Kampuni ya Mtanzania, Benjamin Fernandes, NALA yakusanya TZS Bilioni 106 za uwekezaji/mtaji

Sdílet
Vložit

Komentáře • 67

  • @faridhamad3678
    @faridhamad3678 Před 18 dny +17

    Maa shaa Allah Kijana kapambana sana Allah azidi kumfungulia Rizki yake ili azidi kua Asbaab ya wengine kupata Rizki inshaa Allah.

  • @marrypius576
    @marrypius576 Před 18 dny +9

    Ongera zake kijana anapambana sana Mungu akuongoze

  • @kalfohuncho7356
    @kalfohuncho7356 Před 18 dny +6

    Idol🙌🇹🇿

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 Před 18 dny +2

    Hongera sana kwake jamaa anatuwakilisha vyema sana nje ya nchi

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Před 18 dny

    Pongezi nyingii kwako mjasiliamari Mtz mwenzangu kwa mapito ya kampuni yako. Waliouchukulia duni mwanzo wako taarifa hii ni adhabu tosha na fundisho kwa wengineo, bila kusahau hii ni motisha kwetu tunaojitafuta tukingali na mwanzo hafifu Sana.

  • @zakayodismas251
    @zakayodismas251 Před 18 dny +8

    Hiyuu jamaa baada ya miaka kadhaa ni bilionea ajayee

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před 17 dny

      Tunge kuwa tumwekea mazingira hapa ndani, huo utajiri ulikuwa wetu wote. Si ajabu kasajiliwa nje.

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 Před 18 dny +2

    Huyu jamaa alitakiwa awe pale TRA awatengenezee mfumo mzuri wa kukusanya kodi na hatimaye kodi ipungue ili kila mtu aweze kulipa kirahisi na kampuni yake hiyohiyo ya NALA lakini utasikia tuna watalaamu wetu

  • @shaban6644
    @shaban6644 Před 17 dny

    At the same Time anatangaza Nchi Yetu Kwa ukubwa Sana.
    Proud of You as Tanzanian.

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq Před 18 dny

    Amani ya nchi ndio msingi wa maendeleo ya Kila Mmoja bila amani hakuna maendeleo respect🔥🔥🔥🙌🙌🙌

  • @jengainavyotakiwa
    @jengainavyotakiwa Před 18 dny

    Hongereeni sana kwa hatua mliofikia, haikuwa rahisis

  • @BARAKA-ns3jv
    @BARAKA-ns3jv Před 18 dny +4

    Tunaomba ufanye naye interview

  • @aminaali792
    @aminaali792 Před 18 dny

    Maa sha Allah Nala has good rates 👌🏼😍😍

  • @patrickmulonda9710
    @patrickmulonda9710 Před 18 dny

    Ni company nzuri sana kabisa, hata sisi tuliopo hapa ulaya tunaitumia

  • @beingothman
    @beingothman Před 18 dny +3

    Hadi Raha

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 Před 18 dny

    Niliwaona mbali sana NALA, kutokana na technologia yao isio ya mitandao ya sim. Lakini nikawa na shaka juu ya Fernandes kufadhili mambo ya ukiukwaji wa misingi ya kuishi kiuumbwaji, hilo bado naliangalia kwa jicho pana sana. Lakini hiyo kampuni ni safi na nia ya muanzilishi ni njema, katika maelezo yake.
    Ni moja kati ya watu naowafatlia sana, na ninaona wana kitu cha kuinufaisha nchi yetu.

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 Před 17 dny

    Hongera sana🎉🎉🎉🎉

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 Před 18 dny +3

    Isogezeni nchi zote za SADC

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před 18 dny +1

      Tukumbuke hapa alikutana na mizengwe, akakimbia.

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Před 18 dny +1

    Bilionea mtarajiwa Afrika

  • @mrshazychannel3359
    @mrshazychannel3359 Před 18 dny +2

    Fernandes the super hillo of tanzania

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 Před 17 dny

    Tanzania imejaa watu wenyeh taaluma na techilogia ya juu 😊

  • @johnmessi6831
    @johnmessi6831 Před 18 dny +2

    Mbona nala haipo Israel 🇮🇱? Tuna pasta shida kutuma pesa

  • @Sonier_Bright
    @Sonier_Bright Před 18 dny +1

    Wow❤

  • @bushbabytz
    @bushbabytz Před 14 dny

    Mtoto wa Mchungaji Ferdinandez huyo wa ATN aisee, kumbe NALA ni ya kwake!? natumia NALA sana kutuma pesa Tz kwa familia kutoka huku Scotland

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns Před 18 dny

    Ila mtambue kampuni si ya Tanzania kwasababu ya kutokuwa na maono, bali tunajua rushwa tuu

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 Před 17 dny

    Ni washenzi sana

  • @user-br4gt8nz7o
    @user-br4gt8nz7o Před 17 dny

    One day❤

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 Před 18 dny

    Huyu kijana Nakuona Niaka ijayo Atakuja kuwa Tajiri no 1 Tanzania Benjamin ni hatari

  • @jamesrichard54
    @jamesrichard54 Před 18 dny

    Top 10 nami nimo kwakutumia Nala kutuma pesa home 🎉 kama na ww upo Top 10 like hapa 😮🇹🇿🇹🇿

  • @BongoPlatformTv
    @BongoPlatformTv Před 17 dny

    Jiulize kwa nn wengi wakianza kifanikiwa wanahamia nje,.?

  • @dareplatform8784
    @dareplatform8784 Před 18 dny

    Huyu anae andika title ni nan😂😂😂😂 uwezekaji ?????!!!!!

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ Před 18 dny

    🚀🚀🚀🚀🚀🚀

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 Před 17 dny

    Siyo MTANZANIA huyo😢

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 Před 18 dny

    Mimi nipo Germany 🇩🇪 natumia nala kutuma pesa nyumbani ipo fasta mno nikajua mmiliki wake ni m nigeria 🇳🇬 kumbe mtanzania? Na ndomana hua wananitumia text wananiekea na maneno ya kiswahili

    • @PuzzleMc-zp2lg
      @PuzzleMc-zp2lg Před 18 dny

      Ila mbona wa tz wenyewe sio mtu mweusi 😢

    • @salimali-rf9er
      @salimali-rf9er Před 17 dny

      ​@@PuzzleMc-zp2lgkwani mtu mweusi tu k mm wewe ndio mm mtanzania peke yake, ondosha fikra na mawazo mgando ktk akili yako, hebu isome history ya Tanzania utajuwa ina watu wa aina gani na gani

  • @majalaworldwide
    @majalaworldwide Před 18 dny +1

    Mbona una ipromote nala wakati hata tanzania haipo na haifanyi kazi

  • @user-mt6nu5hs8q
    @user-mt6nu5hs8q Před 18 dny

    Kwahio tz amebaniwa si ndio

  • @Qqambaa
    @Qqambaa Před 17 dny

    Fanandez ni msomali mwenzangu cio

    • @samiraabdimahamed4449
      @samiraabdimahamed4449 Před 17 dny

      Peleka Ushamba mbele , usomali nini umeleta hapa, akili za matakoni 😂 sasa siungeenda Somali, kwa nini uko TZ ??? Kijana amesema yeye ni Mtanzania alafu wewe unakuja kumtafutia kabila😒

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Před 18 dny

    Hongera sana lkn kitu chochote marekani akiwa mshirika wako ujue ataleta matatizo tu hivyo kuwa muangalifu

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 Před 18 dny

      😅😅😅😅😅😅😅 khaaa. . Small minds mna shida sana

    • @DafiMohamed-dz8xk
      @DafiMohamed-dz8xk Před 18 dny

      @@rebbywealth9869 mimi small minds lkn nakubali lkn ndio huo ukweli huo wewe c ndio Manager wake

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před 17 dny

      Ndugu msichama akiwa mrembo, vijana wa kiume wa karibu wasione uzuri. Kuna shida kijana kumposa?. Hayo mataifa wanasaka fursa. Wakikuta mmezubaa wanachukua. Utasema naandika nini. AI na fursa zake hapa ndani ni kama hatuji ndiyo maana hakuna uwezeshaji wa kitaifa. Hivi vitu vina gharama. Na Kwa sababu hatujali watu kama hao wanakimbiza utajiri kwenye mataifa mengine. Tutasubiri kushangilia tu. Mfano mwingine kuna kampuni ya RADELIFAME unaitwa Skyline and logistics wasafirishaji wa mzigo tz wameanza kutumia, na umesajiliwa nchi 193. Mataifa makubwa na jumuiya za kiuchumi zinaangaika kuwachukuwa. Hapa tz Sina hakika kama tunajuhudi za kuweka mazingira ili nao wasikimbie kama NALA. Hayo mambo ya mifumo makampuni ya ndani kama hayo yanaweza kutengeneza mifumo. Ya kila aina bila kutoka nje

  • @Mr-GMB
    @Mr-GMB Před 18 dny

    Ofisi ziko wapi hapa Tanzania?

    • @salvadorfx
      @salvadorfx Před 18 dny +1

      Ofisi za Nala zipo Nairobi 🤣Tz walileta ungese

    • @Mr-GMB
      @Mr-GMB Před 17 dny

      @@salvadorfx aisee

    • @salvadorfx
      @salvadorfx Před 17 dny

      ndio nchi yetu hio 😂 Kuna interest binafsi sana

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před 17 dny

      Wakati mwingine sio interest, ni uelewa uko chini. Kuna chimbo unaweza liona ukajiuliza kwa nini tunazubaa, baadae tunatukanana tu. App ya tz nyingine inayotikisa duniani ni Skyline and logistics. Hivi vitu Mungu anatupa vitusadie. Hajabu tuna tabia ya kuchelewa.

  • @majalaworldwide
    @majalaworldwide Před 18 dny +3

    😂😂😂 kijana wa kitanzania harafu tanzania hamna nala😂😂

    • @iganizarichard8197
      @iganizarichard8197 Před 18 dny +1

      Inafikilisha sana aisee

    • @ShukranMwakyambo
      @ShukranMwakyambo Před 18 dny

      Nimecheka

    • @ce-08
      @ce-08 Před 18 dny

      Masikio yenu wote hayasikii msikilizeni tena alichosema Fred Bundara alishajaribu Tz
      alaf huyo ni mfanya biashara sio tu unaweka Tz kisa kwenu je itakulipa au utaendesha kwa hasara mbona Kuna baadhi ya watu wanamahotel makubwa dar na wengine had nje ya nchi unahis walishindwa kufanya kwenye mikoa waliyotokea au kuzaliwa wameangalia kwanza faida wap watakuwa na soko maana unaweza ukafungua kwenu na biashara ikafa kwa kukosoa wateja au wateja kuwa wachache alafu gharama za uendeshaji zikawa kubwa ikawa ni sawa na kujaza maji kwenye tenga😅

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před 18 dny

      ​@@iganizarichard8197Ni mtanzania kweli ila kampuni kaisajili Kenya maana aliona bongo longolongo nyingi aliona(kiufupi sheria zetu sio rafiki sana)

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j Před 18 dny +1

    Kijana anapambana kukuza biashara huku vijana wanakunjwa pombe kali na kubashiri michezo wakitoka hapo wanaenda kuvhukua mafuta ya upako na reso.godbesss

    • @wazarendotv7966
      @wazarendotv7966 Před 18 dny

      😂😂😂

    • @wazarendotv7966
      @wazarendotv7966 Před 18 dny

      Umenichekesha snaa 😂😂

    • @user-dg7wf6fg2j
      @user-dg7wf6fg2j Před 18 dny

      @@wazarendotv7966 ndio ukweli vijana wamechoka wanamka wanakula kande harafu wanashusha viroba matajiri watatuacha mbali sisi tukajaze fomu kwa manabii wa michongo

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před 18 dny

      Hata china, vijana wanakunywa. Shida ni wabunifu wetu kutowapa uwezeshaji. Na kutoona bunifu zao ni uchumi wetu sote. Huyo kijana ukumbuke alishasema, kwamba hapa nyumbani alikutana figisu. Hivyo kampuni yake si ajabu hati miliki ya huo mfumo. Kafanyia taifa jingine. Tuliona kampuni nyingine ya Tz kule Al Jazeera, ikipewa sifa ya ugunduzi wa mfumo wa robot kujifunza au adaptive learning. Pia wametengeneza mfumo wa skyline and logistics. Unarasisha usafirishaji wa mzigo, nchi kavu, makini na nchi kavu. Na wanaunganisha huo mfumo kutumika nchi 193 duniani. Huduma yao inapatikana kiganjani. Pengine kwa nini wanajulikana kwenye vyombo vya kimataifa sisi hapa hatujui? Kama ni kampuni iliyossjiliwa tz, itavuna pesa ya kigeni kuleta tz kiasi gani? Sisi kama taifa tunafanya nini kuhakikisha, lengo la kuleta utajiri nyumbani tz linafikiwa?

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před 17 dny

      Adoption category ya jamii inaonyesha wabunifu ni chini ya Asilimia mbili. Vijana hawawezi kuwa na ubunifu kama NALA. Ila ubunifu huo wa NALA inatakiwa utumiwe kuzalisha ajira mamilioni. Changamoto si vijana kuelewa. Kuelewa ni kiashiria cha tatizo. Mfano NALA mfano alifanya tz ndiyo makao makuu ya kampuni yake, pesa itakusanywa kote huko duniani na kuja ndani. Ikifika ndani itawekezwa kwenye vitega uchumi vingine ajira za hao vijana zitapatikana. Tutajikuta tunabadilisha jina kutoka walevi kwenda wanywaji. Analysis nzuri NALA itatoa ajira ngapi, kodi kiasi gani?. Changamoto zipi zinazo kabili sekta hii, ili huu utajiri wtz wenzentu wakimbizie nje. AI duniani inaenda kwa kasi sana. Hapa Ziko changamoto zipi za ki sera?. Tunaweza kupunguza vijana walevi kwa kuwawezesha kujishughulisha na fursa zilizopo. Sio mtindo huu. Ambao mtu uchukua mti mrefu au fimbo ndefu kugeuzia au kusukumia mzogo. Tatizo la vijana si lao wenyewe kwa kiasi kikubwa. Sisi tunajikataa mfano hai ni huo. Kitabu. The ecomoc of Trust. Kuna neno wivu ukiwa utamaduni wa taifa mmmm