Kimeumana! LINAH amporomoshea matusi HARMONIZE "Sikutaki na sikupendi,umenitafuta kw muda mrefu.."

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • Please subscribe now on Our CZcams channel To be the first to hear about the latest news and updates on Time.
    #middlesimba
    #WeAreEverywhere
    #Linah

Komentáře • 187

  • @starfordalex4139
    @starfordalex4139 Před 3 lety +13

    Lina umeongea ukweli kajamaa kana roho mbaya saana

  • @msodokimsodokiothman6460
    @msodokimsodokiothman6460 Před 3 lety +16

    Huchelew middle simba 🦁

  • @suleshm4627
    @suleshm4627 Před 3 lety +10

    Nimefika mapema sio kwaumbea huu @middlesimba🔥🔥🔥🔥🔥

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Před 3 lety +10

    Wenzie wako mambele wanatafuta connection yeye kaganda bongo kutongoza wanawake na wamembumia sasa kiki izo zilipendwa kwa Diamond zilipendeza coz tulikuwa hatujui maana ya kiki izo kwa sasa zilipendwa atafute attention zaidi ili abume kimataifaaaa

  • @mwaitaali6816
    @mwaitaali6816 Před 3 lety +13

    Ewaah 😭😭😭😭

  • @davianofficial6972
    @davianofficial6972 Před 3 lety +9

    Ila middle hahahahaa Kaka una vipaji vingi kupitia hii nimegundua wew ni comedian mzurii eti eheeeeehee mkubwa wew😂😂😂😂😂😂big up middle

  • @mullahmasudy2622
    @mullahmasudy2622 Před 3 lety +13

    Huyu mmakonde Tamaa nyingi😂😂😂😂😂

  • @jansenmlb6592
    @jansenmlb6592 Před 3 lety +18

    Kumekucha. Huyu mchumar ana shida gan aseeee

    • @stevenchenga1978
      @stevenchenga1978 Před 3 lety

      Huyu nchumari anashida Kuna kitu kinamsumbua kwanin kila kukicha awe yey tu afu anaongeleka kwa sifa mbaya duh!

    • @sharonchristian3711
      @sharonchristian3711 Před 3 lety

      Ana nuksi ya wanawke 🤣🤣

  • @musason1680
    @musason1680 Před 3 lety +27

    🤣🤣🤣 kimeumana yule mwamba angetulia tu watoto wengne hawatakagi watu wa masifa

  • @hagaielia9704
    @hagaielia9704 Před 3 lety +2

    Komesha kabisa halima ADABUU asante dada linah

  • @evaristotv8965
    @evaristotv8965 Před 3 lety +21

    Daaaaah ana gundu Gani huyu mmakondee😂😂😂😂

  • @adolfrudovick2252
    @adolfrudovick2252 Před 3 lety +4

    Kuku boy anapenda tamaa

  • @rjartistsog4649
    @rjartistsog4649 Před 3 lety +1

    #God Bless U Kaka. MIDDLE SIMBA Always Upo juu

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Před 3 lety +11

    Angelikuwa Diamond ndio mwenye nyotaaaa

  • @zuberihussein4375
    @zuberihussein4375 Před 3 lety +9

    Tatizi Konde anapenda kumuiga Mond ili naye aonekane kagonga mademu weng wa kibongo, atulie tu

    • @pendomarco8928
      @pendomarco8928 Před 3 lety +1

      Anaiga Sana kwa kila kitu lakini atafeli

    • @zuberihussein4375
      @zuberihussein4375 Před 3 lety +1

      @@pendomarco8928 sijapenda sna, anajitahidi kubrand lebel ya konde boy lkni anaishusha kwa skendo za hovyo anampa liki linah

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před 3 lety

      Sasa na ile sura yake wanamuumbua na tabia chafuuuuu🙄🙄🙄

    • @rashidalialfedheili637
      @rashidalialfedheili637 Před 3 lety

      @@afterfull-time1348 haaaa unanicekesh

  • @khanniebaraka1515
    @khanniebaraka1515 Před 3 lety +16

    Sikuhizi unachelewa kutuletea umbea bhna

  • @erickremba9828
    @erickremba9828 Před 3 lety +15

    Amkenii amkeniiiii kimeumanaaaa 🤣🤣🤣🤣 huko

  • @mobrighttz193
    @mobrighttz193 Před 3 lety +8

    Kwanza nimekua

  • @mwaitaali6816
    @mwaitaali6816 Před 3 lety +4

    Sema kimeumana

  • @saviormayeye3374
    @saviormayeye3374 Před 3 lety +12

    Panyaaaa anazinua xanaaaa😂😂😂😂

  • @rashidahmed8071
    @rashidahmed8071 Před 3 lety +7

    Dah kaikosa bahati jamaa anaumbuka .😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

  • @muranisalim3572
    @muranisalim3572 Před 3 lety +11

    Duh hujama nimawenge hato fika

  • @denicegabriel6616
    @denicegabriel6616 Před 3 lety +8

    😂😂😂😂 Naomba tu likes wadau

  • @javoabshirbwana9305
    @javoabshirbwana9305 Před 3 lety +7

    Wa kwanzaaaa

  • @officialnabee138
    @officialnabee138 Před 3 lety +6

    Hiyo 🔥🔥🔥bro

  • @papaamgisha9698
    @papaamgisha9698 Před 3 lety +2

    Jamani jamani mchumali weee

  • @martinaloo5444
    @martinaloo5444 Před 3 lety +18

    Kama Harmonize anatumianga robot hapa CZcams ndio akimbizane na Zuchu, then anaweza tumia mganga apate Linah 😅😅😅

  • @kawambwakawambwa1850
    @kawambwakawambwa1850 Před 3 lety +3

    Staa wa kwanza duniani kukataliwa hadhalani Ni mmakonde

  • @venerandamasunga6789
    @venerandamasunga6789 Před 3 lety +8

    yumo harmonize hana adabu anachojua nikuwavua wanawake nguo

    • @godfreymatias7489
      @godfreymatias7489 Před 3 lety

      Pesa ipo wanapenda pesa

    • @ndayishimiyepascal5928
      @ndayishimiyepascal5928 Před 3 lety

      Kwani yeye njo amebitowa nje kwanza iyo ni kiki wanawake wamesha one ili kusema warudi mjini ni kujitia eti wametongozwa na harmo ila wanajidanganya uyu jama njo tumesha mpenda ata wafanye aje tutakufanaye

  • @angelrichard8211
    @angelrichard8211 Před 3 lety +4

    Mmh Linna anajikita nani mwanaume akikutongoza ndo umtukane yakule yanamuhusu nini ovyoo ila Harminize anapenda misambwanda maskin si atafute wake auweke ndan anababaikia mastaa na wakati washapitiwa na wa2 telee mmh

  • @stevempili5987
    @stevempili5987 Před 3 lety +14

    Mjomba mchomali kayakanyaga🤣🤣🤣

  • @fatumasaidi2592
    @fatumasaidi2592 Před 3 lety +4

    Huyu jamaa nuksi

  • @monthd7
    @monthd7 Před 3 lety +5

    💥💥💥💥💥💥

  • @bennostar3771
    @bennostar3771 Před 3 lety +8

    Hahahahaha... middle bhan. Et eeh ninini wako. 🤣🤣🤣🤣

  • @dalovebazuka2806
    @dalovebazuka2806 Před 3 lety +5

    Sasa sikawaida mwanaume kukataliwa!

  • @khamy_photographer
    @khamy_photographer Před 3 lety +1

    Wooh umerud sasa

  • @Saaa235
    @Saaa235 Před 3 lety +1

    All in all middle simba ndio anapenda akiona harmonize hapendwi

  • @phelixyanthony4051
    @phelixyanthony4051 Před 3 lety +14

    Harmo mkaa uchi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @catherinemuhagama7338
    @catherinemuhagama7338 Před 3 lety

    Middle🔥🔥🔥

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 Před 3 lety +5

    Haka sasa mpaka album ya simba inatoka katakuwa kamegeuka harmorapanya!

  • @ghaalifghaa2702
    @ghaalifghaa2702 Před 3 lety

    Linah muogooo sana

  • @fidelekahezi5175
    @fidelekahezi5175 Před 3 lety +2

    Jamani huy harmonise una nyege sasa ebu mumupe matibabu

  • @novidadegreener2004
    @novidadegreener2004 Před 3 lety +2

    Harmonize amefikiri kila mtu anapenda utupu wake,,nyooooko,, anataka kumuonyesha linah utupu wake,leo kalivagaa Linah ameukwepa,, alidhani ni kajala,,Pole Harmonize kwa utupu wako,,kuwa msanii mkubwa sio kigezo cha kuwapata wadada wazuri.

  • @angelsalome8053
    @angelsalome8053 Před 3 lety +7

    Panya kwakeli hauna nyota kabixa

  • @lwimikomwambene
    @lwimikomwambene Před 3 lety +5

    kikiiiiiii

  • @cholokogil4041
    @cholokogil4041 Před 3 lety +6

    Middle simba bana eti nini wako 🤣🤣🤣

  • @matiasmpoyo8311
    @matiasmpoyo8311 Před 3 lety +2

    Reason is very simple harmonize likes the leftovers

  • @boentv5143
    @boentv5143 Před 3 lety

    Hivi middle Simba huwa unafurahi Sana ukimchafulia harmonize jina

  • @rehemaiddsalehe52
    @rehemaiddsalehe52 Před 3 lety +1

    Kama aliweza kumtongoza paula akiwa na kajala ashindi kumtongoza linah ajawahi kutafuta kiki uyo hormo ni mshenzi uwezi lazimisha mtu kumpenda unawatuma mabaunsa wambebe linah

  • @rashidjoseph2624
    @rashidjoseph2624 Před 3 lety +1

    Duuuh hatar anakataliwa had na lina

  • @joookahjokah8430
    @joookahjokah8430 Před 3 lety +2

    Kimeumana

  • @khamicsuleyman7660
    @khamicsuleyman7660 Před 3 lety

    Jamaa anahangaika na nn daaaaah

  • @videlialabeka4899
    @videlialabeka4899 Před 3 lety +2

    Waaaaaaah..Mimi pia nataka nimtusi mtu😆

  • @dadollary
    @dadollary Před 3 lety +8

    DUUH SASA HARMONIZE ATAPENDWA NA NANI?🤣🤣🤣

  • @joejux1380
    @joejux1380 Před 3 lety +1

    Daaaah kila niendapo matatizo mengi
    Aiseee tangu aende mzee magu😭
    Mara miamala imepandaaa kasi 4G😔
    Mara mjeda kaua masai na ng'ombe😭
    Mara demu kamtia moto boi wake😥
    Mara jamaa kaua siNza nae kujiua😭
    Mara kariakoo moto na fire hawana maji😭
    Mara sabaya na mahakama🙄
    Mara diamond na rozzy royce😎
    Mara mzee mpili kawa staa🙄
    Mara simba kafungwa tena😭
    MARA NIMEACHWA TENA LEO😭

  • @ashellyshadrack8897
    @ashellyshadrack8897 Před 3 lety +2

    Amkenii amkeniii kumekucha uku

  • @peterguja3363
    @peterguja3363 Před 3 lety +3

    Kimenuka

  • @stannslousmusau8099
    @stannslousmusau8099 Před 3 lety +2

    Panya huyo

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 3 lety +1

    Njomba Nchimali imekuaje!

  • @dannymziwanda6944
    @dannymziwanda6944 Před 3 lety +1

    Hana maajabu lina mwenyewe mavi Tu kama kajala na wasenge wengine

  • @officialmamjesa9191
    @officialmamjesa9191 Před 3 lety +1

    Anatafta kiki uyo vedio vixen.

  • @juniorclassic1779
    @juniorclassic1779 Před 3 lety +2

    Harmo mavi

  • @hamzaissa9233
    @hamzaissa9233 Před 3 lety +2

    Hana jipya anataka kiki Malaya tu

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 Před 3 lety +2

    Duuu kimeumana hapo

  • @davianofficial6972
    @davianofficial6972 Před 3 lety +11

    Atateseka Sana huyu jamaaa daah😂😂😂😂

  • @edwingwesso6818
    @edwingwesso6818 Před 3 lety +2

    Yaan konde anakataliwa na dem🤣😂😂😂😂

  • @jamespallangyo2694
    @jamespallangyo2694 Před 3 lety +2

    Middle simba mshauri huyo hamo mavi

  • @bossadam2252
    @bossadam2252 Před 3 lety +3

    Harmo harma mavi

  • @jojoboy4647
    @jojoboy4647 Před 3 lety +6

    Uyu Fara wakimakonde konde kaona mzik hauend Ununuz WA viws mgum Kaja na kiki wanajuwan na uyu kitunguu maji wake wafup wote akir moja

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 Před měsícem

    Ana jipya huyu dada kwa uturi fani danga tuu wamepita webgi uwezi kumwambia hamo mkiwa wawili danga kokowewe

  • @mishwanwanmish8803
    @mishwanwanmish8803 Před 3 lety

    Kukataliwa ni sehemu ya maisha

  • @Bullah_tz
    @Bullah_tz Před 3 lety +1

    Harmonize ana roho mbaya sana huyo jamaa ni basi tu

  • @aishamohammed5347
    @aishamohammed5347 Před 3 lety

    Hata kama jaman wanawake tuwe na heshim kuwSotir watu. 😭😭😭Kwan hamo kawafanyia nn

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Před 3 lety +1

    Linah amekumbuka ujinga aliofanyiwa kajala akaona haiwezekani😭😭 huy anakuja kunichafua ja mm🙄😂😂

  • @davido-scooper9471
    @davido-scooper9471 Před 3 lety +1

    Muuh middle nawe hupoi kwa kunogesha

  • @edwingwesso6818
    @edwingwesso6818 Před 3 lety +2

    Sasa lina kapotea kwenye game anamkataa harmonize nawakat akitembe na konde watu watamjua na atahit

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před 3 lety

      Alaf mwishowe yatokee ya kajala? Hakuna timamu anaweza kubali Hamokinyesi

  • @chandemohamedi3022
    @chandemohamedi3022 Před 3 lety +1

    Kiki iyo

  • @sentimalifransic4257
    @sentimalifransic4257 Před 3 lety

    Duuuh yaan ni nomaaa
    M'makondee bwana..si amuige mtu mzima/mzito #DaimondPlatnumz..😁😁😁😁
    Anafosi ila chibu wanamlilia😁😁kama kina AmberLulu

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 Před 3 lety +1

    Ukishaona HV ujue kaishaliwa huyo hauwez kuwa na hasira HV huyo kaishaliwa

  • @richardmsoka3861
    @richardmsoka3861 Před 3 lety +3

    Icho kibibi kanataka kulazimisha penzi la jeshi wewe bibi choko nn

  • @Mr.KevinBizi
    @Mr.KevinBizi Před 3 lety +4

    kimenuka 😳😌😩😂😂🤣

  • @paulmawirakinyu2688
    @paulmawirakinyu2688 Před 3 lety +2

    Harmonize hajitambui mwambie alinde brand yake Ni kubwa mno

  • @ahmedalazkawiasantesana6453

    Hiyo kk kunanyimbo inakuja

  • @vovobi2379
    @vovobi2379 Před 3 lety +2

    Ni kiki ya nyimbo mpya

  • @MedyRhymes
    @MedyRhymes Před 3 lety +3

    😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Leo nimechekaaaaaaaa hatar,

  • @lucasvisent9835
    @lucasvisent9835 Před 3 lety

    Lina anatafta kk

  • @esthermutabuzi4582
    @esthermutabuzi4582 Před 3 lety +1

    Kuanzia ameachana na Sarah, sijui amekuaje!

  • @vivecochieng964
    @vivecochieng964 Před 3 lety +2

    Nilitegemea ili habari ya harmonize kutoa pole kwa wale waliathiriwa na moto ule mkasa wa moto..ila wewe kila mara waona tuh upande ubaya wa harmonize..acha tumwachie Mungu

    • @stevenchenga1978
      @stevenchenga1978 Před 3 lety

      😅😅😅😅😅tatizo mjomba nchumari wenu anazingua

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před 3 lety

      Kajala na paula nao walimuachia Mungu ndo maana unaona yanayompata Hamokinyesi

  • @adamanassir3687
    @adamanassir3687 Před 3 lety

    Middle simba mpk mwenye pes anakataliwa haha je sisi makapupu itakuwaje

  • @fakihassan5569
    @fakihassan5569 Před 3 lety

    Hhhhh hawo wanamuharibia hamonaze lakin mbona wanashindwa lina dada angu umepotea doo kweli mtuakipotea kimziki anafanya kitu chochoti lina acha kiki pambana nahaliyako

  • @asaa3219
    @asaa3219 Před 3 lety +1

    Jamani watu Wana muonea harmo😂😂😂😂😂😂 Kila MTU akitaka kuskika ni mondi na harmo jamani bongo,🙌🙌🙌huyó dada ataka kutoka alikua askiki Sasa kwavile wamekutana akaona atengeze Kiki,, aya amepata Sasa amuache mwana wamwenyewe anapo SEMA Eti kazaliwa na yeyé pía si kazaliwa kwani mpaka utukane ndio ueleweke sijui watu wengine mkoje Ongea tu vizuri na tuta kuelewa sio matusi

  • @davidmwango9388
    @davidmwango9388 Před 3 lety +1

    anapenda mimama cjui mganga wake ndio alimshauli ili nyota ing'ae

  • @jumannetg3071
    @jumannetg3071 Před 3 lety +1

    Utashangaa Kesho wanatoa nyimbo yan haw hawaishiw kik

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Před 3 lety +2

    Hakuna timamu anaeweza kupendezwa na tabia ya Hamokinyesi 😂😂🙄🙄🙄

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 Před 3 lety +1

    Amekutana na bololo kubwa LA harmonize amegusa mpaka gololi sasa anayatapika hovyoooo kwalipi ww linah mpaka umkatie

  • @Hanskapella
    @Hanskapella Před 3 lety

    Hata kama simkubali harmo lakini apo rina kazingua, hiyo nikawaida ya wanawake tunawajua walivyo.

  • @denicelingay8496
    @denicelingay8496 Před 3 lety +2

    Kiki hizo

  • @iptyizalnabhany8412
    @iptyizalnabhany8412 Před 3 lety +2

    Watu wanaogopa kuchanganywa kuku na mayai mmakonde dah pole yako umejishusha hadhi

  • @ezeedi871
    @ezeedi871 Před 3 lety

    Kiki hizo Linnah hawez kataa mwanaume kama walikua wanashikana sehem nyeti na baraka da prince tena hadharan siyo ndan atawezej mkataa harmonize huyo??

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi2733 Před 3 lety

    Kaliwa huyu na konde hajalipwa