Pole sana petii umepitia wakati mgumu kweli , mungu akutie nguvu Na bado mungu bado anakupenda, wewe ni kijana shupavu sana umeweza kuyabeba yote Na ukakubali Na maisha yanaendelea , hongera sana , Na pole sana kaka
Pole sana Petit man; kikawaida watu au marafiki ukiwapa umuhim wanakuona kama unajipendekeza na matokeo yake hawakuthamini kwa la kheri wala la shari nshaiona hiyo 🙂🙂🙂
Kwani wema na misiba isiyokua na kiki wapi na wapi Wema anapenda misiba ile yenye mikamera , kujisnap ivoo yn Pole peti, yote kwa yote tunaambiwa tutende wema nenda zako
Daaaah nimeumia Sana kusikia mama kafariki na pingu + hakujua mwanae kafariki aseeee dunia Ina mitihani Sana hii, pole bro tumekuwa tukiwa hukumu Sana watu Bila kuwajua undani wao.
Wamasai je? C Mila Yao? Hizi Mila za kigeni mnazoona 'appropriate' kwny maisha ya watu c zenu. Kusuka ni desturi ya kiafrika na Kwa taarifa yko kimila c mwanamke ndio mwny kusuka ni mwanaume.
Esma ni mshenzi, anamkomoa mwanae wala hamkomoi Petit.
Esma anajiona sana
Pole sana petii umepitia wakati mgumu kweli , mungu akutie nguvu Na bado mungu bado anakupenda, wewe ni kijana shupavu sana umeweza kuyabeba yote Na ukakubali Na maisha yanaendelea , hongera sana , Na pole sana kaka
Pole sana Petit man; kikawaida watu au marafiki ukiwapa umuhim wanakuona kama unajipendekeza na matokeo yake hawakuthamini kwa la kheri wala la shari nshaiona hiyo 🙂🙂🙂
Jamani petit pole sana izo ndo cangamoto ya dunia😭😭😭😭
Napenda peti anavongea kma anapozea kigugumiz ivii 🥰
Pole kaka. Hata ungemkosea nini huwezi mlipa mtu kwenye msiba
Kwani wema na misiba isiyokua na kiki wapi na wapi
Wema anapenda misiba ile yenye mikamera , kujisnap ivoo yn
Pole peti, yote kwa yote tunaambiwa tutende wema nenda zako
petty Mungu hutupa majaribu tujue rafiki wa kwelii b strong
WASWAHILI UWA HAWAOLEWI WAKADUMU NA UKIZAA NAYE NI SHIDA HAWANAGA AKILI WANAKUFANYA CHUMA ULETE.
Punguzeni kelele na nyie chaa unarukirukia maneno kaa mko mdundikoni buza
🤣🤣
Poleeee sana peti man mungu akupe nguvu inshaaalh my kaka pambana mungu yuko mbele yako nanyuma yako inshaaalh 😭😭😭
Pole sana kaka umenifanya nitoe machoz du jipe moyo
Daa inaumaa mungu akutie nguvu
Pole Sana kaka pole Sana daaaa
Hebu ulizeni vitu vinavyoeleweka mnamuumiza mwenzenu pole Baba Taraj mwaya
petit pole sana bro mungu akupe nguvu
Pole petii ni mapito tu mungu anakupitisha, ila sijapenda alichofanya wema
Dah pole sana kaka
Pole pitii.mshukuru mungu kwa kila jambo
POLE SANA PETIY😢😢
Pole sana Petty
Daaaah nimeumia Sana kusikia mama kafariki na pingu + hakujua mwanae kafariki aseeee dunia Ina mitihani Sana hii, pole bro tumekuwa tukiwa hukumu Sana watu Bila kuwajua undani wao.
Inasikitisha sana mtu anaumwa hali ni mbaya bado anapigwa pingu hapana aisee ubinadamu ni mdogo sana
@@bakarisakawa6979 Sana aseeee😥😥😥
Pole Sana kak nmeumia sna😭😭😭
Ivi nyie hiki kipindi mbona mnakiharibu jaman khaaaaaaaa jaman jaman Yani sitor nzuri Ila Sasa makerele mengi Sana afu havija pangiliwa duuuu
haaaaa hatar sana pole sana pety
Pole sana petti man that’s life my dear
Pole sana petit mungu wa mbinguni akufariji 😭
Pole Sana Kaka Petty. Najua hiyo situation.😭😭😭😭😭🙏🙏🙏hata Mimi nimeipitia kwa dadaangu kipenzi 😭😭
Masikini pole ila Wema Mungu anamuona kwanza nlijuaga mna undugu haya
Pole sana kaka
pole kwa matatizo . Mungu akutie nguvu nasubili muendelezo
Kiani kama Jina LA mtoto WA king Ali
Da Dina Umechemka Unamuulizaje Swali km Ilo Jamani watu Tukishakufa Anayejuw ni mungu
Pole petit kwamitihan
Sofi naona mambo yamejibu kibendi kimekuoenda, shingo, pua 😄😄mimba shikamoo
Na kukimbizana naye police sentro kila cku jmn duh wema ulichemka ndg
Peti uliitwa hadi mbeba mapochi wa wema mara kuwadi leo eti kashindwa kujigawa na wembamba wake Kama fagio lachooni
🙄🙄🙄
😂😂😁😂😂😂😂
Daa ulipitiy mitihani pole sana mdog wangu
Kwenye inshu ya serious kuweni series msiwe mnafanya masihara mengi mna boa😒
Pole Sana petit
Pole sana pititi mwenyezimungu yuko pomoja 😢😢
Swebe wewe mbinguni utapasikia...khaaa Si kwa upambe huo khaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Mmmh yaan machoz tu ndio yananitoka huku jama uyu kaka ni mstarabu mno
Ya dina kubwa jinga yani ambae yupo seriously huyo dada mwingine tu
Pole sana hutosahau mashani mwako hicho ni kidonda pole sana😭😭
😭😭😭😭 pole sasa Petiy
Swebe sio kwa masikitiko hayo, jamani baba kiani
Dah magumu yasikie kwa mwenzako
Daaaaaaah inauma😓😓😓😓 ple Kaka
Badooo. Anakuhitaji esma. Ni. Wivuuuuu. Tu
Pole Sana jamani.ni mitihani ambayo tume umbiwa wanadamu
Petit achana nao Leo wanakuona maskini lakini iko siku watakutafuta hao
Dah😢
Inauma jamani😥😥😥😥
Pole sana Kaka 😭😭😭
UBINADAMU KAZI SAMEHE MWACHIE MUNGU.
hahahhahah swebe jaman
Pole
Pole saaaaana
Ila swedy bwana kituko ety kuna shemeji na shemu🤣🤣🤣🤣🤣
sooooooo sad petiii😭😭😭😭😭
Duh
Umenitoa machozi pole sana umesikini huu aliona msiba hauna kiki
😢
Swebe wew jaman 😂😂😂😂 ulivunja nazi
Kumbuka kaka yungu nigependa awe kwenye kipidi kabisa
Koma
Dina unatakiwa utumie busara katika kuuliza maswali unajua kufiwa we we tena namama?uwe nabusara wakati mwingine
Etii mtt mpyaa😂😂
KWANI MAMA ALIFANYE MBAKA AKATUMIKIA KIFUNGO JAMAN???
KWANINI MAMA YAKE ALIFUNGWA????????
Hivi jamni bibi Hindu yuko wapi nilisikia anaumwa anaendeleaje mungu amfanyie wepesi jamani
ila wema nampenda sana but apo mmmmmmmmmmh😳😳😳😳😳😳
Huyu wema ni mtu wa hivi kumbe duu
😭😭😭😭😭
Baada ya dhiki faraji
Mh sikusikitika Tena huko kwa Swebe
labda nawewe hukwenda kwenye msiba wababa yake naalifiwa nakaka yake zanzibar
Kumbe we dina huna akili kumbe
🥲Sad story but ina uhondo ndani yake ngoja tukale samaki kwa Aisha alafu tutaendelea 😅😅😅
🤣🤣swebe mbeya anavyosikitika, Poole petty kwa yoote kikubwa hapa dunian hakuna la kudum
😂😂😂Ananivunja mbavu huyu swebe jmn
Yani etavy yenu mafujo kama nn khaaaaaaa
Eti wameonana kaa maswali gn ayo
Kwan wwma anaendaga misibani toka lini
😀😀😀
rafiki yaje wakiume lokole🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔔🔔😀😀😃😃😃😀😃😀😃😀😃😀😃😉😎😋😉😋😉
huyu kaka ana maumivu bc tu jmn
😂😂😂
Huyo esima hafai
Yaan umepita pagumu....mungu akuepeshe petty
Huyu esma kumbe mjinga ugomvi wa wazee mtoto kumtia kati haiwezekani
Inalilah jaman mwanaume una suka kama dem kwa staily hiyo inabid mpate hedh pia 😏😏😏
Yaani! Msiba😭😭😭
Ni dread hizo zinazambi gani Dhambi ni kusuka Rasta pekee basi
Mwanaume hajaruhusiwa kusuka wala kuvaa hereni au cheni, ila ameruhusiwa kuvaa pete tena ya fedha au silve
@@mozasaid3869 sio kweli never eleni sawa
Wamasai je? C Mila Yao? Hizi Mila za kigeni mnazoona 'appropriate' kwny maisha ya watu c zenu. Kusuka ni desturi ya kiafrika na Kwa taarifa yko kimila c mwanamke ndio mwny kusuka ni mwanaume.
Swebe anaongea sana ad anaboa.. Si atulie tupate uhondo asubir zam yake na yy aseme jambo
Ya dina kubwa jinga yani ambae yupo seriously huyo dada mwingine tu