🔴LIVE: WAZEE WA YANGA WACHACHAMAA/MAGOMA MTOTO MDOGO/KAMA KASHINDA KESI AJE MAKAO MAKUU YA KLABU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • Leo July 17,2024 Mpenja TV Tumefika Makao Makuu ya Yanga Jangwani na tumezungumza na baadhi ya Wazee waliopo kwenye Baraza la Wazee wa klabu hiyo, Kuhusu kile kinachoendelea ndani ya klabu hiyo mara baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutoa uamuzi wa uongozi uliopo Madarakani, ukiongozwa na Eng Hersi Said ung'atuke madarakani.

Komentáře • 166

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 Před měsícem +17

    Watuachie yanga yetu na hersi haondoki💚💚💚💛💛

  • @DominicBwanali-xl4wj
    @DominicBwanali-xl4wj Před měsícem +16

    Mzee heshima kwako mungu azidi kukupatia afya njema nakuelewa sana kwa uyasemayo

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Před měsícem +10

    Huku Pemba tuna mjuwa heris tu💚💛💛💚💚💚

    • @user-lq7kv7sx3t
      @user-lq7kv7sx3t Před měsícem

      Mia mia sisi wapemba tuna mtambua heris nawakilisha wapujini woote waaaaaa wiiiii 😂😂😂😂

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 Před měsícem +7

    Duh wazee nyie safi nimewaelewa sanaaa

  • @SadikBakary
    @SadikBakary Před měsícem

    Daaah mzeee wangu mungu akubarik tunawapend wazeee kam ww mzee wangu

  • @innocentiBonifas
    @innocentiBonifas Před měsícem +13

    safi sana mzee,,uyo mzee magoma ni kenge mwenye mikia 7

  • @MalaikaBright-rv6yb
    @MalaikaBright-rv6yb Před měsícem +9

    Mchafuzi huyo kanikeraaaaaa yani wote wapenzi wa Yanga tungane dunia nzima kumtetea Eng Heri wetu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ mbele kwa mbele
    Ama kweli ya kabwela huyu ni kituko cha mwaka huu.tumseme hadi achanganyikiwe

  • @anthonylister754
    @anthonylister754 Před měsícem +7

    Mzee Sindano kaongea point sana asee

  • @user-ly2cz2nb2x
    @user-ly2cz2nb2x Před měsícem +5

    Huyu Mzee yuk vizur jibu zuri sanaa

  • @adolfjosephmwatulo
    @adolfjosephmwatulo Před měsícem +5

    Nmependa msimamo wa wazee

  • @JuliethMshiu
    @JuliethMshiu Před měsícem +5

    Kweli kabisa kwenye mafanikio kuna Vita,
    Mti wenye matunda unapigwa mawe

  • @SalmuWilson
    @SalmuWilson Před měsícem +6

    Huyo magoma tutamdunda❤❤yanga

  • @shabanimussa4269
    @shabanimussa4269 Před měsícem +9

    safi sana wezee mwenyezi mungu azidishie umri mrefu amina

  • @SAKINAJUMA-ey8qd
    @SAKINAJUMA-ey8qd Před měsícem +4

    Asante Sana mungu akubariki sana

  • @FeristaPaulo-v7d
    @FeristaPaulo-v7d Před měsícem

    Nimekupenda bure mzee wangu mungu akubariki Amina.
    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @OmaryzingZing-jd3xm
    @OmaryzingZing-jd3xm Před měsícem +1

    😂😂😂 safi sana wazee Wangu mko vizuli Yanga ni kubwa❤ me J.Naldo apa kutoka Bagamoyo CR7

  • @dentomedicalresourceslimit4602

    Mtangazaji uwe na ADABU. Cha kwanza ni salaam kwa wazee.

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z Před měsícem

    Mzee Wangu miaka 💯 umeongea umetulia Sana Mungu awe Mwema kwako❤

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 Před měsícem +4

    Hizi ndizo mbinu nje ya uwanja. Wanajua kuwa Yanga iko bussy na maandalizo ya usajili na michezo ya ndani na nje na wanataka kututoa kwenye reli. Magoma ni Fisi aliye zoea kuishi kwenye chumba cha mizoga haawexi kuvumilia kuona chumba kile amepewa mwingine. Sisi tunaangalia maendeleo ya timu. Katiba inarekebishika na wala sio msshafu.

  • @user-hk4hk4gd5x
    @user-hk4hk4gd5x Před měsícem

    Masha Allah

  • @abdu36tz68
    @abdu36tz68 Před měsícem +13

    Amna kitu kinaweza tokea

  • @HappyJohn-jo8im
    @HappyJohn-jo8im Před měsícem +18

    Watuachie yanga yetu wasituvuruge washaona tumetulia mamluki wameanzaa sasa

    • @ArafaMkomwele-vi2hp
      @ArafaMkomwele-vi2hp Před měsícem

      Mamluki anajua kufuata utaratibu Wala hajatumiwa na klabunyeyote anafuata haki mbumbu mtabaki hivyo hivyo

  • @SalmuWilson
    @SalmuWilson Před měsícem +2

    ❤❤yanga

  • @abdu36tz68
    @abdu36tz68 Před měsícem +14

    Hii nimipango ya kutaka kuimaliza ynga

  • @user-lq1fm4dj2n
    @user-lq1fm4dj2n Před měsícem

    Safi sana😊

  • @user-kt3ro2zt5i
    @user-kt3ro2zt5i Před měsícem +1

    Mzee nimekuelewa vizuli sana

  • @IborochaWarioba
    @IborochaWarioba Před měsícem

    Hilo lizee mungu asaidie life ata usiku wa leo limbwa hilo kumamake

  • @AminaRobert-c7p
    @AminaRobert-c7p Před měsícem +2

    Young Ni kijana asa mzee aanzishe timu yake hii timu Ni ya kijana wa kiafrika ndiyo maana ya YOUNG AFRICA. kila mzee aseme yake yanga itakuwa ya nani tumeangaika na akilimali atusumbue MAGOMA. senge kweliii

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack Před měsícem +2

    Hata mm Nashangaa "Yaan Mzee umri wa kina Kapombe,Fabrice Ngoma,Saidoo na Mukwala" Atusumbue wananchii.Aah wapi banaa

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před měsícem +1

    Washanunuliwa Huyo Mzee Wakolo Watatua Wana Kutuvunjia Hao Ila Hasbillah Waneemalwakiyl ...

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před měsícem +1

    Magoma mtoto tu', Hana uzee wwt shida tu' zinamsumbua, hawezi kuwa na rank za kina motisha....🤣🤣🤣

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před měsícem

    BUNDI KAHAMIA JANGWANI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kudadeki

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Před měsícem +7

    Pesa ya mo inaongea hv hamjiulizi kwa nini wamekuja na neno ubaya ubwela? Hiyo ndo siri mo kashaanza kutoa pesa tutayasikia mengi

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x Před měsícem

      😂😂😂😂wew hembu waache simba hovyo kabisa mo ameingiaje ? ubaya ubwile Ahmed anasemea usajili huna unachokijua

    • @NurudinZuberi
      @NurudinZuberi Před měsícem

      Amka kumekucha bado umelala uendelee ķuota ndoto za abunuasi

  • @mkingakusota
    @mkingakusota Před měsícem +1

    Umeongea pwent mzee

  • @PhilipMwakio-r1z
    @PhilipMwakio-r1z Před měsícem +2

    Wee banaaa eti nani angatuke
    Hapana machezo
    Hersi hoyeee

  • @aloycekashumba7541
    @aloycekashumba7541 Před měsícem

    Mzee umeongea point sana

  • @AliMgana-u7r
    @AliMgana-u7r Před měsícem +2

    Ulipofanywa uchaguzi hio mahakama haikuwepo ikaweka pingamizi na hao wanachama walikuwa wapi hadi Leo ndio wanakwenda mahakamani.

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 Před měsícem +3

    Huyo jaji ni kolo! Wabunge 19 bungeni WANAKULA Hela jaramu wakati Wamama wanalia maisha magumu, wanauza ndizi na karanga jua Kali, Hela za Kodi zao mnawapa michepuko wa lazima. Hakuna tamko lolote na mnajua ni haramu na Sheria zimevunjwa.
    Mbona mnapenda kuumiza umma mkubwa Kwa maslahi watatu? Hii Nchi mpaka yapatikane mapinduzi kwakweli.

  • @SadikBakary
    @SadikBakary Před měsícem

    Njaaa nayo sio 😂😂😂😂

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Před měsícem

    Safi sana wazee wetu

  • @IdrisaKwepu
    @IdrisaKwepu Před měsícem +1

    Kwann asitafutwe popote alipo😅😅😅😅

  • @mustafanassoro-zv8fc
    @mustafanassoro-zv8fc Před měsícem

    Saf sana nimekuelewa sana hyo mzeee magoma njaaaaa hyo nyumba yake yenyewe nyasi

  • @EsterEgidius
    @EsterEgidius Před měsícem +4

    Saf sana

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm Před měsícem +3

    Tutaichoma hyo mahakama raisi akiondoka engener kisutu tunaipiga moto hatutaki Usenge kabsa!🔥🔥

  • @hosseagoodluck1900
    @hosseagoodluck1900 Před měsícem

    Mirija imeziba magoma njaa tele ss

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Před měsícem +2

    Mzee ameongea point sana

  • @FarajiSinawasa
    @FarajiSinawasa Před měsícem +1

    Huyuu mzeee ni shoga kachafua hali ya hewa

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 Před měsícem +2

    Kwa sasa hatuweziii kuludia bakuliiii 🔰🌍🫡

  • @kayikumazoya322
    @kayikumazoya322 Před měsícem

    Kumbe ni kijana kwendraa zake

  • @josephmwangita7041
    @josephmwangita7041 Před měsícem +1

    Tunaitaji wazee wenyee akili za utuuzima kama Hawa mungu awabaliki wazee wa hovyo wajifuze kwenu hizi ndo busala za wazee Tena kama wpo wapige magoti watubu Kwa mungu

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk Před měsícem +1

    Kweli safari ya Mamba na kenge wapo na kenge mwenyewe mzee magoma mchawi huyo magoma

  • @Lucasmapela-sq6nw
    @Lucasmapela-sq6nw Před měsícem

    💛💚

  • @maryammussa2835
    @maryammussa2835 Před měsícem

    Mzee magoma anahangaishwa na njaa tu

  • @eliathomas8446
    @eliathomas8446 Před měsícem

    Uyu ndo mzee wa Yanga bwana yule boya magoma sijui katoka wapi

  • @user-eu6sv8qq3x
    @user-eu6sv8qq3x Před měsícem

    Nimekukubali mzeewetu.wewe nimuelewa sana

  • @yonazimpombe1160
    @yonazimpombe1160 Před měsícem

    Mmezowea kuwanga lakini hii ni enzi ya teknlojia

  • @Defalausmpokola-t9v
    @Defalausmpokola-t9v Před měsícem

    Mzee uishii tuuu 😅😅😅

  • @AmonBarongo
    @AmonBarongo Před měsícem

    🙏

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy Před měsícem +1

    Njaa zinamsumbua alaf nimeskia hii mara ya 3 mzee hana kadi ya uanachama😂😂😂😂

  • @user-cy6wu9cd7k
    @user-cy6wu9cd7k Před měsícem

    Nadhani hakimu aliyempa ushindi huyo mpuizi ni msimba.

  • @mohammedhilal1855
    @mohammedhilal1855 Před měsícem

    Dah jmni embu msituvurugeee kabisa sawa eeeh au umeona kiongoz wetu anafaidi au nin sasa nawaomben mtuavhie huyoo binadam plz 😢😢😢

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z Před měsícem

    Kumb😂nmegundua magoma nd alimwambia fei Toto aseme hers aondoke ili Toto arudi😂 kumb alitumwa na huyu Mzee magoma Siri imefichuka

  • @IborochaWarioba
    @IborochaWarioba Před měsícem

    Yaani kuna vizee vingine vikiona vinakaribia kufa vinatafuta sababu za kufa nazo

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 Před měsícem

    Magoma mtu wa maana kabisa 😂😂😂

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek Před měsícem

    Mmmh jamani hakika elimu ni kitu BORA SANA,hilo debe tupu na wanaomzunguka WATUACHE NA MAFANIKIO YETU WANANCHI,cc na eng.Hersi/eng Hersi na cc,wananchiiiiiiii !

  • @AbdulmarickLuhoma
    @AbdulmarickLuhoma Před měsícem

    Waache usenge yanga kuyumba wamuache mwamba atuongoze vyema

  • @jamesmwakila5866
    @jamesmwakila5866 Před měsícem +1

    Mzee huyu kaupiga mwingi sana💚🔰

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před měsícem +1

    SIMBA WAONYESHE UWEZO UWANJANI SIO NJE YA UWANJA

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Před měsícem

      Wanaanza kutengeneza migogoro mapema ili wapate kamserereko

  • @JumaJohn-pg9hc
    @JumaJohn-pg9hc Před měsícem

    Nani

  • @salehsemwija2624
    @salehsemwija2624 Před měsícem

    Na sisi vijana hatumtaki sio kijana yule atafute pakukaa hakuna kijana wa vile😅

  • @user-be8dw4ck4j
    @user-be8dw4ck4j Před měsícem +1

    Uyo Mzee mchawi na asipo kuwa makini atakufa kweli

  • @RashidTanga-vt1vz
    @RashidTanga-vt1vz Před měsícem

    Uyo mzee aturie

  • @bahatimshali2731
    @bahatimshali2731 Před měsícem

    Sasa unazungumzia habari ya Simba na umeulizwa kuhusu timu yenu?

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f Před měsícem

    Yanga itabaki kamayanga daimambele nyumamwiko

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před měsícem

    Makoma kaniharibia siku aise jini saidizi

  • @murijiMohammedy
    @murijiMohammedy Před měsícem

    Achani yanga yetu

  • @Simonmollelmollel-ce3sk
    @Simonmollelmollel-ce3sk Před měsícem

    Magoma ni mchawi

  • @vom84
    @vom84 Před měsícem

    Wazee hao bado ni wafuata upepo tu

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES Před měsícem

    Tutamfila huyo mangoma tushavulugwa

  • @bakarijuma1827
    @bakarijuma1827 Před měsícem

    Yaani tungekuaga na majini kweli mzee magoma ningemtupia majini kumi

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi Před měsícem

    Magoma moto😂😂😂😅😅😅

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e Před měsícem

    TUNAEMJUA MAGOMA JAMANI KAFANYWA CHAMBO MDOGO SANAAAA HUYO ANA UZEE NJAAA KALI ATULIE KAKA ETU

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 Před měsícem

    Ili limzee magoma lawezekana nilichawi kwanini linachanganya yangayetu

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko Před měsícem

    Rais wetu tunampenda ww kama humtaki hama timu

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před měsícem +1

    Wazee yanga hawana pesa ya ugolo😅😅

  • @HassanMshamu
    @HassanMshamu Před měsícem

    Njaaa itamuuuuua uyo mzeee

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 Před měsícem

    Kagoma kaikataa yanga magoma kaenda kuishaki piga like kwa watu wa majina ya gomagoma😂😂😂

  • @kayikumazoya322
    @kayikumazoya322 Před měsícem

    Katka safari ya mamba kenge wapo, ukitaka kuwaua kenge wote utawaonea ua mmoja mmoja

  • @shabanabdalatupa
    @shabanabdalatupa Před měsícem

    Mzee umeongea magoma hana umri na haki ya kuitwa mzee

  • @francisjameswadira6917
    @francisjameswadira6917 Před měsícem

    Huyu mzee mtu wa maana kabisaaa

  • @fj8317
    @fj8317 Před měsícem

    Hizi simba haijageuzwa soko makao makuu ya jengo la simba ni msimbazi na ni katikati ya mji sasa kuna ubaya kugodisha jengo klabu ipate hela

  • @fidelismasaka2735
    @fidelismasaka2735 Před měsícem

    Hapo ni wanahitaji pesa tu sikingine

  • @JastinChaula-vc6no
    @JastinChaula-vc6no Před měsícem

    Kaishiwa huyo

  • @SalmuWilson
    @SalmuWilson Před měsícem

    Mm kunawatu wanatamani kuibomoa time laminitis hiyo niyanga sio simba

  • @HamisYussuf
    @HamisYussuf Před měsícem

    Magoma acha wehu

  • @RamadhanAlly-cf7du
    @RamadhanAlly-cf7du Před měsícem

    Uyo mzee njaa zinamsumbua tu

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před měsícem

    Safari ya mamba ,kenge wapo😂😂😂😂😂

  • @kiboshokiboshomungumkubwa7789

    Kwanza hata kama ni mwanachama afutiwe

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Před měsícem

    Natumai sio wazee wote wa yanga upo na ao mamluki akina kagoma na mwaipopo.

  • @bekerekelvisamaniano1149
    @bekerekelvisamaniano1149 Před měsícem

    Nuksi tu mnaitia timu