UMUHIMU WA KUTULIA UNAPOPATA TATIZO
Vložit
- čas přidán 18. 11. 2021
- Maisha yameambatana na furaha pamoja huzuni nyingi sana, ndo maana huwa tunasema matatizo ni sehemu ya maisha yetu. Sasa karibu sana leo tujifunze kwanini unatakiwa kuwa mtulivu unapopatwa na tatizo au ukiwa kwenye nyakati ngumu. Mafunzo haya nimeyatoa katika chapter moja ya kitabu WHY NOT TODAY kilichoandikwa na Dr. George Adriano.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
NUNUA VITABU:
Dr. George Adriano (Author)
Instagram: @doctoradriano
.
Books 1: Why Not Today
Book 2: The Power Of Choice
Price: 10,000 TZS for each book.
Contact 1: (+255) 778 134 074
Contact 2: (+255) 687 516 739
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @youtubepesa255
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ @footballskill01
.
TUWASILIANE ZAIDI HAPA:
Kwa mahitaji ya kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
Kama unahitaji Voice-over (English & Swahili).
Kujiunga na group la vitabu (Whatsapp & Telegram).
Kuwasiliana na Ezden Jumanne kwa huduma zaidi.
SIMU: (+255) 759 191 076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#Tulia #Ukipata #Tatizo
Mashallah tabarak Rahman ,kwakweli najihisi nimechereewa kukufaham sijui nilikua wp MDA mrefu ningekua napata elimu km hizi nahisi ningekua mbali kimaendeleeo kwakweli najifunza vtu ambavyo vinaniamsha nilipolala ,, nakila siku siachi kuwafatilia ikiwa sio ww basi namsikiliza mwengine mwenye elimu km hizi,,Allah akulipe Kila la kheri broo akujaalie Pepo ya darja ya juu kwahiki unachokifaanya ,,
Nzuri sana..toka nianze kukufatilia mengi nimejifunza...ubarikiwe sana
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
Thanks for your appreciation to me ma brother, together we will make it Possible
One love buddy
Mwalim mzulii Sanaa nimekubalii unachokifanya
Thanks brother
Ujumbe mzuri sana
Asante
Asante sana success path mmenibadilisha sana
Karibu sana Devotha... nafurahi kusikia hivyo
Allah bless you brother 🙏🏾
🙏🙏🙏
Barikiwa sana 🙏🙏🙏👌🏻
Ameen
Kweri kabisa
Asante sana my brother from another mother
Yaap
30% umebadilisha maisha yangu nimekuwa watofauti mpaka najiona,
Nashukuru sana kusikia haya kaka. Pamoja sana
Mada nzuri kaka ahsanteeeee sana
shukrani sana
Somo zuri
karibu sana
Bro ezden uko vizur Toka nianze kukuskiriza nimebdilika san
Kaka mm niko zanzibar nakipataje hicho
Ezden please naomba unijibu hili swali JE KWENYE UTAFUTAJI KATI YA KUTAFTIA MAENEO ULIOKULIA AU MBALI NA ULIPOKULIA IPI BORA PIA KWANN??
Jambo kaka ubarikiwe sana umebadilisha maisha yangu kiukweli 🙏🙏🙏unitumie namba zako za simu nataka kitabu
Naomba kujua hii namba ya simu mtu anaweza kutumia kutumiwa kitabu kwa what's app
Tafadhali piga simu ili kuepusha kupoteza muda... na kupata uhakika zaidi
Natama ningeiona hii video juzi maana jana kunamtu aliniomba ushauri ambao hii video ndio jibu,nilimshauri lakin baada ya kuona hii.....
Mtumie sasahivi link. Huenda bado ikaongeza msaada zaidi kwenye jambo lake
Hajawa na sim kubwa ,nitaenda kumtrmbelea alaf nitamuomba tuiangalie hii video pamoja . "nashuku sana kaka"
🙏🙏🙏