UMUHIMU WA KUTULIA UNAPOPATA TATIZO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 11. 2021
  • Maisha yameambatana na furaha pamoja huzuni nyingi sana, ndo maana huwa tunasema matatizo ni sehemu ya maisha yetu. Sasa karibu sana leo tujifunze kwanini unatakiwa kuwa mtulivu unapopatwa na tatizo au ukiwa kwenye nyakati ngumu. Mafunzo haya nimeyatoa katika chapter moja ya kitabu WHY NOT TODAY kilichoandikwa na Dr. George Adriano.
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    NUNUA VITABU:
    Dr. George Adriano (Author)
    Instagram: @doctoradriano
    .
    Books 1: Why Not Today
    Book 2: The Power Of Choice
    Price: 10,000 TZS for each book.
    Contact 1: (+255) 778 134 074
    Contact 2: (+255) 687 516 739
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    JE WAJUA?👇🏽
    / @youtubepesa255
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / @footballskill01
    .
    TUWASILIANE ZAIDI HAPA:
    Kwa mahitaji ya kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    Kama unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    Kujiunga na group la vitabu (Whatsapp & Telegram).
    Kuwasiliana na Ezden Jumanne kwa huduma zaidi.
    SIMU: (+255) 759 191 076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    #Tulia #Ukipata #Tatizo

Komentáře • 34

  • @muhammehusna3384
    @muhammehusna3384 Před 2 lety

    Mashallah tabarak Rahman ,kwakweli najihisi nimechereewa kukufaham sijui nilikua wp MDA mrefu ningekua napata elimu km hizi nahisi ningekua mbali kimaendeleeo kwakweli najifunza vtu ambavyo vinaniamsha nilipolala ,, nakila siku siachi kuwafatilia ikiwa sio ww basi namsikiliza mwengine mwenye elimu km hizi,,Allah akulipe Kila la kheri broo akujaalie Pepo ya darja ya juu kwahiki unachokifaanya ,,

  • @fatmahussein4563
    @fatmahussein4563 Před 2 lety +1

    Nzuri sana..toka nianze kukufatilia mengi nimejifunza...ubarikiwe sana

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety +2

      Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!

  • @SaidSaid-cl2tf
    @SaidSaid-cl2tf Před 2 lety +3

    Thanks for your appreciation to me ma brother, together we will make it Possible

  • @barthazalykaputu2622
    @barthazalykaputu2622 Před 2 lety

    Mwalim mzulii Sanaa nimekubalii unachokifanya

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo2633 Před 2 lety +1

    Thanks brother

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 Před 2 lety +1

    Ujumbe mzuri sana

  • @devothafortunatus9107
    @devothafortunatus9107 Před 2 lety +1

    Asante sana success path mmenibadilisha sana

  • @muhamadharun9432
    @muhamadharun9432 Před 2 lety

    Allah bless you brother 🙏🏾

  • @vituskabula4770
    @vituskabula4770 Před 2 lety +2

    🙏🙏🙏

  • @blandinageorge8738
    @blandinageorge8738 Před 2 lety +1

    Barikiwa sana 🙏🙏🙏👌🏻

  • @tysonjohn4972
    @tysonjohn4972 Před 2 lety +1

    Kweri kabisa

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před 2 lety +1

    Asante sana my brother from another mother

  • @tonymalando7700
    @tonymalando7700 Před 2 lety +1

    30% umebadilisha maisha yangu nimekuwa watofauti mpaka najiona,

  • @lesportetlanutritionpourla9956

    Mada nzuri kaka ahsanteeeee sana

  • @yemk2105
    @yemk2105 Před 2 lety +2

    Somo zuri

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 Před 2 lety

    Bro ezden uko vizur Toka nianze kukuskiriza nimebdilika san

  • @ediissa9837
    @ediissa9837 Před 2 lety

    Kaka mm niko zanzibar nakipataje hicho

  • @paullugano3053
    @paullugano3053 Před 2 lety

    Ezden please naomba unijibu hili swali JE KWENYE UTAFUTAJI KATI YA KUTAFTIA MAENEO ULIOKULIA AU MBALI NA ULIPOKULIA IPI BORA PIA KWANN??

  • @againepa8275
    @againepa8275 Před 2 lety

    Jambo kaka ubarikiwe sana umebadilisha maisha yangu kiukweli 🙏🙏🙏unitumie namba zako za simu nataka kitabu

  • @johnbanda6601
    @johnbanda6601 Před 2 lety +2

    Naomba kujua hii namba ya simu mtu anaweza kutumia kutumiwa kitabu kwa what's app

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      Tafadhali piga simu ili kuepusha kupoteza muda... na kupata uhakika zaidi

  • @sadikijoseph3064
    @sadikijoseph3064 Před 2 lety +2

    Natama ningeiona hii video juzi maana jana kunamtu aliniomba ushauri ambao hii video ndio jibu,nilimshauri lakin baada ya kuona hii.....

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety +2

      Mtumie sasahivi link. Huenda bado ikaongeza msaada zaidi kwenye jambo lake

    • @sadikijoseph3064
      @sadikijoseph3064 Před 2 lety +1

      Hajawa na sim kubwa ,nitaenda kumtrmbelea alaf nitamuomba tuiangalie hii video pamoja . "nashuku sana kaka"

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 Před 2 lety +1

    🙏🙏🙏