MWAMPOSA AFUNGUKA YOTE, NAPENDWA NA WAMAMA, MUUJIZA MKUBWA ALIOFANYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 07. 2024

Komentáře • 887

  • @endeshyamat6773
    @endeshyamat6773 Před 20 dny +24

    Huyu ni mtumishi wa Mungu kabisaaaaaa Mungu ambariki sanaaaaaaa🎉

  • @eusebiusthilia7908
    @eusebiusthilia7908 Před 13 dny +5

    Namkubali sana MWAMPOSA hakika kaletwa Mungu mwenyewe kwa ajili ya kizazi hiki!Mungu aendelee kumjalia Baraka na Neema Tele

  • @humphreyonlinetv2739
    @humphreyonlinetv2739 Před 21 dnem +27

    MWAMPOSA IS ATRUE MAN OF GOD HIGHLY ANOINTED

  • @irenemwanry121
    @irenemwanry121 Před 20 dny +35

    Mtume tumekufahamu toka unahubiri nyumba kwa nyumba Moshi kijijini kwetu, hakiki ni Mungu alikuandaa kwa kizazi chetu ❤❤❤

  • @perpetuakicheleri-zk5ly
    @perpetuakicheleri-zk5ly Před 20 dny +18

    Mungu akuweke mpk yesu Atakaporudi baba umefanya makubwa 🙏🙏

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Před 21 dnem +8

    Mwenyezi Mungu azidi kukubaliki sana sana True Man of God ,Very Humble, mwenyezi Mungu anakutumia sana na Umeokoa Wengi sana sana,Tuna ushuhuda Juu yako na Tunakupenda sana sana,Mwenyezi Mungu azidi kukuinua Sana sana.Ndani na Nje ya Nchi umeokoa wengi,Mungu atankutumia sana mpaka wachawi na Waganga wamesalender wamekuja kujikabidhi kwa Yesu Kristo.May God Keep on blessings you

  • @user-qb3cb2zl5l
    @user-qb3cb2zl5l Před 17 dny +15

    Huyu ndio mganga maarufu na mwenye mafanikio kuliko waganga wote africa mashariki

  • @gratusvlogs
    @gratusvlogs Před 22 dny +117

    Sema mwamposa kama Kijanakama unakubaliana na mm nipe LIKES apaaaaaa

    • @Rogathe-Rogathe
      @Rogathe-Rogathe Před 22 dny +2

      Kijana kbs

    • @bakariomary5781
      @bakariomary5781 Před 22 dny

      Pesa ndugu inatakatishwa haujui😂😂

    • @florabuzoya3948
      @florabuzoya3948 Před 21 dnem +2

      Anazidi kuwa kijana kwa sababu ya kufunga na kusali sana

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 17 dny


      HHHH NDIOOO_🤦🏿‍♀️

    • @user-eu5ly2sk8w
      @user-eu5ly2sk8w Před 8 dny

      Nakukubali sana nimetoka ziro Sasa Niko yuro haijalishi watakuitaje mungu akutunze na akufunike kwa damu yake iliyo kuu

  • @ElizabethKazimoto-uc8zo
    @ElizabethKazimoto-uc8zo Před 19 dny +20

    Man of GOD ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu akutunze our prophet

  • @monicaisuja8917
    @monicaisuja8917 Před 22 dny +25

    Mwamposa ni kweli mtumish WA Mungu maneno ya watumishi wenzako ni mengi Mimi mwenyewe ni mengi Mungu amenitendea we peleka watu Kwa yesu usiogope❤

    • @ujenziimaratv1192
      @ujenziimaratv1192 Před 19 dny

      Wewe ndio umelitaja jina la Yesu uyo mtumishi wako aja litaja
      Akili kichwani

    • @fumotv7914
      @fumotv7914 Před 17 dny

      ​@@ujenziimaratv1192unauhakika

    • @Salesiamalekela-i2h
      @Salesiamalekela-i2h Před 16 dny

      Kwakweli tunakuxhuru sana mtumixhi wa mungu kwakutusaida mungu akulinde uixhi miaka mingo sana

  • @LATIFAMUSSANAMANORO
    @LATIFAMUSSANAMANORO Před 2 dny +1

    Nakuaamini baba nakukubali sana mwenyezimungu aendelee kukuweka zaidi na maisha marefu milele amina

  • @StelaMwambemba-qd3tr
    @StelaMwambemba-qd3tr Před 20 dny +9

    Nabarikiwe. Na mtumishi mwamposa libalikiwe tumbo lilimzaa Mungu amtunze miaka mingi sana

  • @user-ex1cn3bc2h
    @user-ex1cn3bc2h Před 20 dny +10

    Nakupenda xan mtumixh wa Mungu Mwamposa Mungu akuzidixhie miaka ya kuixhi uzidi kutuudumia

  • @user-hm2oc6en9s
    @user-hm2oc6en9s Před 22 dny +24

    Mungu akuweke miaka mingi sana Mtume. Umefanyika baraka sana katika maisha yangu na familia yangu. Ukipatwa na matatizo ndiyo utajua umuhimu wa huyu Mtume.

    • @FurahaCosmas
      @FurahaCosmas Před 8 dny

      Haswa,ndo ile cmulia sana omba yasikukute beb

  • @nairakiboko
    @nairakiboko Před 19 dny +35

    Mwamposa bado ni kijana
    Tunao shirikiana kumuombea miaka mingi duniani awaponye na wale waso amini gonga likes apo❤❤❤ love mwamposa

  • @AngelBoniface-oe8ug
    @AngelBoniface-oe8ug Před 19 dny +28

    Huyu baba ameanza Mbali sana mwacheni tu Mungu akubariki

  • @AUGENSYLIVAND-rq7hz
    @AUGENSYLIVAND-rq7hz Před 22 dny +37

    Kwakweli Ayo Tv habari mnazitafuta hebu gonga like

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-96 Před 22 dny +31

    mtu wa maana kabisa mwamposa ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 Před 17 dny +6

    mazuzu ni mengi sana mwamposa piga pesa fanya maisha hii nchi ina watu wasio na elimu na majinga mengi sana tumia iyo fusa wakisha janjaruka unakuwa umeishajipata na mazuzu mengi ni kina mama kwa sababu ni mepesi kushawishika

  • @IsaackPaulo
    @IsaackPaulo Před 19 dny +7

    Mtume Mwamposa amekuwa baraka sana kwa taifa letu na familia zetu mimi niliyefunguliwa kwa upako wa madhabahu hii namwona na Nabii Eliya mtishbii yuko Tanzania ❤❤❤❤❤

    • @saleemsuleiman2220
      @saleemsuleiman2220 Před 18 dny +1

      Mtume feki😂

    • @IsaackPaulo
      @IsaackPaulo Před 18 dny

      @@saleemsuleiman2220 wewe ndo feki

    • @saleemsuleiman2220
      @saleemsuleiman2220 Před 16 dny

      @@IsaackPaulo mtume kutoka KUZIMU SIO KWA MUNGU WA MBINGUNI SISI SIO WAJINGA

    • @saleemsuleiman2220
      @saleemsuleiman2220 Před 16 dny

      @@IsaackPaulo Tatizo hamna maarifa yale Mafuta anayouza ametolea wapii

    • @IsaackPaulo
      @IsaackPaulo Před 16 dny

      @@saleemsuleiman2220 kwanimafuta yanatakiwa yatoke wapi na hayo mnayopikia mnajiwa yanakotoka?hujui agizo la mafuta kibiblia wewe ni mgeni na maandiko matakatifu tulia sisi tuanaojua rufaidi ahadi za Mungu

  • @HappyChalamila-wd2wl
    @HappyChalamila-wd2wl Před 6 dny +2

    nayapenda afundisho yako yaani mimi nakupenda kweye uchambuzi wa neno la mungu

  • @ngowidyness3464
    @ngowidyness3464 Před 21 dnem +11

    Tenda kazi uliyoagizwa na Mungu mwanaadam hatuishiwi kauli❤❤itoshe kusema tunakuelewa na kukuamini na shuhuda ni kuu mno

  • @BabaD-fu9io
    @BabaD-fu9io Před 2 dny

    Mwamposa Mungu akulinde sana akupe miaka mingi, umenifanya kuwa jasir maisha yangu siogopi chochote, siogopi waganga,siogopi wachawi natembea kifua mbele

  • @beatriceminja2148
    @beatriceminja2148 Před 22 dny +194

    Akiwa Kilimanjaro nilikuwa nafanya kazi stationary flan na mtumishi alikuwa anafanyia shughuli zake za matangazo, na vipeperushi Hapo. Kwa mwamposa hunichomoi, baba yangu kapona na hamjui mwamposa na hajui hata kanisa lake liko wapi.. Mwamposa chapa injili BABA🙌🙌

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l Před 21 dnem +7

    Nakupenda mwamposa mtumishi wa bwana Mungu akuweke daima

  • @user-eh5il7pw2f
    @user-eh5il7pw2f Před 22 dny +14

    Nipo Babati Manyara nampenda sana huyu baba yetu wa kiroho

  • @user-li1ux1xh4m
    @user-li1ux1xh4m Před 17 dny +1

    Mwamposa anafungungua kila lililofungwa jmn❤mungu akulinde sana.

  • @veronicapatrice436
    @veronicapatrice436 Před 22 dny +10

    Hongera sana classmate pascal Mungu amtunze mtumishi wa Mungu..kichaa anachekesha kam hatokei kwako huwez jua umubimu wa maombi kam hujapata matatizo❤

  • @jackycharles6419
    @jackycharles6419 Před 22 dny +46

    Jaribu kumsoma mtuu anapojibu maswalii hakuna maharii amejiinua sa unataka fananiasha mwamposa na uyo kiboko wa wachawii kutwa Zima nikujisifu na madharau ata yesu nae alikuwa na umatii wa watu na alipigwaa kula siii masiihii Ila mda ulipofika waliona cheche yake am proud to this man of God

    • @user-is6np5vf6b
      @user-is6np5vf6b Před 22 dny +1

      Umeona eeh 🎉🎉🎉

    • @florabuzoya3948
      @florabuzoya3948 Před 21 dnem +1

      Hajawahi kujiinua kwa kweli huyu mtumishi wa Mungu wa Kweli kabisa.Mungu ambariki sana

    • @heavenlightmalisa1112
      @heavenlightmalisa1112 Před 16 dny

      Huyu ameitwa na Mungu barikiwa baba

    • @Apox_eric
      @Apox_eric Před 16 dny

      Exactly, ningekuwa na uwezo ningekuzawadia.
      Umejibu just like ne ningejibu kumsoma mtu muongo ....
      The nan is humble,
      No show offs, proudness.
      He only says It si the hand of Almighty
      God.
      Text me on whatsApp
      +255753694154

  • @petermadata7803
    @petermadata7803 Před 22 dny +5

    Kila mmoja ni mtenda miujiza,kikubwa ni Imani kwa Mungu. Kazi isiyo ya Mungu muda ukifika,Mambo yote huwekwa hadharani

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 Před 22 dny +39

    Sitii neno lolote !! Mungu ndiye anayejua yaliyo sirini !!

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 Před 21 dnem +3

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @nicaswaziri
    @nicaswaziri Před 19 dny +1

    Mungu akulinde na akupe uweza zaidi niliteseka sana kiuchumi lkn leo namiliki kupitia wewe nimeinuka kiuchumi. Asante mtumish wa Mungu siku moja ntakuja kawe Mungu amenitendea Mengi mnoo.🙏🙏🙏

  • @emmanueldaudi3797
    @emmanueldaudi3797 Před 22 dny +38

    Muujiza Mkubwa ni mtu kumwamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake.

  • @julyethiema1220
    @julyethiema1220 Před 19 dny +15

    Nampenda sana mwamposa kamtoa mdogo wangu ugumba wa miaka 40 na yeye alikuwa hamwamini ni freemason sasa anaitwa mama miracle ana miezi 4

  • @josephmtoro9606
    @josephmtoro9606 Před 13 dny +2

    Ulikua na mungu kweli sema tamaa imekuzidi na hiyo ndo kazi ya shetani, anakupa mafanikio na raha za dunia ila uzima wa milele sahau. (MATHAYO 10:8) ila kwa sababu umenunua huna budi kuuza.

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso Před 22 dny +1

    Amen Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe Babaangu wa kiimani Mungu anajua uliko nitoa nimepitia changamoto nyingi nikakata tamaa ya kuishi nilipofika kawe chini ya mafundisho ya mafundisho ya Mwamposa kila kitu kimekuwa historia nimepokea uponyaji Namshukuru sana Mungu wa Mwamposa

  • @modestamshana1279
    @modestamshana1279 Před 22 dny +14

    Mtume ni handsome🥰

  • @ianbryse1417
    @ianbryse1417 Před 22 dny +16

    Buldozer Mwamposa ❤️ Nimekuverify ☑️

  • @glorygadielmshana1070
    @glorygadielmshana1070 Před 22 dny +2

    Hakika mungu yupo ndani yako mtume,nimepokea na kutendewa mengi kupitia tv tuu ♥️♥️♥️♥️

  • @user-wl7xj6dy4u
    @user-wl7xj6dy4u Před 22 dny +5

    Arise and shine🎉 mtatutafuta mpate habari kwetu hatuna mdaa wa kuwatafuta❤

  • @PhyinaElias-mu4wf
    @PhyinaElias-mu4wf Před 22 dny +4

    Hallelujah mungu n mwema sambaza injili apostle🎉wenye chuki watajijua wenyewe

  • @mrjulius5840
    @mrjulius5840 Před 18 dny +2

    Mathayo 7:21-23
    [21]Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
    [22]Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?
    [23]Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.

  • @norfenvgeraldo9493
    @norfenvgeraldo9493 Před 22 dny +16

    Ninamshukuru sana Mungu kupitia huyu mtumishi nimefunguliwa vitu vingi sana kwa kweli mungu azidi kumtumia kwa viwango vya juu zaidi .🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @barutiabuu9492
      @barutiabuu9492 Před 22 dny +1

      Wewe akili zako zimefirisika kiukweli bola hata ya mnyama kuliko wewe sijajua alie waloga amekufaa au yuko wapi mnalaana hakiamungu asee nyie binadam nyie du

    • @PhyinaElias-mu4wf
      @PhyinaElias-mu4wf Před 22 dny +1

      Amen

    • @MaurenEmmanuely-nc9id
      @MaurenEmmanuely-nc9id Před 22 dny

      Laana unayo ww​@@barutiabuu9492

    • @user-nm1re5kp7m
      @user-nm1re5kp7m Před 22 dny

      Wew endelea kutuona wajinga one-day utajua umuhim wawatumishi wa mungu na hata siku Moja usipoteze mda wako kuhukumu watumishi wangu subiri mung awahukumu wenyewe kama wanafanya kinyume ​@@barutiabuu9492

  • @user-ut4wf9vq6g
    @user-ut4wf9vq6g Před 2 dny

    Nabarikiwa sana ninaposikiliza mafundisho yako mungu azid kukuweka mtumishi wamungu

  • @user-wy1or9fm2s
    @user-wy1or9fm2s Před 19 dny +2

    Jee mwaposa kalala kwenye ukrisito someni Wakorintho 15 :18 na duniani hakuna mtumishi hata umoja wa mungu

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před 22 dny +11

    Ninachoamini ni Imani tu. Ukiwa na imani kuwa kupitia Mwampsa utapona au utafanikiwa naye pia akawa na imani ya kuponya kwa maombi basi Mungu atatenda. Hata wana wa Islael hakujitokeza Mungu bali alimtuma Mussa.

  • @joshuajustustz
    @joshuajustustz Před 22 dny +12

    Naipenda sana injili ya mtume Mwamposa. Anahubiri ukweli na ukichukua dondoo za mahubiri yake ukazifanyia kazi utapiga hatua. Mambo mengine SI mpaka kuombewa na kuwekewa mikono... Mafanikio Yana kanuni zake. Mtume amekuwa daraja Bora kuwavusha watu kutoka katika hali duni na kuinuka... Lakini haya yote SI yeye Bali Mungu aliye ndani yake. ❤❤❤. Piga injili baba 🎉🎉🎉🎉

  • @eclinemaro7677
    @eclinemaro7677 Před 18 dny +1

    Tunakupenda sana mtume , Mungu azidi kukutunza sana

  • @JoyceMbano
    @JoyceMbano Před dnem

    100 lwa 100 nimtumishi wa mungu kazi inajiziilisha asiyeamini atajiju

  • @ConfusedBloomingFlower-wv1gf

    Nampena sana mwamposa mungu akupe maisha marefu mutimishi wa mungu

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 22 dny +13

    Hivi watu wanafikiri mtu mpaka aache kila kitu atumie fedha ya nauli kuja kwenye ibada unafikiria ni mchezo. Kubadili roho za watu siyo kazi ndogo.
    Kama watu wanafikiri ni uchawi na wenyewe wafanye uchawi waone kama wataweza.
    Sasa Mungu acha aonyeshe power zake maana ilifikia mahali watu wanaamini shetani kuliko mungu

    • @user-wi8og3sv4j
      @user-wi8og3sv4j Před 22 dny

      @@user-sj3wf5vz7l kabishane na mtu anajiona ana akili yeye pekee kuwazad watu milioni kwakichwa chakekimoja atakupa uchizi bure

    • @ciscojr2277
      @ciscojr2277 Před 22 dny +1

      Huyu jamaa anafanya miujiza na yupo kimiujiza zaidi kuvuta watu kama nyie...mtu kama Mwakasege mbona nae anazungukaga nchi nzima lakini hana mambo ya kuuza hadi magazeti na ukienda kwake unatoka na neno kweli sio huyu jamaa yenu

    • @zachariamakoba8368
      @zachariamakoba8368 Před 22 dny +1

      ​@@ciscojr2277kaka una akili kubwa kama mimi shetani nikama malaika Ila huyu jamaa mchunguzeni injiri yake haina kuokoa ni mtu wa miujiza na upako tu, na hajui kuhusu kukataza zambi, Ila Mungu atupe akiri kubwa kuyajua haya hizi ni siku za mwisho

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 Před 19 dny +3

    Hakuna mtumishi wa mungu,aliyeumba mbingu na nchi hapo, kumbukeni kuna miungu wengi, mwamposa ni mfanya biashara tu, watu.wanafuata miujiza.

  • @benardbonephace4896
    @benardbonephace4896 Před 22 dny +25

    Anayeita watu ni Mungu,na sidhani kama ninawito wa kumnyooshea mtu kidole kujua ni wa kweli au sio wa kweli,kikubwa Mungu na injili inahubiriwa,watu wanaokoka na kuacha uganga,so kumwamini au kutokumwamini ni uchaguzi binafsi,endelea na kazi ya Mungu mtume Mwamposa,tupo nyuma yako

  • @nancykaseko
    @nancykaseko Před 4 hodinami

    Yesu akutunze man of God...

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Před 22 dny +10

    Hakika mtaji ni Watu Mzee hongera sana Kwa kuwakamata

    • @Dianamwansasu
      @Dianamwansasu Před 22 dny

      Na wewe si uanze kuwakamata

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 Před 22 dny

      Hata shetani anaweza kufanya Kazi ndani ya mtu Miujiza hiyo Ni lazima itokee Kwa sababu yeye ana mipepo mikubwa Kwa hiyo Ni lazima anayazima mapepo madogo nanhaliamuki Tena sababu mkubwa WA mapepo kasema lakini biblia hayo nasema watatokea manabii weeengi na watafanya.miujiza mingi.nawatu watu wataamini jamani tusome biblia tusitegemee watumishi tu watuoombee Bila Sisi kusomba Kwa bidii

    • @jacobnyosole1774
      @jacobnyosole1774 Před 20 dny

      Wewe shida yako ni udini tu , nguruwe wewe😂😂

    • @Dianamwansasu
      @Dianamwansasu Před 20 dny

      @@tinnahagustinolyelu4247 shida si kuomba tu.mengine ya Mungu unafanya.sawa umesimaama kwa miguu yako unatii sauti ya Mungu?mwisho wa yote kuhukumu si kazi yetu maana hata wewe hujui kama unaenda au lah!Mungu atufadhili

  • @pendomushi9319
    @pendomushi9319 Před 11 dny +1

    Baba angu nakupenda hadi natamani kukubeba.

  • @heavenlightmalisa1112
    @heavenlightmalisa1112 Před 16 dny +1

    Mtumishi wa Mungj nimetoka nae mbali sana akiwa anaanza kilimanjaro karibu na Tanesco Mungu akubariki baba miaka mingi kwako

  • @BahaaBundala
    @BahaaBundala Před 20 dny +1

    Neno la mungu linaxema mm nanyumba yang tutamtumikia mungu wambinguni❤xaxa ww kama hauamni mungu anaetenda miujiza bas una mungu wako

  • @Japanese-lz1or
    @Japanese-lz1or Před 22 dny +5

    Wote mnaomtukana mtumishi wa mungu nyie mnashida huyo hata kama ni mganga , au shetani ss tunaenda pale kumwabudu mungu tu sio yy acheni makasiriko

  • @vero57
    @vero57 Před 22 dny +2

    KESI ZANGU ZOTE ZIMEKWISHA, ASANTE YESU🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾💐💐💐

  • @EmmanuelYohana-km8xe
    @EmmanuelYohana-km8xe Před 3 dny

    MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI WA MUNGU BONIPHACE MWAMPOSA

  • @user-sc9zl2hx1c
    @user-sc9zl2hx1c Před 22 dny +2

    Mungu amuwekee mtumishi sana aishi miika mingi kama mitume wa Zaman aendelee kuwabaliki wengi ❤❤

  • @Mcsceo
    @Mcsceo Před 21 dnem

    I love venye APOSTLE Analitaja jina la Ndugu yangu Mc Pascal mwakyoma inaonyesha mtumishi hajikwezi analitaja jina lake unajua bwana pascal aisee MUNGU azidi kumuinua mtumishi wa Mungu ,pia hongera kwa Mc pascal mwakyoma uko very humble japo interview ni fupi umeuliza maswali muhimu karibu yote MUNGU akuinue kaka..

  • @stellanakaaya2331
    @stellanakaaya2331 Před 18 dny +2

    Mimi naamini Kila kitu ni MUNGU anapanga.wasaidie watu na kuwaponya.tunakuombea miaka mia zaidi ya UTUME🙏

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 22 dny +18

    Mwamposa hata usipomwamini ni sawa tu hata yesu mpaka anakufa na anafufuka walikuwepo ambao hawakumwamini.
    Sisi wacha tufaidi baraka za mwamposa. Baba chapa kazi tunakufahamu tangu ukiwa kilimanjaro . Wewe una Mungu.

  • @JohnOkwom
    @JohnOkwom Před 18 dny +1

    Mungu akuzidishie Maisha marefu Mwamposa mtumishi wa Mungu

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k Před 22 dny +1

    Ungeuliza kuhus mke na watt na familia yake🙌🙌au ulikuwa unaogopa muuliza maswali🤷‍♀️

    • @user-sn6dc9gh8k
      @user-sn6dc9gh8k Před 22 dny +1

      Na kuhusu hzo shutuma za kudai anatembea na baadhi ya wasanii

  • @silviamassawe2587
    @silviamassawe2587 Před 19 dny +2

    Tangu sinza ngumbani kwa mtu tunafanya ibada mwacheni❤❤

  • @esterpastory8918
    @esterpastory8918 Před 17 dny +1

    Ambao hawamuamini mwamposa shauri yao mana huwezi kumlizisha kila mtu sie tuliopona magonjwa nakuinuka kiuchumi acha tusonge mbele na baba yetu wa kiroho

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l Před 21 dnem +2

    Mungu naomba nipate nyumba kama ya mtume Mwamposa

  • @NestoryMhagama-ci5pq
    @NestoryMhagama-ci5pq Před 22 dny +4

    Be blessed man of God

  • @martinamahenge4476
    @martinamahenge4476 Před 22 dny +1

    Mungu aendelee kukuweka mtumishi wake umeponya wengi nikiwa mm mmoja wapo kama hujawahi pata masaibu ya maisha ukaponywa huwezi elewa Mungu akuweke miaka 10000999999🎉🎉🎉

  • @songombingo108
    @songombingo108 Před 19 dny +1

    Amekuwa tajiri kuliko Waumini wake. Dini hizi tuwaachie wenyewe waliozileta😂😂😂😂

  • @JamsiiMolell
    @JamsiiMolell Před 2 dny

    Mungu akuongesee miaka mengi kutuudumia naamini maoombi yuko mtume

  • @Deadskytz
    @Deadskytz Před 12 dny +1

    Bora mwamposa ndo awe DC wa ubungo 😂

  • @pceodhc
    @pceodhc Před 22 dny +4

    Hallelujah!

  • @reytn2494
    @reytn2494 Před 22 dny +2

    Ni neema ya Mungu imekushukia mtumishi nami nimetendewa mengi , malaika wa Mungu wakuzingile.

  • @janethjerald1737
    @janethjerald1737 Před 19 dny +1

    Mama angu amepona kisukari,BP namshukuru sana huyu pastor

  • @priscadaniel6459
    @priscadaniel6459 Před 22 dny +2

    Asante mungu baba unahekima sana mungu azid kukupa neema zaid hakika tumeona mkono wako kupitia wewe

  • @user-wy4yn2xi3n
    @user-wy4yn2xi3n Před 18 dny

    Tunakushukuru sana mtume MUNGU Akubariki sana akuzidishie maisha marefu Ameen.

  • @MariamuMkonge
    @MariamuMkonge Před 19 dny

    Mungu akubariki mtumishi kwa kuifanya kazi yake na azidi kukutumia zaidi maana unefanyika baraka kwenye maisha yetu usivunjike moyo baba mti wenye matunda ndio unao pigwa mawe

  • @user-nn7dq9pu2s
    @user-nn7dq9pu2s Před 6 dny

    Nakupend sana mtumishi ,pale kwa baba yangu kuna mbwa wetu akawa hazai akawa na miaka miwili nilipo kuja hapo kanisani kuchua mafuta na maji ya upako nilipo enda kumwagia akabeba mimba sasa anawatoto 5

  • @festomandari3773
    @festomandari3773 Před 7 dny

    Might God enich you with more wisdom Apostle

  • @BeatriceMlowe-iz5uj
    @BeatriceMlowe-iz5uj Před 17 dny

    Tunao kuelewa wacha tukuelewe wasio kuelewa pia wapee muda one day wata kuelewa maana hata mimi sikuwa nakuelewa ila muda wa Mungu ulipo fika nilikuelewa bila kipingamizi coz upo tofauti sana na manabii wengine hasa wenye umaarufu. Huna sifa hujisifu unafwata sheria za biblia unakemea dhambi unatoa muda wa maombi na unakumbusha kuomba kila siku japo mala 3 kwa siku why nikuchukie Mwaisa mwenzangu mie nakupenda sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NuruSanga-yo2sl
    @NuruSanga-yo2sl Před 22 dny +2

    Hata sauti yako tu inajieleza kwamba umetumwa na mungu respect baba wa kiroho

  • @Alphonce-em2xi
    @Alphonce-em2xi Před 22 dny +16

    Amen Apostle Mwamposa

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Před 21 dnem

      Apostle gani alimiliki mali . Watu wa Mungu wa kweli hat pesa kuishika walikataa , hata kibanda nyasib hawaku miliki

  • @NeemaSengerema
    @NeemaSengerema Před dnem

    mungu akuwekee mtumishi wetu amen 🙏

  • @user-pr8jo1cq2c
    @user-pr8jo1cq2c Před 22 dny +2

    Ulijaza watu kwakweli duh ❤😂

  • @bilid4128
    @bilid4128 Před 22 dny +2

    Mmh huyu sio mtu wa kawaida 😅😅😅

  • @user-cf5li5mf9o
    @user-cf5li5mf9o Před 18 dny

    Nafrahi sana kumuona mtumishi wa mungu mwamposa mungu akuweke baba kwa miujiza unayotutendea duniani kiujumla mm pia nimepokea miujiza mingi sana 🙏🙏🙏

  • @user-wp2ww7mf7r
    @user-wp2ww7mf7r Před 22 dny +9

    Arise and sheni

  • @JMenglishfairytales
    @JMenglishfairytales Před 6 hodinami

    Hekima aliyonayo huyu baba ni ya Mungu wa kweli

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 Před 22 dny +2

    Ameni mtumishi wa mungu na mungu Azidi kukuinua tunakupenda waumini wako🎉

  • @OfficialVeronika
    @OfficialVeronika Před 11 dny

    Nakuerewa sana mtumishi ubarikie kwa uduma

  • @mtangag774
    @mtangag774 Před 22 dny +2

    Noted

  • @sylviadanford9138
    @sylviadanford9138 Před 18 dny +6

    Nakupenda sana Apostle, huropoki n ni mtumishi wa kwanza Tanzania nzima mwenye akili,hekima sana kanisani sio mtukanaji wala mropokaji ni mtulivu unashibishwa neno mpka unamuona Yesu live.keep moving n our prayer will protect you.❤❤❤bless you man of God

  • @user-xi2mf4xh7r
    @user-xi2mf4xh7r Před 18 dny +1

    Ufahamu wa watu wengi wamepofushwa macho anayeponya siyo Mwamposa na kumwamini mwanadamu ni laana maana kumwamini mwanadamu huwezi ukawa na uzima,mwaminini Mungu ktk kristo Yesu ili muwe na uzima siyo mwanadamu.Yoh 3:16

  • @Yadah_poultry_foundation

    Amen apostle ❤

  • @vailethkilewo2480
    @vailethkilewo2480 Před 22 dny +1

    Nibaraka❤❤❤