Hongera sana mh,Jpm wewe ni Tunda la inchi yetu ya Tanzania,wewe umetoka kwa Mungu ndo,maana mda mwingi umekuwa na viongozi wa dini,hii inaonyesha ndani yako Roho wa Mungu yumo ndani yako ,mimi binafsi nina taka uwe Raisi wa kudumu ktk jina la Yesu,ndo maana mafsadi,na wapiga madili hawakupendi,mimi niko na wewe oyee!!!!
Dah asante sana kiongoz wetu yaan hawa wapuuz futa wote Aza na Tatu mzuka Njoo sijui biko yaani sukuma ndan wanaibia watu tena ikiwezekana wawatudishie ela zao au ziende serekalin sikafanye kaz
Lakini kama wanakumbuka niliwaambia kama na wew nimmoja wao lajua utakumbuka kwann muibie watu simfanye kaz mmekaatu kuuza sura mbavuuu saiv mtapata tabu sanaaa kwan unateseka?
Ally Mbwambo Kunapombe na Guest vyenyewe mashekh na mapadri hawaviongelei au kwasababu kunadini nyingine zinafanya biashara hizo? Pombe imeharibu vijana wengi mpaka sasa vyote ni upuuzi
Ila nchi hii imepotea.sanaa.viongozi wa serikali.kimya.viongozi wa.dini kimya.kwa ss.hakuna hapa kazi.Ni kuberi tu.kwa.ss nikipengele ktk taarifa ya.habari.Ibilsi.amemiliki nchi.Mungu akupumzishe JPM
Mtukufu rais ukienda kuzuru msikitini special on Friday. That's how muslim woman dress code..na wanatakiwa kufanya hivyo hata wakiwa katika shughuli zao za kawaida ..hata bi mariam ambaye ni mama yake Jesus alikuwa ni mvaa hijbab ...big up Mr president 👏 kwa ukumbusho wako .hopefully wamekuelewa ...
KUNA FURAHA KUBWA NINAYOIONA KATIKA NCHI IKIWA MICHEZO YA KAMARI ITAFUTWA HATA LEO HILO LISICHELEWE, MIMI NILISHARIDHIKA NA UONGOZI HUU SIJUI NANI AMEBAKI.
Mimi hd sasa nachukia sana kumuona mwanamke amevaa nguo fupi ndo maana wanapakwa wanavaa nguo za watoto cjui watoto watavaa nini pumbavu sana wanaovaa nguo fupi
Keep it up.na bado seehemu za malls kujidai kupiga picha za nguo na show za kujionesha hku biashara za bangi na madawa ya kulevia ichunguzwe has a wasichana ndio wanatumika na kujidai kuna show za nguo.wtt wanaharikiwa wa kitanzania shulikieni hizi
Kamali sio nzuri,jamaa wanawaibia wanachi kweli kweli,tena kwa michango makundi kwa makundi huku wakihamasishwa na kupewa shauku kubwa,watu wanapiga pesa na kisha kurejesha kidogo,hovyo sana,tafakarini kwa kina.
Rais hawezi kuruhusu lakini washauri wake ndio walimshauri kwa sasa kaona wizi unaofanyika kwa wananchi wake. Baba usiangalie mtu usoni tumbua bila ganzi huo no wizi tena wa waziwazi.Mkuu chapa kazi watz tunakuunga mkono.Angali idara ya kilimo ili ifanye kazi kwa ufanisi.
Rais Magufuli ni rais wa kipekee TZ kuwahi kutokea nakukubali sana fanya taratibu fungia zote watu wajitume tunaanza na kamari na nguo fupi halafu tutakuja huko kwengine mdogo mdogo ndio mwendo mpaka tuingie adabu watanzania tunyooshe mkuu upo sahihi 100% tutapiga kura ya maoni ubaki hadi kufa kwako ww niwakipekeee
Said Sahd, si ungemsahihisha tu wewe??? Kila jambo lina wakati wake Nakukumbusha tu kuna AKHLAQ kama uongofu na sio kukosoa tuu wakati na sehemu yoyote. Halafu sio ZIMA ni DHIMMA.
Utajijua mwenyewe Kama na wewe ndio mmoja wapo .naona limekuuma hilo lakini ukweli ndio huo Dunia ni mpito tu siku Yako ikifika hutasema hivo lakini itakuwa tayari umechelewa
sheria itungu yakudhibiti uvaaji wa nguo za hovyo, sio wakina dadatu, hata wanaume. Uhuru wa mavazi umeharibu utamaduni wetu kama Tanzania. raisi magufuli toa kibali anaekamatwa apelekwe mahakaman nakufungwa mwaka mmoja jela bila dhamana na adhabu ya kazi ngumu. nadhan tutajirekebisha. na nguo za utupu zisiruhusiwe kuingizwa tz.
Nguo haimsaidii Mungu , Mungu anataka Moyo wako(roho) uwe safi. maana wewe hata uvae nguo ndefu mpaka iburuze chini, lakini roho yako ni chafu (mzinzi, mlevi, mwizi, jambazi , kahaba nk.) kwa Mungu haisaidii tusidanganyane.Kumbukeni tulizaliwa UCHI na Mungu Hakuwabaka Adam na Eva walipokuwa UCHi . Nyinyi kinachowasumbua hasa nini? mpaka mnashinwa kuvumilia mkiona watu na nguo fupi?
Vimini mzee vimini vinamaliza vijana wa taifa hili na hata wale walio sogea umri, Mimi nakuomba mheshimiwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dhibiti na kuzuia mavazi haya ambayo yanatupotezea ule utu, na kutuletea unyama. Mnyama ndio mtembea uchi ktk asili ni hivyo, wala sio binaadam.
Ukosefu wa ajira ndo chanzo kikubwa cha kamari ..mtu akiwa bize na kazi hata kumbuka kucheza kamari ..so mh raisi jaribu kwanza kutengeneza ajira sio kuzipunguza kwa sababu makampuni ya kamari imeajiri watu wengi kuliko hata makampuni ya za serikali....kuna viwanda vingi mfano sunflag ,a to z na kampuni nyingi za wahindi imetengeneza ajira kwa sababu ya wahindi sio watanzania ..ndo maana hata labour wa kawaida analipwa 80,000/=tsh mpaka 120000/= kwa mwezi jambo ambalo ni la kifedheha kabisa ,haiwezekani plant engineer ,na expert wengine wote ni wahindi au wametoka abroad sasa hawa ma experts tunaowazalisha tanzania je tunapeleka wapi?...mh raisi unafanya kazi nzuri lakini huwezi ukatengeneza barabara za kwenda nyumbani bali inabidi utengeneze barabara za kwenda kiwandani kuzalisha....mh raisi kuna mambo mengi sana ya kufanya na kuifanya nchi hii iwe kama Qatar ,kuwait na nchi nyinginezo zenye kutegemea rasilimali...vile vile mh raisi unahitaji watu speacial wa kukupa idea tu ambao sio viongozi kazi yao ni kukupa idea ambazo zinatekelezeka ww kazi yako ni kutoa order itekelezwe kupitia sector husika.asante sana.mimi ni frank m naigisa mwanachuo katika taasisi ya technologia dar es salaam
Kamari sio ukosefu wa ajira!!nakataa hii ni tabia na unapojiendekeza huko hutakaa uache hata km ww ndo HR, wapo wafanyakazi wengi ambao wamekua addicted na kamari na wanashindwa kuacha, wafanyabiashara wengi tu wakubwa pia unawakuta casino mana kamari sio kubet tu na wanashindwa kuacha, sio kukosa ajira ndo ukacheze kamari no!!kamari ni kitu cha kukemewa kabisa sio kusingizia chochote kile ndo kimekufanya ucheze kamari!!
Nilikuwa nakupinga sana ila sasa hivi nakuelewa mzee umenifumbua macho na sasa nakuwa mzalendo na nchi yangu piga kazi wanaokupinga ndio wanaokuelewa zaidi kuliko hata sisi tunaokukubali, "aishi miaka mia mfalme wetu
Asante mungu kwa kutupa kiongoZi mzuri
Mungu akùpe maisha marefu rais wetu
asante sana viongozi wa didni kwa kulitambua hili kamari ni dhambi
kamari ni hatari kwa maisha yako kwa maelezo zaid endelea kucheza
Hapo sawa mheshimiwa
Masha Allah mheshiwa .wewe kweli unastahiki kuitwa mheshimiwa. Allah akupe imani.
Mungu siyo mtu wewe, kua makini. Usilete masiara kwa Mungu.
KAMA UMEFURAHI BAADA YA JPM KUTAKA TATU MZUKA PLZ GONGA LIKE WE MCHIZI WANGU...
I lov mgfl
Me too more than you
mzee mimi napata shida sana nawasomi vyuono na benk nk
Kuhusu nguo fupi yesss mzee. Hata wanaume wavae nguo Za heshima sio suruali nusu makalio
tamani ungekuwa rahisi wetu hon. jpm
Hongera sana mh,Jpm wewe ni Tunda la inchi yetu ya Tanzania,wewe umetoka kwa Mungu ndo,maana mda mwingi umekuwa na viongozi wa dini,hii inaonyesha ndani yako Roho wa Mungu yumo ndani yako ,mimi binafsi nina taka uwe Raisi wa kudumu ktk jina la Yesu,ndo maana mafsadi,na wapiga madili hawakupendi,mimi niko na wewe oyee!!!!
ur the best President I love u Baba Magofuli
Anzeni kufunga leo tutahamia 1x bet na betwinner makampuni ya kimataifa ambayo hamtaweza kuzuia
kakobe na ngwajima wamepangana wanacheka hatar, nani kawaona?
Nimewaona aiseee
mashekh kimya mna mtizama mtunakufuru mbeyenu mwambieni mungu sio mtu.
Mamb yako kila siku super√
safisan kwakwel watuwameharika sana namitandao
Safi sana mkuu wa nchi vinginevyo tutaisha maana serikali inakusanya 18% lakini wananchi tunachukuliwa 100%
Mungu ibariki tanzania
Zahra Munir nkupendaa Sanaaahh mke wngu
nice
Jpm umebarikiwa sana
Uko sahihi Mr president
The perfect father of our nation.
Kubeti ni hiari ya MTU...binafsi siachi kubetiiiiii...nabeti mpaka kielewekeee
official mroso hahahahahahaha!wacha weee
au sio mwanaaa
asante. rais.wangu .
Na TRA kodi wasichukue kule mana kwenye laki 8 wanachukua laki 1 na nusu
Truth
Dah asante sana kiongoz wetu yaan hawa wapuuz futa wote Aza na Tatu mzuka Njoo sijui biko yaani sukuma ndan wanaibia watu tena ikiwezekana wawatudishie ela zao au ziende serekalin sikafanye kaz
Kwani kuna mtu anakushika mkono anakulazimisha ucheze acha abari zako
Najua mnateseka San
Hahahhaahhaaaa ikiwezekana wawarudishie hela zao sio?
Lakini kama wanakumbuka niliwaambia kama na wew nimmoja wao lajua utakumbuka kwann muibie watu simfanye kaz mmekaatu kuuza sura mbavuuu saiv mtapata tabu sanaaa kwan unateseka?
Ally Mbwambo Kunapombe na Guest vyenyewe mashekh na mapadri hawaviongelei au kwasababu kunadini nyingine zinafanya biashara hizo? Pombe imeharibu vijana wengi mpaka sasa vyote ni upuuzi
Ila nchi hii imepotea.sanaa.viongozi wa serikali.kimya.viongozi wa.dini kimya.kwa ss.hakuna hapa kazi.Ni kuberi tu.kwa.ss nikipengele ktk taarifa ya.habari.Ibilsi.amemiliki nchi.Mungu akupumzishe JPM
Mungu sio MTU
Lakini umeelewa point yake
Exactly...!!!!...hata mimi iwas a shock sana!!!!MUNGU c mtu..
Magufuli sio mungu,ni dikteta anayependa kuogopwa na kusifiwa,watanzania wanaishi kwa hofu!
Angalia kwa upande huu wa kina Dada kuvaa vibaya yaani kuvaa vazi linalo onesha maungo yao simama sana weka shelia mkuu
kweli baba
Safi sana
Mtukufu rais ukienda kuzuru msikitini special on Friday. That's how muslim woman dress code..na wanatakiwa kufanya hivyo hata wakiwa katika shughuli zao za kawaida ..hata bi mariam ambaye ni mama yake Jesus alikuwa ni mvaa hijbab ...big up Mr president 👏 kwa ukumbusho wako .hopefully wamekuelewa ...
Bwana awe nawe rais wetu
safiiiiiii
Sawa mkuu
sipat picha kamari ikifungwa bongo
Kamari michezo ya shetani...
Nimefurahi sana kuongelea swala la kamari bora ifutwe
Kila kitu mnamsingizia shetani du binadamu bwana akosi sababu
Mafundisho yote yanaenda kwenye mtu mmoja ambae ni mungu???..
Mungu sio mtu kasome bibilia yako vizuri
ASA BONANZA FUNGA KABISA KAYANGA LWAMBAIZI IGULWA FUNGA KABISA
Kweli magufuli asivaa nguo zaheshima asiingie popote
Sa umeongea nn mbn huelewek
Huyu ni raisi bora kabisa Tz. Tumuenzi na tumpe ushirikiano hasa. Kwani wapinzani wanataka rais yupi zaidi ya huyu asiependa maovu
KUNA FURAHA KUBWA NINAYOIONA KATIKA NCHI IKIWA MICHEZO YA KAMARI ITAFUTWA HATA LEO HILO LISICHELEWE, MIMI NILISHARIDHIKA NA UONGOZI HUU SIJUI NANI AMEBAKI.
Ni kweli kabisa swala la mitandao imeharibu sana kwa baadhi ya tabia za watu.
vifungeni hivyo vya kubet wewe ndo mwenye mamlaka
Kweli kabisa mkuu
Mimi hd sasa nachukia sana kumuona mwanamke amevaa nguo fupi ndo maana wanapakwa wanavaa nguo za watoto cjui watoto watavaa nini pumbavu sana wanaovaa nguo fupi
Pombe je!! Mbona zinatangazwa!!
Mnasaini wenyewe mikataba na makampuni ya kamali halafu mnawambia watu wasicheze kamali, huko nikuharibu biashara za watu.
NDIYOOOOoooooo !!!!
Sasa huja abolish mpaka leo haman8 viongozi wa serikali acheni unafiki fungia makampuni ya kubeti
Keep it up.na bado seehemu za malls kujidai kupiga picha za nguo na show za kujionesha hku biashara za bangi na madawa ya kulevia ichunguzwe has a wasichana ndio wanatumika na kujidai kuna show za nguo.wtt wanaharikiwa wa kitanzania shulikieni hizi
Daaah nilishinda juzi2 million 6 kumbe nilifidia nilioliwa
Shelli atawalale miaka sitini utakuwepo wewe
Apo Anna kitu anazuga 2 kamal awez kuifuta yy anpenda pesa
Ni jambo jema sana kwa kukutana nao na kujua changamoto zao,
😂😂😂 mzeeee wa kubetiii banaa muhind ataelewaa t
seeemaaah hiyooooooh
Mungu sio mtu mzee hafanani nachochote hapo umechemka
Kamali ni shida yaan watu hatujishughulish tunasubili kubet tyu
Lkn kubet c janga la dunia inzima itakuaje sasa
Tatu mzuka😅😅🇰🇪
Uslam raha unakemea vitu viko waz ktk maisha vinawaadhir watu wakivifanya, na wakiviacha n faida kwao.
saf san mzee magu.apo ukiwez kweny mavazi na kamari.itakuw mzuk san
Kama ilivo kwa MUFTI mpaka kufa, kwa Mh. MAGUFULI pia mpaka kifo kimtenganishe na watanzania
Magufuli namkubali sana
Black prophet
mo years sir 🍻
ila mheshimiwa na kukumbali sana mm ccm ila hawa wapnzani usiwaoneee mana hawajui walitendalo
Doh! Kama namuona baba ashibae alivyoshtuka
Very very very good good good president
Mungu hafanani na kitu chochote
Kamali sio nzuri,jamaa wanawaibia wanachi kweli kweli,tena kwa michango makundi kwa makundi huku wakihamasishwa na kupewa shauku kubwa,watu wanapiga pesa na kisha kurejesha kidogo,hovyo sana,tafakarini kwa kina.
Ifungwe tu inarudisha nyuma maendeleo hasa kwa vijana ndio wamepata kazi wakikosa fedha za kuchezea kamali matokeo yake ni wizi kuongezeka
Mabonanza ndo yanaarbu vijana na maisha yakitanzani kimtazamo yatakua duni cku zote sababu ya kamari mbya tena za wagen
Mh hizo kamari umeruhusu mwenyewe Leo unajifanya unachukizwa nazo..hivi tunaenda wapi?
Rais hawezi kuruhusu lakini washauri wake ndio walimshauri kwa sasa kaona wizi unaofanyika kwa wananchi wake. Baba usiangalie mtu usoni tumbua bila ganzi huo no wizi tena wa waziwazi.Mkuu chapa kazi watz tunakuunga mkono.Angali idara ya kilimo ili ifanye kazi kwa ufanisi.
Nakupend raisi wangu ahahhhahahhhah
Nitafulahi Sana Kama kamali zitafungwa
Nimependa style ya boardgurd.hachekagi kwa baba yetu hata kicheko kiwepo
Kwa kweli kamali ni mbaya
xio kamali ni kamari
Rais Magufuli ni rais wa kipekee TZ kuwahi kutokea nakukubali sana fanya taratibu fungia zote watu wajitume tunaanza na kamari na nguo fupi halafu tutakuja huko kwengine mdogo mdogo ndio mwendo mpaka tuingie adabu watanzania tunyooshe mkuu upo sahihi 100% tutapiga kura ya maoni ubaki hadi kufa kwako ww niwakipekeee
😂😂
Sipati picha betting ikifutwa bongo ! Maana ishakua ajira mpya ya wabongo em futa mzee tupate ona utam mpya
Hakuna mtu anaeendelea kwenye kamali ,kamali ni mwanzo mkubwa wa umasikini
Sipati picha wakikurupuka hapa nn kitatokea !!
@@ibrahimchatila4945 vitu vingine vinachukuliwa kwa udogo but kuna raia wanategemea hiz mambo wangeiacha tu
@@luluamri370 sema kamari sio kamari
@@richardgirgis4302 sasa umenirekebisha nini kamari sio kamari🤣 kiherehere
Kamari ni game mbaya sana mwisho wake itakuangusha tu.
Wewe mbona hueshimu sheria ya vyama vya siasa?
nimejenga kwa ajili ya kubeti magufuli unatupotosha
Magufuli atawale maisha tumependa utawala wake
Sema Baba!! Tumbua na hizo sport Pesa, kamali za kila aina. Vijana wanapotea.
Kubeti . ni sawa.. tatizo ni hao. Tatu mzuka Na Biko. ni wezi mkuu hawafai mkuu
kama biko tatu mzuka futaa kbs
Mashehe wetu muna zima Sana kwa mungu na mtaenda kujibu kesho yani mungu ni mtu? Mnashimdwa kumkosoa Rais wenu kwa hilo? Kazi munayo
Said Sahd, si ungemsahihisha tu wewe??? Kila jambo lina wakati wake
Nakukumbusha tu kuna AKHLAQ kama uongofu na sio kukosoa tuu wakati na sehemu yoyote. Halafu sio ZIMA ni DHIMMA.
Utajijua mwenyewe Kama na wewe ndio mmoja wapo .naona limekuuma hilo lakini ukweli ndio huo Dunia ni mpito tu siku Yako ikifika hutasema hivo lakini itakuwa tayari umechelewa
nafikiri alikosea tu kwa kuwa ameongea sana na hakuna hotuba iliyoandaliwa kwake kwa kusoma
magufuli tunamuamini
achen tubeti jaman khaaaaaaaa
sheria itungu yakudhibiti uvaaji wa nguo za hovyo, sio wakina dadatu, hata wanaume. Uhuru wa mavazi umeharibu utamaduni wetu kama Tanzania. raisi magufuli toa kibali anaekamatwa apelekwe mahakaman nakufungwa mwaka mmoja jela bila dhamana na adhabu ya kazi ngumu. nadhan tutajirekebisha. na nguo za utupu zisiruhusiwe kuingizwa tz.
Hakika uislamu ndo dini ya hakki...mvae hijabu mnaambiwa...allhahu akbar.
Nguo haimsaidii Mungu , Mungu anataka Moyo wako(roho) uwe safi. maana wewe hata uvae nguo ndefu mpaka iburuze chini, lakini roho yako ni chafu (mzinzi, mlevi, mwizi, jambazi , kahaba nk.) kwa Mungu haisaidii tusidanganyane.Kumbukeni tulizaliwa UCHI na Mungu Hakuwabaka Adam na Eva walipokuwa UCHi . Nyinyi kinachowasumbua hasa nini? mpaka mnashinwa kuvumilia mkiona watu na nguo fupi?
ofisin hamna kazi kaz zipomitaan agiza hao wakuu Wa mikoa wachunguze zaid kwer kamar ndozimekua kama viwanda vijana hawafanyi kazi nasio vijana 2 mheshmiwa
Biko funga tatu mzuka funga moja bet funga waongo biko ndo kabisa hawafai
Kwenye Kamari tunapata KODI, watu wamepata Ajira, kwhy tusiangalie tu Ubaya pia Uzuri upo.
Makufuli elfumbili naishilini na kupa kula mimi na familia yangu lakini ningekusihi ongeza miaka mingine ya uraisi 120.ukomeshe ufisadi
kura ni siri utajuaje mkeo atampigia kura
mungu sio mtu mh
Nakukumbusha ni kweli Munu sio mtu iko sura inayo sema nita muumba mtu kwa mfano wake sasa sio mtu binadam kukosea ni kawaida. Kurudia kosa ndio mbaya
(Mungu sio mtu) ni kweli kulosea ni kawaida kurudia kosa ni sivizuri
Wema hawaishi
Vimini mzee vimini vinamaliza vijana wa taifa hili na hata wale walio sogea umri,
Mimi nakuomba mheshimiwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dhibiti na kuzuia mavazi haya ambayo yanatupotezea ule utu, na kutuletea unyama.
Mnyama ndio mtembea uchi ktk asili ni hivyo, wala sio binaadam.
Ukosefu wa ajira ndo chanzo kikubwa cha kamari ..mtu akiwa bize na kazi hata kumbuka kucheza kamari ..so mh raisi jaribu kwanza kutengeneza ajira sio kuzipunguza kwa sababu makampuni ya kamari imeajiri watu wengi kuliko hata makampuni ya za serikali....kuna viwanda vingi mfano sunflag ,a to z na kampuni nyingi za wahindi imetengeneza ajira kwa sababu ya wahindi sio watanzania ..ndo maana hata labour wa kawaida analipwa 80,000/=tsh mpaka 120000/= kwa mwezi jambo ambalo ni la kifedheha kabisa ,haiwezekani plant engineer ,na expert wengine wote ni wahindi au wametoka abroad sasa hawa ma experts tunaowazalisha tanzania je tunapeleka wapi?...mh raisi unafanya kazi nzuri lakini huwezi ukatengeneza barabara za kwenda nyumbani bali inabidi utengeneze barabara za kwenda kiwandani kuzalisha....mh raisi kuna mambo mengi sana ya kufanya na kuifanya nchi hii iwe kama Qatar ,kuwait na nchi nyinginezo zenye kutegemea rasilimali...vile vile mh raisi unahitaji watu speacial wa kukupa idea tu ambao sio viongozi kazi yao ni kukupa idea ambazo zinatekelezeka ww kazi yako ni kutoa order itekelezwe kupitia sector husika.asante sana.mimi ni frank m naigisa mwanachuo katika taasisi ya technologia dar es salaam
Unataka ajira uletewe nyumbani kachome mihogo
Hilo neno
Kamari sio ukosefu wa ajira!!nakataa hii ni tabia na unapojiendekeza huko hutakaa uache hata km ww ndo HR, wapo wafanyakazi wengi ambao wamekua addicted na kamari na wanashindwa kuacha, wafanyabiashara wengi tu wakubwa pia unawakuta casino mana kamari sio kubet tu na wanashindwa kuacha, sio kukosa ajira ndo ukacheze kamari no!!kamari ni kitu cha kukemewa kabisa sio kusingizia chochote kile ndo kimekufanya ucheze kamari!!
Sio kweli kamari zimeshamiri kwenye nchi zilizoendelea kuliko africa
Tanzania bado sana ndio kwanza mnaanza sasa hivi
Ukijilegeza tu na kutaka vya bure bure ndio utajikuta hutaki kazi
MSEMA KWELI KIPENZI CHA MUNGU .angalia yanayojirimitaani TV vipi magufuli anavo chukia
Nilikuwa nakupinga sana ila sasa hivi nakuelewa mzee umenifumbua macho na sasa nakuwa mzalendo na nchi yangu piga kazi wanaokupinga ndio wanaokuelewa zaidi kuliko hata sisi tunaokukubali, "aishi miaka mia mfalme wetu