Kukamilika kwa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) nchini Tanzania ni jambo linalongojewa kwa hamu na watanzania pamoja na nchi jirani zitakazonufaika na ujenzi wake. #kurunzi
Hehehe mtanzania mwenzangu anaongea akiwa amekata tamaaa. Watz msijatishwe tamaaa na wakenya yaani hata mkiwazidi Bado wataendelea kuboast kuwa wao ni Bora kuliko ninyi. Watu kama halo ni kuwaacha waendelee kujitapa
Hiv hayo mabehewa ya SGR yaliyoletwa na kuwekwa kanda yakisubili ujenzi uishe walikusudia nini ama ndo wale watoa chao mapema walitaka yaje ili wakigundulika kuwa walipiga yawe teyari yalishafika haina jinsi
HATUTALETA WAWEKEZAJI KUISIMAMIA SGR? NA UMEME WA NYERERE HATUHITAJI WAWEKEZAJI KUUZIA NCHI ZA JIRANI? NA GAS JE...? LIPI TWAWEZA KUSIMAMIA BILA WAWEKEZAJI? NMB BENKI PEKEE YA TAIFA TZ HATUKUIUZIA WAWEKEZAJI? RIP JPM.
Kaz ya jpm bila kupepesa
Hehehe mtanzania mwenzangu anaongea akiwa amekata tamaaa. Watz msijatishwe tamaaa na wakenya yaani hata mkiwazidi Bado wataendelea kuboast kuwa wao ni Bora kuliko ninyi. Watu kama halo ni kuwaacha waendelee kujitapa
Hiv hayo mabehewa ya SGR yaliyoletwa na kuwekwa kanda yakisubili ujenzi uishe walikusudia nini ama ndo wale watoa chao mapema walitaka yaje ili wakigundulika kuwa walipiga yawe teyari yalishafika haina jinsi
Kutoka Dar hadi Isaka ni 976km
Reli imekuwa kama inaumwa kila siku inatembelewa tu. Ata hayo mabehewa nayo dah!!! Tumpongeze Mzee wetu Magufuli kwa malengo mema na taifa lake.
HATUTALETA WAWEKEZAJI KUISIMAMIA SGR? NA UMEME WA NYERERE HATUHITAJI WAWEKEZAJI KUUZIA NCHI ZA JIRANI? NA GAS JE...? LIPI TWAWEZA KUSIMAMIA BILA WAWEKEZAJI? NMB BENKI PEKEE YA TAIFA TZ HATUKUIUZIA WAWEKEZAJI? RIP JPM.
Lkn raia wana njaa
Tumejaa njaa
Njaa unayo wewe tu na familia yako
Dunia nzima ina njaa, hata huko ulaya
@@stevenlevittt😂😂😂😂😂
Km 722 tokea Dar hadi Isaka Mwanza, ? What kind of journalism is this
Fei toto