Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
National Anthem of all the time.Nmeacha kuskiliza hip-hop cuz Sikuskii brother.if you get back like this.i'll be back too
Rado mbona yupo na mziki anafanya ameachia mkwaju unaitwa "Kheri na Shukrani"
RADO Kiraka @youTube#SikoHOI#28/02/2022#OFFICIAL:RELEASE
Wasukuma wanashangaa Rado anavonata na beat..
DJ alikuwa boya sana... beat linatakiwa lisikike... boya sana
KIRAKA-RADO tokea Kino! Chemchem vibes..
Nyie wasukuma mkoje, Rado anatambaa na beat hivyo mnamshangaa tu, ushamba sijui mtaacha lini
kumbuka hii ilkuwa diss trak kwa mfalme wa mwanza fid sasa washangilie nn
Wamelala sana hao wasukuma hawana amsha amsha kabisa
alimdis kubanda ndo tatizo
Hujui kam hii ngoma yakumdis fid q unataka tushanhailie nn
Wasukuma pmbv zenu,mnataka nn kwny hip-hop kama co Kuchanana ukwel! hip-hop ni ukwel acha fid achanwe tu,who is fid by the way! kiraka let us go
rado naomba uludikwnye game
umetisha RASTA
Uyu jamaa daaah kumbe yupo...Ahaaaaa ahaaaaaa
Hawa wasukuma Yaan bado hata huwajui maana ya kupafom, yamekaaa kimya hayatoi hata support kwa rado, wasukuma mmelala sana
Radoooo
Hivi ndio vilikuwa vipaji haswaaaaaa
radoooooo
true talentsbut distorted by beefs
Huyu ni malcom x Wa bongo
nyimbo hii inafanya Rado asipotee Kila cku##but Rudi brother ngosha the don Hana mpinzani kwa xaxa
hizi video za mwanza sauti yake ipo chini mnoo
Kabisaa asee, nilikuwa nataka kuenjoy kuangalia show ya huyu field marshal
National Anthem of all the time.Nmeacha kuskiliza hip-hop cuz Sikuskii brother.if you get back like this.i'll be back too
Rado mbona yupo na mziki anafanya ameachia mkwaju unaitwa "Kheri na Shukrani"
RADO Kiraka
@youTube
#SikoHOI
#28/02/2022
#OFFICIAL:RELEASE
Wasukuma wanashangaa Rado anavonata na beat..
DJ alikuwa boya sana... beat linatakiwa lisikike... boya sana
KIRAKA-RADO tokea Kino! Chemchem vibes..
Nyie wasukuma mkoje, Rado anatambaa na beat hivyo mnamshangaa tu, ushamba sijui mtaacha lini
kumbuka hii ilkuwa diss trak kwa mfalme wa mwanza fid sasa washangilie nn
Wamelala sana hao wasukuma hawana amsha amsha kabisa
alimdis kubanda ndo tatizo
Hujui kam hii ngoma yakumdis fid q unataka tushanhailie nn
Wasukuma pmbv zenu,mnataka nn kwny hip-hop kama co Kuchanana ukwel! hip-hop ni ukwel acha fid achanwe tu,who is fid by the way! kiraka let us go
rado naomba uludi
kwnye game
umetisha RASTA
Uyu jamaa daaah kumbe yupo...Ahaaaaa ahaaaaaa
Hawa wasukuma Yaan bado hata huwajui maana ya kupafom, yamekaaa kimya hayatoi hata support kwa rado, wasukuma mmelala sana
Radoooo
Hivi ndio vilikuwa vipaji haswaaaaaa
radoooooo
true talents
but distorted by beefs
Huyu ni malcom x Wa bongo
nyimbo hii inafanya Rado asipotee Kila cku##but Rudi brother ngosha the don Hana mpinzani kwa xaxa
hizi video za mwanza sauti yake ipo chini mnoo
Kabisaa asee, nilikuwa nataka kuenjoy kuangalia show ya huyu field marshal