'MZUNGU' ADAIWA KUJINYONGA ALIPOKUWA ANAISHI NA MKEWE ARUSHA, MAJIRANI WASIMULIA "WALIGOMBANA USIKU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 09. 2022

Komentáře • 118

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před rokem +8

    Nchi zilizoendelea ukitaka kuwa na Mpenzi lazima uende Bar,Sasa hii imewagharimu Wazungu wakija huku kwetu na kushindwa kutambua tamaduni ni tofauti,Maana asilimia kubwa ya Wadada wanao enda bar huku kwetu ni Malaya, anaagiza kinywaji chake kimoja anatega , Ila Watu wanao sema Wazungu hawajinyongi kirahisi Kwa takwimu za Nchi gani, Kuna Nchi kama Canada jimbo la Alberta, Edmonton matangazo hadi kwenye mabasi ya kuwahasa watu wasijinyonge, Kuna watu wanao ongoza Kwa kujinyonga kama Wazungu hasa likiwa suala la mapenzi au kufilisika

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 Před rokem +13

    Mke wake ahojiwe anaweza kuwa anahusika

  • @cocorita8367
    @cocorita8367 Před rokem +15

    Mzungu amenyongwa msituletee tabia hizi wkat sisi tuko nchini kwao nyie wadada wa kiTanzania muache tamaa jmni

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před rokem +8

    Huyo dada kamuua serikali ifanye kazi yake

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Před rokem +11

    Wanawake wengi wanaoishi na wazungu Tanzania wanakuwaga malaya na wanapata wazungu kwenye umalaya wao wa kujiuza, au wengine wanajiuza kwenye biashara ya utalii, Kwa hiyo malaya kama huyo kuuwa mzungu kwao ni kawaida kama ameona kuna hela nyingi atapata, huyo malaya angebanwa au kuteswa na police angesema tu, matukio kama haya yakijiyokeza zaidi yanaweza kuharibu taswira ya Tanzania

  • @unkown2429
    @unkown2429 Před rokem +9

    Big case ! Ni ngumu kwa mzungu kujinyonga especially nchi ya mtu .

    • @gayanimwansasu
      @gayanimwansasu Před rokem

      Hiyo ni ishu ngumu sana wasio ombe wa mmalekan

  • @adaboychibu1659
    @adaboychibu1659 Před rokem +13

    Wazungu hawana desturi ya kujinyonga kindezi kiasi hicho !kaskazni tunawajuwa kwenye pesa wanaweza fanya lolote lile

    • @wozanawewoz979
      @wozanawewoz979 Před rokem

      We mimi niko uku nje , UK wazungu hawana roho ngumu kama sisi kama kujiua wanajiua sana tuu kinachowasaidia ni madawa ya misongo ya mawazo tuu

    • @erickfrank6362
      @erickfrank6362 Před rokem

      Kwani wao ni kinanani

  • @evelyinipaja7022
    @evelyinipaja7022 Před rokem +1

    Mungu yupo mbinguni.

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před rokem +4

    Forensic Bureau wataelezea kwa haraka, huyo mama kaingia pabaya kwa hali inavyoonekana kuna moshi unafuka kwa vyovyote moto upo utawaka.

  • @MagdalenaLyimo-vw4ns
    @MagdalenaLyimo-vw4ns Před 17 hodinami

    Waafrika wanakufa ulaya sana

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před rokem +1

    imekula kwake

  • @samudakuz6897
    @samudakuz6897 Před rokem

    R,I,P

  • @ggfffhii4706
    @ggfffhii4706 Před rokem +1

    hadi wazungu cc hii nchi tufanye maombi

  • @anifaally4816
    @anifaally4816 Před rokem

    Ok! naona Pepo mchafu kahamia kwa wazungu ..

  • @kassebo
    @kassebo Před rokem +1

    Pepo la kujinyonga bado liko speed

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Před rokem +2

    Huyo mkewake anahusika na hiki kifo hiyo aliyekuja akampa Pesa ni nani au ndiyo kamlipa hongo ili amnyonge Mumewe!

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před rokem +1

    Jamani mbona miti hani imekua mengi turudini kwa mungu ili tupate nusura yake

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 Před rokem +17

    😃kumbe sio mzungu wake wa Kwanza huyo mama anatakiwa ahojiwe na kipigo juu anaidhalilisha nchi yetu kimataifa

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 Před rokem

      @The universe tv apigwe kwa sheria ipi? ? Ukimkamata mtu ndo umpige kuna sheria ina ruhusu hilo? ?

    • @msetikebwasi7270
      @msetikebwasi7270 Před rokem +1

      @@edwinalexander1170 watanzania weengi ni wapumbavu,sasa wanaona mzungu kaonewa saana,mpaka kufikia hatua kushinikisha polisi kumkamata huyo mama mtanzania.

    • @arafakiloli749
      @arafakiloli749 Před rokem

      Kweli kabisa

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Před rokem

      @@msetikebwasi7270 malaya huyo Sijui ni dada yako amemuua mzungu ili apate mali

    • @user-vq1qx1dr4e
      @user-vq1qx1dr4e Před 2 měsíci

      ​@@edwinalexander1170Unahisi bila kupigwa atasema ukweli weee uliona wapi. Hapo atabananishwa na kichapo hadi aseme yani atawaja tu mmpaka watu alowatuma kumuua atawatajaaaaaa.

  • @evelyinipaja7022
    @evelyinipaja7022 Před rokem

    Hii ichunguzwe vizuri, ajinyonge baada ya kufunga ndoa miezi miwili??!!

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Před rokem +2

    Wazungu wakienda nchi zetu hizi za Kiafrica wanafikiri wanawake wote sawa,,,hawa wetu wengi malaya

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 Před rokem +3

    Mzungu alitoroka iringa arudi uku

  • @milamwanga6715
    @milamwanga6715 Před rokem

    Tamaa mbaya mdangaji kaona mzungu akiondoka hatarudi tena bora ajipoze

  • @shamsaabdalah7038
    @shamsaabdalah7038 Před rokem +1

    Huo mtaa napajua duuuh jamani

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 Před rokem +3

    Huyo kanyongwa wakajipa akili tumtungike tuseme kajinyonga sio kweli.

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu Před rokem

    Ayo muoji huyo mwanamke mana ukweli haufichiki mimi ni Mchungaji pia naweza kujua kupitia imani ya Mungu kwa picha pia maneno yake Mungu atasema kama kweli anahatia. au hana hatia

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 Před rokem

    Mkuu wa Mkoa fatiria Sana. Mke au ndg wote w afatiriwe saaaaana

  • @naligiatomaso5006
    @naligiatomaso5006 Před rokem +1

    Hya sasa aibu nyingine hyo kwa tz

  • @happinessmosala2217
    @happinessmosala2217 Před rokem

    Huyo mzungu hana jina?

  • @shedrackdamian2870
    @shedrackdamian2870 Před rokem

    Koisenge kweli

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk Před 8 měsíci

    Kwnn ss amkataze kwenda kw mam yke Arusha mmmh s mkoa mzr mtu ana muuwa mama ashindwe kumuua mmewe

  • @vom84
    @vom84 Před 7 měsíci

    Kajinyongaaaaaaa , mzungu tu ajinyonge, huyo kazibuliwa

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před rokem

    Ni kweli kabisaa,utakuta mbwa anabadilisha waxungu kibao,ni aibu hata Mia hawapewi,mtu anamiliki waxungu karibu 40

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Před rokem +9

    Wanawake wa KiTanzania mavi kunuka chupi mkononi , wengi ni waongo waongo malaya akute mwanamke na bwana wake mchepuko wamemnyonga mzungu , mimi nimeishi ughaibuni miaka kibao sijasikia eti wazungu kujinyonga kwa kujitundika kujjinyonga hivyo ni wabongo zaidi . Huyo malaya aliyekuwa mke wa huyo mzungu askari wambane atasema ukweli tu , ogopa sana wanawake wa kaskazini hapo amemuuwa mzungu ili apate mali

  • @jackyluns8224
    @jackyluns8224 Před rokem

    Millard ayo vipi muendelezo wa huyu mzungu tunaomba muwe mnatupatia update

  • @msetikebwasi7270
    @msetikebwasi7270 Před rokem +4

    Watanzania weengi ni wapumbavu,kwa hiyo mnaona mzungu kaonewa saana.

    • @jacksonamos2008
      @jacksonamos2008 Před rokem

      Ajaonewa Lakin historia ya huyo Bibie ndio inawasiwasi

    • @msetikebwasi7270
      @msetikebwasi7270 Před rokem

      @@jacksonamos2008 ina uwalakini gani.

    • @salmajuma1592
      @salmajuma1592 Před rokem +2

      Nashangaa,wakat marekan watu weusi wanauwawa hadharan,Wala waafrika hawasemi kitu

    • @msetikebwasi7270
      @msetikebwasi7270 Před rokem +1

      @@salmajuma1592 na hilo ndo swala limenifanya niandike hivo.

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Před rokem

    Mh

  • @michaelmrema5233
    @michaelmrema5233 Před rokem

    Huyu atakuwa mhehe

  • @daimavlog
    @daimavlog Před rokem +8

    Msianze haya mambo wanawake wa kitanzania tafadhali, msiwe na tamaa za hivi. Mzungu hawazagi mambo ya kujitundika wao wanajirusha kwa train n.k huyo mke akamatwe. Unajinyongaje na ubaki kwa sturi? Babu ana hekima huyu

    • @shebbythespyro5393
      @shebbythespyro5393 Před rokem +2

      Sijawahi kusikia mzungu amejinyoga ni mara ya kwanza angekuwa muhindi hapo sawa lkn mzungu tumepigwa

  • @nickprodbeat
    @nickprodbeat Před rokem

    Mna uhakika ni mzungu kweli au mhehe

  • @Sabinazimmermangerm
    @Sabinazimmermangerm Před měsícem

    Bibi yake amemnyonga....Vibaya sana but huyu Bibi atalipa hio kitendo kabla yeye akufe

  • @edgarcruzee5223
    @edgarcruzee5223 Před rokem

    Mke Huyo ni mwongo Askari fatiria Sana Serkari Hii sio Sawa

  • @eliudijustinyindi5939

    Minilijua mzungu Kwa mzungu kumbe mswahili na mzungu duuu

  • @ednahumazi777
    @ednahumazi777 Před 3 měsíci

    Huyo mwanamke anajuwa amemfanya nini mzungu

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Před rokem

    Kwani hii stori inahusisha mzungu na mwanamke mzungu ambaye ni mke au mzungu na mwanamke mbongo ambaye ni mke wa mzungu? ?

  • @rosemarymayo7400
    @rosemarymayo7400 Před rokem +1

    Atakuwa kanyongwa huyo aisee wazungu hawana ujinga huyo

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Před měsícem

    Mtaka harusi saba inamkuta misiba saba ndio hiyo marehemu kesha polwa hapo

  • @jaymwinyi6957
    @jaymwinyi6957 Před rokem

    Huyo mzungu kanyongwa,,huyo bbi yake ana husika ashikwe aulizwe,hyo ni tamaa

  • @palokuthereza2555
    @palokuthereza2555 Před rokem

    Kamuua hapo akijua ana hela kumbe pension money wanapewaga kila mwezi.Wadada fanyeni kazi acheni dezo si kila mzungu tajiri wengi wanaishi na social money

  • @bongokilakitu1849
    @bongokilakitu1849 Před rokem

    taamaaa zimezidi

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 Před rokem +2

    Wazungu wanajinyonga sana tu.

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Před rokem

      Hamna sio hivyo wanajiua tofauti sio kujinyonga mimi nimekaa ughaibuni miaka kibao na wazungu hawajiui hivyo

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 Před rokem +1

    Kumb mpk wazungu huw wanajitundk

    • @TeamKRX
      @TeamKRX Před rokem

      No ogopa basi mungu wako toka lini wakajitundika wazungu munawatundika nyie waafrica njaa

  • @rukiamtawa1028
    @rukiamtawa1028 Před rokem

    Hadisizakiswahili

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před rokem

    Amejinyonga mushamnyonga

  • @eliudijustinyindi5939

    Nimemkubali Mzee anavojielezea

    • @johnrwekiza7140
      @johnrwekiza7140 Před rokem

      Itakua ameona hatarud tena Tz alafu ukute alingangania kusafir akanyimwa akaona amnyonge na hela kaiba

  • @msetikebwasi7270
    @msetikebwasi7270 Před rokem +1

    Wewe mzee naye maneno mengi.

  • @kijengejuu4370
    @kijengejuu4370 Před rokem

    Irini yamekukuta

  • @salumabdallah3495
    @salumabdallah3495 Před rokem

    Jeshi la polisi lifanye uchunguzi inawezekana ameuliwa pia huwezi kujua

  • @leahmlelwa6345
    @leahmlelwa6345 Před rokem

    Mdungu Nate kama wahehe kujinyonga.

  • @kanghanhankang1440
    @kanghanhankang1440 Před rokem +3

    Msituaribie wengine bado hatjapata mzungu plss

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před rokem

      Hata Mimi nipo natafuta mzungu wasituharibie.. ndio maana wazungu kibao wanaoa Kenya kuliko Tz.

    • @kanghanhankang1440
      @kanghanhankang1440 Před rokem

      @@annasolomon9855 🤣🤣🤣 umeongea kwel kila nikiingia tiktok nakuta mzung yupo na mkenya mkeny mkenya kwann kumbe wabong bado san tuna tamaa acha bhn ndot yngu mm mzung tu kila kukicha mm natafuta wazung kweny mitandao wakisikia bongo siku mbil mtu amekublock kumbe mwatuaribia 😭😭😭😭

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před rokem

      @@kanghanhankang1440 acha unakutana na mzungu anakupenda lakini mda mfupi hujamfanya chochote humuoni Tena.. mpaka natamani nitoke kwenye App..

    • @kanghanhankang1440
      @kanghanhankang1440 Před rokem

      @@annasolomon9855 upo app ipi my mm nip karibu simu imejaa madeting yote ili nachofnyiwa kha unatok wapi Tanzania 🇹🇿 kesho uoni mtu 🤣🤣🤣

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před rokem

      @@kanghanhankang1440 🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka mbavu sina.. Kuna mzungu nilimpata tukafikia htua yakuja kujitambulisha ooh maskini kabla ya wiki 3 kuja akaniambia my dear nakupenda Sana lakini Kuna habari nezisikia kuhusu nchi yako utanisamehe
      ... Hakusema habari zenyewe niliumwa wiki mzima... Yaani acha mpendwa.
      Haya ukiacha huyo Kuna wengi wananifuata lakini mkichatichati tu anakuambia lakini wanawake wa Tz hawana sifa nzuri kama Kenya na Uganda.. watanzania ni wezi Kisha wanatamaa sio waaminifu... Haya na huyu mzungu alieuawa sijui amejinyonga unadhani mitandao haisambai? Lakini tuombe Mungu tu.

  • @claudiangowi9628
    @claudiangowi9628 Před rokem +1

    Mnatuchafua watanzania, haya mambo yanafanya tuchukiwe Hata visa ukiomba usipate kabisa

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 Před rokem +1

    Sasa Wazungu nawo yanawakuta Ndo mjue mwisho wa Dunia Kama walitesa wa Africa basi nawao watanyongwa Ila pole sana wafiwa

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před rokem

    Anataka mali na nyumba arisi

  • @ahmednoor1412
    @ahmednoor1412 Před rokem

    Mzungu yule wa simba au maana haonekani uwanjani

    • @annamichael3479
      @annamichael3479 Před rokem

      😳😳😳🤣hahaha watu nyie

    • @double8boy802
      @double8boy802 Před rokem

      jamani wa tz,umeona mdhungu wa simba ndo wakujitundika?🤣🤣🤣

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Před rokem

      Umeambiwa mjerumani, wa Simba ni mjerumani? Mambo mengine wala hayachekeshi

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk Před 8 měsíci

    Huna nguvu y kuongea babaangu

  • @TeamKRX
    @TeamKRX Před rokem

    Wamemnyonge huyu tamaa uyo dada kamuitishia watu duu

  • @athumanmbululo3980
    @athumanmbululo3980 Před rokem +1

    Mzee mbeya huyo

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 Před rokem

    Sasa mmeanza kukanyaga pabaya,jiueni nyie kwanyie nchin kwen

    • @asteriashios1852
      @asteriashios1852 Před rokem

      Huyo dada kamuua achukuliwe hatua Hawa Malaya wadada wabaya sana

  • @jastinimushi5992
    @jastinimushi5992 Před rokem +2

    Unazingua andika mtu mmoja ajinyonga sio mzungu

    • @albinemilly5382
      @albinemilly5382 Před rokem +1

      kwel angeandika mtu mmoja raia wa kigeni ajinyonga.
      tatizo waandishi wa siku hizi sijui wana nn vichwani mwao

    • @jastinimushi5992
      @jastinimushi5992 Před rokem

      @@albinemilly5382 waandishi oya oya wanatembelea upepo tu

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Před rokem

      Hahahahaha

  • @jaberjohn7556
    @jaberjohn7556 Před rokem +1

    In the fever of of German citizen the tz lady did kill him. No excuse she be responsible of her behavior she should be jailed period

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 Před rokem

    Wewe baba mbea kweli

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem

    Mzungu kujinyonga 😳 .

  • @joejoshua7791
    @joejoshua7791 Před rokem

    Tabia hizo wameiga nchi moja ya jirani,

    • @Mimi-wf7mb
      @Mimi-wf7mb Před rokem +1

      Sure. Kenya ilitokea mwaka jana /juzi mzungu kauawa na kutupwa kwenye shimo la maji taka😭

  • @moodykassim4029
    @moodykassim4029 Před rokem

    Kama ni mzungu acha tu afe haina shida hyo

  • @masanjaabasi8970
    @masanjaabasi8970 Před rokem

    Sasa nauwaje mzungu 🤣sio mimi afu washawapata ndugu zake nyie nyie kuma zenu zisije tuponza tukalipuliwa