KWA NINI UNAKUWA OMBA OMBA WAKATI UMEBARIKIWA ? WHY ARE YOU BROKE YET BLESSED ? | Pst.GEORGE MUKABWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 57

  • @ElizabethMakwaia
    @ElizabethMakwaia Před 14 dny +1

    Barikiwa sana mtumishi. Unanibariki sana kwa mafundisho yako.🙏

  • @user-xd8mb1gd6f
    @user-xd8mb1gd6f Před měsícem +1

    Nashkr sana pastor George umekua baraka juu ya maisha yangu Mungu azidi kukubariki

  • @ElizabethLaizer-h5i
    @ElizabethLaizer-h5i Před měsícem +2

    Nimejiungamanisha na madhabahu hii Ee Bwana , nimekuja Bwana maana umeningojea kwa muda mrefu wakati na mimi nakungojea, sasa nainuka Bwana ili namimi uniinue kupitia kuinuka kwangu 🙏

  • @CATHERINESTEPHEN-nk6tc
    @CATHERINESTEPHEN-nk6tc Před 24 dny +1

    Barikiwa pst...wwe ni wa maana saana unanilea sana kiroho...❤

  • @LeahMwaipwisi
    @LeahMwaipwisi Před měsícem +1

    Nabarikiwa siwezi kueleza.Mungu wa mbingu na nchi Akuinue zaidi kwa Utukufu wake Pastor George.

  • @aminahakeem897
    @aminahakeem897 Před měsícem +2

    Asante Mungu kwa neno lako! Naam limenipa upya katika maendeleo yangu!

  • @jerubetjoan20
    @jerubetjoan20 Před měsícem +5

    Imagine tumefuata chupa ya Ismael mpaka gulf pastor George, May God show us the right way.

  • @josephinegagai
    @josephinegagai Před měsícem +2

    Only Jesus can save,may God bless you abundantly man of God you and your family.

  • @paulinekisalikisali4631
    @paulinekisalikisali4631 Před měsícem +3

    Mtumishi barikiwa Sana Kwa mafundisho

  • @ernestbutagalala
    @ernestbutagalala Před měsícem +1

    Baba naomba kabadilishe mufumo wangu wa maisha maisha niliyonayo hayafanan na mm

  • @LeahMuhaje
    @LeahMuhaje Před měsícem +1

    Ajira nimtaji,ela ipo kwa kazi

  • @eliasilwimba187
    @eliasilwimba187 Před měsícem +4

    Mimi naita hizi ni nondo za kiroho.

  • @mwendaAnnastacia-xy4ni
    @mwendaAnnastacia-xy4ni Před měsícem

    Amen..Amen..Amen..mungu akubariki sana. Mtumishi

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 Před měsícem +4

    Yesu alibadilisha status yangu

  • @JohannesLemkoha
    @JohannesLemkoha Před měsícem +1

    Unanifungua sana MUNGU akubatiki

  • @jaredmondo1477
    @jaredmondo1477 Před měsícem +2

    Pastor George wewe ni zawadi kwetu

  • @cerecere5758
    @cerecere5758 Před měsícem +3

    Amen amen 🙏🙏

  • @neemasarwatt1030
    @neemasarwatt1030 Před měsícem

    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu

  • @user-kx7mm1zf3j
    @user-kx7mm1zf3j Před měsícem +1

    Asante sana mtumishi kwa Barak yako

  • @user-sn4dl4qb3g
    @user-sn4dl4qb3g Před měsícem

    Amen baba kwa somo hili zuri za uchumi wetu ubarikiwe na Mungu wako daima

  • @PraygodLema-us3im
    @PraygodLema-us3im Před měsícem +1

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @wilsonkahuthu6604
    @wilsonkahuthu6604 Před měsícem

    Baba MUNGU NI NATAKA kusema ASANTE KWA YOTE AMBAYO UMENIFANYIA .... ASANTE BWANA ASANTE BWANA ASANTE.AMINA.

  • @user-qh5fh4yi8i
    @user-qh5fh4yi8i Před měsícem

    Asante mutumishi wa mungu kwakweli umenibariki

  • @WINNERBOYKE
    @WINNERBOYKE Před měsícem +2

    Amen Amen Amen

  • @leonidafatson882
    @leonidafatson882 Před měsícem

    Amen

  • @sarahstanslous347
    @sarahstanslous347 Před měsícem

    Ameen Ameen

  • @Phal0ha-i1u
    @Phal0ha-i1u Před měsícem

    Mungu nisaidie nianze na kidogo na utumike,barikiwa mtumishi wa mungu

  • @datvatmoshi2212
    @datvatmoshi2212 Před měsícem

    Mungu akubariki Sana .nimejifunza kitu kikubwa Sana na nimepata maarifa makubwa

  • @happyidza7091
    @happyidza7091 Před měsícem +1

    Amen 🙏🏾 🙌🏾

  • @CatherineMakokha-dg6ws
    @CatherineMakokha-dg6ws Před měsícem

    Asante mungu, amen and amen 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @SalomeWanjiru-j2m
    @SalomeWanjiru-j2m Před měsícem +1

    Amen

  • @darlingqueendee3822
    @darlingqueendee3822 Před měsícem +1

    Amen. Barikiwa sana mchungaji.

  • @prisca4612
    @prisca4612 Před měsícem +1

    Amen!!!!

  • @maombihabanakize4667
    @maombihabanakize4667 Před měsícem

    Yesu akubarikisana mutumishi🙏🏿

  • @ElizabethLaizer-h5i
    @ElizabethLaizer-h5i Před měsícem

    Sauti ndoogo

  • @user-zg3jv7hj4e
    @user-zg3jv7hj4e Před měsícem

    Asante pastor umebariki maisha yangu nataka kunjuwa huku kakamenga unatoka wapi??

  • @reaganhassan156
    @reaganhassan156 Před měsícem +1

  • @ashasalimmwai684
    @ashasalimmwai684 Před měsícem

    Amen Amen Amen🙏

  • @LinetNanjala-iv4vm
    @LinetNanjala-iv4vm Před měsícem

    Amen 🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @ShamalaRodgers
    @ShamalaRodgers Před měsícem

    Umenijaz na iman

  • @MarthaJacob-o7h
    @MarthaJacob-o7h Před měsícem

    Pastor naomba uniombee naumwa me martha jacob mshirika wa jrc

    • @brendammas2020
      @brendammas2020 Před měsícem

      Mbona usiende kanisani akakuombe,, kama wewe mshirika

    • @ElizabethLaizer-h5i
      @ElizabethLaizer-h5i Před měsícem

      ​@@brendammas2020mie mwenyewe ni mshirika Kwa njia ya simu

    • @brendammas2020
      @brendammas2020 Před měsícem

      😂😂Aah nakuelewa kama mimi pia ​@@ElizabethLaizer-h5i

  • @aminahakeem897
    @aminahakeem897 Před měsícem

    Ameen

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 Před měsícem +1

    Isaya 30:18

  • @rhodahbranice3379
    @rhodahbranice3379 Před měsícem

    Y YOU ARE BROKE YET BLESSED.
    >Christ saved you so that u get blessed.
    >The blessings of God deals with your needs.
    ●Ephesians 1:3
    ●Galatians 4:28
    ●Genesis 25:5_6

    • @rhodahbranice3379
      @rhodahbranice3379 Před měsícem

      Revelation 1:5_6.
      KWA NINI UWE OMBAOMBA WAKATI UMEBARIKIWA?
      1,Waiting for God when God is waiting for you. (Genesis 2:19),
      Tunamngoja Mungu kwa;
      A,kutuongoza
      B,Neema
      C,kibali
      D,Ulinzi
      Isaiah 30:18
      2,Mungu hakufanyii kazi.(1st Corinthians 3;9)

    • @rhodahbranice3379
      @rhodahbranice3379 Před měsícem +1

      1st Corinthians 3;6,Exodus 4;17
      2,you are not ready to begin small.
      >Must be ready to be embarrassed in small things. (Luke 2:6_7).;Zachariah 4:10,proverbs 28;22.
      >Seeking money where there's no money.

    • @rhodahbranice3379
      @rhodahbranice3379 Před měsícem

      WHERE TO FIND MONEY.
      1,MONEY is found in people.
      2,money is found in people's problem (shida).
      3,money is found in gifts and talents.
      4,money is found in opportunity (fursa).
      5,money is found in work(kazi)
      Work is what you were created to do by yourself but job is what you go to seek or you have a supervisor.

    • @rhodahbranice3379
      @rhodahbranice3379 Před měsícem

      6,MONEY is found in a seed (mtaji).
      4,Failure to manage well what God has given you. (Management).(Genesis 2:15)
      1,Lazima kuhudumia biashara yako
      2,Increase salary for your workers.
      5,You are not ready to be used by God.(Zachariah 1:17).
      6,Failure to engage in Spiritual warfare. (Mathew 13:25).

  • @LeahMuhaje
    @LeahMuhaje Před měsícem

    Ajira nimtaji,ela ipo kwa kazi

  • @evansombati3993
    @evansombati3993 Před měsícem

    Amen

  • @AgnesNyaleso
    @AgnesNyaleso Před měsícem +1

    Amen amen amen 🙏

  • @user-sd2cb3wr8x
    @user-sd2cb3wr8x Před měsícem

    Amen🙏🙏🙏

  • @beatriceeboso8283
    @beatriceeboso8283 Před měsícem

    Amen Amen 🙏🏿