ZITTO KABWE APOKEA WANACHAMA KAYA 800 ZILIZOACHANA NA CCM NA KUJIUNGA NA ACT WAZALENDO MKOANI KATAVI
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- KARIBU PHINU MEDIA
Tunashughurika na Maswala yote ya Habari Mtandaoni,
Tunatengeneza Makala aina zote
Video and production
Photoshoot
Event Management
Tunatengeneza Cards aina zote
Tunakodisha Muzic na majukwaa kwa shughuri mbalimbali
Tunakodisha magari ya shughuri mbalimbali
WASILIANA NASI KWA NAMBA 0767803433,0749684162, 0749616975
Ahsanteni ACT, Hakika hiki ndio chaka mkombozi kwa sasa Tanzania
Dc yupo wapi hadi inafikia hivyo? Ukweli awajibike tumepoteza wapiga kura wetu wa Ccm inatisha sana.
Pumbavu mkubwa wewe
Kwani nyie mwashinda kwa kura
Together is one
Mbona mlio wa ngoma anaopiga zito haulingani na wimbo unaoimbwa huku Zanzibar?.
Aliyekua kiongozi ss asaiv yupo wapi mbna mnatuchanganya
hii ndo nkazi ya upinzani
Huo ndiyo upinzani SIO fujo huyu na Chukua huku mwingine hivyo safi CDM wakija wahame CCM hivyo SIO kuandamana
Tangu waandane cdm wameleta adha gani kwa nchi
Muheshimiwa Dalali huyo.Alikuisha kuuza hicho chama kitambo
Kidumu chama chamapinduzi
Nyie nao mmepotea hicho chama kitiwasaidia nini rudini ccm chama kikubwa
Toka uko wache watumie uhuru wao WA kidemokrasia