🔴LIVE: TARAKEA- ROMBO MUDA HUU MHE:FREEMAN MBOWE, LEMA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 20

  • @user-nn2cz6zc9o
    @user-nn2cz6zc9o Před měsícem +6

    Mcheza kwao hutunzwa kura zote nizako❤

  • @GabrielSarya
    @GabrielSarya Před měsícem +2

    Hongera sana Mhe Mbowe na Mhe Lema kwa mapambano

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Před měsícem +2

    Hapo sawa. Kwa kweli tunatakiwa kufuata mabadiliko. Change is inevitable.

  • @user-jc2oh5ro2y
    @user-jc2oh5ro2y Před měsícem +4

    Asante kwa kuamsha wananchi

  • @SimonMayunga-e3y
    @SimonMayunga-e3y Před měsícem +1

    SAFI SANA, GONGELEA HAPO KWENYE AJILA, WATOTO WETU WANADHURA TU MTAANI

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 Před měsícem +6

    Wananchi amkeni tuamke ni kweli inatakiwa ccm ipumzike,tuwape wengine nao Chadema ituongoze hata miaka 5 ijayo na kuendelea tuokoe rasilimali zetu mama kizimkazi na team yake wanauza kila kitu na kusababisha maisha magumu kwa wananchi! Ccm ipumzike! Mungu ibariki chadema na viongozi wake na wote wenye uzalendo wa kweli.

  • @pennymahombo9528
    @pennymahombo9528 Před měsícem +1

    Great visionary!

  • @husseynzooh1979
    @husseynzooh1979 Před měsícem

    People's power🔥 ✌️

  • @Noelkitoi
    @Noelkitoi Před měsícem +3

    Ccm inataka kuiba kura sisi kama vijana tuko tayari kwa Shari ccm wamecha anda kura bandia

  • @pennymahombo9528
    @pennymahombo9528 Před měsícem +1

    Great minds

  • @eunho9529
    @eunho9529 Před měsícem +1

    VIJANA jambo la kwanza na la msingi ni KUJIANDIKISHA ili kuweza kutimiza lengo mahususi la kuindoa ccm madarakani.

  • @dunstankihaa2383
    @dunstankihaa2383 Před měsícem

    Hahahah et maboya

  • @PaskaliBaha
    @PaskaliBaha Před měsícem

    ✌️🔥

  • @FadhiliMushi-b7r
    @FadhiliMushi-b7r Před měsícem +1

    Kimsingi rombo ilikuwa vema wakati chadema ilikuwa inaongoza rombo lakn serikali ya chama cha mapinduzu imegeuza rombo kuwa watu wajinga na wasio na akili

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před měsícem +1

    Wadau kubalini kataeni, natumiz ya serekali ya Tz ni ya juu sana, kuweni na huruma na upendo nyie viongozi,

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před měsícem +1

    Alafu inasikitisha sana, kuwa shule zetu utakuta shule ina wanafunzi mia 8, walimu 6, yani utafikir Tz haina waziri wa elimu, inauma sana, alafu kaajiriwa kapewa na dereva, gari bure, nk. Badilikeni ccm.

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 Před měsícem

      @mayrfrimi4759 Ccm haiwezi kubadilika yenyewe ndugu! Usijidanganye kwamba ccm itabadilika! Ccm inatakiwa ibadilishwe tena kwa nguvu ya wananchi kupitia kura na kwa nguvu ya umma! na kulinda kura wasiibe kwa ghalama yoyote ile! Usicheke na ccm ule ni mfumo inatakiwa itolewe kwa nguvu ya umma siyo kuchekeana na ccm inacheza na maisha ya wananchi milioni 60 na zaidi! Kundi la watu wachache waliyoshika madaraka na vibaraka wao na machawa wao wanatesa wananchi milioni 60 na zaidi! Wewe ulishaona wapi watoto wao wanasoma shule za kawaida au kutibiwa hospitali za kawaida zisizo na huduma nzuri kwa Wananchi au zisizo na madawa!? Amka kijana,mzee mama unanganisha nguvu ya umma kuokoa Taifa na rasilimali zetu.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před měsícem

    Inasikitisha sana, hizi dharau za viongoz wa ccm, yani kweli wana rombo ni haki yao kuja kupigwa changa la macho kwa buku 5 kweli?? Huyu mmunge wetu anatuona kama sisi jatujui wanavyopiga hela ya wananchi,

    • @karolikisaka8991
      @karolikisaka8991 Před měsícem

      Kosa kubwa Kwa watanganyika ni kuirudisha ccm madarakani.hicho ndiyo kitakuwa kifo chenu