Sivai kwa nguvu zako kinachokuuma nn?...wala sili jasho lako,kinasumbua nini? Riziki ni kwa mafungu,usiwe n choyo,mtoaji ni manani..... Wa kumi kapewa kumi,wamoja usihangaike ASO MTU ANA MUNGU...HAYO NI KWELI,KIHERE HERE CHA NINI? Miss u Sabah muchacho💕💕💕 💞💞💞
Kila jambo kwa muumba mja una kitu gani, ndie ninaemuomba moyo ukatumanii Bure wewe unatamba kwa ivo vyako vipenny Si mimi utonitimba iyo yote mitihani
Tunapendana
Yaani huu wimbo umenigusa, km kaniimbia mm vile.. 👏👏Na hunaga nyimbo mbovu mama hongera sna
Hakikaaaa
Sivai kwa nguvu zako kinachokuuma nn?...wala sili jasho lako,kinasumbua nini?
Riziki ni kwa mafungu,usiwe n choyo,mtoaji ni manani.....
Wa kumi kapewa kumi,wamoja usihangaike
ASO MTU ANA MUNGU...HAYO NI KWELI,KIHERE HERE CHA NINI?
Miss u Sabah muchacho💕💕💕
💞💞💞
Kila jambo kwa muumba mja una kitu gani, ndie ninaemuomba moyo ukatumanii
Bure wewe unatamba kwa ivo vyako vipenny
Si mimi utonitimba iyo yote mitihani
Aso mtu ana mungu kiherehere cha nini
Wallai aso mtu kweli ana Mungu
NAAM MANENO SAHIHI ASO MTU ANA MUNGU
Allah akuzidishia Inshallah
Ameen Inshallah
Hapo chacha waambie wasikie
Mashaa Allah ♥️
Ya Salam💖🙏
Asante 🙏🙏
😍😍😍😗😗😗 mashallah
Asante ❤
♥️