SAMAKI WA FOIL/MCHEMSHO WA SAMAKI WA NAZI/ Foil Fish
Vložit
- čas přidán 10. 10. 2020
- SAMAKI WA FOIL MWENYE NAZI
-socials
Instagram @Ika Malle
Tiktok Ika Malle
Email: phenomenalika@gmail.com
BITES ZENYE NYAMA NDANI
-MIKATE YENYE NYAMA NDANI
• MIKATE YA NYAMA NDANI/...
-SAMBUSA
• JINSI YA KUPIKA SAMBUS...
-CHAPATI YENYE NYAMA NDANI
• CHAPATI ZA NYAMA NDANI...
Asante Kwa Kuangalia, - Jak na to + styl
mashaa Allah nikirudi nyumbani inshaa Allah nitampikia Mume wangu kipenzi ....
Amaizing sana jamn... Thanks alot dear kwa kunipa hiyo idea🙏
Maashallwah thanks
MashaaALLAH tabaraka Allah Yammy 👏
Samaki wa foil
I can't imagine the taste. Iite "ika mchemsho"
Will definitely try this! Asantee
Asante sana Dada ika,
Ika unatotoa mate asubuh hii 🤔shukrani kwa pishi taaamu
Nzurii
Ma sha allah mumy💓💓
Nakupenda bure wee Aika yaan.
❤️❤️ amazing
I will definitely try this
Aika asante kwa mapishi mazuri na unaeleweka vizuri saana
Asante dear
U give m an idea for dinner today thank u darling
Looks delicious and i will try it mh vipi kama huna oven
Asanteee kwa maujuzi
Dah... Sio poa dada Haika😋😋
Nitapika hiyo,ni tamu sana
I love your voice Ika
Delicious
Mashallah 👍👍👍👍
aisee!!!
Mapichi tamu sana 😋😋😁
Looks yummy
Simba nazi ni kubwa and very nice mi niliijaribu a month ago,ila dada unanifundisha kurahisisha mambo samaki najua ni mtamu tu
ni nzuri kweli kweli.....
Inauzw shingp mam
Mashaallah da ika uyo moto wa chini au juu
Juu na chini =
@@ikamalle shukran
Nimependa sana mapishi yk yaaani nakuelewa sn
Hasante sana I really like you God bless you More
thank u josly
Hello ukiachilia mbali na kupika Mimi napenda unavoongea unanishawishi kuangalia unachokipika Hadi mwisho hata kama sikipendi unachokipika unaelekeza vzr sana🤣🤣🤣
Mate yanitoka kwa utamu ulio hapo😋👌
Dada hata ww si unafundisha upishi au nimekufananishaaa??
Asante
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Samaki wa kupaka....😋😋
Me ningekuw nakaa na we pka Sasa nahc ningekuw cpt mlango. I love food jaman
❤❤
God bless you
God Bless u too
Yummy😋😋😋😋
Thank you
You're welcome
Nimeipenda
Asante
This looks very nice and also easy to make. Thanks
It is!
@@ikamalle samahani umebake kwa moto wa juu au chini?
Wa juu na chini =
Yummy 😋. Much love😘
😋😋😋
Samaki wa nazi wa foil
Nimekupata toka Angola kwetu wanaita caudo
Yes
Basi me napenda anavyosemaga ladha flani ivi amazing 😍😍😂
😂😂 yaaani Amazing sanaaa 😂😂
@@ikamalle sawa mama
Jmn😋😋😋
Musitumiye sana foil , inaleta cancer
Moto wa oven ni juu na chini?
Daah hapo niutamu tuuu😋😋
yaaaani full utamuuu
Awoootee
❤❤❤❤
Aki thank U
Karibu
Je moto wa chini ni temperature kiasi gani
Unaweza kutumia mkaa
Na je kama hauna oven pia jiko la mkaa silinafaa??
Samaki wa foil
Samaki wa foil. Aitwe hivyo inaonekana ni yamiiii
Haya... tumuite hivyo hivyo “samaki wa foil” 😊
I wishi nipike 😋
Kwenye jiko la mkaa je naweza kupika
Nataman kujifunza kupika jaman
Umejifunza wapi na nijifunze jamn
When are you coming to Nairobi?
Sato kama sato😋😋
Yaaaani kitu cha ziwaniiiiii
Kama hauna oven
Mtamuuu
Sanaaaa
Mchemsho wa sato
Sorry unaweza kutoka kwenye mkaa???
Unanitia njaa jamani
ipike
Samaki wa oven tu dear ndo naonaga anaitwa hivo sana
Hivi Curry powder na mchuzi mix Zina Radha gani kwenye mboga maana nimeweka nasikia harufu tu Radha hakuna
Pishi zuri hatariii! Namim ntajaribu
Sawa dear, utupe mrejesho 😊
@@ikamalle na kupata dada full amazing 😊👌👌
@@ikamalle sema nimefanya lkn Mie sija weka viazi bamia sikuwa navyo but nimependa nijalibu then siku nyingine nita fanya kama wewe 😂😂😂😂❤️❤️❤️❤️❤️👌
Hivi kwenye mkaa haifai?
jaribu
Ni lazima kutumia oven jamani☹☹☹
Samaki wakujaza
Ok 😋😋
Mchemsho Wa oven
Ohoooo ok
Ni nani uyo ambaye haoni aibu kudislike hii video peke ake 😂😂
Atakuwa mchawi looh!
Atakua x huyo😄😄
Nyanya chungu na English zaitwa aje?
Bitter tomatoes
African eggplant
@@MercyKyando jamani😂😂😂
Hapo imekosekana kabeg..😋
Mate yanitok jaman
Yummy