Hujawaigi kutuangusha,,, mbunge unaeongoza binadamu na wanyama,,, Polomosheni like za kutosha kama ishara ya kupaza juu sauti ya mnyonge na kuacha kulia lia,,,,
Yaani hata kabla cjaisikiliza hii ngoma,nme like kwanza maana huyu jamaa hajawahi kuniangusha.Daaaaa....jamaa kichwa sanaaaaa,Tanzania one ndo huyuuuuu.....😂😂😂😂🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Nakubali sana unavyo andika prof but no body listening wahusika wanakunywa chai and close their ear's... Keep the fire burning .hata misri haikujengwa kwa siku moja.
Fya.. Tano safi. Shikamoo Benz Mic U in the game kaka.
Kali sana hiyo Naielewa broo like zangu na professor jay
kaz nzuri mmetish mbaya
prof j ni hatareeeee Safi kamanda
Hakika watanzania tuna umoja sana, tulipokuwa kwenye matatzo hamukuachia k
ngoma, leo MO amerudi full mangoma, twende sawa, @LOVE MY COUNTRY.
Chidi n level nyingine
Nimeipitisha kiroho safii
Asante mheshimiwa Prof Jizeee kwa kutukumbuka watu wa ghetto kutulisha madini yetu.Kibabe zaidi💪
Haujawahi kuniangusha brother, (msilie)
Never stop loving this my song
Professor Jay naomba uweke ile ngoma ya salamu Bibi na Babu tafadhali
Mbona ipo,,
Hujawaigi kutuangusha,,, mbunge unaeongoza binadamu na wanyama,,,
Polomosheni like za kutosha kama ishara ya kupaza juu sauti ya mnyonge na kuacha kulia lia,,,,
Msilie kwenye taabu piga moyo konde shavu kwa Chidi Beenz return to game
Dope song#Prof.J
Msilie!
Aisee wanangu mbunge anayeongoza wanadamu na wanyama amepiga kuua,
Showing love from +254
Likes zije
Yaani hata kabla cjaisikiliza hii ngoma,nme like kwanza maana huyu jamaa hajawahi kuniangusha.Daaaaa....jamaa kichwa sanaaaaa,Tanzania one ndo huyuuuuu.....😂😂😂😂🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Asante prof unakata kiu zetu
Pamoja Sana mti mkavu
Hivi jaman hii ngoma kuna watu wanaweka dislike wanaakil kwel?
kama sitaacha comment yangu apa ntakua cjatenda haki, yani hili goma fireeeeee"msilie maisha ni mchanganyiko wa milima na mabonde"
First comment 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥☑️
254 from south Carolina am lckd.
Nakuelewa sana kaka prof
prof ww ni role model wangu ktk harakati za maisha
Kali sana ata Kenya tunatambua jay ni babayao TZ bt jay tunataka ufanye Kazi na khalgraph jones
Nakubali sana unavyo andika prof but no body listening wahusika wanakunywa chai and close their ear's... Keep the fire burning .hata misri haikujengwa kwa siku moja.
Dahh yani kiukweli Bro wewe ni noma dadeki toka enzi zile ujawayi kuniyangusha bro #msiliye 😢😥 +1
Good up bro kazii safi sana haya fungienii na hii bhac maana hamchelewii
King na Simba WA Hip Hop East Africa Wakutana.
Kunatiiisha ile balaaa.
Big up my Heros. Love from Kenya
Rushwa imeshikwa hatamu naghafla itakua halali ...huyo ndo Mbunge anayeongoza Binadamu na wanyama.Heshima kwako kaka
Chumaaa
Mr hitt
Niko hapa juu ya P Jay hajai angusha
Daaah ipaze juu sauti ya mnyonge kwa kweli ....big up to the legends
Umembania chuma.. hajachana hii ngoma inahitaji remix....
nice boy
Maisha ni mchanganyiko wa milima na mabonde much respect kwenu
Hii nyimbo bado ina vibe ile ile, acha bhana. Hizi nyimbo na mambo tunayopitia kipindi hiki daah
hili dude nomaaaa le prof umetisha respect kwako kama zote yani 🔝
Shikamoooo!.. The heavyweight Eemc+Chuma nondo,
Kali saanaaa
juuu kama mwezi
Kali sana mzee
Bonge la Meseji brother
Like down km ngoma umeikubali
Bongo is back .. love from Kla.
Sijamsikia chid
kwenye chorus
🔥🔥🔥we real missed that jay
htl sana we jmaa nkubli sana ila mkumbuke Dogo mmoja wakuitwa colourless
Wow ngoma kali snaa, but chid ajachana nilitamani achane..
Ngoma imetulia balaa #Msilie
uyo noooma profesa
Chidii rudi kwenyee game bana
oyooo pini kaliiii kinomaà
Big-up Prof Jay
Mziki mnene kama kawaida...una beep wanakimbia..
Professor wa mziki kweli!
tisha sana
I support chidi Benz arudi
Umetisha
Vina vikali Jay
J ngoma kal sn,tunaomba vidio tafadhar
Thanks brother for the nice massage
chid wewe ni mkali lkn sijuwi wapi una kwama kaka
Kassim Ali hujui VIP kama anatumia madawa?
mh ..nakutabiria makubwa
..it sounds like an old song..ilirecordiwa kitambo hii ngoma
Lamaa kalinyoosha hil bit
Hii ngoma kali ila km nishawai isikia hv
Ngoma ya muda tu!
Gonga like apa...👍
Kupitia ngoma hii ndio utaelewa maana ya mkubwa dawa
Motoooo i
ngoma Kali pf j
Big talent j
Kizazi
hii yenyewe
Tawire
Ngoma kal broo
Dah hii ngoma nimeitafuta sana
Huwa nikisikia sauti za maligendary kama wewe nafurahi sanaaa
mjedengwa poizon Prof ni legend na kazi zake ni legendary
Msilie
we missed this
ALUTA CONTINUA
Nice
👊
+254
King Kong Chuma
Saf2
Gonga like kama wewe unasubiri video usilie
Video
No one like u chid what is wrong brother
legend wa hip hop
Hatar sana broooo.. Unazeeka na ukali wako
Kaka anaweza tangu na tangy
PROF HAANDIIKI HIVI TENA ALIPATA PESA TAKO LIKALIA MBWATA
Uchama unakusumbua viva pro jay
Keeping the real hiphop alive
huyu ni shida tupu kwenye game
Hivi hawa walio dislike hii, hawaelewi maana ya dislike au watakuwa wachawi hawa 😂😂😂😂😂😂
Wachawi wa Lumumba hao bro 😀😀
Nyimbo nimeikubari, Aluta continua