Aiseeee hii comedy imenifanyaa nicheke kwa uzuni sio kama nacheka kwa mazur sababu na mimi yashawahi kunikuta n akulizwa wakat huo 2017 nimetoka zangu oman kupumzikaa nikagumianaa nao hawa wakaniimbia simu zangu 3 na pesa laki 2 tena nilienda kuchukua mimi mwneywe ndan kwa akili zangu lkn nakuja kutahamakii nimelizwaa vibaya mnoo nusu nipatee uchizi maan simu zilikuwa zawadi za ndug znagu aiseee kila nikiwaona watu kama hawa wallah napata wazimu nao nataman niwakateee pua niendee nazo asanteee sanaa jot kwa comedy mzur ambayo ipo katika uaribia sababu na mimi pia mchangaaa wa ili japo na shuhuda pia😒😒😒🤣🤣🤣
Yaani mm nimetoka zangu Saudi Arabia na laki tano yangu yenye nimesugulia toilet za waarabu nikawakuta wakanitabeli zote pamoja na simu yangu na ndo nilitaka kufungua biashara 😭😭😭😭😭😭 na ni jusi tu ikabidi nirudi uarabuni tena.
Poleeee me nakumbuka kuna mdada wa ndani alipelekaaa simu za maboss wake na pesa million 1 aiseee yule dada aliungua uchizi maan alilia kama mtoto mdogo
Joti na mpoki ndio masupa stars wa comedy nchini Tanzania.... 😂😂Joti nyota yake Ni mpoki pia Mungu awahifadhi na awape umoja wa Hali ya juu.. I'm from Zanzibar
Mpoki nahisi haezi enda peke yake angekaa na Nishai angekuwa mbali sana Nishai sahi wacha afukuziwe na kina bigi, dogo sele, wengine wafwate lkn joti kaweza kashinda tabia🤣 🤣
@@fasterwalker1464 sijaona ufundi wa mpoki kwa kweli kelele tu ndo naona 🤣ila tusibishane kwa comments za joti hapa twaongelea mwamba wetu joti tu mpoki sioni anachofanya kwakweli lbda aje kwa joti afanye colabo itafana
Hao wasenge wapo kuanzia ubungo mbaka magomeni mimi nuc wanitapel ivyo ivyo guys kila actor act reality but dis guy as bring for u as comedy more love to joti
Watu mnaangalia kama kichekesho ila kwa ambao washakutana na hii aina ya utapeli basi wanaelewa kuwa joti situ anachekesha ILa anafundisha mambo halisi yaliyomo mjini.mim mpenzi wangu alitapeliwa sim kwa namna hii hii mwezi mmoja uliopita na wanadeal sana na watoto wakike
Dah kama naMwona vule mwanangu ema alivyo tapeliwa pale massana nani walivyo mfanyia nishai bax nae ilikuwa hivyo hivyo aiseeh utacheka upasuke🤣🤣🤣🤣🤣🤣kazi nzuri Nishai🙏🙏🙏🙏
🤣 🤣 🤣 Yani huyu Nishai anakuwa bunga sana pale akiwa kiboga anakuwa mke wa fujo mdangaji kisha pale akiwa Anunje hehe jamaa la kusumbua walimu haya sasa wakati wa babu🤣🤣mzee hatapeliki kabisa ukimtapeli unakula bakora🤣🤣jee unahisi nani anaeza kuchukua uhalisia wote huo tanzania nzima hakuna kwakweli kama yuko niambie nani 🤣🤣
“Kuna mda Naenda kujichukulia sheria mkononi” 😂😂😂🙌
Yn nyeto
@@samwelimoshi5614 Noma
Nyeto
😂😂😂
@@youngweezy3846 🤣
Nampendaga uyu bibi yn anajuwa kuigizi vby Lamatah ajamuona uyuuu au nimemwona peke yangu
Tuliokwepa kutapeliwa Kwa staili hiyo tujuane🤣🥲🥲
This is what I call Real Talent ,,Big Up Nishai Mtombangile Kitwango Wa Mikazo..🤙🤙🤙🤙
Umesahau ktu broh "Miguno"😀😃😃😃
Miguno
😂😂😂😂😂😂😂
Huwa nacheka sana litamkwapo hilo jina Nishai mtombangile kitwango wa mikazo 😀😀, nihakiyake kuchukua mchekeshaji bora,, Big up sana broo Nishai
😂😂😂 mm hilo jina tu, eti mtombangile kitwango wamkazo daaa 😂😂😂😂
Kamnyima mama ake kaenda kuwapa mataper jaman laana kapata mapema kabla jua kuwaka..nimejifunza kitu hapo😅😅😅😅joti nomah
😂😂😂😂😂Bro Joti umenikumbusha nilivyotapeliwa simu yangu Mwenge pale 2021
Huyu Joti hanaga wakushindana nae😂😂😂 you Best comedian
Nimepata tabu kumgundua baunsa kwamba ndio mganga hhahahahaha nyiiiiee Joti anajuaa sanaa
Na mm nimechukua muda mrefu kumjua Kama ni yy😅😅😅
nliwah tapliwa hvi hvi kipumbaf kariakoo😄😄😄walinsomba mzgo wte sitosahau
Aiseeee hii comedy imenifanyaa nicheke kwa uzuni sio kama nacheka kwa mazur sababu na mimi yashawahi kunikuta n akulizwa wakat huo 2017 nimetoka zangu oman kupumzikaa nikagumianaa nao hawa wakaniimbia simu zangu 3 na pesa laki 2 tena nilienda kuchukua mimi mwneywe ndan kwa akili zangu lkn nakuja kutahamakii nimelizwaa vibaya mnoo nusu nipatee uchizi maan simu zilikuwa zawadi za ndug znagu aiseee kila nikiwaona watu kama hawa wallah napata wazimu nao nataman niwakateee pua niendee nazo asanteee sanaa jot kwa comedy mzur ambayo ipo katika uaribia sababu na mimi pia mchangaaa wa ili japo na shuhuda pia😒😒😒🤣🤣🤣
Yaani mm nimetoka zangu Saudi Arabia na laki tano yangu yenye nimesugulia toilet za waarabu nikawakuta wakanitabeli zote pamoja na simu yangu na ndo nilitaka kufungua biashara 😭😭😭😭😭😭 na ni jusi tu ikabidi nirudi uarabuni tena.
Nomaaa sanaaa hawa watu
Yani hata mie nilitoka omani walichuku a dhahabu cm na pochi
Poleeee me nakumbuka kuna mdada wa ndani alipelekaaa simu za maboss wake na pesa million 1 aiseee yule dada aliungua uchizi maan alilia kama mtoto mdogo
Mm mwenyewe walinitapeli cm yangu nimetoka nayo oman uwawei sina hamu nao yan wanaondoka hakili ndo inarudi
Mwamba umetisha sana hilo koti utafikiria upo Iringa duh hahahahahahahahaha
Joti na mpoki ndio masupa stars wa comedy nchini Tanzania....
😂😂Joti nyota yake Ni mpoki pia Mungu awahifadhi na awape umoja wa Hali ya juu..
I'm from Zanzibar
Mpoki nahisi haezi enda peke yake angekaa na Nishai angekuwa mbali sana Nishai sahi wacha afukuziwe na kina bigi, dogo sele, wengine wafwate lkn joti kaweza kashinda tabia🤣 🤣
Mpoki huyu ni yupi sisi ni.joti
@@kimsamespa8490 🤣
@@mohamedsheealom8745 mpoki ni fundi Sana hata joti pia
@@fasterwalker1464 sijaona ufundi wa mpoki kwa kweli kelele tu ndo naona 🤣ila tusibishane kwa comments za joti hapa twaongelea mwamba wetu joti tu mpoki sioni anachofanya kwakweli lbda aje kwa joti afanye colabo itafana
Aliyemskia joti akisema "anaona mpaka kesho"🤣🤣🤣 like moja nzito
Jirani
Huyu mbababe leo kabeba shangazi kaja 😂😂😂😂😂 Na anapita mlemle kwenye matatizo ya jot
🤣🤣🤣
Nishai unajua sana, unaigiza kwa kuchekesha watu wa lika zote, uko vizuri sana nakukubaliiii😂😂😂😂😂😂
Aaaaaaaah Mwamba sikukujua kabisaaaaaa mpaka umeongea hilo lisauti ndio nimekugundua.
Wallah nimecheka mpaka mkojo unataka kunitoka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣joti unanini lkn 🔥🔥🔥🔥🔥
😂😂😂MAMAA wamenipigaaaaaaaaa. Nishai kapigwa na kitu kizito😁😁😁
Yaani hii Kama haijawahi kukukuta huwezi elewa, niliibiwa simu,hela,vitambulisho kwa mtindo huohuo. Walaaniwe wale watu iseee 😭😭😭2015
😂😂😂😂😂😂NAJICHUKULIAGA SHERIA MKONONI......JOTI is the best EVER🔥🙌
Kumbe 2meelewa wengi🤣
😂🤣😂🤣😂 asiye funzwa na mamaye tafunzwa na ulimwengu. The most talented comedian ever.
Kuna Mdaa uwaga naenda kujichukulia Sheria mkononi😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaan kumuelewa maneno yake ni kipaj pia
MWAMBA anakuja vizuri sana 🔥🔥🔥
Umenikumbusha joti na me nilipigwa ivo daah 😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Umemnyima mama era hatimae wamechukuwa wajanja Doo inafundisha sana bg up jot
Kipaji kilichokomaa Tanzanua😇🤗🥳🥳🥳🥳
Itakuwa nchi mpya hiyo🤪🤪
@@jumakassim5351 😂😂😂 Tanzanua
@@jumakassim5351 nime cheka nilijua ata nyooshwa
Ila Leo joti umepita ndimo kabisa Hawa jamaa wameshawatapeli Sana watu
Watu wa Kigoma wanapenda ramli sana.
Dah sitaki kukumbuka 😂 hii style ya hawa jamaa..daah hahaahahaahhha tena niliwapa mm mwenyew vitu bila kipingamizi
Nishai kitombangile mikazo 😂😂😂 wewe ni moto 🔥
Nakweli ume pigwa kitu kizito cha kichwa😄😄😄😄🤣😄🤣
Nimechaka Sana tena sana Jamani 🤣🤣🤣🤣🤣
nataka nione like za WACHUKUA SHERIA MKONONI 😂😂😂
Hatar
joti fundi
sijapata ata muda wakujipongeza na pesa yangu 😜😁😁🤣🤣😂😂
Sema walio nitokea mm walisema tafuna karatasi kumbe inanywer 😂😂 #joti
Mama, nimepigwaaaaaa... 🤣😂🤣😂
Daah hii ya leo kali kaka umetisha kaka 😅😅😅😂😂
nilitolewa nywele kwenye mdomo ,, na moshi kwenye magoti,,, ati ni za maiti,,,, bongo bwana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wezi wa buguruni walinifanyia hivyo
Leo nimejikuta nacheka .hata mie pia walitaka twende hadi nyumban badae .wakahisi nitashituka
Wapo sana bunguruni sokon
Jot nakupenda sana ijumaa nilitaka kukuchek tu mb ikakata, ila umenichekesha sana hii kaz nzur mnafanya, we ndo best Tanzania
Nishai Mtombangile kitwango mikazo 😂😂😂😂😂😂
Maf respect from 🇰🇪🇰🇪.
Eti huwa anachukulia Sheria mkononi 😂😂😂😂😂.
Nishai umeshinda
Naenda kujichukulia SHERIA mkononi😂😂😂
Niliwah kutapeliwa hv hv...wakanituma tv na simu na pasi nyumban niwapelekee
😂😂😂😂😂Mtombangile Kitwango,Mikazo…Miguno😂😂😂
Ayo majina sasa😀😀😀😀
@@redmioman8105 😂😂😂
Anajichukulia sheria mkononi. Hii crew yako mpya naipenda sana wananifurahisha sana 🤣🤣🤣🤣
Wapo vizur sana
Anaona mbaka kesho Joti we Love you bro 😁😁😁😁😁😁😁😁
Kuna mdogo wangu alishatepeliwa kwa style hii… akaenda nyumbani akachukua pesa za Mama akaenda kuwapa matapeli…
Aki nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣Eti wamenipiga😂😂😂😂😂
Stasahau 😀😀
This guy is another level 😂😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽
Amenikumbusha mzee jongo na majuto wengine tumetoka hm miaka ya 80
😂😂😂😂😂😂Mbona kama imenigusa hivi hawa matapeli kama mm nilivotapeliwA😂
Ata mimi ilinikuta style iyoiyo jamn 🤣🤣🤣🤣
dah mi mwenyewe nishapigwa ivo mamae
Yan jamaaa anajua kufikisha ujumbe kwa jamii sana, tafakar chukua hatua
Uyo Nishai anajionaka munjanja sana, mulifanya vizuri sana kumu tapeli huyo mushenzi.
Nishai ni mujinga sana, anajionaka ye munjaanja sana, ni mushenzi
Mbona kama povu limekutoka,hujui kua watu wanafanya maigizo
@@johnmagambo9231 😀😀😀😀😀
Hao wasenge wapo kuanzia ubungo mbaka magomeni mimi nuc wanitapel ivyo ivyo guys kila actor act reality but dis guy as bring for u as comedy more love to joti
I swear things happen I once face such people but I thank God I heard a same story from a friend so I recall before things went bad.
Hiya kali
Watu mnaangalia kama kichekesho ila kwa ambao washakutana na hii aina ya utapeli basi wanaelewa kuwa joti situ anachekesha ILa anafundisha mambo halisi yaliyomo mjini.mim mpenzi wangu alitapeliwa sim kwa namna hii hii mwezi mmoja uliopita na wanadeal sana na watoto wakike
Kuna muda naenda kujichukulia Sheria mkononi kwahiyo unaenda kupiga Nyeto 🤣😂
Mama yupo so natural ❤😂
Ila wametumia mbinu ambayo sio rahisi kushtukia, tuliowahi kupigwa hizi game tunaelewa
Izi game balaa yaani mpka kujua dah matapeli
Najichukulia sheria mkononi 🤣🤣🤣🤣joti una lanaaaaa🤣🤣🤣🤣
Watching from Kyiv Ukraine. Joti you are the best in Africa! 💣🔥
Uko Ukraine wapi wewe😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ATI Kyiv🙌🙌🙌
@@maembamwita4716 Так, я в Україні, і я хочу повернутися додому, в Танзанію через війну тут!
🇺🇦🇺🇦 + 🇹🇿🇹🇿 = ❤️
Sheikh umepona na mabomu huko ya urusi
🤣🤣🤣🤣🤣 daaaaaaaaah sio kupata tabu 2 hata mwajuma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Baada ya kupigwa kofi na mama ndo akagundua kua amepigwaa😁😁..
Comedian namba moja Tanzania
Dah kama naMwona vule mwanangu ema alivyo tapeliwa pale massana nani walivyo mfanyia nishai bax nae ilikuwa hivyo hivyo aiseeh utacheka upasuke🤣🤣🤣🤣🤣🤣kazi nzuri Nishai🙏🙏🙏🙏
😂😂😂😂 joti ww ni comedy genius kaka respect
Nishai umeniweza leo maana nimecheka sana😂🤣😅
Hiyo style tumetapeliwa wengi jamaa wanatumia dawa kukupumbaza ili wakupige
Sio dawa ni research
Nampenda mama, she is good 👍
Mwamba sauti kama dudu baya😂😂😂😂
💜💙🖤❤️naona hapa Dubai 🇦🇪
Kaka nakufuatilia kama mlo wa kila siku😂😂😂😂
😁nilitapeliwa hv hvo pale garden magomen nikatapeliwa kanga za mama mpya kabsa dot 3 wallah nmekumbuka mbalii sana
😂😂ant yangu ashawah kutapeliwa mchana kweupee watu wabaya sanaa
🤣 🤣 🤣 Yani huyu Nishai anakuwa bunga sana pale akiwa kiboga anakuwa mke wa fujo mdangaji kisha pale akiwa Anunje hehe jamaa la kusumbua walimu haya sasa wakati wa babu🤣🤣mzee hatapeliki kabisa ukimtapeli unakula bakora🤣🤣jee unahisi nani anaeza kuchukua uhalisia wote huo tanzania nzima hakuna kwakweli kama yuko niambie nani 🤣🤣
Dulla vanny
😂😂😂😂 Sio utapata Tabu tu ata utapata Mwajuma 🤣🤣🤣
😂😂😂😂nishai mtombangwile kitwango mikazo
Mwamba kawa mtabiri😆🤣😂😆🤣🤣🤣 so funny
You guys made my day
Sanaa 😂😂😂😂😂😂😂🤭🤭
nilishawahi kupigwa style kama hii tu,, sitasahau ILALA BOMA
Pole sana mdau dunia ina mafunzo mengi kila uchwao hakuna anaeijua kesho yake
😂😂😂jmn
Nishai nakubali sana kaz zak🌏🌏🌏
Mwamba bro unafany vizur sna afu umependez sana😅😅
Inafurahisha sana
Duhh brow Kali sana wewe joti 😂😂🇲🇿🔥🕌
😂😂😂😂leo umeamua kutuanzia siku na kicheko +254 tunakutambua ishai
Eti utapata tabu eti hata mwajuma
Huyu anaona mbali hadi kesho asubuhi 😂😂
This guy is talented 😂😂😂🙌
For sure!
Nataka ni mlete Italy atufurahishe wabongo
Karbuni tena tandale home ,scene nilicheka sana hiii dah 😀😀😀
Hahahaha dada ni mweupe
Lakin anajidownload 😂😂😂😂
Katapeliwa aaah jotiii 🤣🤣🤣🤣
Fanya uoe utakuja kutubaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wameendana nishai kua kua na huyo dada ake maana wote wafupii😂😂😂
Nishai ndo ukome!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Hata mimi kwa hari hiyoo ningepigwa 😂😂😂😂😂😂
Noma sana umetisha sana joti
Unafichua siri za watoto wa Manzese brA😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kweli katapeliwa
Daah iv iv nuc nitapeliwe jamani jote love u bro coz no any actor do before alfu kwa Wanafunzi wanakwambia una fel😂😂😂
Katapeliwa uwiii nimechk km mazur mama ana tv ya chongo🤣🤣🤣
Nishai...nakaa sana chooni...kuna muda mwingine Huwa naenda kujichukulia Sheria mkononi..... 🤣 😂 🤣
Hizi ndio content zakufurashisha.. sio kuonesha wanawake na mizigo yao
Jamani Doris ana kundu nyie,kajaaliwa huyu bonge moja la kundu
Uyo dada ake joty Jilan yangu kinondon studio karbu na praya master anaigiza vzur🥰🥰🥰😍