Njia 5 za KuSAVE/AKIBA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • njia mbalimbali ambazo unaweza ukafuata na ukasave hela nzuri ya kutimiza malengo yako

Komentáře • 63

  • @remigiusdeogratius8294
    @remigiusdeogratius8294 Před 6 lety +7

    Saving is all about Discpline towards your goals

  • @sharifaiddi5064
    @sharifaiddi5064 Před 6 lety +5

    Nakupenda ndo kitu naweza kuambia kwa hii video nimekuwa nakufuatilia katika mapishi sikuwahi jua kama una video za hivi Mungu akubariki

  • @danielulomi8994
    @danielulomi8994 Před 6 lety +2

    sikupingi dada asante kwa somo zuri

  • @kanasiamtui9816
    @kanasiamtui9816 Před 6 lety +3

    Mungu akubariki

  • @eliudimwigi8368
    @eliudimwigi8368 Před 6 lety +2

    Ahsante sana Dada kwa mafundisho haya mazuri

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv6738 Před 6 lety +10

    Hii video imenisaidia sana nilikuwa nafulia Lakini sasa hivi nina uhuru wa kifedha nashukuru.

  • @benmunisi3469
    @benmunisi3469 Před 6 lety +2

    nakufatilia sana dada yang big up kwa hichi unachotupa

  • @samsan95tvlaizer59
    @samsan95tvlaizer59 Před 7 lety +4

    good job my ccter nakupendaga bure

  • @annabenpol3866
    @annabenpol3866 Před 4 lety

    Nimeipenda hii...

  • @braineltzmusicbraineltzmus6764

    respect sister Niko pamoja na wewe by brainel Tz official music

  • @CHIEFBARUTV-e5e
    @CHIEFBARUTV-e5e Před 6 lety +3

    vizuri sana

  • @mezani782
    @mezani782 Před 5 lety +1

    Video nzuri...points zinaeleweka kabisa...

  • @empoweredentrepreneurworld7446

    Good Good Godbless you

  • @pudensianalinwatu5320
    @pudensianalinwatu5320 Před 5 lety +1

    Naelewa kama nmemaliza shule jana ubarikiwe dada yangu

  • @lichadavid7677
    @lichadavid7677 Před 7 lety +4

    mungu abariki kazi ya mikono yako

  • @sundaymariba360
    @sundaymariba360 Před 6 lety +4

    Asante mamaa

  • @tricycharly
    @tricycharly Před 6 lety +2

    Nimejifunza kitu. Asante mpz

  • @mwandoimma123
    @mwandoimma123 Před 6 lety +2

    Nc one

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 Před rokem

    Safi

  • @kamandab7976
    @kamandab7976 Před 7 lety +1

    Ongera Dadangu nimependa elimu yako keep doing it

  • @masomoyakarne5122
    @masomoyakarne5122 Před 6 lety +2

    Umenisaidia madam!

  • @mamapekupekupilipilimuwash9016

    ww mdio mwanamke bora

  • @erickmsallenge3724
    @erickmsallenge3724 Před 7 lety +1

    Asante,somo zuri

  • @rahmasellemani4563
    @rahmasellemani4563 Před 7 lety +2

    mashaallah

  • @joyceabdallah465
    @joyceabdallah465 Před 7 lety +6

    We ni noumaaa😂😂😂

  • @raysalsalym6179
    @raysalsalym6179 Před 7 lety +2

    ubarkiwe. mungu akupe umri. nme gain hpo

  • @happyedson1406
    @happyedson1406 Před 5 lety

    Barikiwa mom

  • @mammiejeyb6771
    @mammiejeyb6771 Před 7 lety +3

    ok.my dear nipo job.Kenya.napokea 24000.but nauliza.katika uwo mshahara nitumie ngapi nisave ngapi

    • @MegatHomeSwahili
      @MegatHomeSwahili  Před 7 lety +1

      Kwa mwezi ni vizuri kuanza kusave 10% ya mshahara wako, kwahiyo kama unapokea 24,000 basi save 2400. Matumizi ya lazima itakuwa 50% ambayo itakuwa 12,000. Matumizi ya ziada 30% ambayo itakuwa 7200.
      KWA MAELEZO ZAIDI JINSI YA KUANDAA BAJETI check hii video yangu
      czcams.com/video/HoGwBDthzsY/video.html

  • @shedsmicharazo7308
    @shedsmicharazo7308 Před 6 lety

    Naomba NAMBA zako mwaya

  • @marizianasumba7110
    @marizianasumba7110 Před 7 lety +1

    Asante sana dada

  • @shabanchuma7832
    @shabanchuma7832 Před 7 lety

    Mchanganuo nimeupenda

  • @victormkello9575
    @victormkello9575 Před 6 lety +1

    bless

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 Před 5 lety

    Safisana

  • @mussasuleiman.2198
    @mussasuleiman.2198 Před 6 lety

    Asant dd

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa4212 Před 7 lety +2

    je ukiwa na madeni unaweza kusave kweli

    • @MegatHomeSwahili
      @MegatHomeSwahili  Před 7 lety

      Swali nzuri, Kama una deni basi panga utaratibu wa kulipa hilo deni kwa muda maalum wakati pia unasave kidogo. Kwani tharura hazikwepeki na ni vizuri kujiandaa kwa kuwa na akiba.

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo2504 Před 7 lety +1

    SAFI SANA NIME KUELEWA SANA.

  • @aikasolomon7781
    @aikasolomon7781 Před 7 lety +1

    thank u

  • @shabanmahamud9215
    @shabanmahamud9215 Před 6 lety

    nice

  • @davidphares5316
    @davidphares5316 Před 7 lety +4

    mi namajukum home family yote inaniangalia mm mshahara wangu kwa mwezi laki 3 na nipo oman nifanyeje ili nipate kumalizia nyumba yangu hatua niliyofikia nipo kwenye kench lakini hizo kench hata kununua bado cjui napunguza vipi hiyo bajet

    • @MegatHomeSwahili
      @MegatHomeSwahili  Před 7 lety

      Jitahidi kupitia Matumizi yako na kuacha Matumizi yasio ya lazima. Angalia ni mambo gani ambao ni muhimu na yenye thamani kwenye maisha yako na familia yako. Mambo yasio yalizima acha ili uweze kusave. Kama umeshajibana vyakutosha basi tafuta kipato cha ziada au endelea na ujenzi taratibu kadiri ya uwezo wako.

    • @renaldakamugishazeramulake940
      @renaldakamugishazeramulake940 Před 6 lety

      David Phares weeeee laki 3! Huo mshahara laki 3 ulishazuiliwa na ubarozi. KM unakuja kwa mara ya kwanza OMAN mshahara ni laki 450, yaani unatakiwa upewe rial 80 ZIDISHA mara 5500 unapata Tsh .Km laki 470. Unaporudi mara ya pili km ni tajiri huyo huyo anatakiwa akupe riali 100. WAOMBE kwa upole waeleze una wazazi na watoto wote wanakutegemea ukiona hawataki waambie Mimi kazi basi narudi nyumbani walahi utaongezwa japo km alikuwa anakupa 60, atakuwa 75 au 70. Mimi niko Oman pia napata rial 150, tena kwa kazi za ndani ila Jumba ni kubwa sana. Wetu wangu ni 4, ijumaa ndio wanakuja watoto wake 5.

    • @gloriachristianshirima5001
      @gloriachristianshirima5001 Před 6 lety +1

      Huko oman unafanya nn usirud kama unapokea laki 3'bora urudi

    • @fofomohammed6253
      @fofomohammed6253 Před 6 lety

      David Phares Mimi pia tupo sawa kwenye majukumu

    • @rahimaaaaa8699
      @rahimaaaaa8699 Před 6 lety

      MmmmTz hakuna kazi za mshahara laki 3? Mbona unatuma aibu ndg yangu.

  • @RED-kr5vc
    @RED-kr5vc Před 5 lety

    viti vinacheza au vinaitikia? sijaelewa

  • @jerryjuma1339
    @jerryjuma1339 Před 2 lety

    namba yako ya WhatsApp ni ipi dada yangu? Kuna kitu nataka tuongee

  • @sylvanussebastian6209
    @sylvanussebastian6209 Před 7 lety +1

    Ccta hiyo njia ya tano inanihusu na ya pili

    • @misckkoba7224
      @misckkoba7224 Před 6 lety

      Sylvanus Sebastian bigup sis asante kwa elimu bora

  • @jastinnyatano4049
    @jastinnyatano4049 Před 6 lety

    Sijapoteza muda kukusikiliza

  • @josephatjohn2125
    @josephatjohn2125 Před 6 lety

    samahani kuuliza sasa kama utakuwa unaweka akiba kwanza alafu siku ikitokea tatizo kubwa si itakulazimu kutumia kiasi chote na akiba yako itakuwa imekwisha?

    • @MegatHomeSwahili
      @MegatHomeSwahili  Před 6 lety

      +Josephat John huo ndio umuhimu wa kuweka Akiba, tatizo likitokea hauadhiriki kwani umeshajipanga kukabiliana na hilo tatizo. Alafu unaanza kusave tena kwa matatizo ya mbeleni.

    • @hamisa3447
      @hamisa3447 Před 6 lety

      ndugu jitahidi uku unaweka akiba uku unafanya kitu maana ata mie nilikuwa naweka ila likaja tatizo yote ikaishaa yaan nusu weka nusu tumia

  • @faridahussein350
    @faridahussein350 Před 5 lety

    Je unawezaje kulipa madeni na wakati huohuo ukaweka akiba, na bado familia inakutegema wewe?

    • @MegatHomeSwahili
      @MegatHomeSwahili  Před 5 lety

      Hapo ndio unatakiwa kuangalia jambo ngani ni muhimu Kwanza, kwa mfano wako unaweza kusaidia familia Kwanza kadri ya uwezo wako, Kisha panga utaratibu wa kulipa madeni, halafu weka akiba.

  • @jerryjuma1339
    @jerryjuma1339 Před 2 lety

    namba yako ya WhatsApp ni ipi dada yangu? Kuna kitu nataka tuongee