Ma sha Allah,I could not holding my tears listening to this qaswida, 😢 it bring many good lost memories for my parents,May Allah take them to highest Jannah ,and for for all those parents who left us. Love your parents
Alitabir kipenz nabii wa umma yatapodhihir haya kuhalalisha wanawake vigori kuimba na kucheza ALLAH atawadidimiza ardhini....leo tunalia vita njaa magonjwa nk
Mashaallah l love all of them ❤ and Allah may bless you for all the songs and Allah is the greatest and merciful and Allah is the biggest ❤ there no one is the biggest just Allah is the biggest ❤ ♥ one so may Allah bless the poor people in the eyes of Allah may bless every one but on those who don't pray night and day
jamani hawa watoto nawapenda sana wanaujumbe mzito mungu awajalie Maisha malefu hapa duniani hongeleni sana God bless all muliyo shiliki katika ujumbe huyu karibuni America
Kama unaskiliza hii qaswida 2024 like hapa
🖐🖐🖐🖐
kwani ni kuulize wewe waomba likes ama ni nini ?
Mung awajliyn❤
Good❤song
Nani huyo ambaye wamuuliza kma yuwaomba likes@@fatmaali3940
Unasikiliza qaswida hii mwaka 2024 gonga like hapo
Mashaalah
Ukitaka furaha ya maisha, njoo kweny Uislam 😍😍😍😍😍
The
Walllah
Kweli kabisa
Mashaallah 💓❤️
Nyimbo nzuriii...but furah ya Maisha IPO kwenye dini yoyote yenye hofu ya Mungu
Mola nijalie mume mwema namimi mwenye kheri Nami nifuraishe wazazi wangu 😭😭😭
Amin
Ameen utampata Inshallah
Aujaolewa?
❤ amiiiin
😂😂😂😂@@issamashurinyo9609
Kaswida best katika CD yangu ya harusi... Today l celebrate 8yrs ya ndoa yangu nikaona niitafute hii kaswida ❤❤❤
Am a Christian but I love this song ❤️😍
Kama unaisikiliza Hi I qaswida mwaka 2021 gonga like zako ata kumi
Mashallah furaha iliyoje, wapi nduru ya Islamic weweeeeee
🎉🎉
Mungu Mimi nitafuraisha lini wazazi wangu yarabi mola wangu nijalie na Mimi mume mwema namwenye kutambua Dini
Ukiomba mume bola naww uwe bola kwanza kabla yaAllah ajakupa mme mwema
Ukweli allh atawapa wale waliokuwa wanataka wake wa wahhery.kubwa ni subra allhu mma ammin.
Inshaalah amin
Allah nijarie mume mweema na me pia jaman mashaallah
Ukitaka dini njoo kwenye uislamu mashaallah ❤❤❤❤
Ma sha Allah,I could not holding my tears listening to this qaswida, 😢 it bring many good lost memories for my parents,May Allah take them to highest Jannah ,and for for all those parents who left us. Love your parents
انا لله وانا اليه راجعون
May Allah grant them Jannat Firdaws, amiin.
Amiin yarabillh 🤲 amiin
Nikiisikia kaswida hii Nakumbuka mahafali ya dini Ya Kiislam Pindi nahitimu Ilisomwa na mdogo wetu mmoja Anaitwa faudhiat ktk Viunga Vya Ulongoni sec
Ukhy diyda salout dada yangu uko juu na utaendelea kuwa juu
Allaah akuepushe na wenye roho za korosho nakupenda sana
Hakika uislamu ni dini NJEMA maishaalah 🌠🌠
Jamn Mimi ni mkristo Ila hii qaswida nkikaaa mke wangu..tunaenjoy mno aisee...ndoa Raha jamn ukimpata aliye sahihi .nawasihi vijana wenzangu tuoe jamani.tuache udangaji
Mashaallah mashaallah Allah nijarie Mumemwema KAMA najiona ntakavolia sijuh nitalilia niniLakini sikuYa harusii yang ntaliaaa aswaaaa Mumewangu njoooo unioepopote ulipoAllah akuteremshee nahtaj ndoaaa jamaani
Subra muhimu Dada wakati wako utafika inshallah
Maasha allh 🎉❤.ukweli mjaduniyani huteswa na chake.mtu.unaempenda hapendiki jamaani allh atusaidie
❤❤❤namuona ukty Dida au macho yangu
Ni yy
Amin mashallah qaswida nzuri sna ndomana huwa naipenda
Napenda sana kaswida mana zinanifundisha na kujifurahisha
Ingawa sio Muislam lkn hii Kaswida nzuri sana ..... Mungu azidi kuwabariki muimbe nymbo zenye hekma na mafunzo zaidi kwa jamii
Amin inshallah
❤️❤️❤️
Amiin
🎉🎉🎉🎉🎉
2021..Maa shaa Allah🥰Ramadhan Kareem to all my Muslim brothers and sisters 💖
Maa shaa Allah🙏 Ramadan kareem
Mwenyezi mungu nipe me mzuriiiiii na me nifurahishe wazi wangu
Alitabir kipenz nabii wa umma yatapodhihir haya kuhalalisha wanawake vigori kuimba na kucheza ALLAH atawadidimiza ardhini....leo tunalia vita njaa magonjwa nk
Mashallah dida Sauti yake haichoshi kusikiliza hata Mara mia unakipaji mama Allah akuweke
Inshallah.
Mashallaag dida
,🥰
Nice voice
Bismillah mashaallah nipo kuickiza 2022 love this qaswida😘
Masha'allah i love kassuda Tanzanie ❤❤❤❤🎉😊
Allah nijalie na mm nipate mume mwema nami niwafulahishe wazaza
ya Allah nipe mume mwenye raha katika ndoa...pongezi mwenye qasida hii
Mashaallah m/mungu awazdishie ostadhat
Allah ameen
Mashaallah ❤❤
Walaah si vema na si katika manhaaj swahihi kwa kurembuka mbele ya wanaume alaah awajuze... Amina
mwimbaj ana saut nzur San mung akubarik kwa kipaj alichokup
Abdoulanziz Ahmed vraiment cette quasuda mais brisée dans mon cœur machallah
mashaaAllah one of my best qaswida's i can't stay a day without listening to it @home
MashaAllah
Halima Mshami Masha Allah
daaah nimekubali kadiria mpo vizuri ...mnatuwakilisha vizuri in shaalaah MwanyeazMungu awadhidishie
Allah nijaalie nami nipate mume mwema jaman kuolewa Raha.
Inshallha utampatatu
@@missrukia9661 Aamin yarab
Amiin
Mashallah tabaraqa llah,,, qaswida borasana Yaarabi nakuomba unijalie mume alomwema kwangu
Allahuma ameen
Ameen
Hadi Raha mashaallah❤️🤝🙏
Jamani siyo sili hii kaswada nizur mna nimetokea kuipenda mungu awatie nguvu 🙏🙏🙏
C'est vraiment chouette que il y a des gens qui zafran a étudié l'islam
Love this kaswida so much
Maashallah yaan hiz kaswida hazichuji kila nikisikiliza kama za juz yaan ♥️♥️♥️
❤
Masha Allah qaswida nzuri hii naipenda sana hongera kwa watunzi na wahimbaji
uisilamu lahaa jamani mashaallaah vipenzi vyangu
Masha Allah qaswida nzri adi yanitoa machoz ya Allah nijalie mume mwema Insha Allah
Mashaallah
Utapata insha Allah
Leilah Hassan Amiin yarab
Maa shaa Allah ,,naipenda hii madrassa na qaswida zao. Allah awajaalie kheri hawa mabinti.
Maashallah mauhty nimeipenda kaswida imevutia sauti Mungu awazaidishie kipaji.
Yaaa,mashaa alh
Inshaallah mungu anipe mume mwema Maana kuolewa raha Sana kaswida nzurii sana
Masha-allah, such a nice nasheeda
Kumbe kaswida inachezwa daah Allh atuswamehe tulipo fikia waislma wa zama hiz
Mashaallah Mashaallah tabaraka Allah ♥️♥️♥️♥️♥️♥️💯💯💯
Mashaallah sauti zenu nzr🇰🇪🇰🇪🇰🇪🧕🧕🧕💯💯💯
its sooo nice big respect ....for mad.rasat.....Mashaallah
Mashallah vipenzi😘👌
mashallah wadada zetu mola hazidishe kipaji chenu,furaha kwetu kuona wazazi wetu tuna wapa shifa Kweli Kwa kazi njema yao waloifanya
Zula Chama poa
watoto someni sana dini yenu
Mashaallah Allah awazidishie kila la kheir na awaepushie kila la shari amiin.
Mi sio Muslim but hii quswida naipenda mnooo
qaswida nzuri sana inanifanya niwaze wedding day
mashaallah kaswida n tamu sana kuiskiliza schok hongeren sana
asalam alkum
Mashalllah Allah nijalie mume mwenye hofu na allah
2024❤❤❤ from Mozambique naipenda
M/Mungu akuzidishieni kipaji kizuri katika daini ya kiislam lkk naomba mutuingizie qasida mpya za qadiria
maryam 9876 ongela dada
Allah awape maisha mema duniani na akhera
dah nimekumbuka kwetu bukoba al madarasat taqwa izimbya mpaka machozi yanatoka mungu naomba unipe mke bora jamani
Nassoro Saleh muombe Allah inshaallah atakupa
Nassoro Saleh pole
Inshaa Allah mungu atakufanyia wepesi
Allah akufanyie wepes usininye nami npo kibeta bukoba
amina ponela Nawe uwe mwema
Allah nijalie mume mwema na mm😢😢
Mashallha sauti yake ustadhat nzuri
mashaallah mwenyezi mungu awape maisha marefu Amiin
Alie weka kaswida iyi kwahalusi yake aweke like apa
Niombee dua nami nipate kuheshimkia na niwaheshimiahe wazazi wangu
My best favorite Qaswida, na huyo bint anaimba vizuri sana Allah amuongoze
Mashaallah l love all of them ❤ and Allah may bless you for all the songs
and Allah is the greatest and merciful and Allah is the biggest ❤ there no one is the biggest just Allah is the biggest ❤ ♥ one so may Allah bless the poor people in the eyes of Allah may bless every one but on those who don't pray night and day
mashallah mashallah
Mashaalla mwenyezimungu awapandishe darja
Qaswida mzr sana haswa sauti mashaallah mungu awahifadhi
MashaAllah MashaAllah
Mashaallah mashaallah mashaallah❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Manshaah, jamaan mwapendeza sana vipenzi
Mashallah allaa ukubariki
jamani hawa watoto nawapenda sana wanaujumbe mzito mungu awajalie Maisha malefu hapa duniani hongeleni sana God bless all muliyo shiliki katika ujumbe huyu karibuni America
Astaliko Mulishi mwenyezi mungu nijaliee namiee nipate mume bora ishaall
Maxha alah nice
MashaAllah watching it in 21st March 2020 with corona outbreaks
Watching it too
Man made problem
Hi qaswida mashaallah jamani nzur naipenda
Ahamdu Lil Laah
MashaAllah
MashaAllah qaswida nzuri sana
😍😍😍😍😍dida🤲👍
kwakwer naipenda sana ii kaswida ongereni sana mana ina kila sifa
Kabisa an broo hata me nakusapot kwa hilo furaha inapatikana hapa
Mashaa allah
Nice qaswida MashaAllah
Nawapenda wazazi wangu
naipend San kaswida hii mung awaongoze katik vipaji vyen ameen
Allah bless them to have nice health and unity only dat
maaashaaalah
Mashallah qasid n nzuri xna
Nakuombea dua mama angu siku zote duniani na kesho akher
Mashaallah nimependEZWA sana qwasida hino SAUTI NZURI SANA YA MAHABBA NA HUZUNI SANA subhaanallah....i wish ningekuwa hapo saa hizo.
Sufi Mohamed aaa
Khadija Issa Issa f
Kazi mzuli
MASHAA - ALLAH
Hy
Mashallah tabaraqa allah
Mungu ajaliye mufanye vizuri zadi
This qaswida is very nice.I like it
Mashallah ramadhani Kareem
Mashallah kweli qadiria ni chuo cha vipaji ukhty dida hapo akiwa akiwa mdogo
Mashaalah qasida ni zaid ya nzuri.allah awajaalie kila la kheri
mashaallah
mashallaah nimeupenda danaa
mashalala
+Swam Abubakar danilodi
+Issa Ramadhani danilodi