WATOKWA NA JASHO WAKITAFUTA UKRISTO KWENYE BIBLIA😭😭

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • ‪@StraightPathDawah‬ ni dawah popote wakati wowote. Please subscribe...

Komentáře • 97

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk Před 5 měsíci +8

    Maa shaa Allah kazi iendelee kwa nguvu za Allah
    Allah awahifadhi masheikh wetu,awape kheri za dunia na akhera.

  • @husseindzombo6492
    @husseindzombo6492 Před 5 měsíci +7

    Surah *_Al-Im'ran_***: Ayah ***_19_*
    *Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.*

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Před 5 měsíci +3

    Fanyeni kazi maana wengi hata hawajui maana ya mungu ni nani

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Před 5 měsíci +4

    Sheikh una kazi ngumu Allah akuhifadhi na akupe umri mrefu

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Před 5 měsíci +4

    Hawajajua kumshirikisha mungu ni nini

  • @princematumbo
    @princematumbo Před 5 měsíci +4

    Sheikh Ramadhan jamaa kama hawa don't argue with them,kuelewa kwao ni shida,we are not talking about government.

  • @Adm9464
    @Adm9464 Před 5 měsíci +5

    Different day . Same story with Wakristo. Always going to the library. Maandiko hawa jui.

  • @fgg8794
    @fgg8794 Před 5 měsíci +4

    Mashaallah Allah akujaalie kila lakheri sheikh

  • @AishaTabi-e2z
    @AishaTabi-e2z Před 5 měsíci +2

    Mashalla ❤

  • @firdausjabir1436
    @firdausjabir1436 Před 5 měsíci +3

    dini ya haqqi mbele ya m.mungu ni uislam Allah akulipe jannat binkagua na siku hizi bora

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Před 5 měsíci +1

    Mashallah sheikh Ramadhan ukweli wameupata but ni ushindani ndio wengine wasijue ukweli mabruk

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 Před 5 měsíci +7

    Eti mwenye-ezi-mungu ni Muhammad au ni yesu khaaa😂😂😂......daagh Allah atujaalie tufe tukiwa waislam 🤲🤲🤲

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o Před 5 měsíci

      Ile siku utajua ulimkataa Yesu kama mwokozi wako itakua umechelewa

    • @hanifahkhamiss8485
      @hanifahkhamiss8485 Před 5 měsíci +1

      @@NathanielNathan-m4o kwn mm nimemkataa yesu🤣🤣yesu ni mtume km alivyo Muhammad na tunampenda na kumuamin na kuafuata yote aliokuja nayo....ila sio kumuabudu wala kumuita mungu au muokovu uokovu wako ni nafsi yako na matendo yeko tu.......

    • @user-rc7oi2hp8l
      @user-rc7oi2hp8l Před 5 měsíci +1

      Yesu n Mtume wa Mungu kw Wana waisaraeli na ni mwana wa marium.mtu wa Palestine Jerusalem

    • @hanifahkhamiss8485
      @hanifahkhamiss8485 Před 5 měsíci

      @@user-rc7oi2hp8l kwaio

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o Před 5 měsíci

      @@user-rc7oi2hp8l Wapi inasema Yesu ni mpalestina? Mbona waislam mko na Uongo? Yesu ni myahudi kutoka Israel

  • @saeedisa9798
    @saeedisa9798 Před 5 měsíci +6

    Jamaa hana hoja. Kama kuna under age katika bibilia si ange thibitisha. Ana kimbilia man made law.

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 Před 5 měsíci +2

    Allah yakulipe

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Před 5 měsíci +2

    Masha Allah 💖💖💖

  • @user-tn5ny2vc7h
    @user-tn5ny2vc7h Před 5 měsíci +2

    ALLAH hu AKBAR ❤❤❤❤❤❤

  • @oopsm3574
    @oopsm3574 Před 5 měsíci +2

    Haamini kama shetani hupo😂😂 hajuwi kama shetani anampoteza😅

  • @user-fc6uf6be5u
    @user-fc6uf6be5u Před 5 měsíci +2

    Huyo jamaa anapoteza mda namaswali ya idi

  • @josemu870
    @josemu870 Před 4 měsíci +1

    Barikiweni

  • @amadimagadi7978
    @amadimagadi7978 Před 5 měsíci +2

    Uyu mwenye mask anapenda siasa hajielewi

  • @user-jj6sd8me9k
    @user-jj6sd8me9k Před 5 měsíci +2

    Shekhe kuna mmoja kAkimbia hapo.mimi nimemuona

  • @FauziahNambaka-bn2ln
    @FauziahNambaka-bn2ln Před 4 měsíci +1

    Wakristo wamechanganyikiwa kwa kila kitu

  • @guyogalora-gl2lu
    @guyogalora-gl2lu Před 29 dny

    Assalam Alaykum warahmatullahi wabarakatu.. masha Allah. Barak Allahu feek.

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Před 5 měsíci

    Uyo wa barakoa hajielewi

  • @elizamukiti9855
    @elizamukiti9855 Před měsícem

    Aki barakoa

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 Před 5 měsíci

    MashaAllah.

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Před 5 měsíci +1

    Uyo jamaa hajielew aki anashindana n miaka ungemuuliz uwo wakati wa yesu kulikuw na serikali Kam ya zakayo...hao ndio wanaitwa albalidu la yafhamu Shai'an.

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Před 5 měsíci +1

    Wakati huo hakukuwa na mambo ya id

  • @abdinasirmohamed2238
    @abdinasirmohamed2238 Před 5 měsíci +1

    Stephen ni karau, n anauliza maswali za O.B ambazo hazimake sense😅😂

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Před 5 měsíci

    Kujua mungu yupi maana kuna ng'"ombe mungu na mtu mungu

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Před 5 měsíci

    Jamaa wa maski nifala kweli hapo mambo ya din anayaweka kwwnye siasa

  • @elizamukiti9855
    @elizamukiti9855 Před měsícem

    We mtu wa barakoa pls acha tu na uende

  • @isseamin2017
    @isseamin2017 Před 5 měsíci +1

    ustadh Ramadan huyu hufai kuongelea muda kadha ungefaa kunyamaza na kuendelea kuhubiri hana hoja he want to waste your time only.

  • @abdullahkazungu4025
    @abdullahkazungu4025 Před 5 měsíci

    Apo sheikh unakibarua awa watu kuelewa ni balaa

  • @alyumaraos
    @alyumaraos Před 5 měsíci

    Hakuna mt alonikera kama huyu jamaa alozungumza mambo ya.id kaniudhi kapoteza muda mref sana mjinga huyooo.

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia6306 Před 5 měsíci

    Hatuhubiri ukristo tunahubiri kristo....changanya wasio fahamu urongo wenu...

    • @ustadhfarouq7729
      @ustadhfarouq7729 Před 5 měsíci +2

      So unapoaply Id card ktka DINI unajaza ww ni kristo ama Mkristo? In English is your religion Christ or Christianity stop running away from the truth, ukweli ukifika uwongo lazma utoweke ..Kristo ni mtu sio dini,,,,,,,dini yake ni ukristo yaani Christianity..huezi hubiri jina la mtu bali dini yake.

    • @SaidiBakari-dc6uw
      @SaidiBakari-dc6uw Před 5 měsíci +1

      Wacha ushabiki

    • @ngugimundia6306
      @ngugimundia6306 Před 5 měsíci

      @@SaidiBakari-dc6uw ukitaka tutiane chuoni toa mada...nikufunze...kwanza quran haileweki aya ipi wahai upi ulishuka mwanzo...mkubaliane kwanza kabla ya kuingilia wakristo...soma quran 74...hadi ufafanuzi.

    • @ngugimundia6306
      @ngugimundia6306 Před 5 měsíci

      @@ustadhfarouq7729 exactly my religion is christ john 14.6...am the way and the truth...meaning of religion?...way of faith or believe....dini ni njia ya imani...Jesus christ is the way so we believe in him...he is our religion so we become of him so Christian....believers of christ....

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 Před 5 měsíci

      ​@@ngugimundia6306mnajifanyaga mwajua maandiko lkn mkiambiwa zibitishen Ukristo ni dini ya Mungu hamtoag

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia6306 Před 5 měsíci

    Sasa Muhammad kaoa kitoto miaka 6...inalilahi wainalilahi rajun.

    • @bekamwaba3571
      @bekamwaba3571 Před 5 měsíci +2

      My one and only assistance to you. Stop your ignorance, learn with your open mind and get it right. It's for your benefit In Shaa Allah.

    • @ngugimundia6306
      @ngugimundia6306 Před 5 měsíci

      @@bekamwaba3571 ukitaka tuanze kuchambua uislam utaumia na kukereka bure hivyo usijaribu kutumia neno ignorance....

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 Před 5 měsíci

      ​@@ngugimundia6306U islam hata ukae uchambue miaka yote ya uhai wako hakuna muislamu atakae umia bali aumiae ni wewe usie jielewa

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 Před 5 měsíci +1

      ​​@@ngugimundia6306Kwanza sio kweli Mtume Muhammad hajaoa mtoto wa miaka6 na kama kaoa kweli tupe andiko, pili Adam alioa mtoto siku 1 sasa kinachokushangaza kitu gani ?

    • @user-rc7oi2hp8l
      @user-rc7oi2hp8l Před 5 měsíci +1

      Toa ushahidi nasubir andiko ............. Izo n propaganda n kutosoma. Soma ndugu ngu

  • @NathanielNathan-m4o
    @NathanielNathan-m4o Před 5 měsíci +1

    Na shetani naye amefunga? Si Mohamed alimsilimisha shetani?

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia6306 Před 5 měsíci

    Tafuta Christian and christ...hili neno ukristo ni lenyu waislam na mpgani...sisi tumjua kristo nasi tu wafuasi wake wakristo.....kristo ndie dini yani njia ya imani ukristo pelekeni msikitini...

    • @hemedbamja3197
      @hemedbamja3197 Před 5 měsíci +1

      Naomba unisaidie,mnahubiri Kristo kwa maana ya historia yake na maisha yake,au guidelines zake?

    • @ngugimundia6306
      @ngugimundia6306 Před 5 měsíci

      @@hemedbamja3197 sasa wewe hujui quran si maneno ya mwenyezi mungu....quran inaubabaishaji tu soma quran 3.7...tena haieleweki mpangilio wa uongo...quran 74 .aya hii ilikua ya mwanzo kushuka wanazuoni wakabadilisha wakasema aya ya kwanza ni sura ya 96...lakini leo hii saru ya kwanza ni surah tulfatha...uamini lipi? Quran kitabu cha upotovu..tena Muhammad hajui kusoma wala kuandika ndio maana quran inababaisha...saurah 7.157...nabii umi!

    • @jumamsembe1213
      @jumamsembe1213 Před 5 měsíci +2

      Utajua mandiko tu pole pole ..fuatilia channel..

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 Před 5 měsíci +1

      😂😂😂😂manake kwanza nicheke

    • @user-rc7oi2hp8l
      @user-rc7oi2hp8l Před 5 měsíci +1

      Kwa tarifa yko yesu hajui Cristo ni nini hakuogea lugha hiyo wala hajui Christo ilianzaje hakua wakati huo.ilo jina Christo limeitwa wafuasi wa yesu apo Turkey

  • @azizashiundu5778
    @azizashiundu5778 Před 5 měsíci +2

    Mashallah 💞