Video není dostupné.
Omlouváme se.

DADA wa RUGE Asimulia BABA Yao ANAVYOTESEKA Akiona KABURI la RUGE....

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 03. 2020
  • DADA wa RUGE Asimulia BABA Yao ANAVYOTESEKA Akiona KABURI la RUGE....
    February 26 mwaka jana Tanzania ilijawa na simanzi baada ya kuondokewa na Mtu aliyekuwa muhimu sana katika serikali, jamii na aliyekuwa na mchango mkubwa sana katika kukuza sana sanaa nchini, Huyu ni Ruge Mutahaba, Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media...
    Mwishoni mwa wiki jana familia ya Ruge ilifanya ibada ya shukrani ikiwa ni mwaka mmoja umekatika sasa tangu kuondokewa na mpendwa wao huyo, na hapa dada wa marehemu Koku Mutahaba anaelezea hali ilivyo sasa tangu wapate pengo la Ruge katika familia.
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
    ( +255 676 229628)
    Email: globaltvbest@gmail.com
    abbymrisho@gmail.com
    HABARI MPYA DAILY:
    bit.ly/habarimpya
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    GLOBAL RADIO TV:
    bit.ly/255globalradio
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    bit.ly/exclusive_interviews
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
    Subscribe bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 76

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 Před 4 lety +13

    Yaani mtu yupo mbele ya hukumu ya Mungu na anahojiwa juu ya yale aliyoyafanya aidha mazur au mabaya wewe unampa habari za mpira au chama?
    Someni vitabu sana na mtaona hekima ya Mungu na mtajua kuwa mwili unapoachana na roho, roho inaenda wapi na lini itarudishwa na wakat wa ufufuo kipi kitaanza kutoa ndipo roho irudishiwe.
    Kwa ufupi muombeeni marehemu, mtoleeni sadaka kwa wingi hasa kuwapa wasiojiweza maskini, mayatima na wengne waliokwenye matatizo mbalmbal..hayo ndio yatakayomfariji huko alipo na si mengne

  • @newtina7049
    @newtina7049 Před 4 lety +54

    Wote mnao comment kupinga naona ni waislamu! sisi wakristo tuna imani zetu tunaomba mziheshimu mana kila mtu asimame na imani yake na kile anacho kiamini tusilazimishane imani 😏

    • @hamadamabali2895
      @hamadamabali2895 Před 4 lety +1

      Quran 2:256 hakuna kulazimisha katika Dini kwani Uongofu umekwisha pambanuka na upotofu.
      Sister unapomuona Muislam analazimisha asie kua Muislam kua Muislam bado hajaisoma Quran vizur akaielewa.
      Halaf UISLAMU inatufundisha kutotukana Dini zengine.
      Shukran Sister Mungu akubariki sana!

    • @abelkabili8474
      @abelkabili8474 Před 4 lety +1

      Kabisa yaani umeongea point sana chukua Pepsi baridi nakuja kulipa kila MTU abaki na imani yake na sisi ndio tunaamini vile wasitupangie

    • @jescanyakulinga1084
      @jescanyakulinga1084 Před 4 lety

      Tina Tina nikweli kabisa kila mtu asimame kwenye imani yake

    • @bintijimmy8020
      @bintijimmy8020 Před 3 lety

      Kweli wakaepembeni

  • @kimmenelus7835
    @kimmenelus7835 Před 4 lety +10

    Lile neno la kwetu pazuri ndio nimeanza kulielewa .........YES KWAO NI PAZURI SANAAAA R.I.P Broooo😢

  • @Amneamne-qi2du
    @Amneamne-qi2du Před 4 lety +8

    Poleni sana mungu awatie nguvu R.i.p Ruge

  • @fextomaturo7815
    @fextomaturo7815 Před 4 lety +6

    Daaah polen Sanaa's Dada yetuu rest in peace Kop mwenzetu Ruge mutahaba

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před 4 lety +7

    Kila mtu na amali yake msijifanye nye mnamjua sana mungu hao ni wakristu na wana amini kwa Ruge anawasikia kama we ni mwislamu na huamini hivyo basi kaa tulia usiwajaji watu na imani zao ni kukosa hekima

    • @salamacasmir8189
      @salamacasmir8189 Před 4 lety

      Hawajawahi kufiwa na wanaowahusu ,,,hayo yalikuwapo toka enzi za mababu,ila Haya madhehebu yaliyoingia miaka hii ndo yanatoka nje ya mistari,kumuombea ni lzm ,Wanajua kufiwa hao kweli?

    • @sir.josephmbeya7017
      @sir.josephmbeya7017 Před 4 lety

      Hamida Hamdani Umeongea vyema.
      Tuheshimu imani za wengine

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Před 4 lety +1

    Poleni sana, kumsahau ndugu yenu sio rahisi kubwa kimuombea 🙏🤲 apumzike kwa amani

  • @samsonikisangai5030
    @samsonikisangai5030 Před 4 lety +8

    Inauma san yan 🤦🏻‍♂️🤦🏻‍♂️😢😢

  • @rehemayona2223
    @rehemayona2223 Před 8 měsíci

    Huyu dada koku kafanana na zamalad kweli ❤

  • @claudbusumilo3979
    @claudbusumilo3979 Před 4 lety +2

    Pole sana mpe pole baba.

  • @asiamwarabu7510
    @asiamwarabu7510 Před 4 lety +1

    Kufiwa kuskie mnaweza waona Hawa Hawa move on lkn kuondokewa na mtu muhim kunachukuwa mda Sana kusahau bado wanamaumivu Sana pole ombi langu msahau tu na mpate amani

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Před 4 lety +5

    RIP Ruge

  • @juliesichalwe1977
    @juliesichalwe1977 Před 4 lety +3

    Dada ameniliza kwel rest in peace Ruge Mtahaba

  • @ummysangu8548
    @ummysangu8548 Před 4 lety

    Mmmh innalilah waina la ilah illaj hun

  • @ozilozil1775
    @ozilozil1775 Před 2 lety

    Mwabudu mungu acha umbwege

  • @fabiolambunda890
    @fabiolambunda890 Před 4 lety

    Duh hiii kali

  • @maidasaid9449
    @maidasaid9449 Před 4 lety +1

    Nanukkuu"kama unavyoumwa ukasema na mungu anakusikia basi tunaamini na ruge anatusikia" weeeeew dada unamfanishaje mungu na ruge????

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 Před 4 lety

    Rest in peace🙏

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 Před 4 lety +12

    Kufa ni wajibu kufa ni amri ya Allah msiwe mda wote mnalalamika tu sasa mtamkosea Allah mana yeye ndio alotoa amri yake na sote tutakufa

    • @LeeUfudu
      @LeeUfudu Před 4 lety

      Akifa mwingine mnasikitika ukiambiwa ufe wewe yeye arudi utaruka mita 5000 jmaa Kesha kwenda inbdi msahau tu duuuuuuuh

  • @ibel4lf
    @ibel4lf Před 4 lety +7

    As long as inampa amani acheni aongee nae nyie mnaumia na nini enyi waja kufuru ipo wapi hapo mnajaji mpaka maua ya kaburini loh

  • @gracepancras4785
    @gracepancras4785 Před 4 lety

    Polen san

  • @fatumashaban7931
    @fatumashaban7931 Před 4 lety +1

    Ni imani yenu lakin je huwa mnafanya hivyo na kwa wengine waliotangulia katika ukoo wenu?au ye ni mtu special sana kuliko wengine?Muombeeni sana

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Před 4 lety +3

    Mhubiri 9:5 wafu hawajui neno lolote

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 Před 4 lety +2

    Koku uko Itawa, Kabale mvua inanyesha? Ruge alikuwa ni mtoto wa mama wengi na mimi ni mmoja wao .

  • @hamisisilimu1245
    @hamisisilimu1245 Před 4 lety +1

    Mulichomzikia hapo lengo si mumkumbukekumbuke au,basi poleni

  • @zahorrashid5459
    @zahorrashid5459 Před 4 lety

    Kwaza mnakuja HP makaburini wakati chini hakunatn llt mauwa yann hy

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 Před 4 lety +3

    Mungu azidi kuwatia nguvu

  • @chifunyomboke6689
    @chifunyomboke6689 Před 4 lety +5

    Wahaya bhana!

  • @gibsonyshadrack4543
    @gibsonyshadrack4543 Před 4 lety +5

    Mtangazaj wa bukoba kwaubora wake yaan saut kama kameza ndz kigoma

    • @Cherriechina
      @Cherriechina Před 4 lety

      Gibsony Shadrack 😂😂😂😂🙌

  • @hadija846
    @hadija846 Před 4 lety +1

    R.I.P.
    RUGE WETU🙏🏼😭

  • @Hopestone_counselling_point.

    Khaaa sasa nyie mnakoelekea ni kubaya ndo maana Musa aliwaficha waisrael kaburi lake alijua wataliabudu tuu sasa nyie mnaanza kwenda mbali na kiukweli mnapotea

  • @restymlale6003
    @restymlale6003 Před 4 lety

    R.I.P Ruge.

  • @josephinegideon76
    @josephinegideon76 Před 4 lety

    Kama namuona Ruge akitamani kumtuma mtu aje duniani awaambie kinachoendele hakipendi Na anajibiwa msipowasikia wa huku duniani na hata akija wa juu hamtamuelewa

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 Před 4 lety +2

    Duhhhh hatariii ni kukaa kimnya tu mana ukiongea lawama za wanazengwe kwenye reply zitaongozana

  • @tedymartin6194
    @tedymartin6194 Před 4 lety +1

    Wewe Dada unahitaji wokovu hutaendeleza huo ujinga Mungu niwawalio hai sio waliokufa

  • @kitashinetz1820
    @kitashinetz1820 Před 4 lety +4

    Kaaaah!, hii nayo ni kali marehemu kusikia akiwa kaburini hahahhahahha kamwelekeze kuwa na Liverpool kapigwa triple wewe unataka awadondokee malaika kwa preshaaa

    • @susanruo8087
      @susanruo8087 Před 4 lety

      Tafadhali heshima imani ya watu...mwacheni Mungu awe hakima mkuu

    • @maheralmuayqily1900
      @maheralmuayqily1900 Před 4 lety +1

      @@susanruo8087 hakuna chochote kile ni upuuzi tuu huwez kwenda ktk kaburi la mtu ukamweleze mambo ya Dunia mwenzio yupo Akhera...hii ni wazi kweli (WALIO KUFURU hawana AKILI..)

    • @susanruo8087
      @susanruo8087 Před 4 lety

      Achane na watu wewe,!!!!

    • @kitashinetz1820
      @kitashinetz1820 Před 4 lety

      @@susanruo8087 nahisi bado hujanielewa sijamaanisha hicho unachofikiri soma vizuri comment yangu....

    • @sadajuma7592
      @sadajuma7592 Před 4 lety

      😂😂😂😂🤔

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 Před 4 lety +2

    Huyu dada copy ya ruge kabisa
    Apumzike kwa aman..

  • @salomemueni2172
    @salomemueni2172 Před 4 lety

    9

  • @piterlaiza5576
    @piterlaiza5576 Před 4 lety +2

    Hmmmmmm!!!!! Hakika jehanam inakuhusu! Hakika jehanam inakuhusu!!!! Jehanam inakuhusu. Wala usiseme Mungu anakusikia, someni biblia nyinyi, kizazi kilichopotoka. Hakika msipobadilika, mtaingia motoni. Mtaingia motoni

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 Před 4 lety +2

    Hii kuchanganyikiwa kuongea na marehemu alie kaburini hapa kitu kinachohitajika ni neema ya Mungu kulijua Neno la Mungu na kusali kwa kumaanisha huku mkimtukuza Mungu nakuomba faraja mioyoni mwenu maana zaidi yahapo mtajikuta ndio mnaabudu marehemu.naelewa maumivu yakufiwa na mtu anaependwa ila sio kwa kiasi hicho usiongee na kaburi haina tofauti nakutambikia mizimu.

    • @hamidahamida1473
      @hamidahamida1473 Před 4 lety

      Innalilahi.wainnaialyrajiuon😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @LeeUfudu
      @LeeUfudu Před 4 lety

      Kkkkkkk wtu wme data jmani basi wee dada uende wewe jmaa arudi basi mnke unkuwa kma unpinga yeye kufa kafa Michael Jackson watu wamemsahau eee hatariii

  • @hadijalukasmdeg9987
    @hadijalukasmdeg9987 Před 4 lety +2

    alieona dada wa ruge kapandisha mkono wake wa pete za sliva harafu akajiongeza akaushusha akajuwa kabisa mtandaoni hawachelewi kuchamba tupia like hapa twende sawa, ila poleni sana family ya ruge na jamaa zake wa karibu mungu ampunguzie azabu za kabri

  • @abdallaabdulrahman8319
    @abdallaabdulrahman8319 Před 4 lety +2

    Hiyo ndio athari ya kuuiga uzungu hadi kupitiliza,unasherehekea siku ya kuzaliwa mtu ambaye hayupo ameshazikwa na kuongea nae juu ya kabur lake,msijidanganye ameshatangulia na hana tena habar ya kinachoendelea duniani usitudanganye Koku, hata hivyo RIP Ruge

    • @stelamwita3643
      @stelamwita3643 Před 4 lety

      Kila mtu anaiman yake

    • @abdallaabdulrahman8319
      @abdallaabdulrahman8319 Před 4 lety

      @@stelamwita3643, ni kweli stela kila mtu na iman yake ila si kwa imani hiyo tunayoiyona hapo kweny TV

  • @dotonkeyemba1523
    @dotonkeyemba1523 Před 4 lety +2

    Mtu akifa hauji jambo lolote cha msingi sisi tulio hai ni kukabidhi maisha yetu kwa Mungu

  • @zuhurambonde6959
    @zuhurambonde6959 Před 4 lety +1

    Muombeeni tu na mtende mema kwa niaba yake lkn nafsi ikishaenda imeenda

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 Před 4 lety +2

    Mkaimba nyimbo zake alokua anazipenda kwani anazisikia?

  • @piterlaiza5576
    @piterlaiza5576 Před 4 lety +3

    Waislamu anawashinda wakristo?? Hata aibu hamuoni, mtaingia motoni. Mungu hawezi kukaa na watu mwenye kuabu wafu (( muhubiri 9:1-12; Torati 18:9-19)) tumieni hiyo mda ya kwenda kuongea na wafu kumwomba Mungu awafungue macho muone ukuu wake.
    Hmmmmmm!!!! Hakika shetani ni mbaya sana, mbona mmeshindwa kumwamini Mungu alie hai na kumwamini aliekufa, ambae hata hakusikia kabisa?. Na hiyo roho chafu iwatoke kwajina la yesu kristo ali hai.

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 4 lety

    Kutojielewa tu nafasi ya mtu duniani yeye mwenyewe itafika muda atakufa.
    Mnajua mnakoseaga saana misiba mnaifanya kama kunawengine walistahili kuishi milele duniani? Hakunamtu atabaki tujipange tu kwa makazi ya akhera.

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 Před 4 lety +2

    Mkaimba nyimbo zake alokua anazipenda kwani anazisikia?

    • @hadijalukasmdeg9987
      @hadijalukasmdeg9987 Před 4 lety

      😁😁😁😁😭😭😭😭😳😳😳😳

    • @zuweinaalhabsya8773
      @zuweinaalhabsya8773 Před 4 lety +2

      Hhhhhh 😂 😂 😂 haa anasema eti hata ugonjwa wa korona kamwambia kamwambia pia bukoba mvua nyingi kamwambia pia team yake ya mpira alikuwa anaipenda imefungwa hhhhhhhh 😂 😂 😂 wanakufuru kweli. Lakini tusilaum Sana dini yake I naamini kama anasikia kila kitu anachomwambia

    • @hadijalukasmdeg9987
      @hadijalukasmdeg9987 Před 4 lety

      @@zuweinaalhabsya8773 hatari sana

    • @sadajuma7592
      @sadajuma7592 Před 4 lety

      😂😂😂😂Hiyo kali jamani

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 Před 4 lety +3

    Kufa ni wajibu kufa ni amri ya Allah msiwe mda wote mnalalamika tu sasa mtamkosea Allah mana yeye ndio alotoa amri yake na sote tutakufa