PEMBA WAONYESHA KIWANGO CHA KIMATAIFA I HATA UNGUJA HAIONI NDANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024

Komentáře • 17

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung2410 Před 5 lety +3

    Ayo ndio maandeleo tuyatakayo ss safi sana wajenge na vyengine kama walivojenga mau .na uko watafute sehem wajenge ili kiwanja kisizidiwe sana SKU za mechi nying

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 Před 5 lety +1

    Good

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim Před 8 měsíci

    Uwanja was gombani mzuri kweli kweli

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv Před 7 měsíci

    Haya tu hakuna marefu ya siy na mwisho Pemba imedharauliwa zamani hatukuzoe kutengenezewa tumezoea kuuliwa tuuweni Maendeleo kwetu si lazima karafuu zitachumwa Maendeleo ni Unguja kwa wanaojua kutumia sisi kazi yetu ni mateso tu. Starehe kwa wengine .

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go Před 7 měsíci +1

    Serikali ya CCM tangu lini ikaijali Pemba? Uwanja hauna maajabu hakuna paa wala kiti kilichowekwa ni hayo mataa tu ndio tunasema wamekarabati Wapemba tunafanywa mazazwa kweli
    Na sisi vizuri tunavitaka
    Ukianza Bandari, ukija Airport, barabara na mengine mengi tu Pemba tupo nyuma 😢
    Hilo score board hapo ndio utacheka haswa na kuona maajabu 😭 ndio maana Mapinduzi Cup wameshindwa hata mechi moja kuileta Pemba kwa sababu ya aibu

  • @clovetv_pba
    @clovetv_pba Před 5 lety +2

    Kiwango kipi cha kimataifa? Ni uwanja au hio Nasheed?

    • @ahmeidyoung2410
      @ahmeidyoung2410 Před 5 lety

      Hahahaah

    • @clovetv_pba
      @clovetv_pba Před 5 lety

      @@ahmeidyoung2410 umeona eeee... Cjui kaleta maana gn

    • @RiyadhTvOnlineZnz
      @RiyadhTvOnlineZnz  Před 5 lety +1

      Brother Kassim ni kiwanja, ni kweli kuwa kina hadhi tofauti sana na hata kiwanja cha Amani ambacho ndicho kiwanja cha kujivunia Unguja kwa sasa

    • @RiyadhTvOnlineZnz
      @RiyadhTvOnlineZnz  Před 5 lety

      @@clovetv_pba kiwanja akhuy

  • @halimaali1900
    @halimaali1900 Před 7 měsíci

    mbòna hunan kpya hapo

  • @rajabamour6131
    @rajabamour6131 Před 5 lety +1

    Nasubiria comments... 😁😁

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung2410 Před 5 lety +2

    Apo VP jaman

  • @ujudyujudy5166
    @ujudyujudy5166 Před 5 lety +1

    Kivip shekh hatujaelewa kiwango gani?

    • @RiyadhTvOnlineZnz
      @RiyadhTvOnlineZnz  Před 5 lety

      Umekiona kiwanja hicho??? Utafananisha na amani??? Nyasi uhakika haswaaaa

    • @officialwawa4370
      @officialwawa4370 Před 4 lety

      Aaaaaa na amanii kiwanja chenyewe ettt kinaitwa gombani huku pembeni nimeona nyasi za kulisha ng'ombe