🔴LIVE: WAZEE WA YANGA WACHACHAMAA/MAGOMA MTOTO MDOGO/KAMA KASHINDA KESI AJE MAKAO MAKUU YA KLABU
Vložit
- čas přidán 29. 08. 2024
- Leo July 17,2024 Mpenja TV Tumefika Makao Makuu ya Yanga Jangwani na tumezungumza na baadhi ya Wazee waliopo kwenye Baraza la Wazee wa klabu hiyo, Kuhusu kile kinachoendelea ndani ya klabu hiyo mara baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutoa uamuzi wa uongozi uliopo Madarakani, ukiongozwa na Eng Hersi Said ung'atuke madarakani.
Watuachie yanga yetu na hersi haondoki💚💚💚💛💛
Mzee heshima kwako mungu azidi kukupatia afya njema nakuelewa sana kwa uyasemayo
Huku Pemba tuna mjuwa heris tu💚💛💛💚💚💚
Mia mia sisi wapemba tuna mtambua heris nawakilisha wapujini woote waaaaaa wiiiii 😂😂😂😂
Duh wazee nyie safi nimewaelewa sanaaa
Daaah mzeee wangu mungu akubarik tunawapend wazeee kam ww mzee wangu
safi sana mzee,,uyo mzee magoma ni kenge mwenye mikia 7
Huyo magoma tutayapiga magoma yake na tutayacheza😅
Kumbe mtu mwenyewe tangu miaka ya 90 uko ndio mambo yake
😊
Mchafuzi huyo kanikeraaaaaa yani wote wapenzi wa Yanga tungane dunia nzima kumtetea Eng Heri wetu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ mbele kwa mbele
Ama kweli ya kabwela huyu ni kituko cha mwaka huu.tumseme hadi achanganyikiwe
Njaa mbaya
Uyo mzee magoma hatoboi Wala usiwe na wasi wasi
Mzee Sindano kaongea point sana asee
Huyu Mzee yuk vizur jibu zuri sanaa
Nmependa msimamo wa wazee
Kweli kabisa kwenye mafanikio kuna Vita,
Mti wenye matunda unapigwa mawe
Huyo magoma tutamdunda❤❤yanga
safi sana wezee mwenyezi mungu azidishie umri mrefu amina
Asante Sana mungu akubariki sana
Nimekupenda bure mzee wangu mungu akubariki Amina.
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂 safi sana wazee Wangu mko vizuli Yanga ni kubwa❤ me J.Naldo apa kutoka Bagamoyo CR7
Mtangazaji uwe na ADABU. Cha kwanza ni salaam kwa wazee.
Mzee Wangu miaka 💯 umeongea umetulia Sana Mungu awe Mwema kwako❤
Hizi ndizo mbinu nje ya uwanja. Wanajua kuwa Yanga iko bussy na maandalizo ya usajili na michezo ya ndani na nje na wanataka kututoa kwenye reli. Magoma ni Fisi aliye zoea kuishi kwenye chumba cha mizoga haawexi kuvumilia kuona chumba kile amepewa mwingine. Sisi tunaangalia maendeleo ya timu. Katiba inarekebishika na wala sio msshafu.
Masha Allah
Amna kitu kinaweza tokea
Watuachie yanga yetu wasituvuruge washaona tumetulia mamluki wameanzaa sasa
Mamluki anajua kufuata utaratibu Wala hajatumiwa na klabunyeyote anafuata haki mbumbu mtabaki hivyo hivyo
❤❤yanga
Hii nimipango ya kutaka kuimaliza ynga
Wajaribu tena baadae hapa wamechemka
😅😅😅😅😅😅😅😅
Safi sana😊
Mzee nimekuelewa vizuli sana
Hilo lizee mungu asaidie life ata usiku wa leo limbwa hilo kumamake
Young Ni kijana asa mzee aanzishe timu yake hii timu Ni ya kijana wa kiafrika ndiyo maana ya YOUNG AFRICA. kila mzee aseme yake yanga itakuwa ya nani tumeangaika na akilimali atusumbue MAGOMA. senge kweliii
Hata mm Nashangaa "Yaan Mzee umri wa kina Kapombe,Fabrice Ngoma,Saidoo na Mukwala" Atusumbue wananchii.Aah wapi banaa
Washanunuliwa Huyo Mzee Wakolo Watatua Wana Kutuvunjia Hao Ila Hasbillah Waneemalwakiyl ...
Magoma mtoto tu', Hana uzee wwt shida tu' zinamsumbua, hawezi kuwa na rank za kina motisha....🤣🤣🤣
BUNDI KAHAMIA JANGWANI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kudadeki
Pesa ya mo inaongea hv hamjiulizi kwa nini wamekuja na neno ubaya ubwela? Hiyo ndo siri mo kashaanza kutoa pesa tutayasikia mengi
😂😂😂😂wew hembu waache simba hovyo kabisa mo ameingiaje ? ubaya ubwile Ahmed anasemea usajili huna unachokijua
Amka kumekucha bado umelala uendelee ķuota ndoto za abunuasi
Umeongea pwent mzee
Wee banaaa eti nani angatuke
Hapana machezo
Hersi hoyeee
Mzee umeongea point sana
Ulipofanywa uchaguzi hio mahakama haikuwepo ikaweka pingamizi na hao wanachama walikuwa wapi hadi Leo ndio wanakwenda mahakamani.
Huyo jaji ni kolo! Wabunge 19 bungeni WANAKULA Hela jaramu wakati Wamama wanalia maisha magumu, wanauza ndizi na karanga jua Kali, Hela za Kodi zao mnawapa michepuko wa lazima. Hakuna tamko lolote na mnajua ni haramu na Sheria zimevunjwa.
Mbona mnapenda kuumiza umma mkubwa Kwa maslahi watatu? Hii Nchi mpaka yapatikane mapinduzi kwakweli.
Njaaa nayo sio 😂😂😂😂
Safi sana wazee wetu
Kwann asitafutwe popote alipo😅😅😅😅
Saf sana nimekuelewa sana hyo mzeee magoma njaaaaa hyo nyumba yake yenyewe nyasi
Saf sana
Tutaichoma hyo mahakama raisi akiondoka engener kisutu tunaipiga moto hatutaki Usenge kabsa!🔥🔥
Mirija imeziba magoma njaa tele ss
Mzee ameongea point sana
Huyuu mzeee ni shoga kachafua hali ya hewa
Kwa sasa hatuweziii kuludia bakuliiii 🔰🌍🫡
Kumbe ni kijana kwendraa zake
Tunaitaji wazee wenyee akili za utuuzima kama Hawa mungu awabaliki wazee wa hovyo wajifuze kwenu hizi ndo busala za wazee Tena kama wpo wapige magoti watubu Kwa mungu
Kweli safari ya Mamba na kenge wapo na kenge mwenyewe mzee magoma mchawi huyo magoma
💛💚
Mzee magoma anahangaishwa na njaa tu
Uyu ndo mzee wa Yanga bwana yule boya magoma sijui katoka wapi
Nimekukubali mzeewetu.wewe nimuelewa sana
Mmezowea kuwanga lakini hii ni enzi ya teknlojia
Mzee uishii tuuu 😅😅😅
🙏
Njaa zinamsumbua alaf nimeskia hii mara ya 3 mzee hana kadi ya uanachama😂😂😂😂
Nadhani hakimu aliyempa ushindi huyo mpuizi ni msimba.
Dah jmni embu msituvurugeee kabisa sawa eeeh au umeona kiongoz wetu anafaidi au nin sasa nawaomben mtuavhie huyoo binadam plz 😢😢😢
Kumb😂nmegundua magoma nd alimwambia fei Toto aseme hers aondoke ili Toto arudi😂 kumb alitumwa na huyu Mzee magoma Siri imefichuka
Yaani kuna vizee vingine vikiona vinakaribia kufa vinatafuta sababu za kufa nazo
Magoma mtu wa maana kabisa 😂😂😂
Mmmh jamani hakika elimu ni kitu BORA SANA,hilo debe tupu na wanaomzunguka WATUACHE NA MAFANIKIO YETU WANANCHI,cc na eng.Hersi/eng Hersi na cc,wananchiiiiiiii !
Waache usenge yanga kuyumba wamuache mwamba atuongoze vyema
Mzee huyu kaupiga mwingi sana💚🔰
SIMBA WAONYESHE UWEZO UWANJANI SIO NJE YA UWANJA
Wanaanza kutengeneza migogoro mapema ili wapate kamserereko
Nani
Na sisi vijana hatumtaki sio kijana yule atafute pakukaa hakuna kijana wa vile😅
Uyo Mzee mchawi na asipo kuwa makini atakufa kweli
Atakufa kwasababu gani?
Uyo mzee aturie
Sasa unazungumzia habari ya Simba na umeulizwa kuhusu timu yenu?
Yanga itabaki kamayanga daimambele nyumamwiko
Makoma kaniharibia siku aise jini saidizi
Achani yanga yetu
Magoma ni mchawi
Wazee hao bado ni wafuata upepo tu
Tutamfila huyo mangoma tushavulugwa
Yaani tungekuaga na majini kweli mzee magoma ningemtupia majini kumi
Magoma moto😂😂😂😅😅😅
TUNAEMJUA MAGOMA JAMANI KAFANYWA CHAMBO MDOGO SANAAAA HUYO ANA UZEE NJAAA KALI ATULIE KAKA ETU
Ili limzee magoma lawezekana nilichawi kwanini linachanganya yangayetu
Rais wetu tunampenda ww kama humtaki hama timu
Wazee yanga hawana pesa ya ugolo😅😅
Njaaa itamuuuuua uyo mzeee
Kagoma kaikataa yanga magoma kaenda kuishaki piga like kwa watu wa majina ya gomagoma😂😂😂
Katka safari ya mamba kenge wapo, ukitaka kuwaua kenge wote utawaonea ua mmoja mmoja
Mzee umeongea magoma hana umri na haki ya kuitwa mzee
Huyu mzee mtu wa maana kabisaaa
Hizi simba haijageuzwa soko makao makuu ya jengo la simba ni msimbazi na ni katikati ya mji sasa kuna ubaya kugodisha jengo klabu ipate hela
Hapo ni wanahitaji pesa tu sikingine
Kaishiwa huyo
Mm kunawatu wanatamani kuibomoa time laminitis hiyo niyanga sio simba
Magoma acha wehu
Uyo mzee njaa zinamsumbua tu
Safari ya mamba ,kenge wapo😂😂😂😂😂
Kwanza hata kama ni mwanachama afutiwe
Natumai sio wazee wote wa yanga upo na ao mamluki akina kagoma na mwaipopo.
Nuksi tu mnaitia timu