Video není dostupné.
Omlouváme se.

FREDI VUNJA BEI AFICHUA SIRI NYINGINE YA KUFANIKIWA KWAKE, AELEZA SABABU YA KUSHIRIKI TUZO HIZI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 04. 2021

Komentáře • 37

  • @ghostelmendez7206
    @ghostelmendez7206 Před 3 lety +2

    Fredy n genius nakufuatilia sana mkinga mwenzangu

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 Před 3 lety +1

    Pure soul and humble 👍👍👍

  • @mbarakkhalid117
    @mbarakkhalid117 Před 4 měsíci

    Mungu azidi kumbariki kuongezea kitu mali ya mtu haipunguwi kwa kutowa sadaka ila shetani anakypa future ya umaskini

  • @mafiosoismail7475
    @mafiosoismail7475 Před 3 lety +3

    Ila mwanangu Mchomvu nakukubali sana blood huwa huniangushi kwenye code kaka HipoHop 💪💪💪

  • @dicksonmarko7926
    @dicksonmarko7926 Před 3 lety +2

    Jamaa yuko vizuri sana kichwani

  • @RubabaTv
    @RubabaTv Před 3 lety +2

    Karibu Mimi imani lubaba mtaalamu mzoefu wa kilimo na ufugaji.
    Kwa kutambua uhitaji na changamoto zinazowapata wakulima wa mahindi ususani katika
    kupata maelekezo, ujuzi na usaidizi wa kitaalamu, kuwawezesha kufanya kilimo chenye tija.
    Rubaba Media na Tanzania na kilimo imekuandalia muongozo huu kwa njia ya sauti.
    kukuwezesha wewe mkulima kujifunza huku ukiburidika wewe, famila na marafiki zako.
    Muongozo umeandaliwa kitaalamu na kuelezea kwa kina hatua zote muhimu yaani
    1. utayarishaji wa shamba
    2. uchaguzi wa mbegu bora
    3. upandaji
    4. utunzaji wa shamba
    5.kudhibiti magonjwa na wadudu
    3. uvunaji
    Navingine vingi.
    Unaweza kujipatia muongozo wako kwa njia ya sauti, kupita cd, email, telegram au watsup.
    kwa elfu 10 pekee.
    KUWEKA ODA MAPEMA
    wasiliana nasi kupitia namba 0764148221 au email. rubabaimani@gmail.com
    au jifunze zaidi kupitia blog yetu.
    www.tanzanianakilimo.blogspot.com
    na bila kusahau kusubscripe channel youtube czcams.com/users/rubabaimani.

  • @raymondjude6088
    @raymondjude6088 Před 3 lety +2

    Yupo vizuri fred

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 Před 3 lety +4

    Kile ambacho hujakisema ndio sahihi na hautakisema daima hizi zingine porojo tu. Pesa inamambo mengi mpaka uimiliki ujulikane tutakalia. Ndoto. Ndoto

    • @deogratiusdominick8882
      @deogratiusdominick8882 Před 3 lety

      Bhac niambie kisir sir ili nijue

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 Před 3 lety

      @@deogratiusdominick8882 muhusika ni yule aliekua anatoa maelekezo kwenye hii clip sio wewe. Wewe ni mchangiaji tu km mimi

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 Před 3 lety

      Anajiita vunjabei

  • @abdulijongo1355
    @abdulijongo1355 Před 3 lety +5

    Hizi Stry Za Watu Waliofanikiwa Huwa Zinatia Nguvu Ila Ukwel Kuna Siri Nyng Sana Nyuma Yao

    • @rajabhussein7794
      @rajabhussein7794 Před 3 lety

      Kweli ndugu

    • @ngwelesalu8348
      @ngwelesalu8348 Před 3 lety

      Ukiwaza siri ndugu utakata tamaa nankuona hakuna mafanikionbila ya izo siri ki2 ambayo c kweli

    • @abdulijongo1355
      @abdulijongo1355 Před 3 lety +2

      @@ngwelesalu8348 Ndgu Yngu Endelea Tu Kuamin Unachosikia Ila Jitahd Kufanya Unachoweza

    • @mosesmaiga7408
      @mosesmaiga7408 Před 3 lety

      @@ngwelesalu8348 unaakiri Sana vijana wengi hapo tu ndo tunaferi tunafikra mbaya

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 Před 3 lety

      Kile ambacho hujasema ndio kilichokubust ukawa hapo

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 3 lety +6

    Sku zote matajiri wana jifanya motivation speaker ila kutoka kimaisha mda mwingine zali tuu 😂🤣 unaweza tafta ela hadi mtu una fika miaka 40 ndo kwanza una miliki IST 🤣

    • @rockaizer282
      @rockaizer282 Před 3 lety

      😂😂😂

    • @veronikadalali7251
      @veronikadalali7251 Před 3 lety

      Umeona eeeeh' hawez akakuambia ukweli anaejuwa kanuni ya wakinga pale Makambako anyoshe mkono

  • @aloycesimon2028
    @aloycesimon2028 Před 3 lety +1

    Hayo macho ya Soudy yanatisha😂😂😂

  • @BadruhSon__
    @BadruhSon__ Před 3 lety +1

    Gut up

  • @hamidujuma7263
    @hamidujuma7263 Před 3 lety +2

    Namkubali sana huyu jamaa

  • @taetommy8343
    @taetommy8343 Před 3 lety +1

    Huyo naye haeleweki mara hakuajiriwa mara aliajiriwa wizara ya kilimo!! Ndyo akaanza biashara ya viatu.😉

  • @saidiphily4964
    @saidiphily4964 Před 3 lety +1

    NAKUBALI SANA FREDY

  • @norbypoltv
    @norbypoltv Před 3 lety +2

    🔥🔥🔥🔥

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Před 3 lety +4

    Rai yangu jihadhali na wapambe hapa mjini utadhalilika usipokua makini

  • @jackmabirangacharles9398

    Nakubali lakini Jamani wakowatu waomba Masaada wa kutibiwa Jamani wakumbukeni nyie wenye Uwezo

  • @DoctorPesandegeMgangaTibAsili

    🌳🌲🌿

  • @lariogerard3305
    @lariogerard3305 Před 3 lety

    Milard acha wivu link yangu ime fanyA JE

  • @silivestatesha6945
    @silivestatesha6945 Před 3 lety

    Hakuna ww pekeyako namungu wako ndo unafaham

    • @lilgicky484
      @lilgicky484 Před 24 dny

      umasikini unakutesaa jamaaa😂😂😂