BIG INTERVIEW: HECHE na ZIARA za MAKONDA -"AMEKUWA MPOKEA TAARIFA -WAZIRI-IGP WALITAKIWA KUJIUZULU"
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2024
- BIG INTERVIEW: HECHE na ZIARA za MAKONDA -"AMEKUWA MPOKEA TAARIFA -WAZIRI-IGP WALITAKIWA KUJIUZULU"....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
We mpumbavu useme ukweli kuwa alizuia ushoga dar halafu marekani haiko kama unavyo filkiri
Weww ndio mpumbavu ushoga sasa haupo au unaongea ujinga tu
8
Humana akili mpinzani wewe mpongeza makonda ungekuwa na akili makonda msaada wako
@@LovelyBrain-wz7si13:21
Natamani sana Mungu ampe kibali HECHE cha kuongoza nchi hii
😂😂😂😂 bangi tupu
Kenge
Pole
Muko vizuri wananchi hawana uelewa
Peoples power
Kweli kabisa CCM wameshindwa na makonda anafanya maigizo na kimsingi system imefeli
Safi sana classmate nyota ilionekana all the way from Nyamaharaga primary schools
Uko sawa kamanda
Jonh unaakiri nyingi Sana unajib point Sana chadema haiwezi kutoa Fara hats ck 1
Wewe ni mwongo Kati ya mikutano aliyo fanya makonda hakuna mtu aliye sombwa sema makonda anapedwa Sana nawatu ni kizazi Cha magufuli ni wivu wako tu mra
Umeongea ukweli
acha ujinga ww mwananchi mwenye shida kila siku mambo yanakuwa magumu unaanza sifia makonda kweli??? basi bwana kwel Mtz amesha rogwa sio buree
Anapendwa na wajinga tu.
Magu alipendwa na nani labda wazazi wake na ndugu zake na wapenda kudanganywa kama ww mbona hakuwah kwenda mbeya
Nikweli watu wanasombwa kutoka vijijini
Viva Makonda🎉
uko vizuri sana ni wenye uelewa ndio wanakuelewa kaka good job
Heche❤
Tanzania machawa yamejaa Kila Kona ,viongozi wanasema nchi masikini waziri tu anatebea na msafara utafikiri mfalme pesaiyo inatumika una waita watu masikini magari ya mil 150 maskini
Makonda hammuwezi
Hawamuwezi kwa nini kwani wanashindana
Hapana saizi makonda anakubarika sana watu wamemwelewa sana saizi watanzania wengi wameweka Imani kubwa sana namakonda
Mmmh😂😂
Usiwasemee watanzania jisemee mwenyewe 😅😅😅😅😅
Watanzania wa aina gani labda ww na wenzako wajinga ambao shule hamna mnashabikia ujinga
Makonda anachapa kazi sanaaaa ccm oyeeeee kazi inaendelea mama samia oyeeeee wanawake jeshi kubwa
Kwa mara ya kwanza nataka nikuite mjinga usijilinganishe na Makonda kabisa same like mbingu na ardhi. We heche mwongo
Ni lipi umeliona kwa Makonda hadi useme kuwa Heche sio size yake? Umesikia Heche alichoongea au ulishaziba kabisa masikio?
Kwel kabisa asijilinganishe na makonda
Yaani ni mwongo sana, weweeeee kwa nini unongea uwongo? Kweli hata kujibu huwezi, yaani hueleweki
Makonda ana nini
Bado hamjasema Makonda chukua maua🎉
Mimi Naendaga Mikutano Ya Mafisiemu Kutazama Wasanii tu ✌️✌️✌️
Kweli.nimeamini.makonda kawa.shika.penyewe.heche.jidanganye.ogopa Makonda.mwamba
Mtu anaetuumiwa na kuuwa watu binadam unawezaje kumshangilia et mwamba au ndo utanzania wetu mtu kama aijakufika kuna kamsemo ka kwetu mbifamuki
@@user-ie2sr4fi4khaijawafika ikiwafika watakuwa hawajui
Nimekuelewa sana Heche
Hajui anachokiongea huyu heche, mbona wa-Israel wanaua wapalestina ? watoto wadogo na wanawake, afu wa-Israel wakoloni nchini palestina huyu jamaa hafai kuwa kiongozi.
@@iddiramadhani5111 mimi sijasema kama anafaa au hafai mimi nimesema nimemuelewa
Kwenye mikutano ya makonda uwa tunaenda wenyewe kwa mapenzi yetu kwa miguu yetu bila hata kupewa mia, tunamkubali makonda tunaipenda ccm na mwenyekiti wetu mama Samia
Na wale wanafunzi wanaolazimishwa p1 na walimu wao mhm
@@TiffuAbdallah-of5os hakuna mtu anayelazimishwa kuudhulia mikutano ila ni mapenzi ya wananchi kwa chama chao
Nikweli kabisa mheshimiwa heche ,CCM ndio waliosababisha matatizo na hawawezi kutatua matatizo.
CCM imetuletea shida kwa kuondoa ukoloni
We heche unaropoka
Baadhi ya watu hamuelewi makonda hakuna kitu atakachobadilisha hanauwezo huo ndani ya ccm
Ndo mana viongoz wakubwa wa vyama vya upinzani sitak wapewe nchi maana vinaabudu xn marekani taifa la kishetani
Wewe elim yako ndogo chadema wanajifunza kwamtu ariye faul hawawezi kujifunza kwa ariye fel kwahyo ndoo maana anataja marekan huyo ndoo ariye faul
Heche honereni sana mnafanya kazi nzuri. Mnawapambania watu lakini wenyewe hawaelewi. Ccm wanatumia ujinga wa watu kuwatawala
Chadema inatumia wavivu wa kazi kuwakamata akili waandamane.
Chadema haiwezi kufika popote pale mpaka viongoz wake waache ujingq
Huyu jamaa ni very very nice ...mikundu hawawezi kukuelewa Heche.
❤❤❤❤❤
Uyu heche akili yake ni kubwa makonda anafanya sanaa tu hakuna uwalisia kile anachofanya jukwaani ni propaganda
Heche gombea uenyekiti wa chadema . Unaweza sana.
Kwa hiyo chadema wanapata pesa wapiii.ina maana kuna ,mabeberu wapo nyuma yao,wanawagadhili. Hii ni hatari
Umeulizwa makonda anachangamusha unajibu tofauti kabisa na makonda kwenye mikutano yake hakuna anaesombwa watu wana hamu nae na ndo maana hata mikuno yake wana hamu nae wanatamani hata wakeshe powa2
Now wanashindana na makonda walihangaika na jpm kisa kusikiliza matatizo ya masikini kwahiyo makonda kuja na mfumo huo mnampinga poor kbsa chadema
hakili kubwa eche jembe eche
Kweli waxngu wameharibu
Tatizo CHADEMA ni waongo sana, hakuna mkutano wa Makonda ambao watu wamesombwa
Mimi nishahidi acha ujinga,, mbashite anafanya mkutano bunju sisi tumetolewa kigamboni temeke ilala,, Kwa magari!!
Acha uongo wewe kila eneo na shida zake utasombwa ukaeleze shida wakati anayehojiwa hayupo@@jonasdaniel1025
@@jonasdaniel1025wambie waelewe
Wanafunzi na walimu wao wnafata nn kama sio kulazimishwa na ndo wanaojaza
Kuna mtu hata akikoment unaona kabisa uelewa wake ni mdogo na mjinga msipate shida kumjibu maana anaweza bisha hata vitu vingine ambavyo vipo akasema waongo mpaka yy yamkute
Upinzani acheni kuabudu nchi za watu.hata magu mlimkataa lkn sisi wananchi wa chini alitufaa mno
Alivo wa faa baadae ikawaje?? kuna mambo muyaelewe jaman watz mbona ss vichwa ngumu kuelewa
Wewe umeelewa nini?? Kila mtu na nafasi yake kwani ukkmchukia makonda nini unaongezeka??
Jaribu kuelewa anachozungumza yy hajasema anamchukia huyo uliemtaja
Marekani huo unafki wamepata wapi kama sio nyinyi wapinzani ? Kikulacho kinguoni mwako !
Ndio chama kubea
We unaishi nchi gani
Heche mpumbavu ndo wawezi kukuerewa lakin mwe akiri hukusikiriza nakujitambua !!
Amekuibia mkeo mbona utafoka
Wekweli ndezi
Unaongea poit san unasimama kwenye ukweli, ila hii nchi. Ukisem ukweli ni shida tup , mafisad tup wamejaa ng aaa
Wewe heche nakuamini ila kwa makonda muache kabisa jamaa anajitaidi kwa nafasi yake nchi hii imeoza ila kwa pale anajitaidi na swala la marekan wamarekani wanafki tu wao wanaua wangapi yy mmarekani ndy anasababsha vita ukrein haviishi kisa mmarekani raia wanakufa sanaa yy ajali kila siku anapelwka pesa
Wewe ni mnafiki mbona umekua chawa Kwa Mbowe ,unatetea kila jambo la mbowe
Nice
Iyo mifano ya utoton inanikosha sana
TANZANIA
Kumbe mnalipwa milioni 100 halafu mnasema ndogo mwee ngoja nipambane na madagaa zangu
Kijana mmoja anawachemsha wote nyie,
Sasa kwani sisi marekani? Chadema been on the siasa almost or near4o years but ni ushuzi mtupu
Joto la kiasa linaongezeka. Ahsante mama na Makonda kulianzisha.
MWEHU WEWE
Tema mate tumchapee mwananguu😅😅😅
Makonda Wamenfungia kwenda huko nje vile hakutaka watu wa jinsia moja sio mauaji
Nenden kaishini marekani tuacheni
Jitambue na kuwatambua wengine pia, wote ni watanzania kuwa ccm haina maana kwamba una haki zaidi kuliko wa ACT Wazalendo,Chadema, Nccr mageuzi au chama kingine chochote. Watanzania wote ni sawa bila kujali chama,Dini,Kabila au rangi na vyovyote unavyofikiri wewe.
Wewe ukimgusa mbowe utakuwepo cdm Ili liongo mpaka linapitiliza
Leo kk unamawazo yachuma chakavu
Wananunuliwa hao wanao mshangilia tunaelewa ishu zote
Na hao wanaopewa pesa ili watangaze ushoga hii nchi tumekataa ushoga wa marekani hawawezi ipenda Tanzania lazima wawatumie wapinzani wa serikali.
Weeee una ushahidi gani kwamba kapoteza uhai wa watu
Unataka ushaidi hujui kuna ushaidi wa mazingira pia fiisiem mkubwa wewe
H😂😂😂😂😂😂 mtoa taarifa na mpokea taarifa
👊✌️👍.
Watanzania waliowengi hawajaelewa mbinu za ccm na Makonda .
We lifisiemu acha kutuzonga tunasikiliza heche akili kubwa we kakojoe ulale
Bigup Makonda.
unasema nini
Big up makonda
Kwani shida ni nini,....
Heche uko sawa 🎉🎉
Eche shikamoo
Hehe muongo. Hana aibu kabisa .
Mwizi nimwizitu wanaibiana wenyewe kwawenyewe
Usipokuwa muelewa anayekusababishia matatizo unaweza ukamwomba Masada CCM inamtumia makonda waonekane wema ili 2025 tuchague
Kwenye kudhurumu uhai wawatu kama hiyo ndiyo sababu ya America wamedhurumu zaidi kuliko yoyote duniani makonda anayo haki kwenda popote apendapo akiamuwa kwenda
Ss hatuwezi kuwadhibiti Ila wao wanaweza. Pili Makonda haku wakosea wamerekani kawa kosea watanzania, marekani katusaidia kujulisha ulimwengu uwezo wa jamaa kutoa roho. Ukizingatia taarifa zinavyobanwa cyo rahisi hayo tukayasikia popote kwenye media zetu kuu. Najua utapinga Ila kbala jiulize ulisikia wapi tuhuma nzigo namna hii hazichunguzwi angalau pakatoka tamko rasmi kuokoa sura ya serikali? Makonda yupo kwajili iko wazi wabongo wanapenda umbea kuliko FACTS.
Makonda anaua chama
Mama mtoe
Anae mpiga makonda mungu usimone
💪
Wazungu wangejua kua binadam ndio kitu cha kulindwa namba moja kwanini ndio wakwanza kuuwa watu pia kutengeneza vifaa vya kuuwa watu hebu acha zako.
Jana nimekutana magari kibao Mto wa Mmbu yamebeba watu kutoka Karatu je hao wamekuja wenyewe kwenye maandamano yenu Arusha?
Sasa mbona mnaanza majibizano? Sindano imeingia pahaala pake?
Very convincing guy😂😂
ACHA UONGO WEWE
Hiyohiyo serikali ya Marekani ambayo ina the most intelligence system ndio ilituambia Saddam Hussein anamiliki silaha za maangamizi.
Acheni kutukuza sana wazungu
Sasa makonda asipoenda ulaya hatoishi ?
Mikutano ya makonda imesaidia watu wengi sana
😂sababu anapinga ushoga huyo ndiyo mwanaume
Halafu wamarekani hawapigi kura tanzania wewe nenda kwenye ushoga wako huko
Mmebakiza makasiriko tu
HECHE WACHA UJINGA WEWE KIUFUPI TU CHADEMA HANA KITU HAPO
Chadema si ni wahuni tu
Hivi mi nashangaa sana watanzania,nani alisema kujaa watu ndio kuwa na sapoti ya wananchi au kukubalika?kuweni na Akili mi nilishawahi hudhuria mikutano mbalimbali ya kisiasa makongamano na hata sijawahi sapoti chama chechote cha siasa na wala sitopiga kura yeyote.wengine tunahudhuria kama sehemu ya mshangao na kusongesha muda😂 2:46
Sasa maswala ya malekan na tanzania inakujaje kwama nyie mnasikiliza marekqn sasa
Chama Ni Dubwasha Na Makonda Ni Mtu Aliyekuja Kubadili Muelekeo Wa CCM
😢
MAKONDA IS HERO
Wakanushe majasusi wa Marekani walichokisema kuhusu huyo mwenezi.
Hero for kidnapping or mocking Tanzanians? Think big guy
😂😂😂😂HECHE BWANAAA ETI TEMA MATE HII NI AKILI KUBWAA 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Heche
Hajui anachokiongea huyu heche, mbona wa-Israel wanaua wapalestina ? watoto wadogo na wanawake, afu wa-Israel wakoloni nchini palestina huyu jamaa hafai kuwa kiongozi.
Kamwaga damu sana kipindi cha magufuli,, the foolish people don't understsnd that.. Damu za watu hazitamuacha salama makonda ngoja afanye maigizo mbele za macho ya watu but there's a day and time, he will pay
Baanda ya kumalizia mahojiano na mwadishi agaria komerdi za wachagiaji ndo ujue makonda alivyokugalangaza
Comment nyingi zinaonyesha namna bado tunasafari ndefu kama watz😂😂😂 kuna watu humu ni bora sijui nisemeje
Ekeni video full kama hamana internent acheni kazi
Mtoa taarifa na mpokea taarifa
Mbowe huwa hawasilizi nyie hata kwa lowasa mlimkataa akampokea
Chadema mlitakiwa kumtumia makonda kama kioo cha watanzania