Haya hapa magoli yote matano ya Simba ikiitandika Mbao FC 5-0 (26/02/2018)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 02. 2018
  • Simba imeicharaza Mbao FC jumla ya mabao 5-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa leo katika dimba la Taifa Dar es Salaam.
    Magoli yote a Simba katika mchezo wa leo, haya hapa, wafungaji wakiwa ni Shiza Kichuya, Emmanuel Okwi mabao mawili, Nicholas Gyan na Erasto Nyoni.
  • Sport

Komentáře • 105