JASHO LAMTOKA!! AFISA ELIMU HUYU AMTIBUA VIBAYA WAZIRI MKUU/AKUTA MADUDU HAYA YA KUTISHA IRINGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2024
  • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Divisheni ya Sekondari wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi, Daniele Mapillya, kuyaondoa madawati yote ambayo hayana eneo la kuweka daftari kwa ajili ya wanafunzi na kurudishwa kwa fundi kwa sababu hayakidhi viwango vya madawati ya shule za msingi na sekondari.
    Ametoa maagizo hayo baada kufanya ukaguzi wa shule ya Sekondari ya Wasichana ya Iramba iliyopo katika kijiji cha Iramba, kata ya Itandula, wilayani Mufindi, mkoani Iringa, leo mchana (Jumapili, Julai 07, 2024)

Komentáře •