Wachambuzi wa nchi hii wengi ni mamuruki hawajielewi,,yani tulileta kina ngoma,babar,jobe fred etc wakasema tumejaza wazee,saizi tumeleta under 24 wanasema bado wadogo hawatafanya chochote yan wachambuz wa bongo wengi wao ni kama malaya tu hawaelew wanachokizungumza
Hakuna wachambuzi hao wote vilaza hivi kweli game ile ya muungano wakina mashaka hawawezi cheza hata hawajiulizi kuwa Simba inamashindano madogo kama muungano ambayo kalabaka,mashaka wanacheza
UKIONA MCHEZAJI KAMA DEBORA ANATOKA TIMU NDOGO LAKINI ANACHAGULIWA TIMU YA TAIFA UJUWE KAWATIA ADABU SANA WAFUNGAJI WA TIMU KUBWA SIO BURE HAPO SIMBA WAMEPATIYA TENA SANA â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤ SIMBA OYEEEEEE â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤ SIMBA NGUVU MOJA â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤
FEISAL ANA TANGAZWA NA NYINYI WACHAMBUZI SIO KIONGOZI WA SIMBA . NYINYI NI MBUMBU WA UCHAMBUZI.... LEO MNASEMA VIJANA, KESHO MTASEMA WAZEE,, SAUTI ZENU TUNAZO....
Simba nguvu moja one team one dream forever
Wandishi Yale mukiyosema kuhusu umri Simba wamezingatiađ
Huyo mchambuzi mpumbavu sana
Waandishi hamna jema Kwa simba
Wachambuzi wa nchi hii wengi ni mamuruki hawajielewi,,yani tulileta kina ngoma,babar,jobe fred etc wakasema tumejaza wazee,saizi tumeleta under 24 wanasema bado wadogo hawatafanya chochote yan wachambuz wa bongo wengi wao ni kama malaya tu hawaelew wanachokizungumza
Hakuna wachambuzi hao wote vilaza hivi kweli game ile ya muungano wakina mashaka hawawezi cheza hata hawajiulizi kuwa Simba inamashindano madogo kama muungano ambayo kalabaka,mashaka wanacheza
Kaka awa wachezaji wazulitu
Hiyo feitoto aletwe Simba kwa gharama yoyote. Wanachama tuppo tayari kuchangia pesa.
UKIONA MCHEZAJI KAMA DEBORA ANATOKA TIMU NDOGO LAKINI ANACHAGULIWA TIMU YA TAIFA UJUWE KAWATIA ADABU SANA WAFUNGAJI WA TIMU KUBWA SIO BURE HAPO SIMBA WAMEPATIYA TENA SANA â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤ SIMBA OYEEEEEE â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤ SIMBA NGUVU MOJA â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤â¤
OYEEEEEEEEE!đđđ
Simba wamejitahidi kuboresha kukosi hongera kwa mo jamani
tupeni mauwa ya ao wa leo muna amisha oja munaanza kucho meka kwa fei
Au usajili wa Chama na Bareke ndo wa kimkakati?
Acha dharau wewe njoo wewe usajili bac maana mjuaji sana wenqine wajinqa
Kocha wa Argentina aliyebeba world cup alikua ndio mashindano yake ya mwanzo na alibeba world cup
FEISAL ANA TANGAZWA NA NYINYI WACHAMBUZI SIO KIONGOZI WA SIMBA . NYINYI NI MBUMBU WA UCHAMBUZI.... LEO MNASEMA VIJANA, KESHO MTASEMA WAZEE,, SAUTI ZENU TUNAZO....
đđ huyo mtangazaji ni muruki Comparable ni unafiki tu, mbona hatuzungumzii yanga walio chukua mvp wa Tanzania kutoka Simba Chama
Wachambuzi hacheni kununuliwa, Baleke alipokuwa simba mlisema mzee, leo kaenda Yanga mnasema usajili wa kimkakati.
Chama pia walisema Kaishiwa kashazeeka nw Yupo Yanga wanasema ana ujuzi na kimataifa anafaa đ
Wachambuzi mnatumwa na yanga ili muichafue simba
Shida unafiki yanga wachambuzi wengi inawapoteza baleke au Dube wamefanyanini kimataifa kama siyo unafiki bazi ya wachambuzi
Wachambuzi wanaichukia Simba mzee na siku zote Dunian watu wanachukia kitu kilicho bora
KWANI TSHABALALA,KAPOMBE,NGOMA,MZAMIRU NAO NI 25 KURUDI, CHINI
Hawa ni kama Popo tu
Swala sio kuchukua ubingwa nyie wachambuzi uchwara mliojawa na chuki dhidi ya Simba.
Mara toeni wazee,xxhivi wadogo nyie tuwaeleweje?
Mrs debora waoooooh !!!
Kwani JOBE nae vipi?
Jobe atakiwa akacheze Mpira wa makaratasi (sodo)