Haya hapa magoli yote matano ya Simba ikiitandika Mbao FC 5-0 (26/02/2018)
Vložit
- čas přidán 25. 02. 2018
- Simba imeicharaza Mbao FC jumla ya mabao 5-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa leo katika dimba la Taifa Dar es Salaam.
Magoli yote a Simba katika mchezo wa leo, haya hapa, wafungaji wakiwa ni Shiza Kichuya, Emmanuel Okwi mabao mawili, Nicholas Gyan na Erasto Nyoni. - Sport
Simba noma
Simbaa wabayaa daaa🤗🤗
kwa Simba hii isipo chukua kombe narudi nangwanda
big up this is simba
Mmh mume wenu kashapigwa bado nyinyi wake zao
THIS IS SIMBAAAA 👍🏾👊🏿💪🏾
Ndio
nawakubali sana wadau wangu wanguvu
Hakuna namna aiseeee 🔥 🔥
Sinzo Madini
this is simba
simba nguvu moja
simba oyeeeeeeeeeeeeee
Dauson
mtatujua to mwaka huu tuliwaambia mwadui katutibulia Shy ngoja mbao aje taifa aone chamtemakuni
This is simba brother
okwiiiii simba noma
Idaya Key ulaya
Okwiiii hii saaa safi unazungukaje na watu wanne huku bdo unamliki mpira na kutoa assist daah Hutu jamaa noumaa
Hatali sana
mambo ni motoooooooooooo
Safi hiyo ndio simba mnyama toka mbugani kaja shambulia
simba watupa rahaaaaa
This is simba brother😀😀😀😀
Hiyo ndio simba bwanaa eeeeee!
Steve Moyo na Barwan ni Deflection si reflection
fire mnyama
Suleman Kileo simba noma
AZAM Tv wameanza mnatuekea clip ya dakika 6 kwani Mb za kwenu
Fami , Zanzibar kwanza okwiiii ni shiidaaaaaa
Fami , Zanzibar kwanza kawaida yao ikicheza simba
Fami , Zanzibar kwanza sasa unataka dakika 40kwa goli 5?
Fami , Zanzibar kwanza ahahahaha
Fami , Zanzibar kwanza mbona clip ya dakika 27 ipo hujaiona
this is simba kwel.....
🔥🔥
hyo n sifaaaaaaa mnyama penda sanaaaaaa
Hawa jammaa sasa ubingwa watachukua
Mambo n moto
Hahaha Hili Goal La Kichuya na La okwi Ni la kuombea mkopo Bank😂😂😂😂
Ila azam TV mnazingua! Ushabiki sio vita, vita uwanjan huku burudani! Kwamba mkibaniwa uwanjan na nyie mnakza update za CZcams
Safi watani!! Hahahaa maana najiona tu niwasemee vyura maana wana jealous wanashndwa kutoa pongez kwa kumuadhibu hili tatizo lao!! Hahahaa simbaaaaaaa,,
haya magoli ya simba adi raha maana waeza usilale nyumbani ukimwambia mkeo ulikuwa unaangalia marudio ya simba na akaelewa
hiyo ndio simba
Deflection siyo reflection
hii sasa sifaaaaaa
Yaniiiii hadi unanikumbusha enzi ya mafisango simba oyeeeee
goli la tano n 🔥🔥🔥🔥🔥
Ximba on fire
Chapa kipigoooooo twende zetu
Huyo ndo mnyama
Nnyama hatarii!!
Hii ndio simba haijafungwa kidunia pamoja na bacelonal
Reflection au deflection?
lack dube
Wanaofukuza mwizi kimyakimya wafukuze
Hii ni hatari kama hatari zngne tu 😀😀
Simba nguvu moja
ninomaaaa nguvu moja ubingwa wetu mwakahuuu
this is simbaaaaaaa
inatia uvivu kufukuzia jitu lenyewe linataka sifa ila wacha tuwakomeshe NG'RIIIIII!!!!!!?
Mfaume Dickson kbs 😂😂😂
simba damu
Madrid 4, man u 2 simba mnyama 5 Yaan raha 2pu
simba.tupeni.raha
Wako wapi wale waliokua wakimsema okwi muhenga wameufyata kimyaa uyo ndie okwiiii
Mkono mkono mkono mkono mkono mkonoo.
simba nguvu mja
mbao zimekuwa lakini
atali
mtangazaji anasema okwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
n xhdaaaaaaaaa wataisoma this year
Hahaaaa mtu kapigwa mkonooo..... Sahv ni kucheza na 4G au mkono😁🙌🙌
simba noma
Hatar Simba ni nomaaaaaaa 4G
Amijay Imani QASWIDA
Amijay Imani mnabembwaaaaa haoooooo
Amijay Imani 😂😂😂umeonaeee
Sio 4G tena ni 5G
4G tumehama saivi 5G gwala masela wa mbao niaje
Chezea Mnyama Weee 555
Janja Kibosha Janja gombo simba
huyo hap mnyama.
Simba nouma
simba ya kibabe.
Hakuna.mbao ngumu.mbele ya.msumeno
Yani mechi ya yanga mnaweka dk 38 mechi ya simba dk 6
Kumbe wepesi
Kisy Nyakaho yanga akikutana nao kwake bonge la gem yaaani wanataka kufa
shizo be classic ,,, yaan ulimi nje nje kama mbwe ,,,ila kwa simba hawana lolote zaid ya kucheza rafu nyng
😂😂😂😂😂😂😂ngoja waje nawao yaani nahmu nao hatare najua kutakuwa akuna majerui boko atakuwa kapona wamlete shishi baby wao uyo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hiyo ndo simba bhana
simba
2mefunga vioo si 2nagonga tu
tutagawa dozee mwanzowisho
aaaaaaaaaaaaaaammmmmm
Focus Busili my
Simba noma
kumbe wepex 2 mbao
Hawa jammaa sasa ubingwa watachukua
penda sana simbaaaa
mnasifa nanyie simba
Sio 4G tena ni 5G
sasa hawa simba si wapewe tu kombe lao.