BIG INTERVIEW: HECHE na ZIARA za MAKONDA -"AMEKUWA MPOKEA TAARIFA -WAZIRI-IGP WALITAKIWA KUJIUZULU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • BIG INTERVIEW: HECHE na ZIARA za MAKONDA -"AMEKUWA MPOKEA TAARIFA -WAZIRI-IGP WALITAKIWA KUJIUZULU"....
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 266

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 6 měsíci +1

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @joshuamwalusambo2391
    @joshuamwalusambo2391 Před 6 měsíci +4

    Natamani sana Mungu ampe kibali HECHE cha kuongoza nchi hii

  • @user-my5jj5we5j
    @user-my5jj5we5j Před 6 měsíci +5

    Muko vizuri wananchi hawana uelewa

  • @magabemkami6653
    @magabemkami6653 Před 6 měsíci +5

    Peoples power

  • @tumsifumartine612
    @tumsifumartine612 Před 6 měsíci +5

    Kweli kabisa CCM wameshindwa na makonda anafanya maigizo na kimsingi system imefeli

  • @philipalengachi5729
    @philipalengachi5729 Před 6 měsíci +3

    Safi sana classmate nyota ilionekana all the way from Nyamaharaga primary schools

  • @giftyjackson2461
    @giftyjackson2461 Před 6 měsíci +2

    Uko sawa kamanda

  • @user-ye3ki5kc7f
    @user-ye3ki5kc7f Před 6 měsíci +2

    Jonh unaakiri nyingi Sana unajib point Sana chadema haiwezi kutoa Fara hats ck 1

  • @makulileboniface7962
    @makulileboniface7962 Před 6 měsíci +10

    Wewe ni mwongo Kati ya mikutano aliyo fanya makonda hakuna mtu aliye sombwa sema makonda anapedwa Sana nawatu ni kizazi Cha magufuli ni wivu wako tu mra

    • @sundaystanley5322
      @sundaystanley5322 Před 6 měsíci

      Umeongea ukweli

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 Před 6 měsíci

      acha ujinga ww mwananchi mwenye shida kila siku mambo yanakuwa magumu unaanza sifia makonda kweli??? basi bwana kwel Mtz amesha rogwa sio buree

    • @ulomirabiel6980
      @ulomirabiel6980 Před 6 měsíci

      Anapendwa na wajinga tu.

    • @prosperreuben1724
      @prosperreuben1724 Před 6 měsíci

      Magu alipendwa na nani labda wazazi wake na ndugu zake na wapenda kudanganywa kama ww mbona hakuwah kwenda mbeya

    • @JoshuaStanley-qu3im
      @JoshuaStanley-qu3im Před 6 měsíci

      Nikweli watu wanasombwa kutoka vijijini

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před 5 měsíci

    Viva Makonda🎉

  • @paulinakatemi7119
    @paulinakatemi7119 Před 6 měsíci

    uko vizuri sana ni wenye uelewa ndio wanakuelewa kaka good job

  • @Ernestlaiza
    @Ernestlaiza Před 6 měsíci +2

    Heche❤

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 Před 6 měsíci +4

    Tanzania machawa yamejaa Kila Kona ,viongozi wanasema nchi masikini waziri tu anatebea na msafara utafikiri mfalme pesaiyo inatumika una waita watu masikini magari ya mil 150 maskini

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 Před 6 měsíci +2

    Makonda hammuwezi

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf Před 6 měsíci +2

    Hapana saizi makonda anakubarika sana watu wamemwelewa sana saizi watanzania wengi wameweka Imani kubwa sana namakonda

    • @williamgeorge-hd2tn
      @williamgeorge-hd2tn Před 6 měsíci

      Mmmh😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 6 měsíci

      Usiwasemee watanzania jisemee mwenyewe 😅😅😅😅😅

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 Před 4 měsíci

      Watanzania wa aina gani labda ww na wenzako wajinga ambao shule hamna mnashabikia ujinga

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 6 měsíci +2

    Makonda anachapa kazi sanaaaa ccm oyeeeee kazi inaendelea mama samia oyeeeee wanawake jeshi kubwa

  • @maruhe1958
    @maruhe1958 Před 6 měsíci +4

    Kwa mara ya kwanza nataka nikuite mjinga usijilinganishe na Makonda kabisa same like mbingu na ardhi. We heche mwongo

    • @Mundi-oz7os
      @Mundi-oz7os Před 6 měsíci +1

      Ni lipi umeliona kwa Makonda hadi useme kuwa Heche sio size yake? Umesikia Heche alichoongea au ulishaziba kabisa masikio?

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 Před 6 měsíci

      Kwel kabisa asijilinganishe na makonda

    • @kanoa645
      @kanoa645 Před 6 měsíci

      Yaani ni mwongo sana, weweeeee kwa nini unongea uwongo? Kweli hata kujibu huwezi, yaani hueleweki

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 6 měsíci

      Makonda ana nini

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před 5 měsíci

    Bado hamjasema Makonda chukua maua🎉

  • @user-bj6bs9do2f
    @user-bj6bs9do2f Před 6 měsíci +1

    Mimi Naendaga Mikutano Ya Mafisiemu Kutazama Wasanii tu ✌️✌️✌️

  • @jacksonkoisi6189
    @jacksonkoisi6189 Před 6 měsíci +3

    Kweli.nimeamini.makonda kawa.shika.penyewe.heche.jidanganye.ogopa Makonda.mwamba

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k Před 6 měsíci

      Mtu anaetuumiwa na kuuwa watu binadam unawezaje kumshangilia et mwamba au ndo utanzania wetu mtu kama aijakufika kuna kamsemo ka kwetu mbifamuki

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 6 měsíci

      ​@@user-ie2sr4fi4khaijawafika ikiwafika watakuwa hawajui

  • @NdongaKichwa-hz7jf
    @NdongaKichwa-hz7jf Před 6 měsíci +10

    Nimekuelewa sana Heche

    • @iddiramadhani5111
      @iddiramadhani5111 Před 6 měsíci

      Hajui anachokiongea huyu heche, mbona wa-Israel wanaua wapalestina ? watoto wadogo na wanawake, afu wa-Israel wakoloni nchini palestina huyu jamaa hafai kuwa kiongozi.

    • @NdongaKichwa-hz7jf
      @NdongaKichwa-hz7jf Před 6 měsíci

      @@iddiramadhani5111 mimi sijasema kama anafaa au hafai mimi nimesema nimemuelewa

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom8171 Před 6 měsíci +2

    Kwenye mikutano ya makonda uwa tunaenda wenyewe kwa mapenzi yetu kwa miguu yetu bila hata kupewa mia, tunamkubali makonda tunaipenda ccm na mwenyekiti wetu mama Samia

    • @TiffuAbdallah-of5os
      @TiffuAbdallah-of5os Před 6 měsíci

      Na wale wanafunzi wanaolazimishwa p1 na walimu wao mhm

    • @mohamedwwnurumasagcom8171
      @mohamedwwnurumasagcom8171 Před 6 měsíci

      @@TiffuAbdallah-of5os hakuna mtu anayelazimishwa kuudhulia mikutano ila ni mapenzi ya wananchi kwa chama chao

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj Před 6 měsíci +2

    Nikweli kabisa mheshimiwa heche ,CCM ndio waliosababisha matatizo na hawawezi kutatua matatizo.

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Před 6 měsíci +2

    We heche unaropoka

  • @TakasiSulle
    @TakasiSulle Před 2 měsíci

    Baadhi ya watu hamuelewi makonda hakuna kitu atakachobadilisha hanauwezo huo ndani ya ccm

  • @user-zr1mk3xd2x
    @user-zr1mk3xd2x Před 6 měsíci +3

    Ndo mana viongoz wakubwa wa vyama vya upinzani sitak wapewe nchi maana vinaabudu xn marekani taifa la kishetani

    • @user-ye3ki5kc7f
      @user-ye3ki5kc7f Před 6 měsíci

      Wewe elim yako ndogo chadema wanajifunza kwamtu ariye faul hawawezi kujifunza kwa ariye fel kwahyo ndoo maana anataja marekan huyo ndoo ariye faul

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi Před 6 měsíci +1

    Heche honereni sana mnafanya kazi nzuri. Mnawapambania watu lakini wenyewe hawaelewi. Ccm wanatumia ujinga wa watu kuwatawala

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 Před 6 měsíci

      Chadema inatumia wavivu wa kazi kuwakamata akili waandamane.

    • @josephmussa0625
      @josephmussa0625 Před 6 měsíci

      Chadema haiwezi kufika popote pale mpaka viongoz wake waache ujingq

  • @the_white_43.
    @the_white_43. Před 5 měsíci

    Huyu jamaa ni very very nice ...mikundu hawawezi kukuelewa Heche.

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho Před 5 měsíci

    ❤❤❤❤❤

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d Před 6 měsíci +4

    Uyu heche akili yake ni kubwa makonda anafanya sanaa tu hakuna uwalisia kile anachofanya jukwaani ni propaganda

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 Před 6 měsíci

    Kwa hiyo chadema wanapata pesa wapiii.ina maana kuna ,mabeberu wapo nyuma yao,wanawagadhili. Hii ni hatari

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 Před 6 měsíci +1

    Umeulizwa makonda anachangamusha unajibu tofauti kabisa na makonda kwenye mikutano yake hakuna anaesombwa watu wana hamu nae na ndo maana hata mikuno yake wana hamu nae wanatamani hata wakeshe powa2

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 Před 6 měsíci +1

    Now wanashindana na makonda walihangaika na jpm kisa kusikiliza matatizo ya masikini kwahiyo makonda kuja na mfumo huo mnampinga poor kbsa chadema

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l Před 6 měsíci +2

    hakili kubwa eche jembe eche

  • @loserian-mj1gj
    @loserian-mj1gj Před 20 dny

    Kweli waxngu wameharibu

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 Před 6 měsíci +6

    Tatizo CHADEMA ni waongo sana, hakuna mkutano wa Makonda ambao watu wamesombwa

    • @jonasdaniel1025
      @jonasdaniel1025 Před 6 měsíci +2

      Mimi nishahidi acha ujinga,, mbashite anafanya mkutano bunju sisi tumetolewa kigamboni temeke ilala,, Kwa magari!!

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 Před 6 měsíci

      Acha uongo wewe kila eneo na shida zake utasombwa ukaeleze shida wakati anayehojiwa hayupo​@@jonasdaniel1025

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 6 měsíci

      ​@@jonasdaniel1025wambie waelewe

    • @TiffuAbdallah-of5os
      @TiffuAbdallah-of5os Před 6 měsíci

      Wanafunzi na walimu wao wnafata nn kama sio kulazimishwa na ndo wanaojaza

    • @hatibuadam3022
      @hatibuadam3022 Před 5 měsíci

      Kuna mtu hata akikoment unaona kabisa uelewa wake ni mdogo na mjinga msipate shida kumjibu maana anaweza bisha hata vitu vingine ambavyo vipo akasema waongo mpaka yy yamkute

  • @MarckyCholla
    @MarckyCholla Před 6 měsíci +3

    Upinzani acheni kuabudu nchi za watu.hata magu mlimkataa lkn sisi wananchi wa chini alitufaa mno

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 Před 6 měsíci

      Alivo wa faa baadae ikawaje?? kuna mambo muyaelewe jaman watz mbona ss vichwa ngumu kuelewa

    • @josephmussa0625
      @josephmussa0625 Před 6 měsíci

      Wewe umeelewa nini?? Kila mtu na nafasi yake kwani ukkmchukia makonda nini unaongezeka??

    • @hatibuadam3022
      @hatibuadam3022 Před 5 měsíci

      Jaribu kuelewa anachozungumza yy hajasema anamchukia huyo uliemtaja

  • @mkudesimba9518
    @mkudesimba9518 Před 6 měsíci +1

    Marekani huo unafki wamepata wapi kama sio nyinyi wapinzani ? Kikulacho kinguoni mwako !

  • @chichahamis635
    @chichahamis635 Před 6 měsíci +1

    Ndio chama kubea

  • @user-nr3uw7bq1r
    @user-nr3uw7bq1r Před 6 měsíci +2

    We unaishi nchi gani

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt Před 6 měsíci +2

    Heche mpumbavu ndo wawezi kukuerewa lakin mwe akiri hukusikiriza nakujitambua !!

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Před 6 měsíci +2

    Unaongea poit san unasimama kwenye ukweli, ila hii nchi. Ukisem ukweli ni shida tup , mafisad tup wamejaa ng aaa

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Před 6 měsíci +1

    Wewe heche nakuamini ila kwa makonda muache kabisa jamaa anajitaidi kwa nafasi yake nchi hii imeoza ila kwa pale anajitaidi na swala la marekan wamarekani wanafki tu wao wanaua wangapi yy mmarekani ndy anasababsha vita ukrein haviishi kisa mmarekani raia wanakufa sanaa yy ajali kila siku anapelwka pesa

  • @user-ts4ko9tu1x
    @user-ts4ko9tu1x Před 6 měsíci +2

    Wewe ni mnafiki mbona umekua chawa Kwa Mbowe ,unatetea kila jambo la mbowe

  • @youngchezo2744
    @youngchezo2744 Před 6 měsíci

    Nice

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 Před 6 měsíci +1

    Iyo mifano ya utoton inanikosha sana

  • @user-nf3dc9fb6v
    @user-nf3dc9fb6v Před 6 měsíci

    TANZANIA

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 Před 6 měsíci +2

    Kumbe mnalipwa milioni 100 halafu mnasema ndogo mwee ngoja nipambane na madagaa zangu

  • @user-ml1kt1hr9o
    @user-ml1kt1hr9o Před 6 měsíci +2

    Kijana mmoja anawachemsha wote nyie,

  • @kilimanjaro77international26
    @kilimanjaro77international26 Před 6 měsíci +1

    Sasa kwani sisi marekani? Chadema been on the siasa almost or near4o years but ni ushuzi mtupu

  • @malamlaaj9852
    @malamlaaj9852 Před 6 měsíci

    Joto la kiasa linaongezeka. Ahsante mama na Makonda kulianzisha.

  • @allyhamonizhamad4459
    @allyhamonizhamad4459 Před 6 měsíci

    MWEHU WEWE

  • @charlesmokiwa6323
    @charlesmokiwa6323 Před 5 měsíci

    Tema mate tumchapee mwananguu😅😅😅

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před 6 měsíci +1

    Makonda Wamenfungia kwenda huko nje vile hakutaka watu wa jinsia moja sio mauaji

  • @MarckyCholla
    @MarckyCholla Před 6 měsíci +3

    Nenden kaishini marekani tuacheni

    • @peterjengela1770
      @peterjengela1770 Před 6 měsíci

      Jitambue na kuwatambua wengine pia, wote ni watanzania kuwa ccm haina maana kwamba una haki zaidi kuliko wa ACT Wazalendo,Chadema, Nccr mageuzi au chama kingine chochote. Watanzania wote ni sawa bila kujali chama,Dini,Kabila au rangi na vyovyote unavyofikiri wewe.

  • @dottomatola5905
    @dottomatola5905 Před 6 měsíci +1

    Wewe ukimgusa mbowe utakuwepo cdm Ili liongo mpaka linapitiliza

  • @user-ti8xr5sd7h
    @user-ti8xr5sd7h Před 6 měsíci +2

    Leo kk unamawazo yachuma chakavu

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Před 6 měsíci +1

    Wananunuliwa hao wanao mshangilia tunaelewa ishu zote

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 Před 6 měsíci

      Na hao wanaopewa pesa ili watangaze ushoga hii nchi tumekataa ushoga wa marekani hawawezi ipenda Tanzania lazima wawatumie wapinzani wa serikali.

  • @kanoa645
    @kanoa645 Před 6 měsíci +7

    Weeee una ushahidi gani kwamba kapoteza uhai wa watu

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 Před 6 měsíci +1

      Unataka ushaidi hujui kuna ushaidi wa mazingira pia fiisiem mkubwa wewe

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel Před 6 měsíci

    H😂😂😂😂😂😂 mtoa taarifa na mpokea taarifa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 6 měsíci

    👊✌️👍.

  • @zabronjonathan2264
    @zabronjonathan2264 Před 6 měsíci

    Watanzania waliowengi hawajaelewa mbinu za ccm na Makonda .

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 6 měsíci +2

    We lifisiemu acha kutuzonga tunasikiliza heche akili kubwa we kakojoe ulale

  • @user-no2ut7yd3e
    @user-no2ut7yd3e Před 6 měsíci +4

    Bigup Makonda.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před 6 měsíci +1

    Heche uko sawa 🎉🎉

  • @KayongoOba-ht2rf
    @KayongoOba-ht2rf Před 6 měsíci +1

    Eche shikamoo

  • @thomasmallya670
    @thomasmallya670 Před 6 měsíci +1

    Hehe muongo. Hana aibu kabisa .

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Před 6 měsíci

    Mwizi nimwizitu wanaibiana wenyewe kwawenyewe

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Před 6 měsíci

    Usipokuwa muelewa anayekusababishia matatizo unaweza ukamwomba Masada CCM inamtumia makonda waonekane wema ili 2025 tuchague

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Před 6 měsíci

    Kwenye kudhurumu uhai wawatu kama hiyo ndiyo sababu ya America wamedhurumu zaidi kuliko yoyote duniani makonda anayo haki kwenda popote apendapo akiamuwa kwenda

    • @Mura422
      @Mura422 Před 6 měsíci

      Ss hatuwezi kuwadhibiti Ila wao wanaweza. Pili Makonda haku wakosea wamerekani kawa kosea watanzania, marekani katusaidia kujulisha ulimwengu uwezo wa jamaa kutoa roho. Ukizingatia taarifa zinavyobanwa cyo rahisi hayo tukayasikia popote kwenye media zetu kuu. Najua utapinga Ila kbala jiulize ulisikia wapi tuhuma nzigo namna hii hazichunguzwi angalau pakatoka tamko rasmi kuokoa sura ya serikali? Makonda yupo kwajili iko wazi wabongo wanapenda umbea kuliko FACTS.

  • @chandengao8795
    @chandengao8795 Před 6 měsíci

    Makonda anaua chama
    Mama mtoe

  • @LovelyForestHills-qe8pe
    @LovelyForestHills-qe8pe Před 6 měsíci

    Anae mpiga makonda mungu usimone

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Před 6 měsíci

    💪

  • @Manyanyatv8551
    @Manyanyatv8551 Před 6 měsíci

    Wazungu wangejua kua binadam ndio kitu cha kulindwa namba moja kwanini ndio wakwanza kuuwa watu pia kutengeneza vifaa vya kuuwa watu hebu acha zako.

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 Před 6 měsíci

    Jana nimekutana magari kibao Mto wa Mmbu yamebeba watu kutoka Karatu je hao wamekuja wenyewe kwenye maandamano yenu Arusha?

  • @kanoa645
    @kanoa645 Před 6 měsíci +1

    Sasa mbona mnaanza majibizano? Sindano imeingia pahaala pake?

  • @shabiruponera4323
    @shabiruponera4323 Před 6 měsíci

    Very convincing guy😂😂

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 Před 6 měsíci +2

    ACHA UONGO WEWE

  • @leonelleo4425
    @leonelleo4425 Před 6 měsíci +1

    Hiyohiyo serikali ya Marekani ambayo ina the most intelligence system ndio ilituambia Saddam Hussein anamiliki silaha za maangamizi.
    Acheni kutukuza sana wazungu

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před 6 měsíci +1

    Sasa makonda asipoenda ulaya hatoishi ?

  • @user-ve4zy6jl9x
    @user-ve4zy6jl9x Před 6 měsíci

    Mikutano ya makonda imesaidia watu wengi sana

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 Před 6 měsíci

    😂sababu anapinga ushoga huyo ndiyo mwanaume

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7si Před 6 měsíci +3

    Halafu wamarekani hawapigi kura tanzania wewe nenda kwenye ushoga wako huko

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 Před 6 měsíci +2

    HECHE WACHA UJINGA WEWE KIUFUPI TU CHADEMA HANA KITU HAPO

  • @loserian-mj1gj
    @loserian-mj1gj Před 20 dny

    Chadema si ni wahuni tu

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani Před 6 měsíci

    Hivi mi nashangaa sana watanzania,nani alisema kujaa watu ndio kuwa na sapoti ya wananchi au kukubalika?kuweni na Akili mi nilishawahi hudhuria mikutano mbalimbali ya kisiasa makongamano na hata sijawahi sapoti chama chechote cha siasa na wala sitopiga kura yeyote.wengine tunahudhuria kama sehemu ya mshangao na kusongesha muda😂 2:46

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 Před 6 měsíci

    Sasa maswala ya malekan na tanzania inakujaje kwama nyie mnasikiliza marekqn sasa

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 6 měsíci

    Chama Ni Dubwasha Na Makonda Ni Mtu Aliyekuja Kubadili Muelekeo Wa CCM

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg Před 6 měsíci

    😢

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před 6 měsíci +5

    MAKONDA IS HERO

    • @wahurumasibale6155
      @wahurumasibale6155 Před 6 měsíci

      Wakanushe majasusi wa Marekani walichokisema kuhusu huyo mwenezi.

    • @hakiyangu
      @hakiyangu Před 6 měsíci

      Hero for kidnapping or mocking Tanzanians? Think big guy

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 6 měsíci +1

    😂😂😂😂HECHE BWANAAA ETI TEMA MATE HII NI AKILI KUBWAA 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @e-mzambuli6647
    @e-mzambuli6647 Před 6 měsíci

    Heche

  • @iddiramadhani5111
    @iddiramadhani5111 Před 6 měsíci +1

    Hajui anachokiongea huyu heche, mbona wa-Israel wanaua wapalestina ? watoto wadogo na wanawake, afu wa-Israel wakoloni nchini palestina huyu jamaa hafai kuwa kiongozi.

  • @chezariboy
    @chezariboy Před 5 měsíci

    Kamwaga damu sana kipindi cha magufuli,, the foolish people don't understsnd that.. Damu za watu hazitamuacha salama makonda ngoja afanye maigizo mbele za macho ya watu but there's a day and time, he will pay

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 Před 6 měsíci

    Baanda ya kumalizia mahojiano na mwadishi agaria komerdi za wachagiaji ndo ujue makonda alivyokugalangaza

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 Před 6 měsíci

    Comment nyingi zinaonyesha namna bado tunasafari ndefu kama watz😂😂😂 kuna watu humu ni bora sijui nisemeje

  • @seifalzakwan5663
    @seifalzakwan5663 Před 6 měsíci

    Ekeni video full kama hamana internent acheni kazi

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 6 měsíci

    Mtoa taarifa na mpokea taarifa

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7si Před 6 měsíci +1

    Mbowe huwa hawasilizi nyie hata kwa lowasa mlimkataa akampokea

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Před 6 měsíci

    Chadema mlitakiwa kumtumia makonda kama kioo cha watanzania