Part 3 & Final Full Interview (Audio) : Funguka Pamoja Na Mange Kimambi Na Hamissa Mobetto.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 07. 2024
  • Vigezo Na Masharti Kuzingatiwa
    @Mange Kimabi....

Komentáře • 33

  • @everlyneomwangale863
    @everlyneomwangale863 Před 4 měsíci +3

    This girl is so unique.My all day role model ❤❤

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 4 měsíci +9

    Ila hamisa anajiamin Sana..safi

    • @atomphoton5000
      @atomphoton5000 Před 4 měsíci +2

      sio yeye tu ila wadada wengi wanaotoka mkoa wa Mara wakogo ivyo wanajiamini vya kutosha.

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před 4 měsíci +1

    Ila hyu dada kapitia meng sana kwenye mahusiano yke na diamond,wanaombeza Mungu anawaona😢😢😢pole misa amin kuwa hilo ni jaribu lako❤❤

  • @mectildiskatyale1786
    @mectildiskatyale1786 Před 4 měsíci +6

    Dai amezoea kuona wanawake zake wanampatikia na anataka kulala nao kamkuta Hamisa kamkazia.

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
    @SmilingFreshwaterLake-tg5qp Před 4 měsíci +2

    Endelea kupambana Hamisa super woman ❤❤❤❤

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 Před 4 měsíci +1

    Hamisa pole sanaaa.....nimeumia Mungu atamlinda mwanao

  • @Ymbc001
    @Ymbc001  Před 4 měsíci +4

    📌Usisahau Ku Subscribe Kwenye Channel Yetu

  • @chany9950
    @chany9950 Před 4 měsíci +2

    Nice 👍🏽👍🏽👍🏽

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 4 měsíci +2

    HAMISA KAMNYEA SANA DAI UMO NDANI,,,ANYWAY BONGE LA INTA.

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 Před 4 měsíci +2

    What a shame 😮😢 very sad Wallahi 😥

  • @rehemaomar4924
    @rehemaomar4924 Před 4 měsíci +1

    😂😂😂😂 nice lntervie

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 Před 4 měsíci +2

    Mange masikin kigugumizi

  • @gracemahugi4380
    @gracemahugi4380 Před 4 měsíci +2

    Mungu atasimama nawewe

  • @aishaz1
    @aishaz1 Před 4 měsíci

    Kumbe huyu mbea kijiti n kigugumizi na kuogea uachi omba Mungu wachanana ubea

  • @LilianeShindano
    @LilianeShindano Před 4 měsíci

    Dada pore sana

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Před 4 měsíci

    Very sad 😔

  • @graceanyungu2774
    @graceanyungu2774 Před 4 měsíci

    Mange mjinga sana

  • @rehemakitara9978
    @rehemakitara9978 Před 4 měsíci +1

    Kwanini hataki kupima hyo DNA nje ya nchi km kweli anajiamini ni wake????? Aache uwongo bhana pesa za kwake mwenyewe shida iko wpi??? Unaficha nniii

  • @ruthsima8152
    @ruthsima8152 Před 4 měsíci

    Maisha haya

  • @Lulucut
    @Lulucut Před 4 měsíci

    Kwahiyo kakubaliwa au mtoto

  • @user-mo9nm2vv8l
    @user-mo9nm2vv8l Před 4 měsíci

    Harmonize nje?

  • @user-rl5eq7uf1h
    @user-rl5eq7uf1h Před 4 měsíci

    Very sad

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Před 4 měsíci +2

    Dai ni MCHAFU 😮😮😮 Daah

  • @Blckurban
    @Blckurban Před 4 měsíci

    How is Hamisa working in the US it’s illegal..!!!

  • @aishaz1
    @aishaz1 Před 4 měsíci

    Umesema siri zote sasa unajega au ndo umebomoa kabisa

  • @aishaz1
    @aishaz1 Před 4 měsíci

    Huyu unae mwelezea shidazako anashida kukuliko so chamaana ugemwachia Allah sasa umeshajichukulia atua mikononi mwako kutagaza Nasasa huyo atakusaidia kumlea au wanawake ss atuna akiliwegine

    • @hawakadio5430
      @hawakadio5430 Před 4 měsíci +2

      Kwani siku zote analelewa na dai?acheni nidhanu za uwoga.wanazaliwa wazazi wao wanakufa na wanalelewa wanakuwa.itakuwa dailan .atakuwa kwa uwezo wa mungu.hiyo familia imemnyanyapaa sana hiyo mtoto

    • @hawakadio5430
      @hawakadio5430 Před 4 měsíci +1

      Mbona kama kufanana anaefanana na dai ni wa tanasha tu.hao wa zari hata kidogo hawafanani jamani mbona wao wasiende kwenye dna?acheni kujifanya mungu watu.malipo ni hapa hapa.tatizo muda tu.tulieni mtauona ukuu wa mungu

  • @kessy642
    @kessy642 Před 3 měsíci

    Kiongo kihamisa Kevin maskini tu hana kitu