Kuhani Musa Asimulia Alivyofufua Watu4 walikufa familia 1 Sikiliza Uone maajabu ya mungu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024

Komentáře • 86

  • @KhadijaAli-zd8jq
    @KhadijaAli-zd8jq Před 11 měsíci +2

    Ubarikwe baba kuhani musa Richard mwacha naomba mungu akure maisha marefu sana Yesu kristo mungu mkuu Yesu kristo mungu wa kuhani musa Richard mwacha naomba TENDA NA KWANGU MIUJIZA MIKUBWA NAPOKEA BARAKA NA NEMA ZA NGOMENI 🙏🙏🙏🙏🙏🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 Před rokem +1

    Amiiiiiiina
    Na
    Musa
    Bwana yesu asifiwe aongezewe
    Balaka na Nuru nyingi zimuchukiye
    Amiiina
    🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @JoharyMakumuli
    @JoharyMakumuli Před 4 měsíci

    Ahsante sana yesu wangu wa ngomeni umenito mbali sana, mungu akupe afya utupone wengi amina

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m Před 6 měsíci

    Naomba no ya mutumishi wa mungu nimwindaji kwetu Kenya mungu akipenda atakufunulia yaliyo kwetu barikiwa sana mumishi wa mungu ❤❤❤

  • @KhadijaAli-zd8jq
    @KhadijaAli-zd8jq Před 11 měsíci +1

    Bwana Yesu kristo mungu mkuu naomba usiwache salama watesi wangu wote wakate moto 🔥🔥🔥

  • @user-wv9wc6yr1u
    @user-wv9wc6yr1u Před 11 měsíci +1

    Amina

  • @user-cx8sh4ru3f
    @user-cx8sh4ru3f Před 5 měsíci

    Baba tunashukuru kwa kazi unayo ifanya. Mungu akujalie kabisa. Lakini huku kunawengine wanahangahika. Tunahitaji kupata nambayako ya sim.

  • @user-wk3dn7wj5k
    @user-wk3dn7wj5k Před 9 měsíci +1

    Nakupenda sana baba yangu Wa kiroo mungu akupe maisha. Marefu

  • @joanelisha7996
    @joanelisha7996 Před 2 lety +4

    Mimi nakependa Sana na Nina kuamini Mungu anakutumia piga kazi jembe la yesu.

  • @user-kg1cc6ov1y
    @user-kg1cc6ov1y Před 10 měsíci +1

    Nakupenda sana baba mungu akulinde akuepushie na mabaya yote ya dunia❤💖🥰😘

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 Před rokem +1

    Ahsantene
    Baba
    Musa
    Yes
    Yes
    Nachukuru amiiina 🖐️🖐️🖐️

  • @rosemambo1347
    @rosemambo1347 Před 3 měsíci

    Amen Baba Mungu azidi kukutia nguvu..

  • @devotajohn756
    @devotajohn756 Před rokem +2

    Mwenyezi Mungu azid kukulinda Baba yangu 🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭🤲🤲

  • @veronicamillinga
    @veronicamillinga Před rokem +1

    🙏🏿🙏🏿🙏🏿mungu akupe maarufu zaidi ya neno la bwana amina

  • @user-et4so5em5j
    @user-et4so5em5j Před rokem +1

    Mungu amekuchagua wewe kwa kusudi maarumu, angeweza ata kunichagua mimi ila ni wewe. Mungu akulinde uipige injiri kwa moyo mmoja

  • @r2kgang856
    @r2kgang856 Před rokem +1

    Baba hapa mpole kama sio wewe ukiwa madhabahuni...Amina arab ubarikiwe sana baba

  • @CarenMichael-dd1yd
    @CarenMichael-dd1yd Před 8 měsíci +1

    Sio Dar pekee, baba njoo na hapa pia🇸🇸

  • @user-yb2jo7re1l
    @user-yb2jo7re1l Před rokem +2

    Mungu.akubariki.san.Baba.yetu.wakiroho..

  • @user-es2tf1dy7p
    @user-es2tf1dy7p Před 11 měsíci +1

    Mungu aiweke maisha marefu uzidi kutusaidia wanyonge

  • @user-ku5so9sb2t
    @user-ku5so9sb2t Před 2 měsíci

    Bwana yesu atukuzwe Baba mm namatatizo ya kiafya naomba maombi yako baba

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m Před 5 měsíci

    Mungu akipenda kuhani Musa plz naomba tukualike kwetu Kenya

  • @AlceMasanga-gp8db
    @AlceMasanga-gp8db Před 11 měsíci +1

    Mm nkukubali cn kuhani make unamafundisho yko nayapenda cn ubarikiwe cana

  • @CarenMichael-dd1yd
    @CarenMichael-dd1yd Před 8 měsíci

    Kweeli Baba,naaaamini nikiwa. Hapa Kenya🇸🇸🔥🙏

  • @Rodahpaschal
    @Rodahpaschal Před rokem +1

    Kuhani musa nabiii MUNGU amsaidie kaka petro arudi live

  • @user-lk1zc7qx2d
    @user-lk1zc7qx2d Před 11 měsíci

    Nakupenda bure tu❤❤❤❤❤ kuani Wangu

  • @user-ql2xt5fk7d
    @user-ql2xt5fk7d Před 5 měsíci

    Amen.BABA

  • @user-gk1fz3zw8e
    @user-gk1fz3zw8e Před 8 měsíci

    Mungu akusaidy kuhan wetuuu❤❤

  • @JudithMwakasege
    @JudithMwakasege Před 3 měsíci

    Mungu akutunze baba tumekuelewa

  • @jenniferlopezy3644
    @jenniferlopezy3644 Před rokem +2

    Nakupenda Sanaa baba angu wa kiroho

  • @vickystellah3194
    @vickystellah3194 Před rokem +2

    Ubarikiwe sana Kuhani wa Mungu Baba.

  • @SaidaNassoro
    @SaidaNassoro Před 18 dny

    Aminaaa baba 🙏

  • @user-yb2jo7re1l
    @user-yb2jo7re1l Před rokem +1

    Amen.mungu.Akurinde.Baba.miaka.mingi.sana

  • @augustinfrancis6924
    @augustinfrancis6924 Před rokem +1

    Maisha marefu baba Kwa huduma👍👍👍👍🔥

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Před rokem +1

    Mungu akutunze baba yangu wa kiroho

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m Před 6 měsíci

    Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ❤❤❤

  • @sifamwashite
    @sifamwashite Před 9 měsíci

    Bwana yesu kristo mungu mkuu nataka usiwache salama watesi wangu woote wakate moto kwa jina la yesu

  • @user-gm4qi3nn9n
    @user-gm4qi3nn9n Před 4 měsíci

    Tangu nianze kufatilia huyu Baba kwakweli alhamdullilah najiskia vizuri

  • @dianapaulo-qe6rw
    @dianapaulo-qe6rw Před rokem +1

    YESU akuzidishie miaka mingi Baba

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 Před rokem +1

    Amiiiina
    Baba 🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭

  • @jonisshayo5334
    @jonisshayo5334 Před 2 lety +1

    Chapa kazi baba hakika tunauona utukufu wa yesu aliekutuma kwetu yesu wa ngomeni sasa hivi anatisha wafu Tanzania yoote sasa anawafufua baba usijali wanadamu tumepewa vinywa kunena illa laiti wangejua karama na kipawa mungu alichokupa kwa ajili ya Tanzania na dunia kwa ujumla

  • @jonisshayo5334
    @jonisshayo5334 Před 2 lety +1

    Amina baba mungu akupe maisha marefu

  • @evelnemlanzi9257
    @evelnemlanzi9257 Před rokem +2

    Yesu wa ngomeni🔥🔥🔥🔥

    • @chissolamujingasolange1183
      @chissolamujingasolange1183 Před rokem +1

      Utukufu na shukrani ikwelekeye mwalimu musa Richard kuhani .Nami unikumbukeko!Nami muito wangu arudi nhumbani.nami nishudiye ukumbwa wa yesus

  • @mussaabobakar7537
    @mussaabobakar7537 Před 9 měsíci +1

    Acha kusema uongo bas mm sipend hiv mnavo sema mnafufua watu uongo 😅😅😅😅😅😅

  • @user-ku5so9sb2t
    @user-ku5so9sb2t Před 2 měsíci

    Naomb niombee baba

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 Před rokem +1

    Amina🙏🙏🙏🇴🇲

  • @SaraphinaSamweliSamwelli
    @SaraphinaSamweliSamwelli Před 4 měsíci

    Ww ni jembe la mungu azidi kukutia nguvu foreva

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m Před 5 měsíci

    ❤❤❤❤❤❤

  • @MagrethJukael
    @MagrethJukael Před 3 měsíci

    Kuan mssa muungu akulinde sn san utusidie nakuombea ukae miak maelf namaelf kuan mssa naomb namm unissdie unifichulie mkoan singd saiv nipo dar kigambn

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m Před 5 měsíci

    Umenikumbusha junzi nalioda Niko Kwa shamba nafiega muzituni alafu nikamaliza nigaaza kung,oa mizizi kumaliza kung,oa mizizi nigaaza kulima ile shamba ukacha unganiambiya nitakusaidia kulima hii shamba nilikuona nigashangaa sana

  • @chissolamujingasolange1183

    Baba Nami unisaidiye.niko apa angola.roho imesha umwa kabisa.dju ya mototo Ana itwa prisesa Kiala tambue

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Před rokem +2

    Sauti ya upole subiri fatigue yake akiwa madhabahuni.😂😂😂Amina ya radi

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Před 10 měsíci +1

    Kama ninguvu zaMUNGU basi ubalikiwe

  • @r2kgang856
    @r2kgang856 Před rokem +1

    Hii clip kufuuka watoto mke naioata wapi

  • @fatmamussa2373
    @fatmamussa2373 Před rokem +1

    Alafu mnatoa maneo ya shombo wakati mko na shida kibao unatakiwa maombi ili muache uchawi maana mtakata moto kwa jina la yesu kiristo

  • @marymarco9148
    @marymarco9148 Před rokem

    Amina🙏🙏🙏🙏

  • @BeatriceGeorge-ge4km
    @BeatriceGeorge-ge4km Před měsícem

    Kumbe,atauchumi,wangu,umeshafufuko,walipouzika

  • @Churchofecclesia
    @Churchofecclesia Před rokem +1

    Baba kama baba

  • @AnnaMwapila-de3ry
    @AnnaMwapila-de3ry Před rokem

    Ubalikiwe sana na nakuamini sana

  • @fatmamussa2373
    @fatmamussa2373 Před rokem +1

    Alafu mkome kumtukana kuhani watu

  • @user-np4io9vq4z
    @user-np4io9vq4z Před rokem +1

    Ninakupendamutushimunguazidikukuuongeza moyo

  • @fatmamussa2373
    @fatmamussa2373 Před rokem

    Wote mnaopinga huduma ya kuhani mussa basi nyinyi utakuwa wachawi ila sisi tunaoamini tunajua watu wanafufuka ngomeni mkubali muache ila habar ni mmoja tu ngomeni kunaufufuo tu

  • @r2kgang856
    @r2kgang856 Před rokem

    Naamini namimi mama yangu atafufurka amekufa kifo kutayanisha

  • @maspro6294
    @maspro6294 Před 2 lety +2

    Acha ujanja wa kutaka kuwaibia watu sadaka zao na kuwadanya watu hakuna mtu kafa akafufuka na kama kweli nenda mahospital ukawafufu watu walio kufa hii didi ya kikiristo ni dini ya kishetani

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 Před rokem +1

      Kama unaona ni ujanja fanya na wewe basi tuona

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 Před rokem

      Uchawi unawasumbua tu huna lolote pepo wewe unakaz yakutukana mtumishi wa mungu je kakosea wapi mbona makasiliko ivo au wewe ndiye uliwaua nini

    • @evelnemlanzi9257
      @evelnemlanzi9257 Před rokem

      Shetani ni wewe na dini yako

    • @georgemrinji4729
      @georgemrinji4729 Před rokem

      Uwelewa wako na mambo ya rohoni ni kiduchu sana, wanaofufuka ni watu waliokufa na kuchukuliwa msekule na si kifo Cha mapenzi ya Mungu

    • @michaelfaraday9568
      @michaelfaraday9568 Před rokem

      Kama mnaona uchawi ni rahisi basi fanyeni nyinyi.Huyu ni mtumishi wa Mungu na ametumwa kuwasaidia wengi wenye shida zao

  • @karimujuma6595
    @karimujuma6595 Před 2 lety +1

    Huna uwezo huu ni binadam wa kawaida tu Tena huna lolote ktk ilo ulilosema acha uwongo wako

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 Před rokem

      Wewe kiumbe funga domo lako mbona mimi kwetu kafufuka kama huna imani acha watu wengine wafunguliwe

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 Před rokem

      Kama ujui Yesu yuko ndani yake ndiyo maana watu wanafufuka kuhani watu umuache kabisa tena umkome

    • @evelnemlanzi9257
      @evelnemlanzi9257 Před rokem

      Pepo iloooooo

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 Před rokem

      @@evelnemlanzi9257 wewe apo uko na iyo pepo maana uwezi tukana mtumishi wa mungu ama unalaana wewe katubu

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Před rokem

      Angemfufua Magufuli🤣🤣🤣🤣

  • @zayanazayana5353
    @zayanazayana5353 Před 2 lety +1

    Ina maana yy hawamis wazazi wke walomzaa akamfufua japo mama yke Dunia hii tokea iumbwe hajawahi Mtu kufa akarudi Yani hata angekuwa Shekhe wa Dunia ningemwambia muongo kw herufi kubwa

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 Před rokem +1

      Acha kumzihaki mtumishi wa mungu utachuma rana kubwa

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 Před rokem +1

      Kama huelewi acha c razima ufatilie ibada zetu

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 Před rokem +1

      Ila kaaukijua ngomeni ndiyo sehem ya ufufuo upo utake usitake kelele zoko wala kwetu hazina maana zaid tutakupiga kwa radi na moto wa yesu kiristo

    • @evelnemlanzi9257
      @evelnemlanzi9257 Před rokem +1

      Hujielewi pimbi ww

    • @michaelfaraday9568
      @michaelfaraday9568 Před rokem +1

      Pimbi wewe😏

  • @subiralusako9098
    @subiralusako9098 Před rokem +1

    Amina

  • @jennifernyongesa2713
    @jennifernyongesa2713 Před 2 měsíci

    Amina

  • @merryguza3307
    @merryguza3307 Před 7 měsíci

    Amen