MAWAKALA WA UKOLONI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 06. 2024
  • #wachokonozi
  • Zábava

Komentáře • 29

  • @JoshuajastinMartin
    @JoshuajastinMartin Před 6 dny

    Safi sana wachokonozi ukombozi wa bara letu upo karibu

  • @magrethprosper3397
    @magrethprosper3397 Před 15 dny +2

    Nashukuru kwa elimu .naomba mshughulikie eneo la sauti,kuna sauti ya kukwaruza inaingilia apo.

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s Před dnem

    Hahaha eti majajusii

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 Před 26 dny +4

    Nawakubali sana

  • @danctheyoung9904
    @danctheyoung9904 Před 7 dny

    Nawaelewa saana

  • @procipermadenge3867
    @procipermadenge3867 Před 25 dny +2

    Nawaelewa Sana wachokonozi, mnatoa elimu kwa tunao elewa.

  • @piusdeo9380
    @piusdeo9380 Před 26 dny +3

    Nawakubali sana ndugu zangu

  • @huku-sweden
    @huku-sweden Před dnem

    Mtangazaji, jaribu basi kuwa serious… Unacheka cheka kama boya

  • @user-wp4th3zk4g
    @user-wp4th3zk4g Před 26 dny +3

    Hangera waze nafata kutoka congo

  • @sureboyofficial6473
    @sureboyofficial6473 Před 14 dny +1

    HII NDIO NILIKUWA NASUBIRIA KUSIKIA , KUNA WATU WANAFIKIRI AFRIKA HATUNA MAISHA KABLA YA HIZI DINI

  • @mkalatibeirut2691
    @mkalatibeirut2691 Před 26 dny +1

    Muuliza maswali hana utulivu, anaingilia sana mwenzake anapozungumza kwa kubandika swali lingine au kichekacheka, hiyo inatukata

  • @justinmganiwa2790
    @justinmganiwa2790 Před 25 dny +1

    Kama hamtukani dini siwafatilii😂😂

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 Před 21 dnem

    Huyo mwamba aliyepo mbinguni sasa 😂😂😂🙌

  • @huthhuthlih5858
    @huthhuthlih5858 Před 26 dny +1

    08:29
    😂😂😂😂😂😂😂😂 ni kitabu cha Erick shingongo tu amna lolote

  • @farajansekela5763
    @farajansekela5763 Před 25 dny

    Ninawakubari asilimia 💯 % Safi Sana...

  • @huthhuthlih5858
    @huthhuthlih5858 Před 26 dny +1

    Hawayapendi na hawayataki kabisa kuyasikiliza

  • @user-wz4lv3pg9b
    @user-wz4lv3pg9b Před 26 dny +1

    Hata wageuze shingo ila wataelewa tuuu

  • @user-vm2wk1mb4v
    @user-vm2wk1mb4v Před 26 dny +1

    mbona mulikaa kimya sana, niliwamic wazee

  • @gRaY_S9N
    @gRaY_S9N Před 26 dny +1

    Wakuu Mada nzuri na tunathamini madini tunayoyapata,tafadhali rekebisheni sound kwenye hii Clip ina mkwaruzo

  • @user-hb7mq8lg9e
    @user-hb7mq8lg9e Před 26 dny +1

    🙏🙏

  • @SaluMaige-sc8bm
    @SaluMaige-sc8bm Před 26 dny +1

    Mko vizur shida mkwaruzo

    • @kakasteve7117
      @kakasteve7117 Před 26 dny

      Wako vizuri kwa lipi?

    • @SaluMaige-sc8bm
      @SaluMaige-sc8bm Před 25 dny

      @@kakasteve7117 kwakile walichokiongea

    • @fredysigy4771
      @fredysigy4771 Před 25 dny

      ​@@kakasteve7117 uwez ona zur wasemalo maana upo kwenye utumwa wa fikra kichwan kufikir huwez

  • @fasterwalker1464
    @fasterwalker1464 Před 25 dny

    Kuna jamaa yupo mbingun

  • @PatrickJulius-uy3yb
    @PatrickJulius-uy3yb Před 25 dny +1

    Natamani wachokonozi riwe darasa namimi nitaakuwa mwanafunzi

    • @wachokonozi_
      @wachokonozi_  Před 25 dny +1

      Tunalifanyia kazi.

    • @PatrickJulius-uy3yb
      @PatrickJulius-uy3yb Před 25 dny +1

      @@wachokonozi_ itakuwa vizuri sana bro maana hii elim kuipata nikazi ingawa tuna tupa pesa nyingi kwenye ada za shule ila hakuna elimu nayo iyona ya kumuweka mtu mweusi huru na future yake