RECAP: HARMONIZE anamuiga DIAMOND?? MMILIKI halisi wa Kampuni ya HARMONIZE?? ALIKIBA, DIAMOND wote??
Vložit
- čas přidán 11. 07. 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny - Zábava
Unaongeya fact kabisa
Wachane broo
Harmonize pia ana accompany yake
ok sawa bro,,
Yes mando uko well informed sana na hii game nakuona mbali mzee....ofcoz Jay z chini ya Roc nation wamekuwa patners na Super bowl kuandaa ile halftime show....halafu nishagundua humu ndani watu wanasoma tu headlines bila kufungua video yote asa hapo mando anamchukia vp harmonize🤣🤣🤣🤣...muwe mnaenda into details before judging
True
Yeah hata mimi nilivoona headline nimewaza kuwa atakuwa kamdiss vby konde kama siku zote kumbe siyo kwer
Everyday only stories za Alikiba, Nasibu, Harmonize, kila siku kushauri wasani na watanzania, lakini were mwenyewe ZERO CREATIVITY, ZERO UBUNIFU when it comes to your own media, what's your BRAND????
huyu kazi yake ni kushusha wasanii kimuziki kwa sababu ya Diamond. utimu ndo unakusumbua
you are taking side,,as media personnel you should be neutral to take in everyone's opinion,,those you are condemning are your fans ,, remember they have a freedom to speak what they feel,,, don't force them to believe the company belongs to harmonize,,,from 254 just advising you remember you are also a brand so don't ruin it
True brother hao hao Hawana kazi it’s crazy
Sijawahi kukuelewa lakini nishaanza kukuelewa
Kaka sisi atuseme kwamba hamonize ana ma chair au yakwake sisi tunasema yeye ni balozi wewe kata au vumilia hilo yeye anabidi aseme ukweri tu😅
Sasa wewe kinakuuma nini
NILICHOGUNDUA WW HUJAWAH KUMKUBAL HARMONIZE UJAWAH KUMSEMA MAZURI MTU ASIFANYE BIASHARA... ANAIGA ACHA UKUMA
Leo ndosiku ya mwisho kuangalia video zako kumbe taila
Huyu jamaa anakuanga fala sana
Toka uko😊
Wewe jamaa una nature sana
apo umeweza
Iyi media,Sisi wa congomani tuna ona muko wa chafu hamupedagi mutu afanyikiwe
Huyu ni chawa 😂
Kumbe mondi alikupeleka qatar ili uwashushe wasanii wengine sasa hapo unaongelea kipaji au biashara we ni chawa kakah
Wanasema hivyo sababu mashabiki wa harmo nao huwa wanamshambulia diamond na chochote anachofanya, mfano pimbi na jumanamusoma kwa hiyo hayo ndio matokeo
akuna busness ya pekeee ako kaka
baazi ya wa tz wanarohio mbaya na ndo kwamana Nigeria inawapita kizuiki unajuwa mashabiki ss niwatu wa roho mbaya wakisikiya harmo yuko marecani kufanya show ju siyo shabiki wa harmo ni shabiki wa diamond hawezikuja ju show niya harmo uyo ni ujinga sanaaaaaaa
It's because of Harmonize he must stop focusing on diamond and focus on his music.
Now he is starting beefing with Zuchu a woman....he doesn't have respect... he will only be loved with senseless people in Tanzania.... that's why we can't go his shows international.
Matako Yako weeeee
wachane kaka maboya hawajuwi biashara
Aisee mimi wakwanza
Big brother you are very strong indeed, you are very intelligent god bless you big 😮😮😢😅😊😂
Ww ni Crazy kwahiyo mond sameukuta mzki tuxeme bc mond kaiga Nan kwenye mzik
Huyu jamaa anamchukia hamonize sana fala sana
Hta hujaskiliz interview unatype ushuzi....
Akuna musani Tanzanie ataye toka ishinde muiga mondi uyo ni baba tu kwa Nini sasa amu amini
Acha uchawa
Uwo ndo ukweli
Kwa hiyo na wewe kuwa mtagazaji umewaiga carrier kwa watangazaji wenzio?
Nawezaje ku- unsubscribe chanel hii??
baazi ya wa tz wanarohio mbaya na ndo kwamana Nigeria inawapita kizuiki unajuwa mashabiki ss niwatu wa roho mbaya wakisikiya harmo yuko marecani kufanya show ju siyo shabiki wa harmo ni shabiki wa diamond hawezikuja ju show niya harmo uyo ni ujinga sanaaaaaaa