DanZak - Nidokoe ft. Nandy (Official video)
Vložit
- čas přidán 27. 08. 2024
- MMP Entertainment Presents "Nidokoe" by DanZak ft. Nandy.
Sms 9393349 to 15577 Vodacom Tz
This is the 4th project of 2019 from DanZak, the East Africa born-Omani singer/songwriter and airline pilot. Here he collaborates with the talented and multi-award winner, Nandy, an East African singer/songwriter and CEO of "The African Princess" record label. The music style is of arabic flavored melodies blended with Bongoflava (an East African style of music influenced from R&B, Bollywood and traditional Tanzanian styles such as taarab) that he calls ‘Afrabian fusion'.
This song and video details two people in love at the apex of professing their feelings for one another at their wedding ceremony. Produced by Yogo Beats and shot by Director Kenny in Tanzania, its wedding theme will take you on a love-filled journey, inspiring happiness and gyrating excitement from the unique blend of all these styles.
(C) 2019 Music MasterPiece Entertainment
Connect with DanZak:
/ danzak
/ danzak
/ danzak
#Nidokoe #DanZak #MMP
Nandy wanimaliza na huo muziki wako 💞💞💞
Mtoto Nandi ngoma nimekubali all the from 254 likes za Nandy
Ivi nandy kuna ngoma asio tia neno Baba kama umegundua twende sawa
wakenya wenzangu mnao mkubali Nandi mko kweli # whatching from saudi Arabia 🇰🇪🇸🇦
Tupoo daa me too am watching from Saudi Arabia..i really Love nandy
I Am from Ethiopia 🇪🇹 and the only word I know from Swahili language is nakupenda 😂
Am so in love with this language and songs
Give me High five 🙌🏽
Hahaha
Karibu Tanzania
sorry
Mwakio gani wa Ethiopia?🙄🙄
Ow nice let me teach u one more....karibu is welcome.....asante is thankyou
Huyu dada me hunimaliza na sauti yake wapi like za naddy jameni
Huyu kaka nimzur jmn duuh wazanzibar mix Oman bigap kwenu wazur mpak mnakera
Nandy haujaniangusha hata sku moja gonga like hapa team nandy tujuaje👇love u African nandy ❤❤
Sana yani hajawai tuangusha
Mutakanyarwa
beuty mtto beutty yuko sawa nandy nampenda bure
@@alicejohn4745 okey
Kiukweli Nandy katengeneza hii nyimbo,uko kwingine sijapapenda 🙃🙃maoni tu lakin
🔥Wangapi tumeletwa hapa na👸🏼Nandy
Umewazaje ?
Trizah Wariara mm hpa
Dan kanileta
Trizah Wariara nmeletwa na danzAk
Kutokana na uchunguzi niliofanya kupitia nyimbo za Nandy,nimegundua kuwa Nandy si mpenzi wa kupachika kucha bandia km walivyo wasanii wengu wa kike duniani kote.Kama utaafikiana na mimi bhas drop like yako,ili next time nije nikupe unique character ya wasanii wako wa muziki Tanzania
+255
Kwa kweli nandy kajali na sauti laini wapi wale was team nandy gonga life hapo
Anyone reading This comment God bless you protect you guide you and save you from the the struggles 🙏🙏❤️
Nan anachek hadi 2020 gonga like😄😄😄
ALLAH AKUHIDI AKUONGOZE AKUFANYE MTOTO MWENYE KUSHIKANA NA DINI
UBADILIKE KUN FAYAKUN UWE NI MWENYE KUTANGAZA DINI YAKO YARAB ALLAHUMA AMIN TAQABAL DUUA YA ALLAH
Ameen
Sham zone ata uamini mungu bado utadedi..
Sham Zone amiin
Amin
Ameen yaarab
Nani ameangalia hii ngoma after 10 over 10.
Mashallah wamependeza kuimba pamoja na nyimbo yao ni hatariii💖🤩
0% naked dancers
100% best music by nandy ft danzak
👌👌👌👌superb
You have a lovely voice... Ya kutoa nyoka pangoni....Nandy keep it burning.
NandY we kiboko ya mabishoo kama unamkubali nandy gonga like hapa kama zotee afu wazee wa kudokoa twende sawaaaa ❤❤❤
Celina James san
Kweli we jamaa umeingia kwenye mziki na miguu miwili.
Ngoma imesimama WIMA.
I agree cosmas
If you are from kenya. Gonga like hapa🔥🔥🔥
Pamojaa kachirii 😂😂😂👌👌👌
😍😍
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🍾🥂
Ni 🔥🔥🔥🔥
Nandy ni mkali an mrembo
Huyu chali ni binadamu au ni Angel. Ngoma kali frm kenya
He is so handsome
@@winniengesa9421 aki mtamu sana
Hello
@@spkalonje2179 hello too dear
Ngoma kali sana. Nimeikubali kama kawa
Nani anasoma comments huku akisikiza wimbo kama mm😮😍
Mimi
Mamp
Hahahaaa
Mimi naona sasa ivi shem wa taifa
@@gracefernard9765 hdsewojgd
Ni nomaaaaaaaaaaaaaaa I love Nandy
Ngoma ni tamu balaa danzak ft nandy 👌👌💥💥🙋♀️🙋♀️🙋♀️
Love from +254 can't get tired of listening it repeatedly such a nice song ....congrats miss nandy and Dany
Goma konki ya harusi za kufungia mwaka.. Well done 👋👋👋
Nandy never disappoint...one love from 254
Ni noomaa,,team Nandy tujuane,,like twende sawa
Yaaan ukiiskiliza sauti ya nandy ina ka ladha flaaaaaani ivi yaan nashindwa ata kuielezea. Nandy jmn nakupenda mama wa kimataifa
Nyimbo nzurii sana nandy i love you
team nandy gonga likee weweee
Yeeessss this beautiful African queen am happy for her... She never dissapoints and may God bless you Nandy.. Good music 👏
kama unapenda hii ya Nandy& DanZak kimbie ucheki lyrics video kwa my channel 😂🔥🔥🔥mbbbiiiioooo
Aki kusema kweli nandy ana sauti africa nzina ako namba1 kama unakubali gonga like👇
Nandy is always 👌lot I just love this lady,wakenya likes zikam
Mziki umekaa pouwa kinoumaaa kama wamkubali Nandy gonga Like twende pa1🙌🙌
Nandy unajuwa sanaaaaa Kama Messi 👑🙌🙌🔥❤
Wallah kwa Allah utaulizwa nandy wew jiachie tu kwaraha Zako duniani Rana ya mwanamke kujistri
Mi nampeeeee... mi nampeeeeeendaaaaaaaaaa💃💃💃... Hii ngoma inanipa hamu ya kuolewa jomoni🤔
😂😂😂😂😂😂
Subr upepo wa kisulisuli
@@waheedaomar4808 😜
@@alimakame7156 🤣🤣🤣 huo upepo wa kisulisuli siutaki ni mkali sana
@@ashasalim4243 bila ule upepo kuolewa ngumu Sana rafki yng
Weweeee wapiiiii team nandy tukutane👇👇
yupo vzur
Kama unapenda jinsi anavo imba uyo kaka gonga like apa
Goma Kali Kinomaaa... Like hapa Twende Sawa
Mwambie broo aachie ngoma
Kudokoa Balaaaaaaa
Umeonaaa timu nandy oyoooooo
Aliy na mm like basi
Asante Aliy
Mashaallah nice song ww ni hodarii kweli keep up my dia nandi
Wow Nandy kapata mwili kanenepa! Safi Sanaaa. Money talks 🤑
Nzuri sana
Yaan Bongo kuna NANDY&MAUA SAMA daaah❤❤❤💯🔥
Ni nzuri Ana ni fanya nidokoee
Nyimbo qali...big up nandy we demu mkali na unaweza
DanZak ukopowa. miondoko ya rayvan. umoumo iko powa sana
I really love this Song
Love from Australia
Haya sasa... handsome boy in the game.. warembo kazi kwenu
Nandi kama priyaka chopraa mamaae bonge la dude ✅🙌
ILO goma linaendana n ayoo mavazi mashallah.....more 🔥🔥🔥💯💯
I think this the type of songs my aunts will be dancing too in someone's wedding....... Heads up and roundabout we go!
Yes
What country is this
@Qveen. Aya Tanzania
Jamani dah this guy anajua , his songs has another taste kabisa
Wangapi. Wanakubaliana mimi hi nyimbo inahitaji viuno, viuno vimekosekana, gonga like but ngoma nzuri sana
Nandy always dropping my gangster points na hizi mapenzi mapenzi.. mbogi haipendi niskize hizi ngoma zako but itabidi wamezoea tu
mike Murume
Uyu wimbo mungefanya tu kwel jmn munapendezan saana nawapenda balaaaa💖
Mwarabu mswahili😍😍😍
piga kufuli tuwe wawili 😍😍😍 #team african princess👇
Kama umemuona nandy sula imekomaa uzr unaelekea kuisha nipe like
Wapiiiii KAKA Hemedy umeisoma hiyo😋😋
Mshabiki wa #nandy_ naombeni like hata 2 tuu
danzak 4life ni mdogo wako shabzbravo apa nakutambua
Nimechelwa ila sio mbaya vzr kwa nyimbo nzuri my dia
Hii ngoma ni ngoma ya pekee safi sana Danzak
African princes uko juu mamaa😘
Ngoma nzuri sana hii ya kucheza wakati wa yale mambo yetu ya chumbani
INNALILAHI WAINNA ILEYHI RAJIUN
UMEACHA KAZI YA HALALI KWA AJILI YA KUIMBA ALLAH AKUONGOZE WW NA JAMIAL AMIN 🤲
NANDY MA EVERYTHING ALSO DANZAK FROM SOMALIA
🤣🤣stop lying danzak his not 4rm somalia his 🇹🇿+1🇴🇲
Mi nilijua Danzak ni mwalabu kumbe Mswahili Pyuaa sa sijaua ni wa Mombasani au Tanga nisaidieni
Tangaa
Nidokoe nadi ukapendeka n hizo nguo z kihindi👌💋
Niko apa baada ya kuskia wema uaolewa ,,,,shemela wa tz
Kachiri kachirii zinanikosha zako kachrii mamaweeeeeeeeee ngoma kubwaaa
Nilikua bize leo nafungua umundani kumbe kumenoga saluti nandy penda sana unajua mamy
I love how Danzak bites his finger 1:58 eish 🔥🔥🔥
Nandy come I marry you asap😍😍😍I love your vocals😘😘😘
sawa sawa naona umeamua blaza... keep it up.
Go Nandy gooo baby make us proud maaa#PAREZKINGDOM
Director Kenny Umeutendea haki huu wimbo 🔥
Nzuriii,,,,, Sana'a hongraaa thenuuu
Waonyeshe Kiwetu Kwetu Mr Danzak
Nyimbo naisikia kama movie vile kazi nzuri sana
Wao fireeeeee nandy nakuerewa
Haujawahi toa mbaya kabisaaaaaaa
Nani anakubali👉👉
Uwezo wa👉👉nandy
Umetisha kweli brother men..moja ya aina yake
Nandy she has beautiful voice 💕
Kaka please don't stop singing 🙏
Ah nzuri kweli💚💚💚
Can't talk about this song it's amazing wallah
Thanks nandy ngoma Kali San gonga like hapa star #Laxmajor
Ngomaa kaliii knyamaaaaaa
mamaa weeeeee 🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥
aiyaaaa saaaa huu ni muziki heee
Mmmmh!!goma Kali Baba
Ngoma kali sana cjategemea kabisa ✌
Tangaaa tumepatamuwakilishi danzakk ❤️💯
Naomben like hata moja jamani fundi wakuzungusha kiuno kachiri kachiri
Any one from OMAN, Like
why
@@yeasinArafat-jm6nz KY
Do more of this! Perfect
Safiiiii Broo nakuona mbali kaka ngoma kaliiiiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥