MAENEO YALIYOBOMOLEWA NGORONGORO WANYAMA WARUDI KWA KASI IKOLOJIA UOTO WA ASILI VYAREJEA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 04. 2023
  • Baada ya baadhi ya wakazi wa maeneo ya Ngorongoro kuhamia Msomera Mkoani Tanga, Ikolojia na uoto wa asili vimenza kurejea katika maeneo yaliyobomolewa, akizungumza na waandishi Mhifadhi kutoka Hifadhi ya Ngorongoro Emanuel Telele amesema wanyama hawapendi kelele hivyo kubomolewa kwa sehemu za maboma kumewafanya wanyama waanze kurudi katika maeneo yao

Komentáře •