OGOPA: Kama umezoea Kubet angalia alichosema Rais Magufuli

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 01. 2019
  • #RaisMagufuli #Magufuli #Ikulu #ViongoziWaDini #Tanzania
    ~-~~-~~~-~~-~
    Please watch: "Patashika bomoabomoa ya stendi ya Mwenge"
    • Patashika bomoabomoa y...
    ~-~~-~~~-~~-~

Komentáře • 257

  • @makoyeamosi4705
    @makoyeamosi4705 Před 5 lety +4

    Asante mungu kwa kutupa kiongoZi mzuri

  • @munakassim3521
    @munakassim3521 Před 5 lety +2

    Mungu akùpe maisha marefu rais wetu

  • @gospelsmusic2555
    @gospelsmusic2555 Před 5 lety +4

    asante sana viongozi wa didni kwa kulitambua hili kamari ni dhambi

  • @dtalentboy813
    @dtalentboy813 Před 5 lety +4

    kamari ni hatari kwa maisha yako kwa maelezo zaid endelea kucheza

  • @ayubujackson5782
    @ayubujackson5782 Před 5 lety +1

    Hapo sawa mheshimiwa

  • @hassanturky7511
    @hassanturky7511 Před 5 lety +1

    Masha Allah mheshiwa .wewe kweli unastahiki kuitwa mheshimiwa. Allah akupe imani.

  • @kitotaabdillahi4609
    @kitotaabdillahi4609 Před 5 lety +3

    Mungu siyo mtu wewe, kua makini. Usilete masiara kwa Mungu.

  • @starboychyner3458
    @starboychyner3458 Před 5 lety +2

    KAMA UMEFURAHI BAADA YA JPM KUTAKA TATU MZUKA PLZ GONGA LIKE WE MCHIZI WANGU...

  • @jackkimaro6937
    @jackkimaro6937 Před 5 lety +8

    I lov mgfl

  • @peterjohn1969
    @peterjohn1969 Před 5 lety +2

    mzee mimi napata shida sana nawasomi vyuono na benk nk

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 5 lety +3

    Kuhusu nguo fupi yesss mzee. Hata wanaume wavae nguo Za heshima sio suruali nusu makalio

  • @islamomara7380
    @islamomara7380 Před 5 lety

    tamani ungekuwa rahisi wetu hon. jpm

  • @bonifasiemanueli2708
    @bonifasiemanueli2708 Před 5 lety

    Hongera sana mh,Jpm wewe ni Tunda la inchi yetu ya Tanzania,wewe umetoka kwa Mungu ndo,maana mda mwingi umekuwa na viongozi wa dini,hii inaonyesha ndani yako Roho wa Mungu yumo ndani yako ,mimi binafsi nina taka uwe Raisi wa kudumu ktk jina la Yesu,ndo maana mafsadi,na wapiga madili hawakupendi,mimi niko na wewe oyee!!!!

  • @janesuma2193
    @janesuma2193 Před 5 lety

    ur the best President I love u Baba Magofuli

  • @rajabomary5280
    @rajabomary5280 Před 5 lety +2

    Anzeni kufunga leo tutahamia 1x bet na betwinner makampuni ya kimataifa ambayo hamtaweza kuzuia

  • @reginaemmanuel8233
    @reginaemmanuel8233 Před 5 lety +17

    kakobe na ngwajima wamepangana wanacheka hatar, nani kawaona?

  • @khamismaulidi4562
    @khamismaulidi4562 Před 5 lety +1

    mashekh kimya mna mtizama mtunakufuru mbeyenu mwambieni mungu sio mtu.

  • @pascalstaharabu4124
    @pascalstaharabu4124 Před 5 lety +16

    Mamb yako kila siku super√

  • @aloycemwakatala2634
    @aloycemwakatala2634 Před 5 lety

    Safi sana mkuu wa nchi vinginevyo tutaisha maana serikali inakusanya 18% lakini wananchi tunachukuliwa 100%

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 Před 5 lety +9

    Mungu ibariki tanzania

  • @mackbmichael415
    @mackbmichael415 Před 5 lety

    nice

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 Před 5 lety

    Jpm umebarikiwa sana

  • @tegezdomin8363
    @tegezdomin8363 Před 5 lety

    Uko sahihi Mr president

  • @crescentvscross1132
    @crescentvscross1132 Před 5 lety

    The perfect father of our nation.

  • @officialmroso6925
    @officialmroso6925 Před 5 lety +12

    Kubeti ni hiari ya MTU...binafsi siachi kubetiiiiii...nabeti mpaka kielewekeee

  • @raiswamasela7641
    @raiswamasela7641 Před 5 lety

    asante. rais.wangu .

  • @RioIpo
    @RioIpo Před 5 lety +5

    Na TRA kodi wasichukue kule mana kwenye laki 8 wanachukua laki 1 na nusu

  • @assengajoseph8825
    @assengajoseph8825 Před 5 lety +2

    Truth

  • @allymbwambo2383
    @allymbwambo2383 Před 5 lety +6

    Dah asante sana kiongoz wetu yaan hawa wapuuz futa wote Aza na Tatu mzuka Njoo sijui biko yaani sukuma ndan wanaibia watu tena ikiwezekana wawatudishie ela zao au ziende serekalin sikafanye kaz

    • @geraldsoka1523
      @geraldsoka1523 Před 5 lety

      Kwani kuna mtu anakushika mkono anakulazimisha ucheze acha abari zako

    • @allymbwambo2383
      @allymbwambo2383 Před 5 lety

      Najua mnateseka San

    • @mussahussein3583
      @mussahussein3583 Před 5 lety

      Hahahhaahhaaaa ikiwezekana wawarudishie hela zao sio?

    • @allymbwambo2383
      @allymbwambo2383 Před 5 lety

      Lakini kama wanakumbuka niliwaambia kama na wew nimmoja wao lajua utakumbuka kwann muibie watu simfanye kaz mmekaatu kuuza sura mbavuuu saiv mtapata tabu sanaaa kwan unateseka?

    • @allyshilombwe9968
      @allyshilombwe9968 Před 5 lety

      Ally Mbwambo Kunapombe na Guest vyenyewe mashekh na mapadri hawaviongelei au kwasababu kunadini nyingine zinafanya biashara hizo? Pombe imeharibu vijana wengi mpaka sasa vyote ni upuuzi

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Před měsícem

    Ila nchi hii imepotea.sanaa.viongozi wa serikali.kimya.viongozi wa.dini kimya.kwa ss.hakuna hapa kazi.Ni kuberi tu.kwa.ss nikipengele ktk taarifa ya.habari.Ibilsi.amemiliki nchi.Mungu akupumzishe JPM

  • @othmanalsherem7313
    @othmanalsherem7313 Před 5 lety +16

    Mungu sio MTU

  • @raybirry3816
    @raybirry3816 Před 5 lety

    Magufuli sio mungu,ni dikteta anayependa kuogopwa na kusifiwa,watanzania wanaishi kwa hofu!

  • @mustafaabdallah822
    @mustafaabdallah822 Před 5 lety

    Angalia kwa upande huu wa kina Dada kuvaa vibaya yaani kuvaa vazi linalo onesha maungo yao simama sana weka shelia mkuu

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před 5 lety +1

    kweli baba

  • @PESASungula
    @PESASungula Před 3 měsíci

    Safi sana

  • @fauzhaji7149
    @fauzhaji7149 Před 3 lety

    Mtukufu rais ukienda kuzuru msikitini special on Friday. That's how muslim woman dress code..na wanatakiwa kufanya hivyo hata wakiwa katika shughuli zao za kawaida ..hata bi mariam ambaye ni mama yake Jesus alikuwa ni mvaa hijbab ...big up Mr president 👏 kwa ukumbusho wako .hopefully wamekuelewa ...

  • @noelimollel5503
    @noelimollel5503 Před 5 lety

    Bwana awe nawe rais wetu

  • @jonaslameck1563
    @jonaslameck1563 Před 5 lety

    safiiiiiii

  • @darioonesmo8119
    @darioonesmo8119 Před 5 lety +6

    Sawa mkuu

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 Před 5 lety +20

    Kamari michezo ya shetani...

    • @memorykayuki7666
      @memorykayuki7666 Před 5 lety

      Nimefurahi sana kuongelea swala la kamari bora ifutwe

    • @sabaschiwangu371
      @sabaschiwangu371 Před 5 lety

      Kila kitu mnamsingizia shetani du binadamu bwana akosi sababu

  • @bymb9868
    @bymb9868 Před 5 lety +2

    Mafundisho yote yanaenda kwenye mtu mmoja ambae ni mungu???..
    Mungu sio mtu kasome bibilia yako vizuri

    • @nelsonwilson714
      @nelsonwilson714 Před 5 lety

      ASA BONANZA FUNGA KABISA KAYANGA LWAMBAIZI IGULWA FUNGA KABISA

  • @fetymwamba8685
    @fetymwamba8685 Před 5 lety +4

    Kweli magufuli asivaa nguo zaheshima asiingie popote

  • @rashidalshaidhani765
    @rashidalshaidhani765 Před 5 lety +7

    Huyu ni raisi bora kabisa Tz. Tumuenzi na tumpe ushirikiano hasa. Kwani wapinzani wanataka rais yupi zaidi ya huyu asiependa maovu

  • @erentjohn6002
    @erentjohn6002 Před 5 lety +2

    KUNA FURAHA KUBWA NINAYOIONA KATIKA NCHI IKIWA MICHEZO YA KAMARI ITAFUTWA HATA LEO HILO LISICHELEWE, MIMI NILISHARIDHIKA NA UONGOZI HUU SIJUI NANI AMEBAKI.

  • @alsam4881
    @alsam4881 Před 5 lety

    Ni kweli kabisa swala la mitandao imeharibu sana kwa baadhi ya tabia za watu.

  • @geraldmbhosy7046
    @geraldmbhosy7046 Před 5 lety +11

    vifungeni hivyo vya kubet wewe ndo mwenye mamlaka

  • @tabusalum1318
    @tabusalum1318 Před 5 lety

    Kweli kabisa mkuu

  • @estheroscar6520
    @estheroscar6520 Před 6 měsíci

    Mimi hd sasa nachukia sana kumuona mwanamke amevaa nguo fupi ndo maana wanapakwa wanavaa nguo za watoto cjui watoto watavaa nini pumbavu sana wanaovaa nguo fupi

  • @evajohn6459
    @evajohn6459 Před 5 lety +1

    Pombe je!! Mbona zinatangazwa!!

  • @kingswebe3251
    @kingswebe3251 Před 5 lety +4

    Mnasaini wenyewe mikataba na makampuni ya kamali halafu mnawambia watu wasicheze kamali, huko nikuharibu biashara za watu.

  • @maryammsellem7427
    @maryammsellem7427 Před 3 lety

    Sasa huja abolish mpaka leo haman8 viongozi wa serikali acheni unafiki fungia makampuni ya kubeti

  • @abaskhatoon9425
    @abaskhatoon9425 Před 5 lety

    Keep it up.na bado seehemu za malls kujidai kupiga picha za nguo na show za kujionesha hku biashara za bangi na madawa ya kulevia ichunguzwe has a wasichana ndio wanatumika na kujidai kuna show za nguo.wtt wanaharikiwa wa kitanzania shulikieni hizi

  • @kadirikingwande1660
    @kadirikingwande1660 Před 5 lety

    Daaah nilishinda juzi2 million 6 kumbe nilifidia nilioliwa

  • @kushahalabani7878
    @kushahalabani7878 Před 5 lety +1

    Shelli atawalale miaka sitini utakuwepo wewe

  • @msambalamjukuu5758
    @msambalamjukuu5758 Před 5 lety +3

    Apo Anna kitu anazuga 2 kamal awez kuifuta yy anpenda pesa

  • @diltondilunga9915
    @diltondilunga9915 Před 5 lety +6

    Ni jambo jema sana kwa kukutana nao na kujua changamoto zao,

  • @DadialiDadi
    @DadialiDadi Před 6 měsíci

    😂😂😂 mzeeee wa kubetiii banaa muhind ataelewaa t

  • @abdulswai2168
    @abdulswai2168 Před 5 lety

    seeemaaah hiyooooooh

  • @saadsalum3253
    @saadsalum3253 Před 5 lety +2

    Mungu sio mtu mzee hafanani nachochote hapo umechemka

  • @sebastianngassa2050
    @sebastianngassa2050 Před 5 lety +5

    Kamali ni shida yaan watu hatujishughulish tunasubili kubet tyu

    • @abbyradhia6050
      @abbyradhia6050 Před 5 lety +1

      Lkn kubet c janga la dunia inzima itakuaje sasa

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 Před 10 měsíci +1

    Tatu mzuka😅😅🇰🇪

  • @ibnabou1886
    @ibnabou1886 Před 5 lety

    Uslam raha unakemea vitu viko waz ktk maisha vinawaadhir watu wakivifanya, na wakiviacha n faida kwao.

  • @alizahranmohd4095
    @alizahranmohd4095 Před 5 lety +1

    saf san mzee magu.apo ukiwez kweny mavazi na kamari.itakuw mzuk san

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 Před 5 lety +1

    Kama ilivo kwa MUFTI mpaka kufa, kwa Mh. MAGUFULI pia mpaka kifo kimtenganishe na watanzania

  • @stanleymsomba9441
    @stanleymsomba9441 Před 5 lety

    Magufuli namkubali sana

  • @robertdaud9894
    @robertdaud9894 Před 5 lety +6

    Black prophet

  • @remistv94
    @remistv94 Před 5 lety

    mo years sir 🍻

  • @nassororamadhan8756
    @nassororamadhan8756 Před 4 lety

    ila mheshimiwa na kukumbali sana mm ccm ila hawa wapnzani usiwaoneee mana hawajui walitendalo

  • @banazoone2744
    @banazoone2744 Před 5 lety

    Doh! Kama namuona baba ashibae alivyoshtuka

  • @alfajirothumani3087
    @alfajirothumani3087 Před 5 lety

    Very very very good good good president

    • @rashidimayaula5383
      @rashidimayaula5383 Před 5 lety

      Mungu hafanani na kitu chochote

    • @hamoudabdallah1789
      @hamoudabdallah1789 Před 5 lety

      Kamali sio nzuri,jamaa wanawaibia wanachi kweli kweli,tena kwa michango makundi kwa makundi huku wakihamasishwa na kupewa shauku kubwa,watu wanapiga pesa na kisha kurejesha kidogo,hovyo sana,tafakarini kwa kina.

    • @ediphoncekabunga6057
      @ediphoncekabunga6057 Před 5 lety

      Ifungwe tu inarudisha nyuma maendeleo hasa kwa vijana ndio wamepata kazi wakikosa fedha za kuchezea kamali matokeo yake ni wizi kuongezeka

  • @nellywizzy7034
    @nellywizzy7034 Před 5 lety

    Mabonanza ndo yanaarbu vijana na maisha yakitanzani kimtazamo yatakua duni cku zote sababu ya kamari mbya tena za wagen

  • @davidkaguru9511
    @davidkaguru9511 Před 5 lety +2

    Mh hizo kamari umeruhusu mwenyewe Leo unajifanya unachukizwa nazo..hivi tunaenda wapi?

    • @mashakapeter9860
      @mashakapeter9860 Před 5 lety

      Rais hawezi kuruhusu lakini washauri wake ndio walimshauri kwa sasa kaona wizi unaofanyika kwa wananchi wake. Baba usiangalie mtu usoni tumbua bila ganzi huo no wizi tena wa waziwazi.Mkuu chapa kazi watz tunakuunga mkono.Angali idara ya kilimo ili ifanye kazi kwa ufanisi.

  • @thabitally9216
    @thabitally9216 Před 5 lety +4

    Nakupend raisi wangu ahahhhahahhhah

  • @mnawalahabdull3006
    @mnawalahabdull3006 Před 4 lety

    Nitafulahi Sana Kama kamali zitafungwa

  • @hamisiiddi3173
    @hamisiiddi3173 Před 5 lety

    Nimependa style ya boardgurd.hachekagi kwa baba yetu hata kicheko kiwepo

  • @pastorvincent9851
    @pastorvincent9851 Před 5 lety +13

    Kwa kweli kamali ni mbaya

  • @issaahmed853
    @issaahmed853 Před 5 lety +5

    Rais Magufuli ni rais wa kipekee TZ kuwahi kutokea nakukubali sana fanya taratibu fungia zote watu wajitume tunaanza na kamari na nguo fupi halafu tutakuja huko kwengine mdogo mdogo ndio mwendo mpaka tuingie adabu watanzania tunyooshe mkuu upo sahihi 100% tutapiga kura ya maoni ubaki hadi kufa kwako ww niwakipekeee

  • @doctor_fazi
    @doctor_fazi Před 5 lety +8

    Sipati picha betting ikifutwa bongo ! Maana ishakua ajira mpya ya wabongo em futa mzee tupate ona utam mpya

    • @luluamri370
      @luluamri370 Před 5 lety

      Hakuna mtu anaeendelea kwenye kamali ,kamali ni mwanzo mkubwa wa umasikini

    • @ibrahimchatila4945
      @ibrahimchatila4945 Před 5 lety

      Sipati picha wakikurupuka hapa nn kitatokea !!

    • @doctor_fazi
      @doctor_fazi Před 5 lety

      @@ibrahimchatila4945 vitu vingine vinachukuliwa kwa udogo but kuna raia wanategemea hiz mambo wangeiacha tu

    • @richardgirgis4302
      @richardgirgis4302 Před 5 lety

      @@luluamri370 sema kamari sio kamari

    • @luluamri370
      @luluamri370 Před 5 lety

      @@richardgirgis4302 sasa umenirekebisha nini kamari sio kamari🤣 kiherehere

  • @abdulrahmansaliumalbry2615

    Kamari ni game mbaya sana mwisho wake itakuangusha tu.

  • @davidkaguru9511
    @davidkaguru9511 Před 5 lety

    Wewe mbona hueshimu sheria ya vyama vya siasa?

  • @ibrahimmahimbo8799
    @ibrahimmahimbo8799 Před 5 lety

    nimejenga kwa ajili ya kubeti magufuli unatupotosha

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum3832 Před 5 lety

    Magufuli atawale maisha tumependa utawala wake

  • @ritakahurananga9866
    @ritakahurananga9866 Před 5 lety +3

    Sema Baba!! Tumbua na hizo sport Pesa, kamali za kila aina. Vijana wanapotea.

  • @kassimjuma8713
    @kassimjuma8713 Před 5 lety

    Kubeti . ni sawa.. tatizo ni hao. Tatu mzuka Na Biko. ni wezi mkuu hawafai mkuu

  • @saidsahd1971
    @saidsahd1971 Před 5 lety +2

    Mashehe wetu muna zima Sana kwa mungu na mtaenda kujibu kesho yani mungu ni mtu? Mnashimdwa kumkosoa Rais wenu kwa hilo? Kazi munayo

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 Před 5 lety

      Said Sahd, si ungemsahihisha tu wewe??? Kila jambo lina wakati wake
      Nakukumbusha tu kuna AKHLAQ kama uongofu na sio kukosoa tuu wakati na sehemu yoyote. Halafu sio ZIMA ni DHIMMA.

    • @saidsahd1971
      @saidsahd1971 Před 5 lety

      Utajijua mwenyewe Kama na wewe ndio mmoja wapo .naona limekuuma hilo lakini ukweli ndio huo Dunia ni mpito tu siku Yako ikifika hutasema hivo lakini itakuwa tayari umechelewa

    • @joeldaudimasaga9380
      @joeldaudimasaga9380 Před 5 lety

      nafikiri alikosea tu kwa kuwa ameongea sana na hakuna hotuba iliyoandaliwa kwake kwa kusoma

  • @yusufukilopa7016
    @yusufukilopa7016 Před 5 lety

    magufuli tunamuamini

  • @kulwakahwamo3961
    @kulwakahwamo3961 Před 5 lety

    achen tubeti jaman khaaaaaaaa

  • @deogratiusnjau6056
    @deogratiusnjau6056 Před 5 lety

    sheria itungu yakudhibiti uvaaji wa nguo za hovyo, sio wakina dadatu, hata wanaume. Uhuru wa mavazi umeharibu utamaduni wetu kama Tanzania. raisi magufuli toa kibali anaekamatwa apelekwe mahakaman nakufungwa mwaka mmoja jela bila dhamana na adhabu ya kazi ngumu. nadhan tutajirekebisha. na nguo za utupu zisiruhusiwe kuingizwa tz.

  • @khasammussa7718
    @khasammussa7718 Před 5 lety +3

    Hakika uislamu ndo dini ya hakki...mvae hijabu mnaambiwa...allhahu akbar.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 5 lety

    Nguo haimsaidii Mungu , Mungu anataka Moyo wako(roho) uwe safi. maana wewe hata uvae nguo ndefu mpaka iburuze chini, lakini roho yako ni chafu (mzinzi, mlevi, mwizi, jambazi , kahaba nk.) kwa Mungu haisaidii tusidanganyane.Kumbukeni tulizaliwa UCHI na Mungu Hakuwabaka Adam na Eva walipokuwa UCHi . Nyinyi kinachowasumbua hasa nini? mpaka mnashinwa kuvumilia mkiona watu na nguo fupi?

  • @makosafitina2573
    @makosafitina2573 Před 5 lety

    ofisin hamna kazi kaz zipomitaan agiza hao wakuu Wa mikoa wachunguze zaid kwer kamar ndozimekua kama viwanda vijana hawafanyi kazi nasio vijana 2 mheshmiwa

  • @gloxlox4573
    @gloxlox4573 Před 5 lety

    Biko funga tatu mzuka funga moja bet funga waongo biko ndo kabisa hawafai

  • @kevinjohn4507
    @kevinjohn4507 Před 5 lety

    Kwenye Kamari tunapata KODI, watu wamepata Ajira, kwhy tusiangalie tu Ubaya pia Uzuri upo.

  • @saiddimarley3352
    @saiddimarley3352 Před 5 lety

    Makufuli elfumbili naishilini na kupa kula mimi na familia yangu lakini ningekusihi ongeza miaka mingine ya uraisi 120.ukomeshe ufisadi

  • @rashidibrahimshemlugu7845

    mungu sio mtu mh

    • @eddiemsongelanzi5395
      @eddiemsongelanzi5395 Před 5 lety

      Nakukumbusha ni kweli Munu sio mtu iko sura inayo sema nita muumba mtu kwa mfano wake sasa sio mtu binadam kukosea ni kawaida. Kurudia kosa ndio mbaya

    • @eddiemsongelanzi5395
      @eddiemsongelanzi5395 Před 5 lety

      (Mungu sio mtu) ni kweli kulosea ni kawaida kurudia kosa ni sivizuri

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Před měsícem

    Wema hawaishi

  • @abuuyaasiriibrahimkyone.2911

    Vimini mzee vimini vinamaliza vijana wa taifa hili na hata wale walio sogea umri,
    Mimi nakuomba mheshimiwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dhibiti na kuzuia mavazi haya ambayo yanatupotezea ule utu, na kutuletea unyama.
    Mnyama ndio mtembea uchi ktk asili ni hivyo, wala sio binaadam.

  • @franknaigisa9352
    @franknaigisa9352 Před 5 lety +14

    Ukosefu wa ajira ndo chanzo kikubwa cha kamari ..mtu akiwa bize na kazi hata kumbuka kucheza kamari ..so mh raisi jaribu kwanza kutengeneza ajira sio kuzipunguza kwa sababu makampuni ya kamari imeajiri watu wengi kuliko hata makampuni ya za serikali....kuna viwanda vingi mfano sunflag ,a to z na kampuni nyingi za wahindi imetengeneza ajira kwa sababu ya wahindi sio watanzania ..ndo maana hata labour wa kawaida analipwa 80,000/=tsh mpaka 120000/= kwa mwezi jambo ambalo ni la kifedheha kabisa ,haiwezekani plant engineer ,na expert wengine wote ni wahindi au wametoka abroad sasa hawa ma experts tunaowazalisha tanzania je tunapeleka wapi?...mh raisi unafanya kazi nzuri lakini huwezi ukatengeneza barabara za kwenda nyumbani bali inabidi utengeneze barabara za kwenda kiwandani kuzalisha....mh raisi kuna mambo mengi sana ya kufanya na kuifanya nchi hii iwe kama Qatar ,kuwait na nchi nyinginezo zenye kutegemea rasilimali...vile vile mh raisi unahitaji watu speacial wa kukupa idea tu ambao sio viongozi kazi yao ni kukupa idea ambazo zinatekelezeka ww kazi yako ni kutoa order itekelezwe kupitia sector husika.asante sana.mimi ni frank m naigisa mwanachuo katika taasisi ya technologia dar es salaam

    • @FoxManTZ
      @FoxManTZ Před 5 lety

      Unataka ajira uletewe nyumbani kachome mihogo

    • @emanuelmwaiguluka5345
      @emanuelmwaiguluka5345 Před 5 lety

      Hilo neno

    • @khalifaahmed7864
      @khalifaahmed7864 Před 5 lety +1

      Kamari sio ukosefu wa ajira!!nakataa hii ni tabia na unapojiendekeza huko hutakaa uache hata km ww ndo HR, wapo wafanyakazi wengi ambao wamekua addicted na kamari na wanashindwa kuacha, wafanyabiashara wengi tu wakubwa pia unawakuta casino mana kamari sio kubet tu na wanashindwa kuacha, sio kukosa ajira ndo ukacheze kamari no!!kamari ni kitu cha kukemewa kabisa sio kusingizia chochote kile ndo kimekufanya ucheze kamari!!

    • @mufasamufas6023
      @mufasamufas6023 Před 5 lety

      Sio kweli kamari zimeshamiri kwenye nchi zilizoendelea kuliko africa
      Tanzania bado sana ndio kwanza mnaanza sasa hivi

    • @mufasamufas6023
      @mufasamufas6023 Před 5 lety

      Ukijilegeza tu na kutaka vya bure bure ndio utajikuta hutaki kazi

  • @yanayojirimitaaniTV
    @yanayojirimitaaniTV Před 5 lety

    MSEMA KWELI KIPENZI CHA MUNGU .angalia yanayojirimitaani TV vipi magufuli anavo chukia

  • @jaffaryramadhani1467
    @jaffaryramadhani1467 Před 5 lety

    Nilikuwa nakupinga sana ila sasa hivi nakuelewa mzee umenifumbua macho na sasa nakuwa mzalendo na nchi yangu piga kazi wanaokupinga ndio wanaokuelewa zaidi kuliko hata sisi tunaokukubali, "aishi miaka mia mfalme wetu