BEKA FLAVOUR - HAPA KAZI TU (Official Music Video)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 11. 2019
  • Hapa kazi tu ni wimbo wa kusifia mazuri yaliyofanywa na Rais wetu wa awamu ya tano Dr. John Pombe Magufuli katika kipindi hiki cha miaka mitano. Kama kijana mpenda maendeleo na mzalendo wa nchi yangu ya Tanzania nimeona sina budi kutumia kipaji changu na kutengeneza wimbo huu kwa kutumia beat na melodi za wimbo wangu wa Sikinai ambo ulifanya vizuri, kusema na kusifia yote mazuri yaliyofanywa na raisi katika serikali hii ya awamu ya tano kwa ushirikiano wa viongozi wengine katika Serikali.
    #HapaKaziTu #Magufuli #Tanzania+
  • Hudba

Komentáře • 1K

  • @evankya1955
    @evankya1955 Před 3 měsíci +6

    Who’s here 2024 remembering our hero Magufuli

  • @sesiliajoseph211
    @sesiliajoseph211 Před 4 lety +3

    Tujuane wajameni wale tusiochoka kuiskiliza na hili dundo huchoki tupieni m like yenu apa

  • @petronilatimoth9241
    @petronilatimoth9241 Před 4 lety +6

    Kazi nzuri sana kama unamkibali beka weka like hapo

  • @abuharalute752
    @abuharalute752 Před 3 lety +2

    Hili lisongi linakosha ile mbaya inabid liwe no 1 kwenye kampen zote za ccm .......like kam ndio

  • @modestusndunguru4638
    @modestusndunguru4638 Před 4 lety +51

    Huuu.. Ndio usaniiii.. Sio mtu... Unaponda.. Adi uwongooo.. Daily.. Vizuriiiii vina wenyewe.. Safiiii sana.. Wanyooosheeeeeeeew. Beka fleva.. Wanao tupo.. Kibao.... Magu mwanzoo mwisho...............

  • @aminaabdiabdi7112
    @aminaabdiabdi7112 Před 4 lety +38

    Jaman wapi like Kwa Mr president JPM 💞

  • @mwendwamjukuu9468
    @mwendwamjukuu9468 Před 4 lety +124

    Huyu ndio ameimbia magu nyimbo tamu

  • @jastinikibasa92
    @jastinikibasa92 Před 4 lety +88

    Kama unamkubali kijana huyu gonga like kama zote

  • @kamaaog5281
    @kamaaog5281 Před 3 lety +11

    Who's here after his demise,RIP Magufuli. Much love from +254

  • @ntimifrank2770
    @ntimifrank2770 Před 4 lety +9

    Yan sijui ni nn haijagusa 1M lakin kiukwel hii ngoma naitazama kama ndo ngoma tamu kuliko zote zinazoitaja ccm 2020

  • @charlessteve4583
    @charlessteve4583 Před 4 lety +119

    Tunaoangalia nyimbo huku tunasoma comments tujuane kwan #like

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 Před 4 lety +59

    Ah Beka! Ulikua wapi mwanangu?
    Kazi kubwa hii 👏👏👏hongera

  • @kibsnick
    @kibsnick Před 4 lety +59

    am from kenya but i really like Magufuli....kama wapenda Magu piga like

  • @frizohboy4631
    @frizohboy4631 Před 4 lety +12

    Beka kweli huu wimbo n moto🔥🔥💯...Watanzania mnapenda sana rais wenu Magufuli, hongera sana piteni na likes hpa👍👍

  • @modestusndunguru4638
    @modestusndunguru4638 Před 4 lety +1

    Magu kiboko....wasanii wanaimba wenyewe.... Kwa sababu vya kuimba vipo.. Zamani havikuwepo... Msanii... Usipotoka.. Wakati wa magu hautoki tena.. .safi sana jpm kwa kutenda vitu vinaonekana hâta mtu akiimba... Ni ukweli mtupu.. Vivaaaaaaaaaaaaaa.. Jpmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm

  • @senetamtangazaji2901
    @senetamtangazaji2901 Před 4 lety +240

    Kama unakubali Huu wimbo umepiku nyimbo zote za Magu gonga like

  • @asinatjuma8088
    @asinatjuma8088 Před 4 lety +100

    Hii song ni moto umewafumika wote like kwa beka 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @emmamkapwa5108
    @emmamkapwa5108 Před 4 lety +280

    We jamaa unajua sana mpaka unakelaaa,wanao mkubali beka kama me twende sawa kwenye like

    • @Zanzibar_quiztv
      @Zanzibar_quiztv Před 4 lety

      Emma Mkapwa czcams.com/video/E2iUxMvJbEc/video.html

    • @frashakim6932
      @frashakim6932 Před 4 lety

      Aminia Beka

    • @nancysafari6613
      @nancysafari6613 Před 4 lety

      Kazi safi

    • @mikaelmatayo4001
      @mikaelmatayo4001 Před 4 lety +1

      Safia

    • @maida2710
      @maida2710 Před 4 lety +1

      Yuko vizuri sana beka tz oyeeeeeee nasi ambaye tuko nchi za bje tunajivunia sana wasanii wote oyeeeeeeeeeee nawapenda sana wameipepetusha bendera tanzania kiuhakika bila woga ccm oyeeeèeeeee

  • @husseinbakary1969
    @husseinbakary1969 Před 4 lety +2

    Beka kati ya wanamuziki wote walotoa nyimbo za chama hii ime take over

  • @mundhirabubakar9065
    @mundhirabubakar9065 Před 4 lety +1

    Sasa bongo fleva imekua kilamtu anaimba magufuli kesho itakua vichekesho kwasababu nyimbo zao zitapigwa sehemu mojatu huwezi piga nyimbohii club au harusini lazima uondoswe #tubadilike

  • @munadlebobo5234
    @munadlebobo5234 Před 4 lety +7

    🇰🇪💃💃watz nawapa hongera

  • @princenewton
    @princenewton Před 4 lety +106

    The only person who can use the same beat and make something lit AF🔥🔥🔥🔥🔥🔥much love from your brother's KENYAN'S 🇰🇪.

  • @margarethorgenes4874
    @margarethorgenes4874 Před 4 lety +1

    Beka umefunga kazi kijana. Umedadavua miradi yoteeeeeeeeee. Wakufuatia afunge mkanda kisawasawa.

  • @davidgikonyo2862
    @davidgikonyo2862 Před 4 lety +1

    From Kenya I love makufuli saaaaana kupitia beka penzi limezidi Tanzania kazi tu I wish it was my country

  • @onestakilanda7280
    @onestakilanda7280 Před 4 lety +49

    kama unamkubali beka gonga like hapa

  • @tajiristephen
    @tajiristephen Před 3 lety +3

    RIP MAGUFULI 🇰🇪

  • @mwanzalimajmashimba
    @mwanzalimajmashimba Před 4 lety

    Mimi kwa maoni wimbo huu uko vizuri isipokuwa tu baadhi maneno uliyotumia mfano, wenye veti feki umewapangusa, kupangusa ni kukiondolea uchafu kitu, kwahiyo ni kama unasema amewasafisha yaani amewafanya wawe safi, badala yake ungetumia maneno haya wenye veti feki umewafagia.

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 Před 3 lety

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.

  • @josephelias6066
    @josephelias6066 Před 4 lety +148

    Team Magufuli
    Gonga like hapa tujuane

    • @hamidangitu227
      @hamidangitu227 Před 4 lety

      Duh wee kaka hunajua kuimba kweri na hunasauti mzurii

  • @peterblessing7968
    @peterblessing7968 Před 4 lety +287

    Wa kwanza from kenya jamani naombeni likes hata kumi nijione kama wengine

  • @daphynemoke5145
    @daphynemoke5145 Před 4 lety +2

    Si mtu tu anialike Tanzania nitembee...Hii ni song ya tatu inamsifia Magufuli na sisi bado huku kwetu ni pekejeng,parte after parte kesho nikama mjulubeng itakua launched... Tanzania musicians mko juu...Nice song and much love from Kenya...Sikinai my favourite

  • @chibudonscott5807
    @chibudonscott5807 Před 4 lety

    Huyu jamaa anapotea hivi hivi.. Bado hajatoboa anajihusisha na mambo ya ccm tena kwa kufuata mkumbo .. Save hii comment huyu jamaa ndio basi tena 🙌🙌🙌

  • @irenechogoofficial5901
    @irenechogoofficial5901 Před 4 lety +6

    Umeimba mtoto wetu lit.. May God bless work of your hand ,am on my knees praying for Beka usonge mbele milele

  • @vanbraiysee2858
    @vanbraiysee2858 Před 4 lety +42

    Kazi Mzuri Kijana Rais Anataka ivo Kijana

  • @moriz254
    @moriz254 Před 4 lety +2

    Haijalishi nmefika saa ngapi but likes zangu nipee mkiwa well represented kutoka Kenya +254 twatamani uongozi kama huo.

  • @diallokimbumbu7843
    @diallokimbumbu7843 Před 4 lety +1

    Hongera Beka kumwimbia Magufuli, hata mimi namukubali. Mimi ni Shabiki wako toka mgi mkuu Kinshasa. Hongera Magufuli, Hongera Beka.

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 Před 4 lety +3

    Aisee!! Hii ngoma nikubwa sana,,naamini hata Halima Mdee Zitto Akina Lema nawengine wtakua wnaicheza kwasili sili mzee duuh,,,kazi safi kiroho safi,,,,Viva Jpm,,,,,viva Beka,,,Amani itawale One love,,,

  • @medystarter
    @medystarter Před 4 lety +19

    Nimesikia cover nyingi lakini hii fire 🔥🔥🔥🔥 🎶niame niende wapi CCM ndio nyumbani Magufuli ONGEZA kasi Hapa kazi tu🎶🎶🙏bless you bro beka. @meddystarter

  • @faudhiaomary152
    @faudhiaomary152 Před 4 lety +1

    Sauti hapot dah mungu akupe nguvu kwenye safar yk ya mziki

  • @jenyprotas2012
    @jenyprotas2012 Před 4 lety +1

    Safari hii ccm mko juu wanamziki mnaimba hongera sana dogo

  • @mxinwaonke599
    @mxinwaonke599 Před 3 lety +3

    I like this Song,I like his confidence....I don`t understand this language I`m a South African,But I like African Music

  • @MsuyaMsuyaJr
    @MsuyaMsuyaJr Před 4 lety +54

    Wangapi wanairudia rudia hii mgoma gonga like twende 2020 ama vp

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 4 lety +2

    Daaaaaaa yani siishiwi ham kuichek hii nyimbo beka unaweza kk 😍😘...naludia mara mbil mbil from UAE....i love song

  • @hadijakapombe7018
    @hadijakapombe7018 Před 4 lety

    Unaposema vijijini huduma za afya zimeenea nakasilika sana wakati huku mlimba hospital haiyeleweki dawa zikiletwa Leo kesho hakuna vyoo hakuna sehemu za sindano na kutolea meno hakuna maji ile vyuma anatoka kutolewa mtu jino inaoshwa na maji baridi anatolewa mwingine na hospital imechoooka wahudumu wenye wadhifa wao wameondolewa wote wamebaki wale wa mtoto wa mjomba na shangaz walofeli form4 wakapeleka kusoma unesi miezi kadhaa wanaajiliwa pale jamn,,,balabala ifakara mlimba ni mbaayaaaa hakuna mfano,,mungu atuliende mi naumia sana pale hospital mtu akilazwa nafikili anatoka na gonjwa jipya,,naomba Siku magu apite kule jaman hali nitete sana

  • @muasyapaul2237
    @muasyapaul2237 Před 4 lety +18

    My best !!!we Kenyans are in love with this

  • @alirimanicholaijnr8985
    @alirimanicholaijnr8985 Před 4 lety +14

    Awesome of All theTanzanian Musicians who dearly Honour there president His Excellency Magufuli the "Great" forcthe tremendous Achievements.
    Ooo Ooooh!!!
    If only My Museveni is being honoured like this too by our Artists!

  • @vinrythie1917
    @vinrythie1917 Před 4 lety

    i wonder how our uhuru na ruto uskia jirani magufuli akisifiwa kwa utenda kazi bora kwa kipindi cha miaka minne...rais ni vitendo si panganga...pombe magufuli kip it up soon tunahamia uko. thanks beka for another tune.. cant get enough of this big tune...majaliwa ongeza kasi wale wapate wasiwasi

  • @gatolucchannel.5425
    @gatolucchannel.5425 Před 4 lety +1

    I love Magufuli so much namushika kama babayangu

  • @OverdozClassic
    @OverdozClassic Před 4 lety +14

    From Kenya... I like the song plus the classic video

  • @mgenisuleiman56
    @mgenisuleiman56 Před 4 lety +5

    Iam from kenya bt i really love tanzania, Magufuli iam proud of u

  • @localcheif9208
    @localcheif9208 Před 3 lety +2

    Muheshimiwa Magufuli greatest African leader of all the time. May Allah reward you for all your good deeds!

  • @amosngolo3654
    @amosngolo3654 Před 4 lety

    Show hamna life gumu,,,bora uimbe kusifu pengne utafkiriwa kwa chochote

  • @richardmweri7918
    @richardmweri7918 Před 4 lety +20

    This boy needs support for real he's talented

    • @deusntobi1450
      @deusntobi1450 Před 4 lety +2

      But aachane na ishu za kuwagawa watu siasa

  • @kamarat36safari52
    @kamarat36safari52 Před 4 lety +9

    Big up Beka frm 254🇰🇪 tuko pa 1 bro, Umeshinda wote 👍

  • @salomefrancis4750
    @salomefrancis4750 Před 2 lety

    hii nyimbo yanitoa machozi sana naipenda mnoo lala vema baba wawanyonge hatatokea mwengine km wewe magufuli

  • @aishamashina5992
    @aishamashina5992 Před 4 lety +1

    Hongera kaka umejua kutunga ama kweli wewe kichwa safi sana

  • @mrmsigwa7617
    @mrmsigwa7617 Před 4 lety +15

    Ukikoment nakupa like... Anza na mm uone

  • @mudhihryngolome1259
    @mudhihryngolome1259 Před 4 lety +6

    Shabiki yako Mimi from +254 ndani ndaniii nakukubali sana kakaa toa OG sasa new

  • @michaelmcphilly7124
    @michaelmcphilly7124 Před 4 lety +1

    Wimboo mzurii sanaa huuu ccm kibokoo yaoo

  • @davidjairus2653
    @davidjairus2653 Před 4 lety +4

    Nilikukubali tangu enzi zile from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @linetnyawira1915
    @linetnyawira1915 Před 4 lety +3

    Congratulations to tanzanian u really love and appreciate not only your president but also your country ,harmo,nandi now its Beka .big up quys .much love from kenya.goof example to all musicians.

  • @osmanabduli3976
    @osmanabduli3976 Před 4 lety +8

    Finally seeing my country Tanzania from outside and how beautiful it is😍💯

  • @samcharzy4657
    @samcharzy4657 Před 4 lety

    Watu wanacheza na vipindi🤗🤗🤗🙌🙌🙌 ila maendeleo hayana chama mzee baba

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před 2 lety

    Ngoma hii kali nammc magufuli amentoa mm mbal binafc mungu mlaze mahal pema pepon amean

  • @nyamkamawanjara29
    @nyamkamawanjara29 Před 4 lety +3

    Ccm oyeeeeeee,,asante beka nyimbo nzuri

  • @mulyungi1
    @mulyungi1 Před 4 lety +9

    Wale wanaamini kwamba wengine wote wanamuiga harmonize gonga like hapa #kondeboy all the way

  • @MALKIADIAMSI-sr8up
    @MALKIADIAMSI-sr8up Před rokem

    Huu wimbo umefunika nyimbo zote, jamani nimeupenda

  • @paulsengelemasengelema8950

    Safi Sana beka kwa nyimbo nzur Kama unamkubar beka weka like tusepe

  • @stefanuskuduva9125
    @stefanuskuduva9125 Před 4 lety +23

    Now I understand that Bantu people are one and Africa is one. I can feel this song from Namibia. We are about to make Kiswahili as one of our official languages to contribute to uniting Africa.

  • @jasperasave6173
    @jasperasave6173 Před 4 lety +59

    I love the Patriotism that Tanzanians have for their Country and Government.

    • @earlybird5647
      @earlybird5647 Před 4 lety +2

      Kenya would be far if we did the same

    • @brucerashfordke5102
      @brucerashfordke5102 Před 4 lety +1

      Daah i appreciate too but i admire magufuli sir .kiongozi Bora Bora afrika mashariki sisi hapa Kenya usherati itatumaliza .if watch pombe well anafanya KAZI nzuri ..akija Kenya 1year serikali itanyooka I believe!!!

  • @elizabethopere2784
    @elizabethopere2784 Před 4 lety

    Yan hii nyimbo naikubali saaana kila asbuh nasikiza . Umetengeneza nyimbo nzur sana

  • @Wakio231
    @Wakio231 Před 3 lety +1

    Magufuli 😭😭😭😭😭😭😭😭😭mbona ikawa hivi Mungu.

  • @umbeaeastafrica7943
    @umbeaeastafrica7943 Před 4 lety +27

    You guys really love your country. Real patriots.
    Much respect from +254.

  • @samuelibky8989
    @samuelibky8989 Před 4 lety +71

    Kama unahamini hapa kazi tu! Gonga like hapa.
    From 🇨🇩🇨🇩

  • @nyapambasango7606
    @nyapambasango7606 Před 4 lety

    Sema njaa ni mbaya sana hata mnashindwa kuimba mahitaji ya watu wanyonge mnabaki kusifia kwasababu ya njaa zenu tuu

  • @ravascomusic7924
    @ravascomusic7924 Před 4 lety +1

    Hapa kazi tu..napenda beka flavour for real...#ravascolenya

  • @khadijamillanzi5273
    @khadijamillanzi5273 Před 4 lety +3

    Kazi nzuri

  • @nkikurukisura8216
    @nkikurukisura8216 Před 4 lety +4

    Dogo upo vizuri sana. Mungu akuzidishie kipaji chako Inshaa Allah

  • @egrajames6516
    @egrajames6516 Před 4 lety +1

    Wimbo ni mzuri umeua mzee baba

  • @victorymmombwa5901
    @victorymmombwa5901 Před 4 lety +1

    Wakuache tu wewe ni big Star beka

  • @Jomba-lao
    @Jomba-lao Před 4 lety +162

    MAGUFULI UKO WAPI YANI HARMONIZE, NANDY PAMOJA NA BEKA (NEW SONGS)

    • @Zanzibar_quiztv
      @Zanzibar_quiztv Před 4 lety +1

      SHARIF BIN NOOR czcams.com/video/E2iUxMvJbEc/video.html

    • @timothymachimbo2233
      @timothymachimbo2233 Před 4 lety

      Ilianza na baba yao Diamond wakati wa kampeni zake za uraisi

    • @Jomba-lao
      @Jomba-lao Před 4 lety

      @@timothymachimbo2233 I know diamond he's the one who started but I'm now confusing on new songs

    • @antybabybintrashid2333
      @antybabybintrashid2333 Před 4 lety

      Emagn nawote wameimba vtu vya kweli magufuli kiboko

    • @monicasimon6845
      @monicasimon6845 Před 4 lety +1

      SHARIF BIN NOOR hapo kiboko ni ya harmonize tu hiii ya beka sijailewa

  • @Geemuli9611
    @Geemuli9611 Před 4 lety +25

    Wow I just love Tanzania 😍😍 my Kenyan pple ambieni pozee atoe song ya uhunye 🤭😂😂😂😂😂😂

  • @aminamaulidi1788
    @aminamaulidi1788 Před 4 lety +1

    Wimbo upo vzr hongera beka

  • @bakarisafidino6721
    @bakarisafidino6721 Před 4 lety +1

    Daaaah safi boby uko vizuri

  • @marympemba8843
    @marympemba8843 Před 4 lety +3

    Umeimba vizuri sana beka 🙏🙏🙏🇹🇿💕

  • @fatumahassan8212
    @fatumahassan8212 Před 4 lety +6

    CONGRATULATIONS
    NICE SONG 👏👏👏👏

  • @wilsonmtiba6227
    @wilsonmtiba6227 Před 4 lety

    Mziki umekushinda kalime eti ameongeza walimu wewe ungejua watu tunavyoumia mitaani ajira hakuna afu munamsifia badala mumuambieni ukweli Mungu anawaona

  • @jamesjoseph6826
    @jamesjoseph6826 Před 4 lety +1

    MAGUFULI ni rais wa tanzania atakaye acha historia nzuri sana.powa BEKA FLAVOUR

  • @FelixNjeru_maddi
    @FelixNjeru_maddi Před 4 lety +21

    Kenya we are here!

  • @philemonkiller315
    @philemonkiller315 Před 4 lety +173

    Kama una mkubali beka like apa

  • @shadianiyonsaba1134
    @shadianiyonsaba1134 Před 4 lety

    Ww njo umeimba nyimbo nzuli ya magufuli umewafunika wote ww 1👏👏👏

  • @lucksonmaunga5398
    @lucksonmaunga5398 Před rokem +1

    I don't understand this language but I like this song God bless you 👍👍❤️

  • @kgmildo5503
    @kgmildo5503 Před 4 lety +7

    Noma kweli usipite bila like hapa jamani

  • @fatumadjumbe2551
    @fatumadjumbe2551 Před 4 lety +5

    Beka ume nikosha moyo nilikua ni mesha ku miss ile mbaya raha kama zote✌❤❤😘

  • @devidpanja115
    @devidpanja115 Před 4 lety +1

    Mh Magufuli kipindi cha kampeni usichoke tunaomba usiongee chochotee. Kaz itakua ni kucheza hizi nyimbo tuuu

  • @heromejasenghor8602
    @heromejasenghor8602 Před 4 lety +3

    Voice yako beka nitosha good job brother kwahiyo song 💥🤴

  • @IYANIZZO
    @IYANIZZO Před 4 lety +24

    Good Song 🔥🔥 Ogopa Mmakonde 😂😂 Ndio Trend Ya Mjini

  • @isbrandztz1020
    @isbrandztz1020 Před 4 lety +1

    Ningekuwa nao uwezo wa kukurank 5 stars Beka unastahili hilo, nyimbo zako hazijawai nichosha, hii cover haiwezi potea masikioni kwa Magufuli.

  • @piuskusekwa3128
    @piuskusekwa3128 Před 4 lety +1

    Nimeukubalii wimbo adi raha

  • @aminasaeed3648
    @aminasaeed3648 Před 4 lety +8

    Oyoooooooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥lik zen kwa wing 💥💥

    • @Zanzibar_quiztv
      @Zanzibar_quiztv Před 4 lety

      Amina Saeed czcams.com/video/E2iUxMvJbEc/video.html