Hii inakumbusha hata mama yangu alikuwa anaipenda sana. Pumzika mahali pema peponi mama hakika mungu anaweza kila kitu. Nakupenda mama. Asante mungu wewe ni zaidi ya washindi
Qiukweli napendaga Sana Qaswida japo Mimi nim krsto nampenda Sana arafa na nyimbo zake zote namavazi yake ya hesma waislam wote nawatakia mfungo mwema kwa watakaofunga kwauwami nifuu MUNGU 🙏 awape kilaitaji la mioyo yenu
Allahu Akbar. nimuondolee of munaotaka uhakika wa taarifa ya kutaka kujua kuwa yu hai ama laa! mukiangalia katika mtiririko juu ya kifo cha msanii sam .utakutana na picha ya mwanadada araf. akiojiwa mwenyewe anatamka ajabakwa na bado yu hai .nimemsikiliza vizuri nendeni you tube mujirizishe.
Napenda sama Qaswida zako upo wapi mbona kimya sana jaman hebu niambieni ukweli kwa anaejua alipo mana wengine wanasema kafa wengne wanasema yupo ukweli ni ipi?
Mashallah Allah kareem akufanyie na kutufanyie wepes hapa 🌍na kesho akhera. Amin
Hii inakumbusha hata mama yangu alikuwa anaipenda sana. Pumzika mahali pema peponi mama hakika mungu anaweza kila kitu. Nakupenda mama. Asante mungu wewe ni zaidi ya washindi
Pole my nikisikia iv naon uluma san 😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪
Mimi mkirsto ila napenda sana nyimbo za uyu dada sana 😍😍🔥🔥🔥
Mashaallah
mimi pia cha msingi ujumbe 😍
❤❤❤❤ MashaAllah
niseme2 ukweli tangu niisikie hii qaswida sjawahi kuichoka mpaka leo mwaka 2019 naipenda inawoosia mzur sana mungu akujalie dadaangu
Maashaallah.....Ni ukumbusho mzuri wenye faida na mazingatio kwa wote wenye kujitambua.
Qiukweli napendaga Sana Qaswida japo Mimi nim krsto nampenda Sana arafa na nyimbo zake zote namavazi yake ya hesma waislam wote nawatakia mfungo mwema kwa watakaofunga kwauwami nifuu MUNGU 🙏 awape kilaitaji la mioyo yenu
Mimi ni mkristo ila napenda sana hizi nyimbo!! Nawatakia kila LA kheri na mfungo mwema kwa Waislam wote
Inshallah🤲nakwako mungu akupe Kila itaji la moyo wako🙏🙏🙏
Anllah akulipe kheli 🤲
Bas badili dini kipenz
Mashaalla matatizo yote muachie alla na akuzidishie kila la kheri
Maa shaa Allaah.....sichoki kuisikiliza hii qasida. It's message.... ukweli mtupu!
Kama unaipenda dini yetu ISLAM na qaswida zetu gonga like yako TWENDE SAWA
MOHAMEDI SARAFI
MOHAMEDI SARAFI
Godfrey Thomas m djujcucjcif liogPglvovlmm m m . ogkbhxm
MOHAMEDI SARAFI
MaashaAllah kweli Mungu anaweza tumuombe2 atujaalie subira
Uislam ni mzr sana sema sisi wenyewe tunaacha ya kwetu.na kuiga ya watu tuamken waislamu bado wakti tunao mungu answezaa.
2019 nasikiliza qaswida za Arafa, ni mawaidha mazur... Gonga like hapa kama unaamini Arafa yupo hai.. Insyaallah
Masha Allah
Masha allah
Omary Shafii kweli kDa,nzuli,unawezakunilushiya,album,yake+25768580967
K
Omary Shafii
20q
Kila asubuhi lazma nisikilize kaswida za arafa mungu akujaalie kheri dad arafa ❤❤❤❤
Ramadhan Kareem to all Muslim Around the World 🌙
Hii kaswid naipenda San sichok kuckiliz . mung anawez akun ashindwalo. Mashaallah
Ma sha Allah sichoki kuangalia qasida zako pia ma sha Allah hujipodoi Allah akuongoze ivo ivo
Yaan maneno yk yanavina na mizan yanagonga kumoyo haswa hii mmh mashaallah Dada
Allahu akubari,masha Allah,natamani siku moja nikuone face,to face,thanxs gd msgs
Dada unaqasida nzuri na una utunzi ulio bora kwa kweli
Wow nawamisi sana lakini Mimi nimkristo lakini nawapenda naninapenda nyimbo zenu ❤ Ninaomba mungu awape mayisha mwema🫶🫶🫶🫶🫶💓👌🌹🇧🇮
kweli kabisa lazima tuwe na subra ya kweli
Arafa fundi wakaswida inaujumbe mzito inanifunza mengi sana tuamini mungu nimuweza wakilajambo
Zina fundisha sana❤❤❤
Mashaallah munguanaweza nasusubiri wakati wangu ufike ataniliwaza
mashallah kaswiida nzuri
it's my fvrte
2020 naskiliza napenda Mungu anawezaa
mashllah ya allah tuzidishie subra
Mashallah mungu akuzidishie maana hii kasida hata nikiwa na mawazo nikisikiriza hii tuh basi mawazo natoa
Mashllah mashllah very nice voice your voice from paradise mashllah
Kwel mungu una weza nasubil ntajibiwa wakat ukifika
Uki vuta subila unafanikiwa kweli😍
Kikubwa ni SUBRA
Hasni
Naipenda sana
Ur songs inspire me,wow
2024 let gather here ❤❤ Islamic religion qaswida
ama kwa hakika araf Dada yangu qaswida zako huwa ,zina nipa faraja sana
Wimbo mzuri mashaallah...huchoki kuuskiliza
2021 nasikiliza tukiwa katika mwezi mtukufu wa Ramadhan..Mungu Anaweza
Naam wengi tunasubir ndoto zetu insha allah
Namkubali sana ARAFA BY DENNIS TRANSPORT IFAKARA
Mashaallah mungu Anaweza Akuna Ashindwalo
Mariamu Mariamu nafulai sana ninapo cikiliza kaxwid
mashaalah dd arafa nazipenda sana qaswida zako
Swadaqta habibty Allah Kareem subira huvuta Kher in sha Allah kher
Mashaalah
jj kjjjjjj
Mungu ukujalie maisha mema dadangu
Allahu Akbar. nimuondolee of munaotaka uhakika wa taarifa ya kutaka kujua kuwa yu hai ama laa! mukiangalia katika mtiririko juu ya kifo cha msanii sam .utakutana na picha ya mwanadada araf. akiojiwa mwenyewe anatamka ajabakwa na bado yu hai .nimemsikiliza vizuri nendeni you tube mujirizishe.
Kweli kabiss yupo hai, mungu aendelee kumulinda
Mashallah qasda nzur sana
Lini
umetuachia store arafa nakupenda sana sjui kama atatokea mtu mwingine kuzba pengo lako💕💕💕💕
Queens zuwena arafa yupo hai
Tunakupenda sana dada yetu arafa
Subiri Allahuu qadri nice voice mashaAllah
Aminaksh Amoona mashaallah
Mashaallah kaswida nzuri xana inanipa faraja ya moyo
MashaAllah jadhaka Allah kheli
mashaa Alla nikweli kabisa mungu Anaweza kila jambo vuta subla Atakutimiziya muda muwafaka
Anaweza kwel Allah kuna magum nilipitia napitia lakin Allah hajawah niacha alhamdulilah
mashaaalaaah kwa kawaida nzuri kama hili Allah akupe ujira mwema
mashallah,alla akuzidishie Mara elfu nyingi
Salma Ng'ojoko mashallah
Mashallah nzur cn inatupa faraja mashallah
mash ALLAH jazakallahu kher
Rukia Issa umeolewa
Mashalla mungu akuzdishie uwezo
Masha allah arafa you have a good voice.
Mungu anaweza atayatimiza muda muafaka kwake. Usicoke omba wala usikate tama.maashaallah
Naitwa mecky nazipenda sana pia nazipenda islam
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ you need dié Mense 👏👏👏
shukran kwa ujube kwako Alah Afe.
Nipo hapa 2020 🙏🏾
Napenda xna Dini yangu ya kiislamu
dada mungu akuhifazi na moto
Hongera sana hata mm unanikosha sana
ma shaa Allah mungu akuzidishie
MashaAllha..allah akuongoze..ila Mbona siku iz aimbi
Zena Mohammed mbn kafark
Mi nilikuwa siamini kafariki kweli au
Zena Mohammed Kwa habari zisizo rasmin inasemekana uyu dada Amefariki iv ni kweli Au?
@@ramadhanially2783 mungu amlaze pema pepon
Jamani hajafa mbona ivi lakini
2021 masha Allah arafa Mungu akupe makazi mema
Mashairi yakemazuri sana
Napendaga xn hii qaswida💖💖💖👌👍🇰🇪
Masha'allah Qaswida nzuri sana inanipa faraja
Asiah Mariam .OK
Asiah Mariam mungu akuongeze naipenda kaswida
gd!
Mashaallah
Asiah Mariam
Anayatimiza muda muafaka kwake mungu anaweza
Thanks allah for being my best Friend
Mungkweli anaweza
Kwely mwezawayote nimgu2 yeye nimlpaji mashalaa
Mashaallwh napend sana❤❤❤
Qaswida hii ,, namkumbuka Bi-Mariamu athuman william ,,alikuwa anaipenda saana ,, MW/MUNGU amuweke mahali pema peponi "" amin""
27/Rabiul awwal 1445 sawa na 13/10/2023 ujumbe huu wa qaswida unanipa moyo kwa hali nilonayo sasa Allah kareem
Katika yeye ni muweza ♥️♥️
Ma'shaallah
maashallah qasida nzuri
Maashaallah habinty
Mimi.KKKT lakini nyimbo hizi nazipenda sana
Yuko wapi huyu dada Kwa sasa 2021
Mashaallah
Allah ukweli ndo mwezaa 2mwache kilakitu
Gud sanaa
Mashaallah mung akulind
Mashaallah tabarakaallah mungu anaweza Ndio
Mashalllah
Hi boys sana
Hi
Anaweza kweli.mansha Allah.Allahu akbaru
unafundisha sana,arafa nakpenda mama
Napenda sama Qaswida zako upo wapi mbona kimya sana jaman hebu niambieni ukweli kwa anaejua alipo mana wengine wanasema kafa wengne wanasema yupo ukweli ni ipi?
Napenda Sana qaswida mungu amlinde na Moto wa kabul
Mungu anaweza mashaallah maneno matamu
Said Said inshallah
Nice
MashaAllah
Penda sana inanitoa pressure. ..gonga like kama unaisikiliza
C a cause de ORTC k j suis là 😭❤️
Alhamdullllilah mola wangu..
Masha ALLAH
Msg nzuri Allah akulipe kila lakheri
Naipenda sana hii...Kaswida.
Mungu anaweza 🙏
Mungu akuzidishie
Mawaidha mazuri, twaomba mungu utuletee mengine tuwaidhike
Mungu anawezaa jamanii