Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
❤❤❤
Uko vzr sana madam nimejifunza kitu
❤🙏
Ni vizur sana mimi vyangu vinaumuka sana zina faida nzuri ukiwa sehemu ya wateja wengi
Asante kwa somo my, ila mi naomba darasa la kuweka foundat rangi. Asante
Okay nitaliweka pia
Waooo ,nimekuwa wa kwanza
😘😘😘
Upo vizuri
SoMo zuri nimependa
Bei huwa znauzwa sh ngapiiii
Nzuri...vinaitwaje,ukitaka kwenda kununua.
Tz tunaziita falfala
Rehema hivyo ukienda kununua vinaitwa vibomba pia kuna aina nyingine ni herufi namba ni nzur sna kwa biashara watoto wanavipenda sana na vinafaida
@@najmasalim6272 asante sana
@@dominickelgempandangazi898 asante sana
Hivyo vibomba ni vinatengenezwa kwa nafaka gani
Mashallah unatufundisha sana na mimi nimeanza hii biashara.
Amiin Allah ibarik
❤
Masha Allah
Wow Siri sana
Napenda sana
Mashallah vp mahidi ya pop corn waweza pia kuanika kama hayatoki vzury?
Yeah pia yafanye hivyo,alafu nipe feedback dear
@@mziwandabakers8297 Okay
asante
Uzid kubarikiwa
Samahani @mziwanda hivi jelly powder inatumika vipi kwenye ice cream
Ahsante sana nami leo najaribu
Where do we get this
Unaanika tuu au unaviosha jmn
Naanika kwa muda gani
Yani na penda sana vibomba shukran dada
Karibu
Asante sana dada
sorry mamy npo nje ya SoMo kdg. ety bread booster Ina kazi gan kweny mkate. na naweza tumia nn badala yake ikitokea nmeikosa hyo
Recipes please nahitaji
Asante
Chumvi inawekwa muda gani?
Vinatengenezwa na nafaka gani
Asante jmoc birthday ya mwanangu nitapika
Maa shaa Allah utanipa mrejesho
Hi mamy mm napenda tujifunze kupika mkate wa sinia love you
Huo nami nachukua coz in shaa Allah nikimaster nitashare
Zinatengenezwaje jamani
Vp au wek kit kama chumv
MI napenda kujua kwenye kuvipaki vibomba vinawekwa vingap ili viuzwe she 100 na vinamba pia vinakaa vingap ili viuzwe mia
Mimi naweķa viwili
Kawaida vinakuwag vitatu3
Mnawekea chumvi au nini
Shukran 😘
vina tengenezaje
Mbona burundi nimekosa jamani.munipe namba
0768859358
@@mziwandabakers8297 hi i am in kenya where can i buy this chama? your phone number does not work
Vinatengenezwaje????.Nataka kujua kuvitengeneza.
Ni hivyo hivyo yaani nunua sokoni kisha fanya kama hapo nilivyofundisha
Ubarkiwe
Zinapatikana wapi
Sokoni
Npo karatu napateje hii bidhaa
Npo karatu napataje hii bidhaa
Ahsnte umekuwa msaada kwangu mpenzi
Vinaitwaje na vinauzwa wapi
Masokoni vinaitwa,chama AMA vibomba
@@mziwandabakers8297 haya asant
Hapa sijaelewa,ina maana ukishavinunua ndio unavikaanga?
Vinaitwaje? Navimetengenezwa nanini?
Vipo masokoni vinauzwa tayari kwa kuchoma na mafuta,ni vizuri sana nadhani vimetengenezwa kwa mchele
Uweki chumvi
❤❤❤
Uko vzr sana madam nimejifunza kitu
❤🙏
Ni vizur sana mimi vyangu vinaumuka sana zina faida nzuri ukiwa sehemu ya wateja wengi
Asante kwa somo my, ila mi naomba darasa la kuweka foundat rangi. Asante
Okay nitaliweka pia
Waooo ,nimekuwa wa kwanza
😘😘😘
Upo vizuri
SoMo zuri nimependa
Bei huwa znauzwa sh ngapiiii
Nzuri...vinaitwaje,ukitaka kwenda kununua.
Tz tunaziita falfala
Rehema hivyo ukienda kununua vinaitwa vibomba pia kuna aina nyingine ni herufi namba ni nzur sna kwa biashara watoto wanavipenda sana na vinafaida
@@najmasalim6272 asante sana
@@dominickelgempandangazi898 asante sana
Hivyo vibomba ni vinatengenezwa kwa nafaka gani
Mashallah unatufundisha sana na mimi nimeanza hii biashara.
Amiin Allah ibarik
❤
Masha Allah
Wow Siri sana
Napenda sana
Mashallah vp mahidi ya pop corn waweza pia kuanika kama hayatoki vzury?
Yeah pia yafanye hivyo,alafu nipe feedback dear
@@mziwandabakers8297 Okay
❤
asante
Uzid kubarikiwa
Samahani @mziwanda hivi jelly powder inatumika vipi kwenye ice cream
Ahsante sana nami leo najaribu
Where do we get this
Unaanika tuu au unaviosha jmn
Naanika kwa muda gani
Yani na penda sana vibomba shukran dada
Karibu
Asante sana dada
sorry mamy npo nje ya SoMo kdg. ety bread booster Ina kazi gan kweny mkate. na naweza tumia nn badala yake ikitokea nmeikosa hyo
Recipes please nahitaji
Asante
Chumvi inawekwa muda gani?
Vinatengenezwa na nafaka gani
Asante jmoc birthday ya mwanangu nitapika
Maa shaa Allah utanipa mrejesho
Hi mamy mm napenda tujifunze kupika mkate wa sinia love you
Huo nami nachukua coz in shaa Allah nikimaster nitashare
Zinatengenezwaje jamani
Vp au wek kit kama chumv
MI napenda kujua kwenye kuvipaki vibomba vinawekwa vingap ili viuzwe she 100 na vinamba pia vinakaa vingap ili viuzwe mia
Mimi naweķa viwili
Kawaida vinakuwag vitatu3
Mnawekea chumvi au nini
Shukran 😘
vina tengenezaje
Mbona burundi nimekosa jamani.munipe namba
0768859358
@@mziwandabakers8297 hi i am in kenya where can i buy this chama? your phone number does not work
Vinatengenezwaje????.
Nataka kujua kuvitengeneza.
Ni hivyo hivyo yaani nunua sokoni kisha fanya kama hapo nilivyofundisha
Ubarkiwe
Zinapatikana wapi
Sokoni
Npo karatu napateje hii bidhaa
Npo karatu napataje hii bidhaa
Npo karatu napataje hii bidhaa
Ahsnte umekuwa msaada kwangu mpenzi
Vinaitwaje na vinauzwa wapi
Masokoni vinaitwa,chama AMA vibomba
@@mziwandabakers8297 haya asant
Hapa sijaelewa,ina maana ukishavinunua ndio unavikaanga?
Vinaitwaje? Navimetengenezwa nanini?
Vipo masokoni vinauzwa tayari kwa kuchoma na mafuta,ni vizuri sana nadhani vimetengenezwa kwa mchele
❤
Uweki chumvi