Surah *_Al-Im'ran_***: Ayah ***_19_* *Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.*
@@NathanielNathan-m4o kwn mm nimemkataa yesu🤣🤣yesu ni mtume km alivyo Muhammad na tunampenda na kumuamin na kuafuata yote aliokuja nayo....ila sio kumuabudu wala kumuita mungu au muokovu uokovu wako ni nafsi yako na matendo yeko tu.......
Uyo jamaa hajielew aki anashindana n miaka ungemuuliz uwo wakati wa yesu kulikuw na serikali Kam ya zakayo...hao ndio wanaitwa albalidu la yafhamu Shai'an.
So unapoaply Id card ktka DINI unajaza ww ni kristo ama Mkristo? In English is your religion Christ or Christianity stop running away from the truth, ukweli ukifika uwongo lazma utoweke ..Kristo ni mtu sio dini,,,,,,,dini yake ni ukristo yaani Christianity..huezi hubiri jina la mtu bali dini yake.
@@SaidiBakari-dc6uw ukitaka tutiane chuoni toa mada...nikufunze...kwanza quran haileweki aya ipi wahai upi ulishuka mwanzo...mkubaliane kwanza kabla ya kuingilia wakristo...soma quran 74...hadi ufafanuzi.
@@ustadhfarouq7729 exactly my religion is christ john 14.6...am the way and the truth...meaning of religion?...way of faith or believe....dini ni njia ya imani...Jesus christ is the way so we believe in him...he is our religion so we become of him so Christian....believers of christ....
@@ngugimundia6306Kwanza sio kweli Mtume Muhammad hajaoa mtoto wa miaka6 na kama kaoa kweli tupe andiko, pili Adam alioa mtoto siku 1 sasa kinachokushangaza kitu gani ?
Tafuta Christian and christ...hili neno ukristo ni lenyu waislam na mpgani...sisi tumjua kristo nasi tu wafuasi wake wakristo.....kristo ndie dini yani njia ya imani ukristo pelekeni msikitini...
@@hemedbamja3197 sasa wewe hujui quran si maneno ya mwenyezi mungu....quran inaubabaishaji tu soma quran 3.7...tena haieleweki mpangilio wa uongo...quran 74 .aya hii ilikua ya mwanzo kushuka wanazuoni wakabadilisha wakasema aya ya kwanza ni sura ya 96...lakini leo hii saru ya kwanza ni surah tulfatha...uamini lipi? Quran kitabu cha upotovu..tena Muhammad hajui kusoma wala kuandika ndio maana quran inababaisha...saurah 7.157...nabii umi!
Kwa tarifa yko yesu hajui Cristo ni nini hakuogea lugha hiyo wala hajui Christo ilianzaje hakua wakati huo.ilo jina Christo limeitwa wafuasi wa yesu apo Turkey
Maa shaa Allah kazi iendelee kwa nguvu za Allah
Allah awahifadhi masheikh wetu,awape kheri za dunia na akhera.
Surah *_Al-Im'ran_***: Ayah ***_19_*
*Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.*
Fanyeni kazi maana wengi hata hawajui maana ya mungu ni nani
Sheikh una kazi ngumu Allah akuhifadhi na akupe umri mrefu
Hawajajua kumshirikisha mungu ni nini
Sheikh Ramadhan jamaa kama hawa don't argue with them,kuelewa kwao ni shida,we are not talking about government.
Different day . Same story with Wakristo. Always going to the library. Maandiko hawa jui.
Mashaallah Allah akujaalie kila lakheri sheikh
Mashalla ❤
dini ya haqqi mbele ya m.mungu ni uislam Allah akulipe jannat binkagua na siku hizi bora
Mashallah sheikh Ramadhan ukweli wameupata but ni ushindani ndio wengine wasijue ukweli mabruk
Eti mwenye-ezi-mungu ni Muhammad au ni yesu khaaa😂😂😂......daagh Allah atujaalie tufe tukiwa waislam 🤲🤲🤲
Ile siku utajua ulimkataa Yesu kama mwokozi wako itakua umechelewa
@@NathanielNathan-m4o kwn mm nimemkataa yesu🤣🤣yesu ni mtume km alivyo Muhammad na tunampenda na kumuamin na kuafuata yote aliokuja nayo....ila sio kumuabudu wala kumuita mungu au muokovu uokovu wako ni nafsi yako na matendo yeko tu.......
Yesu n Mtume wa Mungu kw Wana waisaraeli na ni mwana wa marium.mtu wa Palestine Jerusalem
@@user-rc7oi2hp8l kwaio
@@user-rc7oi2hp8l Wapi inasema Yesu ni mpalestina? Mbona waislam mko na Uongo? Yesu ni myahudi kutoka Israel
Jamaa hana hoja. Kama kuna under age katika bibilia si ange thibitisha. Ana kimbilia man made law.
Allah yakulipe
Masha Allah 💖💖💖
ALLAH hu AKBAR ❤❤❤❤❤❤
Haamini kama shetani hupo😂😂 hajuwi kama shetani anampoteza😅
Huyo jamaa anapoteza mda namaswali ya idi
Barikiweni
Uyu mwenye mask anapenda siasa hajielewi
Shekhe kuna mmoja kAkimbia hapo.mimi nimemuona
😂😂😂😂😂
😂😂@@abdullrahmanqatar
Wakristo wamechanganyikiwa kwa kila kitu
Assalam Alaykum warahmatullahi wabarakatu.. masha Allah. Barak Allahu feek.
Uyo wa barakoa hajielewi
Aki barakoa
MashaAllah.
Uyo jamaa hajielew aki anashindana n miaka ungemuuliz uwo wakati wa yesu kulikuw na serikali Kam ya zakayo...hao ndio wanaitwa albalidu la yafhamu Shai'an.
Wakati huo hakukuwa na mambo ya id
Stephen ni karau, n anauliza maswali za O.B ambazo hazimake sense😅😂
Kujua mungu yupi maana kuna ng'"ombe mungu na mtu mungu
Jamaa wa maski nifala kweli hapo mambo ya din anayaweka kwwnye siasa
We mtu wa barakoa pls acha tu na uende
ustadh Ramadan huyu hufai kuongelea muda kadha ungefaa kunyamaza na kuendelea kuhubiri hana hoja he want to waste your time only.
Apo sheikh unakibarua awa watu kuelewa ni balaa
Hakuna mt alonikera kama huyu jamaa alozungumza mambo ya.id kaniudhi kapoteza muda mref sana mjinga huyooo.
Hatuhubiri ukristo tunahubiri kristo....changanya wasio fahamu urongo wenu...
So unapoaply Id card ktka DINI unajaza ww ni kristo ama Mkristo? In English is your religion Christ or Christianity stop running away from the truth, ukweli ukifika uwongo lazma utoweke ..Kristo ni mtu sio dini,,,,,,,dini yake ni ukristo yaani Christianity..huezi hubiri jina la mtu bali dini yake.
Wacha ushabiki
@@SaidiBakari-dc6uw ukitaka tutiane chuoni toa mada...nikufunze...kwanza quran haileweki aya ipi wahai upi ulishuka mwanzo...mkubaliane kwanza kabla ya kuingilia wakristo...soma quran 74...hadi ufafanuzi.
@@ustadhfarouq7729 exactly my religion is christ john 14.6...am the way and the truth...meaning of religion?...way of faith or believe....dini ni njia ya imani...Jesus christ is the way so we believe in him...he is our religion so we become of him so Christian....believers of christ....
@@ngugimundia6306mnajifanyaga mwajua maandiko lkn mkiambiwa zibitishen Ukristo ni dini ya Mungu hamtoag
Sasa Muhammad kaoa kitoto miaka 6...inalilahi wainalilahi rajun.
My one and only assistance to you. Stop your ignorance, learn with your open mind and get it right. It's for your benefit In Shaa Allah.
@@bekamwaba3571 ukitaka tuanze kuchambua uislam utaumia na kukereka bure hivyo usijaribu kutumia neno ignorance....
@@ngugimundia6306U islam hata ukae uchambue miaka yote ya uhai wako hakuna muislamu atakae umia bali aumiae ni wewe usie jielewa
@@ngugimundia6306Kwanza sio kweli Mtume Muhammad hajaoa mtoto wa miaka6 na kama kaoa kweli tupe andiko, pili Adam alioa mtoto siku 1 sasa kinachokushangaza kitu gani ?
Toa ushahidi nasubir andiko ............. Izo n propaganda n kutosoma. Soma ndugu ngu
Na shetani naye amefunga? Si Mohamed alimsilimisha shetani?
Kuna wenye wanatii amri
@@user-qo8zm1sk8p kina nani?
@@user-qo8zm1sk8p kina nani?
@@user-qo8zm1sk8p kina nani?
Unaandiko linasema shetani amesilimu??
Tafuta Christian and christ...hili neno ukristo ni lenyu waislam na mpgani...sisi tumjua kristo nasi tu wafuasi wake wakristo.....kristo ndie dini yani njia ya imani ukristo pelekeni msikitini...
Naomba unisaidie,mnahubiri Kristo kwa maana ya historia yake na maisha yake,au guidelines zake?
@@hemedbamja3197 sasa wewe hujui quran si maneno ya mwenyezi mungu....quran inaubabaishaji tu soma quran 3.7...tena haieleweki mpangilio wa uongo...quran 74 .aya hii ilikua ya mwanzo kushuka wanazuoni wakabadilisha wakasema aya ya kwanza ni sura ya 96...lakini leo hii saru ya kwanza ni surah tulfatha...uamini lipi? Quran kitabu cha upotovu..tena Muhammad hajui kusoma wala kuandika ndio maana quran inababaisha...saurah 7.157...nabii umi!
Utajua mandiko tu pole pole ..fuatilia channel..
😂😂😂😂manake kwanza nicheke
Kwa tarifa yko yesu hajui Cristo ni nini hakuogea lugha hiyo wala hajui Christo ilianzaje hakua wakati huo.ilo jina Christo limeitwa wafuasi wa yesu apo Turkey
Mashallah 💞