TAARIFA MPYA KUTOKA YANGA YA AZIZ ALLY KAMWE AFUNGUKA SAKATA LA AZIKI KI KISAINI MKATABA MPYA YANGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 05. 2024
  • Sport

Komentáře • 44

  • @NelsonMatambo-ob5zm
    @NelsonMatambo-ob5zm Před 23 dny +2

    yanga tim kubwa

  • @abdulismail79
    @abdulismail79 Před 24 dny +3

    Ukiwa nje ya Nchi (England) vipi unaweza kujisajili kuwa mwanachama?

  • @christosilerkalata9607
    @christosilerkalata9607 Před 23 dny +2

    Wanachama zaidi ya million 30 tuwekewe mpango kila mmoja atoe kiasi gani?

  • @stafordchamgeni8430
    @stafordchamgeni8430 Před 24 dny +2

    Nitumie control namba nilipie uanachama na nije kula supu tarehe 25/5/2024

  • @Kanyawela
    @Kanyawela Před 24 dny +2

    Weka kujisajili day nami nijisajili

  • @saidmpunga-en6pf
    @saidmpunga-en6pf Před 23 dny +1

    azizi ki abaki hao makolo watoe udenda tu hawampa hao nikama fisi wamwambie deuji akatafute nae nje haoni wanaume wanavyojituma kama injinia naitwa said mpunga nipo wazo dar contena

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 Před 24 dny +1

    Wanachama tutamfanya Azizi Ki tutamziwia asiondoke tataongeza malipo kwenye kadi za uwanachama!!

  • @RahmaAbdulrahman-er2yg
    @RahmaAbdulrahman-er2yg Před 24 dny +1

    Tunaomba abakie yanga azizi k diara abakie pacome abakie yanga

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Před 24 dny +2

    Mmeandaa mazingira gani au mmetengeneza utaratibu gani ili wanachama na mashabiki mwananchi waweze kutekeleza hilo jukumu la kujisajii ili kuwa wanacha na mashabiki rasmi wa club.

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f Před 24 dny +1

    Kilajambo na wakati wake

  • @NassibAbdallahMariki
    @NassibAbdallahMariki Před 21 dnem

    Kadi inalipiwa Shs ngapi

  • @TwalibuHassan
    @TwalibuHassan Před 24 dny +1

    Naitwa twalibu Hassan kadi shilingi ngap kujisajili

  • @NassibAbdallahMariki
    @NassibAbdallahMariki Před 21 dnem

    Kadi shs ngapi

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu Před 24 dny

    Kiongosi kijana nikweli umuli wako uko tofauti naungozi wako yani maneno yakoyakimbwa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @isacknicodem3262
    @isacknicodem3262 Před 23 dny +1

    Ally mngemshawishi mkampatia mkataba ili mpige pesa

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx Před 22 dny

    Makoro mnaumia sana

  • @JackSanga-fw9xt
    @JackSanga-fw9xt Před 16 dny

    Mimi naomba niwe mwanachama jmn niwe na kadi

  • @prospermbena4692
    @prospermbena4692 Před 22 dny

    Nalipa adda ya uanachamaa sasa hivi, Yanga baba lao daima mbele nyuma mwiko

  • @mussamtupa
    @mussamtupa Před 21 dnem

    Sisi tunao ishi nje ya nchi tunafanyaje ktk usajiri na kulipia? Majibu tafsdhar

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu Před 24 dny

    Tupe maerezo ukiwanje na Tanzania kadi yacama utayipataje???niko Bujumbura

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu Před 24 dny

    Kwni mayele nkitugani tunafika apaju yamayele???

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn Před 24 dny +1

    Naomba namna ya kulipia kadi ya uawanachama simba sitaki Tena kuanzia leo

  • @saidmpunga-en6pf
    @saidmpunga-en6pf Před 23 dny

    kuamtu inamkela azizi kubaki yanga sasa yeye ndie alimsajili mbona anawashwa mambo ya yanga waachie yanga viongozi wetu wameenda shule sio hao wanapiga kelele tu aende tandale vilabuni akasajili watuache na yanga yetu wenyewe kazi kumtia hasara mo

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Před 24 dny +5

    Kama ambavyo kumekuwa na siku ya Pacome day --- Aziz ki day --- Maxday --- Baka day etc --- Tengenezeni mazingira ya kuwa na siku maalumu,itakayoitwa labda JISAJILI DAY ,kwa Nchi nzima,then kabla ya siku hiyo kufanyike uhamssishaji mkubwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari na hata mitandao ya kijamii " Nadhani kuna kitu kikubwa chenye tija kwa club kitafanyika " Na ifanyike hivyo,hata mara mbili kwa mwaka "

  • @rehemakimbesa7296
    @rehemakimbesa7296 Před 24 dny

    Na sisi ambao hatupo huko tunajisajiri vp

  • @user-xz8rm2jr2x
    @user-xz8rm2jr2x Před 23 dny

    Ally kamwe,WW NI msema kweli sio Kama Yule mchumba wa upande wa pily

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f Před 24 dny

    Lolote litawezeka

  • @benarddickson1326
    @benarddickson1326 Před 22 dny

    Uongozi Yanga um-retain Aziz we highly need this player.

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Před 24 dny +9

    Njia ya muongo ni fupi mara Aziiz mkataba imeisha mara tumepata offer kakojoe ulale mchezeji mkataba ukishaa Club haipati Chochote wadanganye Uto mafalaaaaa

    • @FirdausAlly-ls8fw
      @FirdausAlly-ls8fw Před 24 dny +2

      Kwani unaumia nin NGULUWE FC.. aziz ki. Ni mchezaji wa yanga we tuliaa pambania jina la pili cyo TATU JUMA MGUNDA

    • @JastinAlphonce
      @JastinAlphonce Před 23 dny

      Acha kiki my brother Kwan hujui uwezo wa vilabu vya kariakoo mara kaja sawadogo wa million 700 alipofeli kibao kikasema alikuja free 😂😂😂

    • @KizingiliRamadhani-gh5gq
      @KizingiliRamadhani-gh5gq Před 21 dnem

      Ww ni mjinga

  • @hassanmatete7121
    @hassanmatete7121 Před 24 dny

    Unasema mayele kaingiza pesa yanga alipoondoka wakati rais alisema kaondoka bure naomba waka sawa kwa ili

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 Před 23 dny

      Wewe ndunduka.

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 Před 23 dny

      Je unafuatiliaga haya mambo?mtafute wakala wamayele nadhani utapata jibu kamili kama mayele aliuzwa au aliondoka free

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u Před 24 dny

    Hamna pesa za kushindana na matimu mkubwa mumbakishe azizi ki

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u Před 24 dny

    Huyo wenu lakini azizi ki sio wenu Tena free boti

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u Před 24 dny

    Acha uongo mayele alikuwa wa mkopo

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g Před 23 dny

    Kama wewe ni mwanasimba unataka kuja yanga nenda kwenye tawi lolote lililo kalibu na wewewatatakupokea bei ya kadi ni 31