KATAPELIWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Kuna watu unaweza kuwafanyia kibuli lakini sio mama miezi tisa tumboni. Mama akisema pesa yako inapotea ujue inapotea kweli...

Komentáře • 801

  • @elifurahambowe510
    @elifurahambowe510 Před 2 lety +54

    “Kuna mda Naenda kujichukulia sheria mkononi” 😂😂😂🙌

  • @isayajames6874
    @isayajames6874 Před 2 lety +2

    Nampendaga uyu bibi yn anajuwa kuigizi vby Lamatah ajamuona uyuuu au nimemwona peke yangu

  • @bennysady469
    @bennysady469 Před 2 lety +18

    Tuliokwepa kutapeliwa Kwa staili hiyo tujuane🤣🥲🥲

  • @captainalabama2065
    @captainalabama2065 Před 2 lety +36

    This is what I call Real Talent ,,Big Up Nishai Mtombangile Kitwango Wa Mikazo..🤙🤙🤙🤙

    • @davevice3178
      @davevice3178 Před 2 lety

      Umesahau ktu broh "Miguno"😀😃😃😃

    • @victormwabuka1850
      @victormwabuka1850 Před 2 lety

      Miguno

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 Před 2 lety

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @frankenock2853
      @frankenock2853 Před 2 lety

      Huwa nacheka sana litamkwapo hilo jina Nishai mtombangile kitwango wa mikazo 😀😀, nihakiyake kuchukua mchekeshaji bora,, Big up sana broo Nishai

    • @jacksonnduna4419
      @jacksonnduna4419 Před 2 lety

      😂😂😂 mm hilo jina tu, eti mtombangile kitwango wamkazo daaa 😂😂😂😂

  • @maigekelvin75
    @maigekelvin75 Před 2 lety +5

    Kamnyima mama ake kaenda kuwapa mataper jaman laana kapata mapema kabla jua kuwaka..nimejifunza kitu hapo😅😅😅😅joti nomah

  • @allstars7526
    @allstars7526 Před 2 lety +8

    😂😂😂😂😂Bro Joti umenikumbusha nilivyotapeliwa simu yangu Mwenge pale 2021

  • @ycmrpondis1537
    @ycmrpondis1537 Před 2 lety +15

    Huyu Joti hanaga wakushindana nae😂😂😂 you Best comedian

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 Před 2 lety +7

    Nimepata tabu kumgundua baunsa kwamba ndio mganga hhahahahaha nyiiiiee Joti anajuaa sanaa

    • @LoliloStamina
      @LoliloStamina Před rokem

      Na mm nimechukua muda mrefu kumjua Kama ni yy😅😅😅

  • @khadijaymohammed4002
    @khadijaymohammed4002 Před 2 lety +2

    nliwah tapliwa hvi hvi kipumbaf kariakoo😄😄😄walinsomba mzgo wte sitosahau

  • @zarikassim7738
    @zarikassim7738 Před 2 lety +18

    Aiseeee hii comedy imenifanyaa nicheke kwa uzuni sio kama nacheka kwa mazur sababu na mimi yashawahi kunikuta n akulizwa wakat huo 2017 nimetoka zangu oman kupumzikaa nikagumianaa nao hawa wakaniimbia simu zangu 3 na pesa laki 2 tena nilienda kuchukua mimi mwneywe ndan kwa akili zangu lkn nakuja kutahamakii nimelizwaa vibaya mnoo nusu nipatee uchizi maan simu zilikuwa zawadi za ndug znagu aiseee kila nikiwaona watu kama hawa wallah napata wazimu nao nataman niwakateee pua niendee nazo asanteee sanaa jot kwa comedy mzur ambayo ipo katika uaribia sababu na mimi pia mchangaaa wa ili japo na shuhuda pia😒😒😒🤣🤣🤣

    • @damarisosebe4161
      @damarisosebe4161 Před 2 lety +4

      Yaani mm nimetoka zangu Saudi Arabia na laki tano yangu yenye nimesugulia toilet za waarabu nikawakuta wakanitabeli zote pamoja na simu yangu na ndo nilitaka kufungua biashara 😭😭😭😭😭😭 na ni jusi tu ikabidi nirudi uarabuni tena.

    • @zarikassim7738
      @zarikassim7738 Před 2 lety

      Nomaaa sanaaa hawa watu

    • @modadiiiooop3336
      @modadiiiooop3336 Před 2 lety

      Yani hata mie nilitoka omani walichuku a dhahabu cm na pochi

    • @zarikassim7738
      @zarikassim7738 Před 2 lety

      Poleeee me nakumbuka kuna mdada wa ndani alipelekaaa simu za maboss wake na pesa million 1 aiseee yule dada aliungua uchizi maan alilia kama mtoto mdogo

    • @halimameledy6926
      @halimameledy6926 Před 2 lety

      Mm mwenyewe walinitapeli cm yangu nimetoka nayo oman uwawei sina hamu nao yan wanaondoka hakili ndo inarudi

  • @bahatilufingo5602
    @bahatilufingo5602 Před 2 lety +6

    Mwamba umetisha sana hilo koti utafikiria upo Iringa duh hahahahahahahahaha

  • @mrjaula7769
    @mrjaula7769 Před 2 lety +50

    Joti na mpoki ndio masupa stars wa comedy nchini Tanzania....
    😂😂Joti nyota yake Ni mpoki pia Mungu awahifadhi na awape umoja wa Hali ya juu..
    I'm from Zanzibar

    • @mohamedsheealom8745
      @mohamedsheealom8745 Před 2 lety +4

      Mpoki nahisi haezi enda peke yake angekaa na Nishai angekuwa mbali sana Nishai sahi wacha afukuziwe na kina bigi, dogo sele, wengine wafwate lkn joti kaweza kashinda tabia🤣 🤣

    • @kimsamespa8490
      @kimsamespa8490 Před 2 lety +1

      Mpoki huyu ni yupi sisi ni.joti

    • @mohamedsheealom8745
      @mohamedsheealom8745 Před 2 lety

      @@kimsamespa8490 🤣

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Před 2 lety +1

      @@mohamedsheealom8745 mpoki ni fundi Sana hata joti pia

    • @mohamedsheealom8745
      @mohamedsheealom8745 Před 2 lety +4

      @@fasterwalker1464 sijaona ufundi wa mpoki kwa kweli kelele tu ndo naona 🤣ila tusibishane kwa comments za joti hapa twaongelea mwamba wetu joti tu mpoki sioni anachofanya kwakweli lbda aje kwa joti afanye colabo itafana

  • @iddysalim6331
    @iddysalim6331 Před 2 lety +50

    Aliyemskia joti akisema "anaona mpaka kesho"🤣🤣🤣 like moja nzito

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 Před 2 lety +11

    Huyu mbababe leo kabeba shangazi kaja 😂😂😂😂😂 Na anapita mlemle kwenye matatizo ya jot

  • @sanja_graphix
    @sanja_graphix Před 2 lety +4

    Nishai unajua sana, unaigiza kwa kuchekesha watu wa lika zote, uko vizuri sana nakukubaliiii😂😂😂😂😂😂

  • @stn4873
    @stn4873 Před 2 lety +7

    Aaaaaaaah Mwamba sikukujua kabisaaaaaa mpaka umeongea hilo lisauti ndio nimekugundua.

  • @tabuhatibu6496
    @tabuhatibu6496 Před 2 lety +4

    Wallah nimecheka mpaka mkojo unataka kunitoka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣joti unanini lkn 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Před 2 lety +8

    😂😂😂MAMAA wamenipigaaaaaaaaa. Nishai kapigwa na kitu kizito😁😁😁

  • @victorsomba867
    @victorsomba867 Před 2 lety +4

    Yaani hii Kama haijawahi kukukuta huwezi elewa, niliibiwa simu,hela,vitambulisho kwa mtindo huohuo. Walaaniwe wale watu iseee 😭😭😭2015

  • @hkthebaddest
    @hkthebaddest Před 2 lety +8

    😂😂😂😂😂😂NAJICHUKULIAGA SHERIA MKONONI......JOTI is the best EVER🔥🙌

  • @lorenzokelly4374
    @lorenzokelly4374 Před 2 lety +13

    😂🤣😂🤣😂 asiye funzwa na mamaye tafunzwa na ulimwengu. The most talented comedian ever.

  • @mohamedmuhajiri4690
    @mohamedmuhajiri4690 Před 2 lety +16

    Kuna Mdaa uwaga naenda kujichukulia Sheria mkononi😂😂😂

  • @CertifiedStoic
    @CertifiedStoic Před 2 lety +10

    MWAMBA anakuja vizuri sana 🔥🔥🔥

  • @chondeboy5121
    @chondeboy5121 Před 2 lety +2

    Umenikumbusha joti na me nilipigwa ivo daah 😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @hassanhamza6616
    @hassanhamza6616 Před 2 lety +8

    Umemnyima mama era hatimae wamechukuwa wajanja Doo inafundisha sana bg up jot

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 2 lety +23

    Kipaji kilichokomaa Tanzanua😇🤗🥳🥳🥳🥳

  • @omarcarlos4595
    @omarcarlos4595 Před 2 lety +13

    Ila Leo joti umepita ndimo kabisa Hawa jamaa wameshawatapeli Sana watu

  • @Watema23
    @Watema23 Před 2 lety +8

    Watu wa Kigoma wanapenda ramli sana.

  • @uwaridially5684
    @uwaridially5684 Před 2 lety +1

    Dah sitaki kukumbuka 😂 hii style ya hawa jamaa..daah hahaahahaahhha tena niliwapa mm mwenyew vitu bila kipingamizi

  • @iankweyamba7776
    @iankweyamba7776 Před 2 lety +2

    Nishai kitombangile mikazo 😂😂😂 wewe ni moto 🔥

  • @gastonjoseph2596
    @gastonjoseph2596 Před 2 lety +1

    Nakweli ume pigwa kitu kizito cha kichwa😄😄😄😄🤣😄🤣

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 Před 2 lety +6

    Nimechaka Sana tena sana Jamani 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dj.ino.official
    @dj.ino.official Před 2 lety +52

    nataka nione like za WACHUKUA SHERIA MKONONI 😂😂😂

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před 2 lety +5

    sijapata ata muda wakujipongeza na pesa yangu 😜😁😁🤣🤣😂😂

  • @ninodebox3855
    @ninodebox3855 Před 2 lety +3

    Sema walio nitokea mm walisema tafuna karatasi kumbe inanywer 😂😂 #joti

  • @cedricmaina4523
    @cedricmaina4523 Před 2 lety +14

    Mama, nimepigwaaaaaa... 🤣😂🤣😂

  • @jumaselemani2720
    @jumaselemani2720 Před 2 lety +3

    Daah hii ya leo kali kaka umetisha kaka 😅😅😅😂😂

  • @aliomari5961
    @aliomari5961 Před 2 lety +9

    nilitolewa nywele kwenye mdomo ,, na moshi kwenye magoti,,, ati ni za maiti,,,, bongo bwana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @marymungi2104
      @marymungi2104 Před 2 lety

      Wezi wa buguruni walinifanyia hivyo

    • @modadiiiooop3336
      @modadiiiooop3336 Před 2 lety

      Leo nimejikuta nacheka .hata mie pia walitaka twende hadi nyumban badae .wakahisi nitashituka

    • @modadiiiooop3336
      @modadiiiooop3336 Před 2 lety

      Wapo sana bunguruni sokon

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 Před 2 lety +1

    Jot nakupenda sana ijumaa nilitaka kukuchek tu mb ikakata, ila umenichekesha sana hii kaz nzur mnafanya, we ndo best Tanzania

  • @ernestmwakalambo3938
    @ernestmwakalambo3938 Před 2 lety +5

    Nishai Mtombangile kitwango mikazo 😂😂😂😂😂😂

  • @lamarmullahzalim2748
    @lamarmullahzalim2748 Před 2 lety +2

    Maf respect from 🇰🇪🇰🇪.
    Eti huwa anachukulia Sheria mkononi 😂😂😂😂😂.
    Nishai umeshinda

  • @leengamlay99
    @leengamlay99 Před 2 lety +6

    Naenda kujichukulia SHERIA mkononi😂😂😂

  • @liciouscharles3370
    @liciouscharles3370 Před 2 lety

    Niliwah kutapeliwa hv hv...wakanituma tv na simu na pasi nyumban niwapelekee

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Před 2 lety +6

    😂😂😂😂😂Mtombangile Kitwango,Mikazo…Miguno😂😂😂

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 Před 2 lety +4

    Anajichukulia sheria mkononi. Hii crew yako mpya naipenda sana wananifurahisha sana 🤣🤣🤣🤣

  • @neemairakoze9218
    @neemairakoze9218 Před 2 lety +13

    Anaona mbaka kesho Joti we Love you bro 😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @danielmatemu9698
    @danielmatemu9698 Před 2 lety +7

    Kuna mdogo wangu alishatepeliwa kwa style hii… akaenda nyumbani akachukua pesa za Mama akaenda kuwapa matapeli…

  • @sarahomary3615
    @sarahomary3615 Před 2 lety +7

    Aki nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣Eti wamenipiga😂😂😂😂😂

  • @davidnchoji
    @davidnchoji Před 2 lety +50

    This guy is another level 😂😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽

    • @prosperkullaya6721
      @prosperkullaya6721 Před 2 lety +2

      Amenikumbusha mzee jongo na majuto wengine tumetoka hm miaka ya 80

  • @treshazgodfather9219
    @treshazgodfather9219 Před 2 lety +6

    😂😂😂😂😂😂Mbona kama imenigusa hivi hawa matapeli kama mm nilivotapeliwA😂

    • @leilatemba9871
      @leilatemba9871 Před 2 lety +1

      Ata mimi ilinikuta style iyoiyo jamn 🤣🤣🤣🤣

    • @muharas0059
      @muharas0059 Před 2 lety

      dah mi mwenyewe nishapigwa ivo mamae

  • @johnmushi8739
    @johnmushi8739 Před 2 lety +1

    Yan jamaaa anajua kufikisha ujumbe kwa jamii sana, tafakar chukua hatua

  • @mukanyataki5120
    @mukanyataki5120 Před 2 lety

    Uyo Nishai anajionaka munjanja sana, mulifanya vizuri sana kumu tapeli huyo mushenzi.
    Nishai ni mujinga sana, anajionaka ye munjaanja sana, ni mushenzi

    • @johnmagambo9231
      @johnmagambo9231 Před 2 lety

      Mbona kama povu limekutoka,hujui kua watu wanafanya maigizo

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 Před 2 lety

      @@johnmagambo9231 😀😀😀😀😀

  • @ninodebox3855
    @ninodebox3855 Před 2 lety

    Hao wasenge wapo kuanzia ubungo mbaka magomeni mimi nuc wanitapel ivyo ivyo guys kila actor act reality but dis guy as bring for u as comedy more love to joti

  • @CHITUS
    @CHITUS Před 2 lety +5

    I swear things happen I once face such people but I thank God I heard a same story from a friend so I recall before things went bad.

  • @audiphoncealphonce2079
    @audiphoncealphonce2079 Před 2 lety +1

    Watu mnaangalia kama kichekesho ila kwa ambao washakutana na hii aina ya utapeli basi wanaelewa kuwa joti situ anachekesha ILa anafundisha mambo halisi yaliyomo mjini.mim mpenzi wangu alitapeliwa sim kwa namna hii hii mwezi mmoja uliopita na wanadeal sana na watoto wakike

  • @ferouzmasoud4870
    @ferouzmasoud4870 Před 2 lety +3

    Kuna muda naenda kujichukulia Sheria mkononi kwahiyo unaenda kupiga Nyeto 🤣😂

  • @aminamsouth9
    @aminamsouth9 Před rokem +2

    Mama yupo so natural ❤😂

  • @luggyqayn2410
    @luggyqayn2410 Před 2 lety +27

    Ila wametumia mbinu ambayo sio rahisi kushtukia, tuliowahi kupigwa hizi game tunaelewa

  • @hassanally4647
    @hassanally4647 Před 2 lety +1

    Najichukulia sheria mkononi 🤣🤣🤣🤣joti una lanaaaaa🤣🤣🤣🤣

  • @VerifiedComment
    @VerifiedComment Před 2 lety +30

    Watching from Kyiv Ukraine. Joti you are the best in Africa! 💣🔥

    • @maembamwita4716
      @maembamwita4716 Před 2 lety

      Uko Ukraine wapi wewe😀😀

    • @mumyhendry2919
      @mumyhendry2919 Před 2 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ATI Kyiv🙌🙌🙌

    • @VerifiedComment
      @VerifiedComment Před 2 lety +1

      @@maembamwita4716 Так, я в Україні, і я хочу повернутися додому, в Танзанію через війну тут!

    • @VerifiedComment
      @VerifiedComment Před 2 lety

      🇺🇦🇺🇦 + 🇹🇿🇹🇿 = ❤️

    • @husseinally7052
      @husseinally7052 Před 2 lety

      Sheikh umepona na mabomu huko ya urusi

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 Před 2 lety +1

    🤣🤣🤣🤣🤣 daaaaaaaaah sio kupata tabu 2 hata mwajuma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @josephalfred7759
    @josephalfred7759 Před 2 lety +4

    Baada ya kupigwa kofi na mama ndo akagundua kua amepigwaa😁😁..

  • @jameskayanda1702
    @jameskayanda1702 Před 2 lety +5

    Comedian namba moja Tanzania

  • @shabanshomary7421
    @shabanshomary7421 Před 2 lety

    Dah kama naMwona vule mwanangu ema alivyo tapeliwa pale massana nani walivyo mfanyia nishai bax nae ilikuwa hivyo hivyo aiseeh utacheka upasuke🤣🤣🤣🤣🤣🤣kazi nzuri Nishai🙏🙏🙏🙏

  • @malakimoses6115
    @malakimoses6115 Před 2 lety +5

    😂😂😂😂 joti ww ni comedy genius kaka respect

    • @ahmedbajabir9074
      @ahmedbajabir9074 Před 2 lety

      Nishai umeniweza leo maana nimecheka sana😂🤣😅

  • @tchipppo
    @tchipppo Před 2 lety +3

    Hiyo style tumetapeliwa wengi jamaa wanatumia dawa kukupumbaza ili wakupige

  • @agripinamgema3656
    @agripinamgema3656 Před 2 lety +3

    Nampenda mama, she is good 👍

  • @user-uj8ge7zk4p
    @user-uj8ge7zk4p Před 2 měsíci +1

    Mwamba sauti kama dudu baya😂😂😂😂

  • @tiboruhanga258
    @tiboruhanga258 Před rokem +1

    💜💙🖤❤️naona hapa Dubai 🇦🇪

  • @brianchriss81
    @brianchriss81 Před 2 lety +14

    Kaka nakufuatilia kama mlo wa kila siku😂😂😂😂

  • @saleemmussah
    @saleemmussah Před 2 lety

    😁nilitapeliwa hv hvo pale garden magomen nikatapeliwa kanga za mama mpya kabsa dot 3 wallah nmekumbuka mbalii sana

  • @roselukinga6765
    @roselukinga6765 Před 2 lety +1

    😂😂ant yangu ashawah kutapeliwa mchana kweupee watu wabaya sanaa

  • @mohamedsheealom8745
    @mohamedsheealom8745 Před 2 lety +3

    🤣 🤣 🤣 Yani huyu Nishai anakuwa bunga sana pale akiwa kiboga anakuwa mke wa fujo mdangaji kisha pale akiwa Anunje hehe jamaa la kusumbua walimu haya sasa wakati wa babu🤣🤣mzee hatapeliki kabisa ukimtapeli unakula bakora🤣🤣jee unahisi nani anaeza kuchukua uhalisia wote huo tanzania nzima hakuna kwakweli kama yuko niambie nani 🤣🤣

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys Před 2 lety +2

    😂😂😂😂 Sio utapata Tabu tu ata utapata Mwajuma 🤣🤣🤣

  • @kodackdeblack7982
    @kodackdeblack7982 Před 2 lety +3

    😂😂😂😂nishai mtombangwile kitwango mikazo

  • @klystry1234
    @klystry1234 Před 2 lety +6

    Mwamba kawa mtabiri😆🤣😂😆🤣🤣🤣 so funny
    You guys made my day

  • @aliomari5961
    @aliomari5961 Před 2 lety +8

    nilishawahi kupigwa style kama hii tu,, sitasahau ILALA BOMA

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 Před 2 lety +1

      Pole sana mdau dunia ina mafunzo mengi kila uchwao hakuna anaeijua kesho yake

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 Před 2 měsíci

      😂😂😂jmn

  • @gulamthabit3933
    @gulamthabit3933 Před 2 lety

    Nishai nakubali sana kaz zak🌏🌏🌏

  • @mussamageme2748
    @mussamageme2748 Před 10 měsíci

    Mwamba bro unafany vizur sna afu umependez sana😅😅

  • @daudimyombe8879
    @daudimyombe8879 Před 2 lety +1

    Inafurahisha sana

  • @orestemanenomaneno7726
    @orestemanenomaneno7726 Před 2 lety +1

    Duhh brow Kali sana wewe joti 😂😂🇲🇿🔥🕌

  • @dommykatey3037
    @dommykatey3037 Před 2 lety +1

    😂😂😂😂leo umeamua kutuanzia siku na kicheko +254 tunakutambua ishai

  • @abelbaraka263
    @abelbaraka263 Před 2 lety +1

    Eti utapata tabu eti hata mwajuma
    Huyu anaona mbali hadi kesho asubuhi 😂😂

  • @joohnicoh3596
    @joohnicoh3596 Před 2 lety +43

    This guy is talented 😂😂😂🙌

  • @ahmadkasika7114
    @ahmadkasika7114 Před 2 lety +2

    Karbuni tena tandale home ,scene nilicheka sana hiii dah 😀😀😀

  • @kayjuma2629
    @kayjuma2629 Před 2 lety +14

    Hahahaha dada ni mweupe
    Lakin anajidownload 😂😂😂😂

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 Před 2 lety +7

    Katapeliwa aaah jotiii 🤣🤣🤣🤣

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 Před 2 lety +1

    Fanya uoe utakuja kutubaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mwanaishamkindi7763
    @mwanaishamkindi7763 Před 2 lety +1

    Wameendana nishai kua kua na huyo dada ake maana wote wafupii😂😂😂

  • @tiffahdangote7548
    @tiffahdangote7548 Před 2 lety +1

    Nishai ndo ukome!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @giuseppemanaos75
    @giuseppemanaos75 Před 2 lety +2

    😂😂😂😂
    Hata mimi kwa hari hiyoo ningepigwa 😂😂😂😂😂😂

  • @danielmussa4101
    @danielmussa4101 Před 2 lety

    Noma sana umetisha sana joti

  • @mrramsonvidal170
    @mrramsonvidal170 Před 2 lety +1

    Unafichua siri za watoto wa Manzese brA😂😂

  • @fatmafetty4117
    @fatmafetty4117 Před 2 lety +5

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kweli katapeliwa

  • @ninodebox3855
    @ninodebox3855 Před 2 lety

    Daah iv iv nuc nitapeliwe jamani jote love u bro coz no any actor do before alfu kwa Wanafunzi wanakwambia una fel😂😂😂

  • @fatemafatema8581
    @fatemafatema8581 Před 2 lety +1

    Katapeliwa uwiii nimechk km mazur mama ana tv ya chongo🤣🤣🤣

  • @hamadchapembe5316
    @hamadchapembe5316 Před 2 lety

    Nishai...nakaa sana chooni...kuna muda mwingine Huwa naenda kujichukulia Sheria mkononi..... 🤣 😂 🤣

  • @Adnan.Shidhani
    @Adnan.Shidhani Před 2 lety +11

    Hizi ndio content zakufurashisha.. sio kuonesha wanawake na mizigo yao

  • @loganpoul
    @loganpoul Před 2 lety

    Jamani Doris ana kundu nyie,kajaaliwa huyu bonge moja la kundu

  • @salvinagothalum9008
    @salvinagothalum9008 Před 2 lety

    Uyo dada ake joty Jilan yangu kinondon studio karbu na praya master anaigiza vzur🥰🥰🥰😍