#LIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
    Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
    Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
    Star TV Brightens Your Day !

Komentáře • 19

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před 2 měsíci

    Angalia sana mdomo wake..............

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 Před 2 měsíci

    Bravo Odemba.

  • @majidukalokola7253
    @majidukalokola7253 Před 2 měsíci

    Well done chief Odemba. Hilo jamaa lilitakiwa kuwepo na kiongozi mwingine wa upinzani ili aliweke sawa.

  • @frankcharles3980
    @frankcharles3980 Před 2 měsíci

    HILI JAMAA LIMEJAA MAVI KICHWANI

  • @frankSamwel-rg3lz
    @frankSamwel-rg3lz Před 2 měsíci

    Hili jamaa najisikia kichefuchefu kulisikiliza. Odemba Pat on the back!

  • @frankSamwel-rg3lz
    @frankSamwel-rg3lz Před 2 měsíci

    Brother we researched and we have evidence to prove beyond reasonable doubt just for your information

  • @vicentnyanda828
    @vicentnyanda828 Před 2 měsíci

    Kwenye unique hapo umesema😂😂😂😂

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 Před 2 měsíci

    Capacity ya kufikiri na uelewa ya huyo ndg ni ndogo,hata katiba hailewi.

  • @laulianmeneja5923
    @laulianmeneja5923 Před 2 měsíci

    Hajielewi huyo jamaa wa ccm hajui kujibu hoja

  • @user-kl8xf1yk2b
    @user-kl8xf1yk2b Před 2 měsíci

    Jaamaa anauwezo mdogo xana

  • @user-kl8xf1yk2b
    @user-kl8xf1yk2b Před 2 měsíci

    Odemba unajuwa san

  • @alexmwamtobe3850
    @alexmwamtobe3850 Před 2 měsíci

    Hivi Hawa viumbe wanawaza kutumia nini? kwahiyo vyama ambavyo havina wawakilishi maeneo mbali mbali, wanafanyaje kutafuta wanachama kama watataka wasitembee maeneo mengine?

  • @frankSamwel-rg3lz
    @frankSamwel-rg3lz Před 2 měsíci

    Hili jamaa takataka kabisa ndiyo haya yanayosubiri kubebwa

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 Před 2 měsíci

    😂😂😂😂😂 duuuu low sana yaani

  • @user-fx6zr6ij5y
    @user-fx6zr6ij5y Před 2 měsíci

    Hawa ndiyo wapumbavu wanaotuaribia. nchi kwa kujipendekeza

  • @frankcharles3980
    @frankcharles3980 Před 2 měsíci

    KATIKA MAJITU MAJINGA HILI NAMBA MOJA....NIKICHWA HASARA

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 2 měsíci

    Hapa tunapoteza mb tu acha tuhame..Anatabasamu nini sasa?!Ukandamizaji wa kidola ndio anaita maarifa kwa kukosa hoja!. Kimtokacho mtu ndicho kilicho moyoni ubaya ubaya tu lakini maneno yako yanatapisha kuliko kuona kinyaa!

  • @frankSamwel-rg3lz
    @frankSamwel-rg3lz Před 2 měsíci

    This guy is very narrow knowledged politically

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 2 měsíci

    Huyo jamaa hawezi kujibu hoja zako Mr.Odemba,unamuuliza swali anajibu vitu vinģine tofauti,unalirudia kwa technic,anazidi kujibu uvunjifu wa katiba yao wenyewe! ndio mana kavaa sox za shule afu anazianika tuzione,nne yenyewe anatundika tu mguu loh! sisi sio wajinga