Jinsi ya kupika Tambi(Spaghetti) tamu za mboga mboga (How to make Veggie Spaghetti) .... S01E30
Vložit
- čas přidán 29. 09. 2019
- Jinsi ya kupika Kuku wa Kienyeji rosti.....
• Jinsi ya kupika rosti ...
INGREDIENTS
Spaghetti
1tbsp Salt
2 1/2tbsp Olive Oil
Water
Carrot
Capsicum
Onion
Song: Usiniache
Artist: Dallarz
• Dallarz - Usiniache (o...
Instagram: / bmagickitchen
Ten minutes...nko nakula zangu tambi kwa maini rosti...asante dada angu..kwa mara ya kwanza maishani nimepika tambi, na zimekua tamuuu
Hongera sana, enjoy. Nashukuru sana kwa support yako🙏🏾
Asante dada barikiwe kwa elimu yako❤❤❤❤
Hahaha etii mambo yataanza kuwa mengi...
Daaa ila nimefurahii nimejua kupika kutoka kwako. Upo vizuri Dada
Asante sana kwa kuangalia, nashukuru kwa support yako👏
@@MsBupe sawasawa Dada karibu. Na ntazidi kuendelea kukuangalia...
Ahsante kwa elimu nzuri, napenda mapishi
Nashukuru kusikia hivyo, naomba usubscribe na kubonyeza kengele pia karibu uangalie na zingine. Naomba pia unifollow insta @bmagickitchen asante sana.
Wow umetisha sanaaa
Asanteee sanaaa dada nimejuwa
🎉wawoooo😢 umetisha pishi lako Haina milima na mabonde n mtelemko sana
Mmmmh amazing!
Thank you for watching, please don't forget to subscribe and click on the bell notification also please follow me on insta @bmagickitchen thank you very much👏
Yaani nakupenda bure ... ndo umekuwa muongozo wangu wa kipika leo! Zimenoga balaa! Asante sana!
Aaaaawww!!! 😊😊😊Nafurahi sana kusikia hivyo, hongera sana.
Thanx mumy!
Wao asante Kwa elimu nzuri
Karibu my dear, nashukuru na wewe kwa kuangalia👏❤
Asante sana dada nimejifunza mengi dada
Nashukuru sana na wewe kwa support yako. Naomba usubscribe na kubonyeza kengele pia naomba unifollow insta @bmagickitchen asante sana👏
Waooooh Leo najalibu kupika mumy nione
Nice, my favourite pishi
Thanx dear, please don't forget to subscribe and click on the notification bell.
Yeah nimependa
Good nimejifunza maana sijawah kupika tambi napikaga ugali tuu na wali ... Nifundishe kupika magimbi sass😁😁
Wow yummy ...👍👍 mrs🇰🇪🇰🇪
Thank you👏 don't forget to sub and click on the bell notification also follow me on insta @bmagickitchen thank you very much.
Wawoooo nice dear namim napik leo nione
napenda sana kufuatilia video zako hongera sana ila nakuomba jitahidi au uandike hizo viungo unavyotumia kwa lugha zote mbili kiswahili na kingereza ni hilo tu nahis nimeeleweka
Asante sana kwa kuangalia, siku hizi nimeanza kuweka kwa lugha zote mbili. Karibu uangalie na zingine, pia naomba unifollow insta @bmagickitchen.
@@MsBupe barikiwa
@@lucyhaule3140 asante sana👏 Barikiwa na wewe.
❤❤❤❤wooow
Hii channel iko vzr lv u sis
Asante sana😊😊😊, luv u too na nashukuru sana kwa support👏
Nice,I'll try
Ok dear, all the best. Please don't forget to subscribe and click on the bell notification, also please follow me on insta @bmagickitchen thank you👏
Eti nimeipenda tuu sauti yako mweeh
Mahi kiasi gan
Najaribu leo😁mm huwa napenda za kukaanga leo nione na hiz ss
Nadhani ulizipenda, asante sana kwa kuangalia na karibu tena🙏🏾❤
@@MsBupe Ni tamu Sana, Asante kwa ujuzi
Asante sana na wewe kwa kuangalia my dear na karibu tena🙏🏾❤
🎉
B's Nimerud😁😋😋
💃 Karibu sana🙂
Am watching this descriptive video sitting here in Oakland City United States of America!I made exactly the same!Thank you for sharing!
Thank you very much, i appreciate. Please don't forget to subscribe and hit that bell notification so that you will know when i upload also follow me on insta @bmagickitchen thank you👏
Namshukuru
Asante sana
❣️❣️❣️
Ayyee noted iyoo kesho na Apply Formula iyo😂iko kama Simultaneous Equestion❤💪
😂😂😂😂 utakuwa umetisha sana yaani, asante sana kwa support👊
Upo vzr nitapika na mm leo umenitamanisha
Nice
Thank you👏
Nmeipenda hii
Asante sana, naomba usubscribe na kubonyeza kengele pia naomba unifollow insta @bmagickitchen asante sana.
Mamiiiiiih tamuuu hatar
👏👏👏👏
👏❤
Qqqqq
imenifanya nionekane kupika
thank yoh
Wawoooh jaman santee sana na hako kawimbo katam
Asante sana na wewe my dear kwa support👏❤ Link ya huo wimbo iko hapo chini kwenye description box.
👍
Kuna mapishi ya chapati nimeona kwenye insta yako please tufunze
Unaweza changanya sukari na Chumvi Kwa pamoja
Ndio lakini hizo ni kwa ajili ya chai sio kuweka na mbogamboga.
Ongeza sautiii
Asante sana chakula kitam
Asante na wewe kwa kuangalia, nakukaribisha uangalie na zingine pia naomba usisahau kusubscribe na kubonyeza kengele naomba pia unifollow insta @bmagickitchen asante sana👏
nakupenda ww unaongea
Aaaaww!! Asante dear😊
Jee unaweza kupika tambi za mchuzi? Yaani unatengeneza soce unachanganya?
Ndio unaweza.
Nilikua nauliza hatuweki sukar wala ilik
Kwenye hizi huwa siweki my dear.
Ni lazima uzichemshe kwanzaaa?
Ndio my dear, lakini kama wewe una njia nyingine, unaweza ukafanya mumy. Nashukuru sana kwa support yako mpz👏🏾😘
Mbn zangu zinakuwa kma uji jmn😅
😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Yam yam...ntapika leo
Asante my dear, naomba usisahau kusubscribe na kubonyeza kengele na pia naomba unifollow insta @bmagickitchen asante sana.
Be blessed
Thank you👏, you too.
Jaman upo vzl
Asante sana, nashukuru kwa support👏
Yyyyyyy ko
Wooow
Thanx my dear, please don't forget to subscribe to my CZcams Channel and click on the bell notification also please follow on insta @bmagickitchen. Thank you👏
Shukren mungu akubariki
Amina, akubariki na wewe. Karibu uangalie na zingine pia naomba usubscribe na kubonyeza kengele, naomba unifollow insta @bmagickitchen Asante sana👏
Sujaona ukiweka sukary wala chumvii baada ya kuzichemsha tambi...
Umetia chumvi au sukari
kitchen ...%%%%
👏🏾
Naweza weka sukar instead of chunvi??asante najifunza vitu vingi sanaa kupitia wewe
Aaaawww!!! Asante sana my dear, ndio unaweza ukaweka sukari mumy. Karibu uendelee kujifunza dear❤
Mm za chumv tu zinanishinda
Kubal
sijaona ukiziosha
Sio lazima, nashukuru kwa support yako👏🏾
Saf
Asante👏
Watumia nini kukata carrots
Kisu my dear, thanx for watching... Please don't forget to Sub and click on the Notification Bell also please follow me on insta @bmagickitchen thank you👏
Mbn hujaweka km chumvi au sukar?
ALIWEKEA KWENYE MAJI KULE CHUMVI NA MAFUTA
Huwezi kuweka tomate?
Unaweza ila mimi sikuweka sababu nilipika kuku pembeni, asante kwa kuangalia. Naomba usisahau kusubscribe na kubonyeza kengele pia naomba unifollow insta @bmagickitchen asante sana.
Dada umetixha unapika tambi Bila sukar mwaaaaaaaa!!!!!😜😜
Kwani tambi zinapikwa na sukari tu? Hzo ni kwa ajili ya kula na nyama ndg yangu. Asante kwa kuangalia, usisahau na kusubscribe na kubonyeza kengele pia naomba unifollow insta @bmagickitchen
Cpagheti😅
Wozaa100%
mbona ujaweka sukari
Sijaweka kwa sababu hii nimekula na mchuzi, video niliyopost kabla ya hyo nilionyesha jinsi ya kupika kuku wa kula na tambi... Asante kwa kuangalia, naomba usubscribe na kubonyeza kengele pia naomba unifollow insta @bmagickitchen. Asante sana👏
@@MsBupe ok asante lkn ukiwa hule na kuku au nyama unaweza kuweka sukari
@@apellxonabdallah5341 ndio, tena kuna video ya tambi za sukari inakuja wala usiwaze.
@@MsBupe asante
@@apellxonabdallah5341 karibu sana.
hata sio tamu
Nashukuru kwa kuangalia na karibu tena.
Wivu tu🙄
😘
Nice
Thank you👏
Asante sana
Asante na wewe kwa kuangalia, naomba usubscribe na kubonyeza kengele pia naomba unifollow insta @bmagickitchen. Karibu uangalie na zingine.