WOW! Inside Magufuli Bus Terminal Dar es Salaam! Incredible!
Vložit
- čas přidán 20. 08. 2024
- Hello friends! welcome to my channel.
I'm a Tanzanian traveler trying to visit some hundred countries in the world. I have already done 8 African Countries and looking forward to visit others before the end of this year.
I have decided to open this channel to share my experience with you. They say "charity begins at home", I have started my you tube journey by showcasing my country Tanzania.
Be part of this adventure by subscribing to this channel.
Support the Channel:
Mobile Phone/Mpesa Support: +255 757 368 881
Contact me: email: amalango@yahoo.com
Call/WhatsApp: +255 757 36 88 81
#Malango_Travels #kisutu#kisutumodernmarketDar_es_Salaam_city_Centre
#travelafrica#magufuli#tanzania#Daressalaam #tanzanian-youtuber#travel_tanzania#daressalaamvsnairobi #nairobi #nairobicitycentre #mombasa #daressalaam#traveltanzania#ripmagufuli#presidentmagufuli#magufulibusterminal#newdaressalaamtanzaniabusterminal#mbeziluisbusterminal#shekilangobusterminal#kilimanjarobus#busterminalsinafrica#projectsintanzania
Friends, thanks for watching. Help this channel reach a thousand subscribers by subscribing, liking and sharing this video. Pamoja sana!
I love Tanzania to my bones
Thanks for watching
Safi sana JPM Tutakukumbuka Sana Watanzania
Kabisa. Asante kwa kuniachia comment nzuri
Damn. Im jealous of these guys. Aki Kenya tunaachwa kwa dust
Thanks for watching my +254 friend. Don't forget to subscribe like and share the video to your loved ones
Safi sana mkuu, on point sana. Details zakutosha, Camera imetulia! 👍🔥
Asante sana
Magufuli Bus Terminal
Yenyewe kabisa
Safi sana jamaa.. nafurahi kuona vijana tunachangamkia fursa hii ya kiteknolojia.
Pamoja sana kiongozi
Mashallah kaka upo vizuri sana..love kutoka Norway 🇧🇻🇧🇻🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿
Nashukuru sana mdau wangu toka Scandinavia
Mdau, safi sana kwa kutupeleka stendi ya Chuma JPM. Nimefurahi kuona namna watanzania wanavyofurahia utanzania wetu.
Pamoja sana mdau
@@malangotravels poa Mdau mwenzetu
Subscribed to this! Africa 🌍 is shaping up..... great 👌 job and we wish you all well Tanzania tunawapenda..... greetings from.............
.ANDUYA ADVENTURES channel USA
Thanks for watching. Love from Tanzania
Asante. Channel iko Mazuri Saana 👍
Asante sana. Karibu usisahau ku subscribe like na ku share video hii kwa ndugu jamaa na marafiki
hii safi sana,, nitazuru dar es salaam hivi karibuni....coachndesh Nairobi
Karibu sana Dar mdau
Tembelea makupa bridge
sawa
Thanks for the videos you share with us kaka.
Thanks for support. Kindly consider to subscribe like and share the video to your loved ones
Mnazi M'moja lived there with my late grand mother biti Dachi, MHSRIP 🙏❤
Thanks for watching friend
Nakubali sana
Pamoja sana
Pale ubungo tumesikia wanajenga yard ya BRT, me pia nilipendekeza toka kitambo ijengwe park ya maana ikiwemo na sehemu za michezo km ya bicycle na mingineyo, lakini viongozi wetu ndio wameshahamuwa ndio hatuna lakufanya
Asante sana mdau kwa comment yako. Siyo mbaya hata hiyo yard ya BRT ilimradi papendezeshe jiji
Good job brother am watching from kenya
My +254 brother! Karibu Dar kaka
@@malangotravels Dare wil be the first place nikija Tanzania.... coming soon bro
@@nyaksproduction karibu
Magufuli your not dead but still alive. Tunakuona kabisa hujafa uko hai
Mungu akupokee na akutulize kwenye mikono yake milele.
Kazi nzuri majirani
Asante sana jirani. Tunawapenda sana Wakenya
Nice... 👍🙏🙏🙏
Thanks
May you RIP magufuli
Thanks for watching
Wanajumuiya
Pamoja
Msimbazi (Kariakoo) ilikuwa kituo cha mabasi ya Morogoro na Mwanza.
Asante sana mdau kwa maelezo ya ziada. Pamoja sana
Asante sana!
Karibu
Kweli kabisa, hapo wange weka park, itapendeza sana.
Asante
Mungu ampumzishe kwa Amani Rais wetu JPM daima tutakukumbuka
Amina
Great Video Bro
Thanks for support
Hilo jengo ni la kimataifa...nimependa
Kabisa. Asante kwa kuangalia video
Good job!👍
Thanks. Nakutafuta mdau
You earned one subscriber
Asante sana.
Thank you for support
Naunga mkono chinga waondolewe hapo ndani na wale wa nje waongezewe nafasi na sakafu yao ipigwe lami au concrete
Ushauri mzuri mdau. Pamoja sana!
Hiyo terminal Ndani Kama park station Ya Johannesburg
Ni zaidi mdau. Terminal yetu ni kali na kubwa. Park Station, hasa sehemu ya mabasi si kubwa sana
Maku
@@shabanihamisi3500 stabane wena
Kazi nzuri as always. Umewasahau ndugu zetu wa kusini na stendi yao ya mbagala kwenye intro. Mabasi ya kwenda Mtwara na Lindi nayo yanaanzia Mbezi?
Asante kwa comment nzuri sana. Mabasi yote yanaanzia Mbezi saa 12 asubuhi kuelekea Mtwara na Lindi. Lakini yale yanayoanzia saa 4, 6, 8 mchana yanaanzia Temeke na Mbagala
@@malangotravels Sawa kaka.
@@darasahuru6819 pamoja kiongozi
Kitambo Sana sijarudi bongo Naiona Unapendeza Sana Dankie JPM Chuma chetu
Karibu nyumbani mdau, kumenoga!
Hapo Ubungo terminal kunatakiwa kujengwa kituo cha biashara,East africa logistic center kama hajabadili matumizi,kwa nyuma inajengwa BRT tERMINAL
Asante sana mdau kwa ufafanuzi mzuri. Usisahau ku subscribe, like na ku share video hii kwa ndugu jamaa na marafiki pande hizo
Terminal ni nzuri ila hipo kama soko, Hapo ubungo waweke parking
😀😀😀 kama soko! Machinga wanazingua sana
Alafu kenya wanataka kushindana na sisis
Ushindani baina ya majirani ni jambo la kawaida
Hapo Kuna mambo take yameshapangwa kuna deport ndogo ya Udart na eneo la mbele limepangwa kwa ajili ya Logistic centre michoro na kila kitu imefanyiwa ubunifu
Asante sana kwa ufafanuzi
Yaan Ndani Kama park station cha Johannesburg
Kabisa!
Ukiangalia mchoro wao unagundua bado haijakamilika asilimia 100
Ni kweli kabisa
Kweli hapo pawe garden ya kumzika hapo ubungo
Kabisa
Tatizo jiji ni chafu sana na hamna mpangilio mabanda yamejengwa kiholela sana na hayavutii. Tanzania 🇹🇿 kuna mengi ya kujifunza kutoka Rwanda 🇷🇼 Kigali na Rwanda kwa ujumla . Siasa nyingi Tanzania 🇹🇿 na hamna maamuzi yanatolewa
Asante kwa kuniachia comment mdau. Usisahau ku subscribe, like na ku share video hii kwa ndugu, jamaa na marafiki pande hizo
Acha ujinga wewe kati ya kigali na dar wapi pazuri daganya ambao hawajafika rwandq
JPM Noma, JPM Ni shule Siyo unachukulia poa poa Watanzania wakikuchagua lazima upigekazi Kama JPM
Kabisa
Vyoo viwe bure hakuna haja ya fee wakati watu wameshalipa 300 au wana tickets..wizi huo
😀😀😀 kweli kabisa
Ungeuliza hapo wadau wa ubungo kuna mradi gani hapo baada ya kituo cha mabasi kuondoka.
Ni kweli. Ila nasikia wanaweka terminal ya mwendokasi
@@malangotravels sahihi kabisa, maana kile cha pale Jangwani kinatuhaibisha..
Nakubaliana na ww kabisa
Asante kwa kutizama video. Usisahau ku subscribe, like na ku share video hii ma ndugu jamaa na marafiki pande hizo
Hii stendi mbona ramani tofauti na ile tuliooneshwa na magufuli au bado haijakamilika Mana ile ina barabaara juu
Bado ujenzi unaendelea
Hao MAchingas pia wanachafua Haiba ya Stand. Wangejengewa sehemu yao wakapangwa vizuir bila kusumbua au kubana abiria wanaotaka kusafiri au wanaosubiri usafiri.
Ni kweli kabisa. Asante kwa support
A hiyo open space ipewe Jina la Marehem JPM
Asante kwa kuniachia comment, ila hapawekwi open space. Nasikia wanaweka stand ya mwendokasi
@@malangotravels sawa. Muhimu iwe kitu kizuri
@@karthala6676 kabisa
Kweli kabisa Ndugu Yangu
Pale kuna ujenzi wa BRT Headquarters nmesikia pia kutajengwa Mall kubwa haijawahipo Africa
kweli hata Mimi wamachinga sijapenda mbona wanaweza kuwa popote na watu wakafata Huduma mbona Clubs zinakuwa mbali na watu wanawekwenda Please serikali hawa waondolewe aiseeeeeeee watafutiwe sehemu maaaluum mim niko nje ya nchi yaani nje ya bus terminal ni pazuri sana lakin mbele ya mabasi ndo wameeweka bidhaa nani atanunua haina value tuweni wajanjaaa aiseeeeeeee tunapromote sana nchi yetu aiseee lakini how come unafungua video kumuonesha mtu nchi yenu anaona watu kwenye vituo vya bus wanafanya baishara sio sawa kama serikali ipo humo humo wachukuliwe hatua aiseee kituo kipyaaa hichi hivi magu angekuwepo angewaruhusu hapo kweli aaiseeeee MMXXUuuu
Kweli kabisa mdau