
    Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
    - Ali Kiba akiwa Oman
    • ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
    • NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Komentáře • 666

  • @zanmedia5225
    @zanmedia5225 Před 4 lety +4

    Kina mama ambao wengi wenu mlimbeza na kumchukia shekh Nyundo....naawambia kua mmepoteza mtu muhimu sana katika maisha yenu, nambieni nani mwengine alikua akiifanya kazi kama shekh Nyundo hususan kwa upande wa kina mama? Sote tumeondokowa ila nyinyi kina mama shekh Nyundo mtamkumbuka zaidi, olewenu wale ambao mlimchukia kwa sababu ya ile elimu ya ukweli au mafundisho ya haki aliyokua akiwapa, sasa mtalia sana....
    ALLA ATUUAJAALIE MWISHO MWEMA INSHAALLA

  • @alibakar3818
    @alibakar3818 Před 4 lety +41

    إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
    Allah ampe safari njema naamsameh makosa yake kwakila alipoteleza nass allah atupe mwisho mwema

  • @sheikhabdillahmassawe5302
    @sheikhabdillahmassawe5302 Před 4 lety +121

    Allah amrehemu na amjaalie kaburi Lake kuwa miongoni mwa Bustani za peponi

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.6308 Před 4 lety +102

    ALLAH AILAZE ROHO YAKE PAHALI PEMA PEPONI

  • @abdulihafidhali5379
    @abdulihafidhali5379 Před 4 lety +22

    Allah amlaze mahali pema peponi, allah ampe kauli thabiti shekhe wetu Hussein hassan jabu maarufu, Nyundo

  • @hawa4968
    @hawa4968 Před 4 lety +20

    Inna Lilah wainah ilayhi ranjun ! Allah subuhanah watallah awasameh ndugu zetu WA kislam wote kwa ujumllah

  • @stonetown578
    @stonetown578 Před 4 lety +44

    Innalillahi wainna ilayhi rajiun Allah ampe kauli thabit na amsamehe makosa yake
    Poleni sana wafiwa ni msiba wetu sote Insha'Allah tupo pamoja 😭

  • @mohammedjumakhamis8151
    @mohammedjumakhamis8151 Před 4 lety +24

    Shk Nyundo ameondoka lakini alichokifundisha hakitopotea milele
    Waislam tuzinduke kupitia vifo vya maulamaa na mashekh
    Allah ampe maisha mepec na sisi tupate mwisho mwema amiin

  • @allyhamumy8787
    @allyhamumy8787 Před 4 lety +11

    I would like to pass my great affinity sincere and tributes condolence to the family of sheikh Nyundo may ALLAH keep his soul to the right people in the paradise(Ameen)Alhamdullilah I have extract alot of islamic knowledge from him through the media.

  • @halimaothmann2352
    @halimaothmann2352 Před 4 lety +2

    Kizuri hakidumu umetufundisha mengi mazuri shekhe NYUNDO Allah akupe makazi mema peponi Amiiin hatotokea mfano km shekhe NYUNDO.Mungu akulindee safari nzito kwa waislamu wote Amiiin Amiiiin Amiiin🤲

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 Před 4 lety +41

    Yaa Allah msamee makosa yake shekhe wetu mjalie salama ya kabur😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 Před 4 lety +15

    Innalillah wainnailayhi raajiuuun .Allah amrehem na amsamehe pale alipokosea amjaalie miongoni mwa waja wake wema amin😢

  • @abdallahjuma8168
    @abdallahjuma8168 Před 4 lety +12

    Innalillah Wainna ilayh Rajiuun Mwenyez Mungu akujaalie kaul thabit akupokee hal ya kua amekurdhia 🤲🤲🤲😭😭😭

  • @omanmuscat3461
    @omanmuscat3461 Před 4 lety +14

    Innalillah wainaillh rajuin 🙏Allah awasamehe wote washao fikaa mbele ya haki na ss atujaaliee mwisho mwema inshaallah 😭😭

  • @hamidabdalla1814
    @hamidabdalla1814 Před 4 lety +23

    Innalillah wainnailaih
    Tunaomba Ktv Mtuwekee live mazishi ya sheikh wetuu ili sisi ambo tuko mbali kidogo alau tuungame

    • @mudymzee5653
      @mudymzee5653 Před 4 lety

      Allah ailaze mahali pema roho ya mja huyu

  • @fatmahmohamed5321
    @fatmahmohamed5321 Před 4 lety

    Poleni sana kwa msiba Allah amuandikie shekh darjah ..n.a. awape subra familia yake Kwa wakati huu mzito. Elimu alitufikishia sasa kaondoka..Nazi kwetu''innalillahi waina ileihi rajiun.

  • @aminaomar1170
    @aminaomar1170 Před 4 lety +5

    Innalillah wainna ilayhi rajiuun.Allah amjaalie pepo firdaus iwe ndo makaazi yke.

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 Před 4 lety +20

    Surely we belong to Allah and to him shall we return

  • @shamsamohammed6386
    @shamsamohammed6386 Před 4 lety

    Innalillahi. Wanna ileyrajuun. Masikitiko makubwa saana kuondokewa na shekh wetu. Nyumdo mwenyezi mungu alaze pahala Pem peponi. Ameeen yarabi

  • @africanqueen5035
    @africanqueen5035 Před 4 lety

    Mungu amfanyie wepes ktk kila lilikua zito kwake na ampe kauli thabiti na awe ni miongon mwa wataopat kivuli cha allah siku ya qiyama yy pamoja na waislam sote kiujumla amiiin🙏

  • @jumasalum5769
    @jumasalum5769 Před 4 lety +1

    Innalillahi wa innailayhi rajuun 😭😭😭😭 nasi tuko nyuma yako Sheikh wetu ALLAH akufanyie wepesi ktk safari yako hiyo Amiyn 🙏

  • @zakhiamohamed2178
    @zakhiamohamed2178 Před 4 lety +21

    Allah akusamehe makosa yako Innalillah wainna ilayhi rajiuun

  • @SalehAli-kh7uc
    @SalehAli-kh7uc Před 4 lety +4

    Innalillah wainnailah rajiuun Allah mfanyie wepes ktk safar yake hii na ss tupo ktk foleni amiin

  • @jokhajuma5347
    @jokhajuma5347 Před 4 lety +2

    Mungu amlaze mahala pema peponi... Awe miongoni mwa waja wema.. Awe miongoni mwa waliofudhu... Amuondoshee adhab za kabri

  • @shemsamusa6675
    @shemsamusa6675 Před 4 lety +1

    Allah amjalie kauli thabit awe miongon mwa wat wa pepon Amiin n xx tupo nyuma

  • @faizamohamed6535
    @faizamohamed6535 Před 4 lety

    Buriani Kipenzi chetu! Mungu akupe Nuru kwenye Kaburi lako akupe Kauli Thabit aupe Jannat Firdous AMIIIIIIN

  • @rashidishabani9521
    @rashidishabani9521 Před 4 lety +1

    Inalillah wainaillah rajiun. Allah amrehemu na amjalie Kauli thabit na amsamehe madhambi yake

  • @fahdihasnuu9034
    @fahdihasnuu9034 Před 4 lety +17

    Allah SW amlaze peponi Amin!

  • @rukiamatano7764
    @rukiamatano7764 Před 4 lety

    Innalillahi wainnailehi rajiuun...ALLAH ailaze roho ya shekh wetu pemapeponi,nasie tulie baki "ALLAH atupe mwisho mwema inshaallah.

  • @sophianyangalio3796
    @sophianyangalio3796 Před 4 lety +1

    Innallih wainailah rajiun 😭 Mwenyez Mungu amrehem ampe kauli thabit ampe kitab kwa mkono wakulia ampunguzie adhab ya kaburi na akugeuze upande wa pili na awape subra wanafamilia😭😭😭😭😭😭

  • @kassodasilva5198
    @kassodasilva5198 Před 4 lety +4

    Inna Lillahi wainna ilayhi rajiun mungu amueke pahali pema palio na wema peponi Ameen 🙏🙏🙏Poleniii Sana😢 kwa wakati huu wa huzuniii... Kullu nafsin dhaikatul mawt...

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 4 lety

    Innalilah Wainnailah Rajiun, Allah akuhifadhi maali pema peponi Shekh wetu 🙏

  • @shakilayusuf7802
    @shakilayusuf7802 Před 3 měsíci

    Inna lillahi wa inna ilahyi rajiun.
    ALLAH AMREHEMU,
    Alituachia tunu ambayo inatufaa.
    Bado nathamini khutba zake sheikh

  • @nagibsalim9120
    @nagibsalim9120 Před 4 lety

    Mungu ailaze roho yake pahali pema nilitamani maishani mwangu niwe nimwenye kumuon live lakini kwa uwezo wake halali tutaonana peponi Amiin

  • @khadija5694
    @khadija5694 Před 4 lety +2

    Yaa Allah mlaze maali pema pepon akika msiba umetugusa daima tutakukumbuka shekhe wetu 😭😭😭😭😭😭

  • @naimaali6452
    @naimaali6452 Před 4 lety

    Innallah wainailah rajiun nimezipata tarifa nikiwa oman mungu akupe kauli thabiti na akupe muangaza katika kabur lako

  • @rehemajuma9389
    @rehemajuma9389 Před 4 lety

    Mwenyez mungu amuweke mahali pema, atujalie na as tulobakia usnu al hatma amiin

  • @Amneamne-qi2du
    @Amneamne-qi2du Před 4 lety

    Innalillah Wainna lilah rajoon Allah ampe kauli thabit Mwalimu wetu Nimepo kea kwa mstuko mkubwa sana hizi habar hakika kifo ni mawaidha kwetu ,Allah amtaka balie Jannat firdus iwe makazi yake Inshaallah Biidhin lilah

  • @mwarabutoleolamwisho7879

    Inallilah wainaillah rajiun TUMEPOTEZA MTU KTK WATU ALIOKUWA WAWAZI NA WAKWEL NDAN YAKO. ALLAH amctr na moto amuandalie pepo inshallah.

  • @aminaali1001
    @aminaali1001 Před 4 lety

    Innalillahi wainnailahi rajiuun mungu akulaze mahali pema peponi na akupe kitabu chako kwa mkono wa kulia inshaallah

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Před 4 lety

    Inasikitisha kwakweli kuondokewa namtu ambaye alikua akitupa mawaidha ya uhalisia. Yaa Rabb ziponye nafs zetu kwa kumruzuku malazi mema peponi sheikh wetu, Amiin

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 Před 4 lety +3

    Mwisho wa wanaadam hapa duniani ni kuiaga dunia.
    Tunamuomba Allah amjaalie kauli thabit.
    Na sisi mauti yetu yatujie katika vitendo vyema.
    Amin.

  • @ummulkheir8321
    @ummulkheir8321 Před 4 lety +1

    Innalilahi wainna illaihi raajiuun, Allah ampe kauli thabit,amjalie apewe kitabu chake na mkono wa kulia,na amjaalie kaburi lake liwe ni katika majumba ya peponi,na ss Mungu atupe husnul khaatima biidhni Allah,hakuna atakae bakia,ila Allah,sote njia ndio hiyo

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 Před 4 lety +1

    Allah ampee kaulithabith alikuwa akituhimiza Sana wanake kujistiri kukubali ukeweza n mengine 😢😢tutakukumbuka Kwa dua shekh weru

  • @saadnahoda707
    @saadnahoda707 Před 4 lety

    Allah akupe kila LA kheri katika safari yako na sisi tunafuata

  • @balqisabdullah6200
    @balqisabdullah6200 Před 4 lety

    Mungu amlaze pema penye wema ameen... tutakukumbuka milele kwa wemaa na mema.

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 Před 4 lety +1

    INNALILLAH wainna ILLAYH Rajiunah ALLAH amuangazie kabur lake liwe nimiongon mwa waja wema walotangulia mbele yakhaq wajaalie firdaus yaa ALLAH

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 Před 4 lety +8

    Innallillah wainnailaihu raajiuun allah amsameh makosa yake ampe kauli thabit amghufurie madhambi yake kaburi lake liwe nnur yarrab poleni sana wafiwa ndio njia yetu sote

  • @f.abdulali569
    @f.abdulali569 Před 4 lety

    Inna lillaahi wa inna ileihi raajiun. Allaah amruzuku Alfirdaws ya juu kabisa. Aamin

  • @tumabhay8576
    @tumabhay8576 Před 4 lety +1

    Inna lilahy wainna ilayhi rajiuun 😭 😭. Mungu amswameh makosa yake. Wallahy mapenzi yangu kwake yalikua haya a idadi ila kwa mola hakuna jinc Akisem kua bac linakua. Ntamkumbuka shekh nyundooo. 😭😭😭

  • @ibrahimabdalla6478
    @ibrahimabdalla6478 Před 4 lety +1

    Innalillah wa inna ilaih rajiun, Allah amsamehe alipo kosea man hakika ya mwanadam hakukamulika, kwaiy mareh kakaa na watu kaishi na watu wengi wapo ambao ame kwazan nao had kina mama baadhi yao walikua hawyapend mawaiz yake, kwaiy waondosh tufaut zao ili wawez kumtakia maghfira marehem marehemu pamoja na kumuombea dua ili Allah amjalie ampe kauli thabit na amuepushie adhabu za kabri, Allahumma afirlahum warhamhum wamaskana fiiljanna ya rabbil-aalamin.

  • @saidbare1961
    @saidbare1961 Před 4 lety

    Inalilahi waina ilehi rajiuni poleni kwa sote,Inshalla mungu amueke mahali pema peponi Inshalla amin

  • @mmlove9127
    @mmlove9127 Před 4 lety +1

    Allah akurehemu shekh...Ameen

  • @samsungjsevenprime5717

    Maoni yangu mimi tusisahau kumuombea dua nakumtolea swadaka jaria na tusasahau mawaidha yake kuyaskiliza ukumbusho alokuwa akitukumbusha kwa sana Allah amsamehe makosa yake Atusamehe na sisi tuliobakia atujaalie mwisho mwema Ameen 🤲

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 Před 4 lety

    Poleni sana wana familia pia mwenyezi mungu ampunguzie adhabu ya kaburi

  • @aishamother9943
    @aishamother9943 Před 4 lety

    Innalillahi wainalillahi rajiun mbele yako nyuma yetu mungu akujalie mahali pema Ameen Ameen .

  • @MrBorndrunk76
    @MrBorndrunk76 Před 4 lety +1

    Lala salama Sheikh wangu Allah akuoe khatma njema kaburini na akujaalie pepo ya darja ya juu, hakika umekuwa msimamizi wa wanawake katika kujisitiri

  • @fatmamwatamba5881
    @fatmamwatamba5881 Před 4 lety +1

    Inalilalh wainalilah rajiunii😭😭😭
    Tutamkumbuka shekhe wetu daima kwa dawa zake dhidi ya kuwaelimisha wanawakee😢😭
    Allah hamjaaliye kheri,hampe kauli thabiti

  • @ashaomina1136
    @ashaomina1136 Před 4 lety

    Mbele yeye nyuma sisi,,Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi

  • @hermanndongolo1550
    @hermanndongolo1550 Před 4 lety

    Mungu ailaze roho yake Mahala pema peponi amina

  • @mamaabubakari2752
    @mamaabubakari2752 Před 4 lety

    Mwenyeezi Mungu amrehemu Shrikh Nyundo na awape subira wafiwa, amin.

  • @hidayaallah3480
    @hidayaallah3480 Před 4 lety

    Poleni wanafamilia woote,Allah awatie nguvu Ktk kipindi hiki cha msiba,Inshaallah

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 Před 4 lety +1

    Yaa allah mrehemu mzeee wetu mwalimu wetu shekhe wetu shekh Hassan husen nyundo Amin 🤲

  • @iddiali8057
    @iddiali8057 Před 4 lety

    Ktv online please mnapotoa matangazo kama haya zingatieni kikamilifu maadili ya dini

  • @ayoubkhamis5154
    @ayoubkhamis5154 Před 4 lety

    Tumeskitika sana, Yani nyoyo zina huzuni sana, Bado tulikuwa tunampenda , Allah ampe makazi mema Pepon ..Aaameen

  • @hannanomar994
    @hannanomar994 Před 4 lety

    InnaLILAHI wainaaleh rajiun. Mwenyezi mungu ailaze roho mahali pema peponi

  • @ummesaniyah
    @ummesaniyah Před 4 lety

    Dawah zaal marhum Nyundo zilikuwa unique, zilizogusa na kuhitajika sana kwa watu wote especially mama zetu na Dada zetu. Unfortunately hakuna sheikhe mwingine anayeweza kuzungumza kama sheikh Nyundo. Msiba mkubwa... To Allah we belongs,.. To Allah we will return.
    Allahumarhamuh

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 Před 4 lety

    Inna Lilah waina ilehi rajiuni Allah amrehemu na amtanganye na wema poleni Sana Kwa kifo cha sheikh Allah awape subra InshAllah heri nikiwa London.

  • @fatemaissaissafatema6310

    Innalillah wainna laih ran Jun wabikul qauli thabit sheikh nyundo yarab yarab yarab ya allah ya Allah yaallah

  • @sheisgodorait5721
    @sheisgodorait5721 Před 4 lety

    Allah akupe Kauli thabiti na ma Kazi Mena hakika ya umauti niwe tu wote umetangulia nasi tutakufata

  • @aliissa6632
    @aliissa6632 Před 4 lety

    Inna lillah waina ilahim rajiun poleni sana wafiwa kipindi hiki kigumu tuwe na moyo wa subra leo yeye kesho sisi Allah amsamehe makosa yake

  • @allymuhammad8956
    @allymuhammad8956 Před 4 lety

    Shukran sanna kwa kutupa taarifa allah amsamehe makosa yake na sisi tujiandae na hii safar ambayo haina shaka kwa kila mtu... kufa tuta kufa tu ila wapi tutaelekea ktk sehem hizo mbili hapo ndio pakufikiria.. mwenye akili anajihesabu kabla haja hesabiwa.

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 Před 4 lety +1

    Polen mwenyezi MUNGU ailaze loho ya malehem mahali pema pepon amen🙏😭

  • @zainabumwagiroabdallamwagi97

    Innalillahi waina ileyhi rajiun, mungu amlaze mahali pema peponi, ni huzuni Kweli tuzingatie aliotuachia daawa ambayo tukiizingatia uma utaongoka.

  • @bahatiibrahimu3006
    @bahatiibrahimu3006 Před 4 lety

    Innallillah wainna illah rajuun mwenyez mungu ampe kauli xabit uko aendako na amuweke mahala panapo stahili

  • @zenakhatib91
    @zenakhatib91 Před 4 lety

    Mwenye enzi Mungu amlaze mahali pema peponi AMIIN

  • @khadijacali8142
    @khadijacali8142 Před 4 lety

    Mwenyezi mungu atakufanyi wepesi katika safari yako

  • @Da-cr6ow
    @Da-cr6ow Před 4 lety

    Subhana Allah innalilahi waina ilahi rajiuun mbele yake nyuma yetu Allah amuhifadhi pema Ammin

  • @mgangahamisi1008
    @mgangahamisi1008 Před 4 lety

    Innalillah wainaillah rajiun.
    Mwenyezi ailaze roho yake mahali pema peponi.

  • @hamadialiyy8669
    @hamadialiyy8669 Před 4 lety

    Kikubwa tumuombee sheikh we2 dua mzuri na tujiombee hata na cc wenyewe kwa mungu

  • @zackzain6531
    @zackzain6531 Před 4 lety

    Mungu amlaze pema rohoyake jantulu firdos alala

  • @nasmakapoor5013
    @nasmakapoor5013 Před 4 lety

    Mungu ailaze roho ya marehemu mahari pema pepon

  • @SalmaSalma-nb2cv
    @SalmaSalma-nb2cv Před 4 lety

    Mungu amswamehe makosayake , polen sana wafiwa

  • @marrihshyvoh3236
    @marrihshyvoh3236 Před 4 lety

    Mwenyez Mungu ampe kauli thabit shekh wetu

  • @nashrilfatyahya5483
    @nashrilfatyahya5483 Před 4 lety +1

    Allah amlaze mahala pema peponi Amiin

  • @omarsalaah4611
    @omarsalaah4611 Před 4 lety

    Ktv tz tunawaomba tutafyieni na history ya sheikh wetu almarhuum nassor bachu ili tumjue zaid in shaa Allah

  • @shadiashosho6221
    @shadiashosho6221 Před 4 lety

    Inallilah wainailah rajeuun Allah ailaze roho yake mahali pema pepon Ameen tulikupenda Allah alikupenda zaid

  • @AhmedAhmed-ph3wq
    @AhmedAhmed-ph3wq Před 4 lety

    Allaha Amlaze Pahala Pema Inshaallha,Na ahsante Ktv Online kwa taarifaa mzuuri sana

  • @supumoto6819
    @supumoto6819 Před 4 lety

    ALLAHUMA thabit hu biqaul althaabit in sha ALLAH makazi YAKO itakua جنة الفردوس، ALLAH awape SUBRA family yake na waislamu wote kwa jumla wallah nipigo kubwa kwetu waislamu

  • @mohamednaaman188
    @mohamednaaman188 Před 4 lety +3

    Inna lillah wainna ilaih rajiun Allah amlaze mahali pema peponi aamin 😭

  • @geniuskaoneka9597
    @geniuskaoneka9597 Před 4 lety

    Allah amlaze mahali pema peponi Ameen!🙏🏼

  • @nadhrasuheil4374
    @nadhrasuheil4374 Před 4 lety

    Mungu ailaze roho yako pahala pema peponi

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 Před 4 lety

    Allha akupe mashukio mema baba yetu nyundo innlah waanlih rajiuun

  • @soduxrashol2480
    @soduxrashol2480 Před 4 lety

    Inallilah wainaillah rajyun maalim wangu shkh wetu

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Před 4 lety

    Innalillahi wainna ilayhi rajiun. Yaa Allah msamehe makosa yake na uzifanye nyingi thawabu zake. Yaa Rabb mpe kauli thabit na uilaze roho yake mahala pema peponi, Amiin. Poleni wafiwa wote ndio mwisho wa kila kilichoumbwa, Yaa Allah nasi tunakuomba mwisho mwema, Amiin.

  • @abdul-rahmanfakijuma1879

    Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun Allwah ampe kauli thaabit, Wajannah iwe ndo makaazi aamiyn🤲🤲🤲

  • @zuusaidibushiri5556
    @zuusaidibushiri5556 Před 4 lety

    Mungu akuweke pema peponi shekhe nyundo

  • @zahraabdi8772
    @zahraabdi8772 Před 4 lety

    Allah amrahamu shekhe wetu kipenzi..na .amlaze pema peponi.

  • @badaralamri7381
    @badaralamri7381 Před 4 lety +1

    Innalillah wainnailaiyh rajiunn tuwe pole sote nilikua nakupenda kama muislamu mwenzangu leo yeye kesho sisi

  • @wardasaid9083
    @wardasaid9083 Před 4 lety

    Allahumma ghfir lahu war hamhu waaskin hu fil jannah.amin