DUDU BAYA ,HARMONIZE AMESHAPOTEA SHOW YA TAIAFA HAKUNA ALICHOKIFANYA MAMBO YALEYAL

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024
  • #bongo24 #harmonize #dudubaya
  • Zábava

Komentáře • 33

  • @alibinali_
    @alibinali_ Před 29 dny +4

    Dudu Baya anaongea ukweli big up Konki Master 🔥🔥🔥

  • @HangiMakina-wf8hw
    @HangiMakina-wf8hw Před měsícem +8

    Dudubaya Yuko sawa

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 Před 29 dny +3

    Mamba uko sahihi 😂😂😂

  • @Direct-0000
    @Direct-0000 Před měsícem +4

    UKO SAHIHI DUDU

  • @user-ys5iu3qu3u
    @user-ys5iu3qu3u Před 25 dny +1

    Big point kwelli kabisa bongo flevo ya zamani nzuri kuliko hizi amapiano

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Před měsícem +3

    Sasa unaimba albam nzima unamsifia kiongozi wa siasa wakati sifa unazotoa hazina ukweli wowote nani atakuelewa? Na hiyo albam itatoka nje ya nchi? Ndio maana wakiwa nje ya nchi wanapiga kwenye mabaa.

  • @AishaYahaya-ld5lb
    @AishaYahaya-ld5lb Před 28 dny +1

    Msema ukweli ❤❤

  • @RodaMwakatundu
    @RodaMwakatundu Před měsícem +1

    Trueee konk3masta

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 23 dny +1

    7:36 kweli kabisa mimi siwez tofautisha luludiva na mimi Mars ama fina sjui madem wana igana sana

  • @AndrewMajingwa-ln7oi
    @AndrewMajingwa-ln7oi Před 29 dny +2

    😂😂 ila konkii hapa umepuyanga wenzio hawataki mziki wa kuishi wanataka mziki New model na wanapiga pesa hatariiiiiii,,, angalia ni ENJOY hapo inachanja mbuga

  • @user-rh4ue7rb6t
    @user-rh4ue7rb6t Před měsícem +1

    Wewe mzee mtafute Mika mwamba mbafu sana

  • @alibinali_
    @alibinali_ Před 29 dny

    DUDU BAYA NOMA SANA 😂😂😂😂😂😂😂

  • @jumayusuph5733
    @jumayusuph5733 Před 15 dny +1

    ukweri ndio huo endelea kuwachana hao madogo

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 23 dny +1

    Anasema ukweli top 10 hazina maana 😂😂 watu wana Bluetooth hawana mda wa kwenda club😂

  • @AckriniSikulumbwe2000
    @AckriniSikulumbwe2000 Před měsícem

    HHaahahhahahaah hii nchi

  • @johnmike6059
    @johnmike6059 Před měsícem +1

    We nimuongo

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews Před měsícem +2

    Huyu jamaa kapotea yeye .. kila kitu kwake sicho anachukia wasanii bila sababu ovyoooo

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 Před měsícem +2

    Wewe umefanyanini enzi zako?

  • @redockbracard9455
    @redockbracard9455 Před měsícem +1

    Wewe ni mzee mda wako umeukula vibaya una wivu na Harmonize kijana mdogo ana kuzidi pesa na umaarufu aumuwezi

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 Před měsícem +3

    Kwa kwel ww enz zako hela ulipeleka wap mbona unatia huruma uwez fikia level za mmakonde

  • @evansobewa7741
    @evansobewa7741 Před měsícem +2

    Jamaa anaongea maneno mengi ila hana lolote,tafuta pesa wacha mdomo

    • @user-nx4eg7sf8u
      @user-nx4eg7sf8u Před měsícem

      Wewe ndo hujitambui unapenda kiingereza kuliko kiswahili chako halafu unajigamba umeitawara nchi yako muda huo huo unasema kiingereza, cha mtu mavi hebu acha kuiga cha mtu watanzania muudumishe utamaduni wenu hebu rudini kwenye bongo flava.

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone Před 25 dny

      Loloote analoo

    • @evansobewa7741
      @evansobewa7741 Před 5 dny

      @@user-nx4eg7sf8u biashara jomba fanya kile kinakupa faida sio maneno mengi

  • @DelightfulFish-ps8ny
    @DelightfulFish-ps8ny Před měsícem +2

    Huyu kaka hampendi konde boi

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi Před měsícem

    We kaka msanii au mchambuziii atukuelewii au ume ACHA kuimba toa ww nyimbo kumawee

  • @user-wn3zb5xv6v
    @user-wn3zb5xv6v Před 29 dny

    Umeferi huu wakati wa konde ata upondevipi wwnzio washakuacha mbali mmechezea mziki kazi makelele kuwaongelea wenye mziki wao

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 Před 28 dny

      Wakati wa konde hahahahahaha mmakonde kwa kipi hana jipya ameshafeli