BEKA FLAVOUR - HAPA KAZI TU (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 13. 11. 2019
- Hapa kazi tu ni wimbo wa kusifia mazuri yaliyofanywa na Rais wetu wa awamu ya tano Dr. John Pombe Magufuli katika kipindi hiki cha miaka mitano. Kama kijana mpenda maendeleo na mzalendo wa nchi yangu ya Tanzania nimeona sina budi kutumia kipaji changu na kutengeneza wimbo huu kwa kutumia beat na melodi za wimbo wangu wa Sikinai ambo ulifanya vizuri, kusema na kusifia yote mazuri yaliyofanywa na raisi katika serikali hii ya awamu ya tano kwa ushirikiano wa viongozi wengine katika Serikali.
#HapaKaziTu #Magufuli #Tanzania+ - Hudba
Who’s here 2024 remembering our hero Magufuli
Tujuane wajameni wale tusiochoka kuiskiliza na hili dundo huchoki tupieni m like yenu apa
Kazi nzuri sana kama unamkibali beka weka like hapo
Hili lisongi linakosha ile mbaya inabid liwe no 1 kwenye kampen zote za ccm .......like kam ndio
Huuu.. Ndio usaniiii.. Sio mtu... Unaponda.. Adi uwongooo.. Daily.. Vizuriiiii vina wenyewe.. Safiiii sana.. Wanyooosheeeeeeeew. Beka fleva.. Wanao tupo.. Kibao.... Magu mwanzoo mwisho...............
Jaman wapi like Kwa Mr president JPM 💞
Huyu ndio ameimbia magu nyimbo tamu
Mwendwa mjukuu bira n ww uneona
Yes, maneno kapangika na kusikika vyema, wimbo mzuri sana
Mwendwa mjukuu kabisa ndugu yangu
Du tamu Sana nyimbo hii
nakukubali sana kaka b uko vzl sana
Kama unamkubali kijana huyu gonga like kama zote
Who's here after his demise,RIP Magufuli. Much love from +254
Yan sijui ni nn haijagusa 1M lakin kiukwel hii ngoma naitazama kama ndo ngoma tamu kuliko zote zinazoitaja ccm 2020
Tunaoangalia nyimbo huku tunasoma comments tujuane kwan #like
Ah Beka! Ulikua wapi mwanangu?
Kazi kubwa hii 👏👏👏hongera
am from kenya but i really like Magufuli....kama wapenda Magu piga like
👌
Beka kweli huu wimbo n moto🔥🔥💯...Watanzania mnapenda sana rais wenu Magufuli, hongera sana piteni na likes hpa👍👍
Magu kiboko....wasanii wanaimba wenyewe.... Kwa sababu vya kuimba vipo.. Zamani havikuwepo... Msanii... Usipotoka.. Wakati wa magu hautoki tena.. .safi sana jpm kwa kutenda vitu vinaonekana hâta mtu akiimba... Ni ukweli mtupu.. Vivaaaaaaaaaaaaaa.. Jpmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm
Kama unakubali Huu wimbo umepiku nyimbo zote za Magu gonga like
Dogo anajua sana
Kabisaaa
Umechangamka saaana
Haiwez kuipiku ya harmonize
Yeah Seneta ur ✔️ Beka amepiku wa Nandy na hata wa Harmonize, Na ameendana xna na vibe la hii ngoma
Hii song ni moto umewafumika wote like kwa beka 🔥🔥🔥🔥🔥
Alimony
🤔❤❤
We jamaa unajua sana mpaka unakelaaa,wanao mkubali beka kama me twende sawa kwenye like
Emma Mkapwa czcams.com/video/E2iUxMvJbEc/video.html
Aminia Beka
Kazi safi
Safia
Yuko vizuri sana beka tz oyeeeeeee nasi ambaye tuko nchi za bje tunajivunia sana wasanii wote oyeeeeeeeeeee nawapenda sana wameipepetusha bendera tanzania kiuhakika bila woga ccm oyeeeèeeeee
Beka kati ya wanamuziki wote walotoa nyimbo za chama hii ime take over
Sasa bongo fleva imekua kilamtu anaimba magufuli kesho itakua vichekesho kwasababu nyimbo zao zitapigwa sehemu mojatu huwezi piga nyimbohii club au harusini lazima uondoswe #tubadilike
🇰🇪💃💃watz nawapa hongera
The only person who can use the same beat and make something lit AF🔥🔥🔥🔥🔥🔥much love from your brother's KENYAN'S 🇰🇪.
Prince Newton czcams.com/video/E2iUxMvJbEc/video.html
Definitely
Beka umefunga kazi kijana. Umedadavua miradi yoteeeeeeeeee. Wakufuatia afunge mkanda kisawasawa.
From Kenya I love makufuli saaaaana kupitia beka penzi limezidi Tanzania kazi tu I wish it was my country
kama unamkubali beka gonga like hapa
Sana
RIP MAGUFULI 🇰🇪
Mimi kwa maoni wimbo huu uko vizuri isipokuwa tu baadhi maneno uliyotumia mfano, wenye veti feki umewapangusa, kupangusa ni kukiondolea uchafu kitu, kwahiyo ni kama unasema amewasafisha yaani amewafanya wawe safi, badala yake ungetumia maneno haya wenye veti feki umewafagia.
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
Team Magufuli
Gonga like hapa tujuane
Duh wee kaka hunajua kuimba kweri na hunasauti mzurii
Wa kwanza from kenya jamani naombeni likes hata kumi nijione kama wengine
Naftally OG czcams.com/video/E2iUxMvJbEc/video.html
@@Zanzibar_quiztv 🤘
Tuko mbele pamoja
Ety
KondeGang Konde Gang Don’t worry 😉 we are here 💪💪💪💪🎶🎶🎶🎵
Si mtu tu anialike Tanzania nitembee...Hii ni song ya tatu inamsifia Magufuli na sisi bado huku kwetu ni pekejeng,parte after parte kesho nikama mjulubeng itakua launched... Tanzania musicians mko juu...Nice song and much love from Kenya...Sikinai my favourite
Huyu jamaa anapotea hivi hivi.. Bado hajatoboa anajihusisha na mambo ya ccm tena kwa kufuata mkumbo .. Save hii comment huyu jamaa ndio basi tena 🙌🙌🙌
Umeimba mtoto wetu lit.. May God bless work of your hand ,am on my knees praying for Beka usonge mbele milele
Kazi Mzuri Kijana Rais Anataka ivo Kijana
Van Braiysee czcams.com/video/E2iUxMvJbEc/video.html
Keep it up
Haijalishi nmefika saa ngapi but likes zangu nipee mkiwa well represented kutoka Kenya +254 twatamani uongozi kama huo.
Hongera Beka kumwimbia Magufuli, hata mimi namukubali. Mimi ni Shabiki wako toka mgi mkuu Kinshasa. Hongera Magufuli, Hongera Beka.
Aisee!! Hii ngoma nikubwa sana,,naamini hata Halima Mdee Zitto Akina Lema nawengine wtakua wnaicheza kwasili sili mzee duuh,,,kazi safi kiroho safi,,,,Viva Jpm,,,,,viva Beka,,,Amani itawale One love,,,
Nimesikia cover nyingi lakini hii fire 🔥🔥🔥🔥 🎶niame niende wapi CCM ndio nyumbani Magufuli ONGEZA kasi Hapa kazi tu🎶🎶🙏bless you bro beka. @meddystarter
Kam sin vidole
Sauti hapot dah mungu akupe nguvu kwenye safar yk ya mziki
Safari hii ccm mko juu wanamziki mnaimba hongera sana dogo
I like this Song,I like his confidence....I don`t understand this language I`m a South African,But I like African Music
Wangapi wanairudia rudia hii mgoma gonga like twende 2020 ama vp
Daaaaaaa yani siishiwi ham kuichek hii nyimbo beka unaweza kk 😍😘...naludia mara mbil mbil from UAE....i love song
Unaposema vijijini huduma za afya zimeenea nakasilika sana wakati huku mlimba hospital haiyeleweki dawa zikiletwa Leo kesho hakuna vyoo hakuna sehemu za sindano na kutolea meno hakuna maji ile vyuma anatoka kutolewa mtu jino inaoshwa na maji baridi anatolewa mwingine na hospital imechoooka wahudumu wenye wadhifa wao wameondolewa wote wamebaki wale wa mtoto wa mjomba na shangaz walofeli form4 wakapeleka kusoma unesi miezi kadhaa wanaajiliwa pale jamn,,,balabala ifakara mlimba ni mbaayaaaa hakuna mfano,,mungu atuliende mi naumia sana pale hospital mtu akilazwa nafikili anatoka na gonjwa jipya,,naomba Siku magu apite kule jaman hali nitete sana
My best !!!we Kenyans are in love with this
Awesome of All theTanzanian Musicians who dearly Honour there president His Excellency Magufuli the "Great" forcthe tremendous Achievements.
Ooo Ooooh!!!
If only My Museveni is being honoured like this too by our Artists!
Alirima Nicholai Jnr what has he achieved for him to be honored? Coming from a Nigerian.
i wonder how our uhuru na ruto uskia jirani magufuli akisifiwa kwa utenda kazi bora kwa kipindi cha miaka minne...rais ni vitendo si panganga...pombe magufuli kip it up soon tunahamia uko. thanks beka for another tune.. cant get enough of this big tune...majaliwa ongeza kasi wale wapate wasiwasi
I love Magufuli so much namushika kama babayangu
From Kenya... I like the song plus the classic video
Iam from kenya bt i really love tanzania, Magufuli iam proud of u
Vizur
Muheshimiwa Magufuli greatest African leader of all the time. May Allah reward you for all your good deeds!
Show hamna life gumu,,,bora uimbe kusifu pengne utafkiriwa kwa chochote
This boy needs support for real he's talented
But aachane na ishu za kuwagawa watu siasa
Big up Beka frm 254🇰🇪 tuko pa 1 bro, Umeshinda wote 👍
hii nyimbo yanitoa machozi sana naipenda mnoo lala vema baba wawanyonge hatatokea mwengine km wewe magufuli
Hongera kaka umejua kutunga ama kweli wewe kichwa safi sana
Ukikoment nakupa like... Anza na mm uone
Shabiki yako Mimi from +254 ndani ndaniii nakukubali sana kakaa toa OG sasa new
Wimboo mzurii sanaa huuu ccm kibokoo yaoo
Nilikukubali tangu enzi zile from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Congratulations to tanzanian u really love and appreciate not only your president but also your country ,harmo,nandi now its Beka .big up quys .much love from kenya.goof example to all musicians.
Finally seeing my country Tanzania from outside and how beautiful it is😍💯
Watu wanacheza na vipindi🤗🤗🤗🙌🙌🙌 ila maendeleo hayana chama mzee baba
Ngoma hii kali nammc magufuli amentoa mm mbal binafc mungu mlaze mahal pema pepon amean
Ccm oyeeeeeee,,asante beka nyimbo nzuri
Wale wanaamini kwamba wengine wote wanamuiga harmonize gonga like hapa #kondeboy all the way
Huu wimbo umefunika nyimbo zote, jamani nimeupenda
Safi Sana beka kwa nyimbo nzur Kama unamkubar beka weka like tusepe
Now I understand that Bantu people are one and Africa is one. I can feel this song from Namibia. We are about to make Kiswahili as one of our official languages to contribute to uniting Africa.
You are welcome in Tanzania
One love
I love the Patriotism that Tanzanians have for their Country and Government.
Kenya would be far if we did the same
Daah i appreciate too but i admire magufuli sir .kiongozi Bora Bora afrika mashariki sisi hapa Kenya usherati itatumaliza .if watch pombe well anafanya KAZI nzuri ..akija Kenya 1year serikali itanyooka I believe!!!
Yan hii nyimbo naikubali saaana kila asbuh nasikiza . Umetengeneza nyimbo nzur sana
Magufuli 😭😭😭😭😭😭😭😭😭mbona ikawa hivi Mungu.
You guys really love your country. Real patriots.
Much respect from +254.
Kama unahamini hapa kazi tu! Gonga like hapa.
From 🇨🇩🇨🇩
samweli Bky czcams.com/video/E2iUxMvJbEc/video.html
🔥🔥🔥🔥🔥🔥💥
Are you from congo
@@Zanzibar_quiztv ok
Sema njaa ni mbaya sana hata mnashindwa kuimba mahitaji ya watu wanyonge mnabaki kusifia kwasababu ya njaa zenu tuu
Hapa kazi tu..napenda beka flavour for real...#ravascolenya
Kazi nzuri
Dogo upo vizuri sana. Mungu akuzidishie kipaji chako Inshaa Allah
Wimbo ni mzuri umeua mzee baba
Wakuache tu wewe ni big Star beka
MAGUFULI UKO WAPI YANI HARMONIZE, NANDY PAMOJA NA BEKA (NEW SONGS)
SHARIF BIN NOOR czcams.com/video/E2iUxMvJbEc/video.html
Ilianza na baba yao Diamond wakati wa kampeni zake za uraisi
@@timothymachimbo2233 I know diamond he's the one who started but I'm now confusing on new songs
Emagn nawote wameimba vtu vya kweli magufuli kiboko
SHARIF BIN NOOR hapo kiboko ni ya harmonize tu hiii ya beka sijailewa
Wow I just love Tanzania 😍😍 my Kenyan pple ambieni pozee atoe song ya uhunye 🤭😂😂😂😂😂😂
Ya corruption ama
Gracious Mulli goma kali san hongera kwako bek
😂 😂 😂
Wimbo upo vzr hongera beka
Daaaah safi boby uko vizuri
Umeimba vizuri sana beka 🙏🙏🙏🇹🇿💕
CONGRATULATIONS
NICE SONG 👏👏👏👏
Mziki umekushinda kalime eti ameongeza walimu wewe ungejua watu tunavyoumia mitaani ajira hakuna afu munamsifia badala mumuambieni ukweli Mungu anawaona
MAGUFULI ni rais wa tanzania atakaye acha historia nzuri sana.powa BEKA FLAVOUR
Kenya we are here!
Felix Njeru czcams.com/video/E2iUxMvJbEc/video.html
Yeeees watching from +966 big up 👏👏👏👏👏👏👌
Karibu shemeji🙂🇹🇿🇰🇪
Kama una mkubali beka like apa
Philemon Killer czcams.com/video/E2iUxMvJbEc/video.html
Kkkkkk
@@richnessiddi2725 😁😁😁😁 wey tena kumbe
Sanaaaaa mwanangu umetsh
Philemon Killer Am his fan 100%
Ww njo umeimba nyimbo nzuli ya magufuli umewafunika wote ww 1👏👏👏
I don't understand this language but I like this song God bless you 👍👍❤️
Noma kweli usipite bila like hapa jamani
Beka ume nikosha moyo nilikua ni mesha ku miss ile mbaya raha kama zote✌❤❤😘
Mh Magufuli kipindi cha kampeni usichoke tunaomba usiongee chochotee. Kaz itakua ni kucheza hizi nyimbo tuuu
Voice yako beka nitosha good job brother kwahiyo song 💥🤴
Good Song 🔥🔥 Ogopa Mmakonde 😂😂 Ndio Trend Ya Mjini
IYANIZZO THE GENIUS czcams.com/video/E2iUxMvJbEc/video.html
Hapa kazi tu!!!!
Ningekuwa nao uwezo wa kukurank 5 stars Beka unastahili hilo, nyimbo zako hazijawai nichosha, hii cover haiwezi potea masikioni kwa Magufuli.
Nimeukubalii wimbo adi raha
Oyoooooooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥lik zen kwa wing 💥💥
Amina Saeed czcams.com/video/E2iUxMvJbEc/video.html