Waziri Mkuu Majaliwa aagiza milango yote ibadilishwe Hospitali ya Wilaya ya Namtumbo. - Ruvuma.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Namtumbo na kusema Serikali haiwezi kukaa kimya wakati baadhi ya watumishi wakifanya vitendo vya hovyo.

Komentáře • 12