BASHUNGWA ATOA MWEZI MMOJA KUKAMILISHA USANIFU DARAJA LA MUNGURI - KONDOA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemtaka Meneja wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) kuhakikisha anakamilisha Upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa Daraja la Munguri lililopo katika Mto Bubu ulilopo wilayani Kondoa mkoani Dodoma.
    Waziri Bashungwa ameyasema hayo leo tarehe 4 Disemba 2023, alipokagua eneo hilo la Daraja linalokatisha barabara ya Kondoa - Mtiriangwi/Gisanbang inayounganisha Mkoa wa Dodoma, Singida na Manyara, Wilayani Kondoa ambalo

Komentáře • 1

  • @user-os8qc7pl1g
    @user-os8qc7pl1g Před 4 měsíci

    Kondoa utekezaji hakuna sijui viongoz . Wana kwama wapi . Wanadili na barabara ya bicha tu. Viongozi kuweni nauchungu na mjiwepo