ZITTO KABWE APOKEA WANACHAMA KAYA 800 ZILIZOACHANA NA CCM NA KUJIUNGA NA ACT WAZALENDO MKOANI KATAVI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • KARIBU PHINU MEDIA
     Tunashughurika na Maswala yote ya Habari Mtandaoni,
     Tunatengeneza Makala aina zote
     Video and production
     Photoshoot
     Event Management
     Tunatengeneza Cards aina zote
     Tunakodisha Muzic na majukwaa kwa shughuri mbalimbali
     Tunakodisha magari ya shughuri mbalimbali
    WASILIANA NASI KWA NAMBA 0767803433,0749684162, 0749616975

Komentáře • 14

  • @abujamalaalghammawiy7470
    @abujamalaalghammawiy7470 Před 28 dny +1

    Ahsanteni ACT, Hakika hiki ndio chaka mkombozi kwa sasa Tanzania

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 Před měsícem +4

    Dc yupo wapi hadi inafikia hivyo? Ukweli awajibike tumepoteza wapiga kura wetu wa Ccm inatisha sana.

  • @AndrewBenson-m4x
    @AndrewBenson-m4x Před měsícem +2

    Together is one

  • @MuzneOthman-l7i
    @MuzneOthman-l7i Před 23 dny

    Mbona mlio wa ngoma anaopiga zito haulingani na wimbo unaoimbwa huku Zanzibar?.

  • @alinasor8553
    @alinasor8553 Před 27 dny

    Aliyekua kiongozi ss asaiv yupo wapi mbna mnatuchanganya

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Před měsícem +2

    hii ndo nkazi ya upinzani

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 Před měsícem +1

    Huo ndiyo upinzani SIO fujo huyu na Chukua huku mwingine hivyo safi CDM wakija wahame CCM hivyo SIO kuandamana

    • @BasilMocha-mi6mx
      @BasilMocha-mi6mx Před 28 dny

      Tangu waandane cdm wameleta adha gani kwa nchi

    • @MuzneOthman-l7i
      @MuzneOthman-l7i Před 23 dny

      Muheshimiwa Dalali huyo.Alikuisha kuuza hicho chama kitambo

  • @InnocentJohn-l5y
    @InnocentJohn-l5y Před 24 dny

    Kidumu chama chamapinduzi

  • @stefanoolango1854
    @stefanoolango1854 Před 28 dny

    Nyie nao mmepotea hicho chama kitiwasaidia nini rudini ccm chama kikubwa