NILIFIWA NA MAMA WEMA SEPETU HAKUJALI- NATOA HUDUMA ZA MTOTO LAKINI SIPATI NAFASI YA KUMUONA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 08. 2021

Komentáře • 110

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 Před 2 lety +13

    Esma ni mshenzi, anamkomoa mwanae wala hamkomoi Petit.

  • @najma3268
    @najma3268 Před 2 lety +2

    Pole sana petii umepitia wakati mgumu kweli , mungu akutie nguvu Na bado mungu bado anakupenda, wewe ni kijana shupavu sana umeweza kuyabeba yote Na ukakubali Na maisha yanaendelea , hongera sana , Na pole sana kaka

  • @spreadlove2119
    @spreadlove2119 Před 2 lety +4

    Pole sana Petit man; kikawaida watu au marafiki ukiwapa umuhim wanakuona kama unajipendekeza na matokeo yake hawakuthamini kwa la kheri wala la shari nshaiona hiyo 🙂🙂🙂

  • @zou7470
    @zou7470 Před 2 lety +7

    Jamani petit pole sana izo ndo cangamoto ya dunia😭😭😭😭

  • @queenmengisen890
    @queenmengisen890 Před 2 lety +3

    Napenda peti anavongea kma anapozea kigugumiz ivii 🥰

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Před 2 lety +1

    Pole kaka. Hata ungemkosea nini huwezi mlipa mtu kwenye msiba

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před 2 lety +4

    Kwani wema na misiba isiyokua na kiki wapi na wapi
    Wema anapenda misiba ile yenye mikamera , kujisnap ivoo yn
    Pole peti, yote kwa yote tunaambiwa tutende wema nenda zako

  • @kamaurehema6763
    @kamaurehema6763 Před 2 lety +2

    petty Mungu hutupa majaribu tujue rafiki wa kwelii b strong

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 Před 2 lety +3

    WASWAHILI UWA HAWAOLEWI WAKADUMU NA UKIZAA NAYE NI SHIDA HAWANAGA AKILI WANAKUFANYA CHUMA ULETE.

  • @julianamushi3392
    @julianamushi3392 Před 2 lety +5

    Punguzeni kelele na nyie chaa unarukirukia maneno kaa mko mdundikoni buza

  • @beautywithnay5974
    @beautywithnay5974 Před 2 lety

    Poleeee sana peti man mungu akupe nguvu inshaaalh my kaka pambana mungu yuko mbele yako nanyuma yako inshaaalh 😭😭😭

  • @moreenkasekwa9737
    @moreenkasekwa9737 Před 2 lety +1

    Pole sana kaka umenifanya nitoe machoz du jipe moyo

  • @khadijavassardanis3178

    Daa inaumaa mungu akutie nguvu

  • @devotajoel3730
    @devotajoel3730 Před 2 lety +1

    Pole Sana kaka pole Sana daaaa

  • @vanessajames2192
    @vanessajames2192 Před 2 lety

    Hebu ulizeni vitu vinavyoeleweka mnamuumiza mwenzenu pole Baba Taraj mwaya

  • @kitengegaston6946
    @kitengegaston6946 Před 2 lety +1

    petit pole sana bro mungu akupe nguvu

  • @rehemamapande4680
    @rehemamapande4680 Před 2 lety

    Pole petii ni mapito tu mungu anakupitisha, ila sijapenda alichofanya wema

  • @mwanakomboiddi5317
    @mwanakomboiddi5317 Před 2 lety

    Dah pole sana kaka

  • @rosejoseph9811
    @rosejoseph9811 Před 2 lety

    Pole pitii.mshukuru mungu kwa kila jambo

  • @hawa-luumiwrty3144
    @hawa-luumiwrty3144 Před 2 lety +5

    POLE SANA PETIY😢😢

  • @ibel4lf
    @ibel4lf Před 2 lety

    Pole sana Petty

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 Před 2 lety +2

    Daaaah nimeumia Sana kusikia mama kafariki na pingu + hakujua mwanae kafariki aseeee dunia Ina mitihani Sana hii, pole bro tumekuwa tukiwa hukumu Sana watu Bila kuwajua undani wao.

    • @bakarisakawa6979
      @bakarisakawa6979 Před 2 lety +1

      Inasikitisha sana mtu anaumwa hali ni mbaya bado anapigwa pingu hapana aisee ubinadamu ni mdogo sana

    • @Adeen.1
      @Adeen.1 Před 2 lety

      @@bakarisakawa6979 Sana aseeee😥😥😥

  • @jechaazhar4703
    @jechaazhar4703 Před 2 lety +2

    Pole Sana kak nmeumia sna😭😭😭

  • @devotajoel3730
    @devotajoel3730 Před 2 lety +1

    Ivi nyie hiki kipindi mbona mnakiharibu jaman khaaaaaaaa jaman jaman Yani sitor nzuri Ila Sasa makerele mengi Sana afu havija pangiliwa duuuu

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 Před 2 lety +1

    haaaaa hatar sana pole sana pety

  • @alineolivia2392
    @alineolivia2392 Před 2 lety

    Pole sana petti man that’s life my dear

  • @agnesmajuramangombe986
    @agnesmajuramangombe986 Před 2 lety +1

    Pole sana petit mungu wa mbinguni akufariji 😭

  • @sevelinacharles8163
    @sevelinacharles8163 Před 2 lety

    Pole Sana Kaka Petty. Najua hiyo situation.😭😭😭😭😭🙏🙏🙏hata Mimi nimeipitia kwa dadaangu kipenzi 😭😭

  • @vanessajames2192
    @vanessajames2192 Před 2 lety

    Masikini pole ila Wema Mungu anamuona kwanza nlijuaga mna undugu haya

  • @s0phialwassa574
    @s0phialwassa574 Před 2 lety

    Pole sana kaka

  • @joycemagessa350
    @joycemagessa350 Před 2 lety

    pole kwa matatizo . Mungu akutie nguvu nasubili muendelezo

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Před 2 lety +2

    Kiani kama Jina LA mtoto WA king Ali

  • @zuwenahassan3624
    @zuwenahassan3624 Před 2 lety +1

    Da Dina Umechemka Unamuulizaje Swali km Ilo Jamani watu Tukishakufa Anayejuw ni mungu

  • @basmahalshammmari641
    @basmahalshammmari641 Před 2 lety

    Pole petit kwamitihan

  • @jovinangambeki7416
    @jovinangambeki7416 Před 2 lety +1

    Sofi naona mambo yamejibu kibendi kimekuoenda, shingo, pua 😄😄mimba shikamoo

  • @julianamushi3392
    @julianamushi3392 Před 2 lety +1

    Na kukimbizana naye police sentro kila cku jmn duh wema ulichemka ndg

  • @khalossalim3723
    @khalossalim3723 Před 2 lety +8

    Peti uliitwa hadi mbeba mapochi wa wema mara kuwadi leo eti kashindwa kujigawa na wembamba wake Kama fagio lachooni

  • @annastevensteven9515
    @annastevensteven9515 Před 2 lety

    Daa ulipitiy mitihani pole sana mdog wangu

  • @angeljasson4376
    @angeljasson4376 Před 2 lety +3

    Kwenye inshu ya serious kuweni series msiwe mnafanya masihara mengi mna boa😒

  • @sadabahla7120
    @sadabahla7120 Před 2 lety

    Pole Sana petit

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 Před 2 lety

    Pole sana pititi mwenyezimungu yuko pomoja 😢😢

  • @caritasmbwasi6831
    @caritasmbwasi6831 Před 2 lety

    Swebe wewe mbinguni utapasikia...khaaa Si kwa upambe huo khaaaa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @janethkilonzi4260
    @janethkilonzi4260 Před 2 lety

    Mmmh yaan machoz tu ndio yananitoka huku jama uyu kaka ni mstarabu mno

  • @getrudamichael6216
    @getrudamichael6216 Před 2 lety

    Ya dina kubwa jinga yani ambae yupo seriously huyo dada mwingine tu

  • @ashaabdalla924
    @ashaabdalla924 Před 2 lety

    Pole sana hutosahau mashani mwako hicho ni kidonda pole sana😭😭

  • @agnesjohnson2393
    @agnesjohnson2393 Před 2 lety

    😭😭😭😭 pole sasa Petiy

  • @ivethaignas603
    @ivethaignas603 Před 2 lety

    Swebe sio kwa masikitiko hayo, jamani baba kiani

  • @carenalphonce5013
    @carenalphonce5013 Před 2 lety +2

    Dah magumu yasikie kwa mwenzako

  • @merinajuma6948
    @merinajuma6948 Před 2 lety

    Daaaaaaah inauma😓😓😓😓 ple Kaka

  • @chaucassim4123
    @chaucassim4123 Před 2 lety

    Badooo. Anakuhitaji esma. Ni. Wivuuuuu. Tu

  • @anastaziajoseph6702
    @anastaziajoseph6702 Před 2 lety

    Pole Sana jamani.ni mitihani ambayo tume umbiwa wanadamu

  • @misrahmisrah8761
    @misrahmisrah8761 Před 2 lety +1

    Petit achana nao Leo wanakuona maskini lakini iko siku watakutafuta hao

  • @ruu6592
    @ruu6592 Před 2 lety

    Dah😢

  • @happinessmwanga4224
    @happinessmwanga4224 Před 2 lety

    Inauma jamani😥😥😥😥

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 Před 2 lety +2

    Pole sana Kaka 😭😭😭

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 Před 2 lety +1

    UBINADAMU KAZI SAMEHE MWACHIE MUNGU.

  • @violethtingo6412
    @violethtingo6412 Před 2 lety +1

    hahahhahah swebe jaman

  • @mariellerashidi4649
    @mariellerashidi4649 Před 2 lety

    Pole

  • @neemaponera2037
    @neemaponera2037 Před 2 lety

    Pole saaaaana

  • @zou7470
    @zou7470 Před 2 lety +3

    Ila swedy bwana kituko ety kuna shemeji na shemu🤣🤣🤣🤣🤣

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 Před 2 lety

    sooooooo sad petiii😭😭😭😭😭

  • @Helleniification
    @Helleniification Před 2 lety

    Duh

  • @vanessajames2192
    @vanessajames2192 Před 2 lety

    Umenitoa machozi pole sana umesikini huu aliona msiba hauna kiki

  • @syphroseshazala6854
    @syphroseshazala6854 Před 2 lety

    😢

  • @janemuhumba5823
    @janemuhumba5823 Před 2 lety

    Swebe wew jaman 😂😂😂😂 ulivunja nazi

  • @habonimanatina1481
    @habonimanatina1481 Před 2 lety +1

    Kumbuka kaka yungu nigependa awe kwenye kipidi kabisa

  • @annamadatta966
    @annamadatta966 Před 2 lety

    Dina unatakiwa utumie busara katika kuuliza maswali unajua kufiwa we we tena namama?uwe nabusara wakati mwingine

  • @mwabutuwisdom9054
    @mwabutuwisdom9054 Před 2 lety

    Etii mtt mpyaa😂😂

  • @jestinabenedict4620
    @jestinabenedict4620 Před 2 lety +1

    KWANI MAMA ALIFANYE MBAKA AKATUMIKIA KIFUNGO JAMAN???

  • @khadijaomari9344
    @khadijaomari9344 Před 2 lety +1

    KWANINI MAMA YAKE ALIFUNGWA????????

  • @isunga1964
    @isunga1964 Před 2 lety

    Hivi jamni bibi Hindu yuko wapi nilisikia anaumwa anaendeleaje mungu amfanyie wepesi jamani

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 Před 2 lety

    ila wema nampenda sana but apo mmmmmmmmmmh😳😳😳😳😳😳

  • @azmedmtwana8135
    @azmedmtwana8135 Před 2 lety +1

    Huyu wema ni mtu wa hivi kumbe duu

  • @khadkhad2339
    @khadkhad2339 Před 2 lety

    😭😭😭😭😭

  • @khalifa_wayy1979
    @khalifa_wayy1979 Před 2 lety

    Baada ya dhiki faraji

  • @captioncapition2574
    @captioncapition2574 Před 2 lety

    Mh sikusikitika Tena huko kwa Swebe

  • @saramwankemwa5574
    @saramwankemwa5574 Před 2 lety

    labda nawewe hukwenda kwenye msiba wababa yake naalifiwa nakaka yake zanzibar

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 Před 2 lety

    Kumbe we dina huna akili kumbe

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 Před 2 lety +1

    🥲Sad story but ina uhondo ndani yake ngoja tukale samaki kwa Aisha alafu tutaendelea 😅😅😅

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 Před 2 lety

    🤣🤣swebe mbeya anavyosikitika, Poole petty kwa yoote kikubwa hapa dunian hakuna la kudum

  • @devotajoel3730
    @devotajoel3730 Před 2 lety

    Yani etavy yenu mafujo kama nn khaaaaaaa

  • @janeeliah2111
    @janeeliah2111 Před 2 lety

    Eti wameonana kaa maswali gn ayo

  • @beautyibrahim8428
    @beautyibrahim8428 Před 2 lety

    Kwan wwma anaendaga misibani toka lini

  • @kitengegaston6946
    @kitengegaston6946 Před 2 lety

    rafiki yaje wakiume lokole🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔔🔔😀😀😃😃😃😀😃😀😃😀😃😀😃😉😎😋😉😋😉

  • @cuteme4870
    @cuteme4870 Před 2 lety +1

    huyu kaka ana maumivu bc tu jmn

  • @jasmineshemweta4547
    @jasmineshemweta4547 Před 2 lety +2

    😂😂😂

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 Před 2 lety

    Huyu esma kumbe mjinga ugomvi wa wazee mtoto kumtia kati haiwezekani

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl Před 2 lety +5

    Inalilah jaman mwanaume una suka kama dem kwa staily hiyo inabid mpate hedh pia 😏😏😏

    • @mozasaid3869
      @mozasaid3869 Před 2 lety

      Yaani! Msiba😭😭😭

    • @sukariyao6537
      @sukariyao6537 Před 2 lety +2

      Ni dread hizo zinazambi gani Dhambi ni kusuka Rasta pekee basi

    • @mozasaid3869
      @mozasaid3869 Před 2 lety

      Mwanaume hajaruhusiwa kusuka wala kuvaa hereni au cheni, ila ameruhusiwa kuvaa pete tena ya fedha au silve

    • @sukariyao6537
      @sukariyao6537 Před 2 lety

      @@mozasaid3869 sio kweli never eleni sawa

    • @mohamedsalum8933
      @mohamedsalum8933 Před 2 lety +1

      Wamasai je? C Mila Yao? Hizi Mila za kigeni mnazoona 'appropriate' kwny maisha ya watu c zenu. Kusuka ni desturi ya kiafrika na Kwa taarifa yko kimila c mwanamke ndio mwny kusuka ni mwanaume.

  • @sophiahussein7876
    @sophiahussein7876 Před 2 lety

    Swebe anaongea sana ad anaboa.. Si atulie tupate uhondo asubir zam yake na yy aseme jambo

  • @getrudamichael6216
    @getrudamichael6216 Před 2 lety

    Ya dina kubwa jinga yani ambae yupo seriously huyo dada mwingine tu